UJENZI WA STENDI MPYA UMEFIKIA PATAMU ! USIKUBALI KUHADITHIWA JIONEE

UJENZI WA STENDI MPYA UMEFIKIA PATAMU ! USIKUBALI KUHADITHIWA JIONEE

Пікірлер: 66

  • @kadijakk6384
    @kadijakk63844 жыл бұрын

    Baba yetu historia yako haita potea mpaka vizazi vijavyo baba magu toka chato utabaki kilelen wangapi toko pamoja na baba magu like zakutosha

  • @YamunguYb
    @YamunguYb4 жыл бұрын

    MAGUFULI TANO TENA NA KAZI IENDELEE mungu ni mwema kwa tanzania

  • @mwamba2875
    @mwamba28754 жыл бұрын

    Magufuli oyeee😂😂😂 kama umependa like

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    Tanzania kwanza mengine baadae jpm number 1 katiba ibadilishwe aendelee kugombea milele

  • @fredylucas2484

    @fredylucas2484

    4 жыл бұрын

    Zitto Kabwe kaazimia kumtoa JPM madarakani mwakani kupitia ACT Wazalendo. Mind te gap

  • @thetycoon8799

    @thetycoon8799

    4 жыл бұрын

    Temkeza TV eti milele yy ni Mungu?? 😂😂😂😂

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim15854 жыл бұрын

    Mm ni mcongomani 🇨🇩 napo tazama maendeleo ya tanzania kupitia serekali ya Mzee Mangufuli naona dhamira ya dhati kwa inch yake wala yenu wa Tanzania mkisikiya mtu yoyote hana mbeza wala kumbuguzi Rais Mangufuri mjuwe wana tumwa na mataifa ya kingeni aswa ugahibuni Mungu amlinde na maaduwi na wasaliti ya tahifa lenu wa tanzania .

  • @ruckbwire7980

    @ruckbwire7980

    4 жыл бұрын

    Tunashukuru ndugu

  • @johnmlay4759

    @johnmlay4759

    4 жыл бұрын

    Amen ndugu

  • @nyororotherock5567
    @nyororotherock55674 жыл бұрын

    Nikiona mtu anampa kura Tundu lisu kudadadeki nitakikisha nashuasha Fugo kwao

  • @raphaelkasagula977
    @raphaelkasagula9774 жыл бұрын

    Ahsante global tv kwa kuonyesha maendeleo yetu.. Mko vizuri..

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma98164 жыл бұрын

    Maa shaaa allah mungu ibariki nchi yngu na lais wetu piaa ln shaa allah

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa39974 жыл бұрын

    Naiona Tanzania ya baadae najivunia.pongezi nyingi zimuendee mh Rais Jpm.👏🏿👏🏿👏🏿

  • @jaffaryhassany9832
    @jaffaryhassany98324 жыл бұрын

    Kwakwel kura yangu haikupotea ni MUNGU tu aliniongoza nimchague mh MAGUFUL 🙏🙏💪💪💪🔥

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    Muendelee ivoivo vyombo vya habari kutuletea update mpya za maendeleo ya nchi yetu mungu awabariki

  • @polloz77
    @polloz774 жыл бұрын

    Safi sana Magufuli Sasa najua tunaweza tuna hona our engineers walikuwa hawajulikani kumbe wako sasa tujenge nchi

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97834 жыл бұрын

    Huyu magufuli si atawale milele tuu! Uchaguzi wa nn sasa, tuwe kama China 🇨🇳 tuu

  • @ngoshamsavira5606
    @ngoshamsavira56064 жыл бұрын

    aise yani ss ndo nauchungu na nchi yangu, Rais Magufuli cjui nikupe zawadi gani? ila naona kura yangu inakutosha, kuanzia leo Kodi nalipa kila kitu, anaeendeleza yupo MAGU

  • @yuyasonayew5854
    @yuyasonayew58544 жыл бұрын

    Tanzania mpyaa asante rais Magufuli jembe

  • @saimonjulius1319
    @saimonjulius13194 жыл бұрын

    Miradi anayojenga magu ukianza kuitaja moja moja unaweza kuanzia kinondoni mpaka gongolamboto ukiwa unatembea kwa mguu na usiimalize hata

  • @mubarakacloud7892

    @mubarakacloud7892

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa kuna ubungo interchange,,,kibaha express way,,,kilwa road brt phase two,,mbezi terminal,,upanuzi wa mwenge to morroco ,,salender bridge duh mingne cjui kwakwwli magu Nouma huyu mzee

  • @merishoherman169

    @merishoherman169

    4 жыл бұрын

    @@mubarakacloud7892 SGR

  • @michaelsiweya6500

    @michaelsiweya6500

    4 жыл бұрын

    Juzi nilipita kituo cha simu 2000 .kuna barabara linapasuliwa ndani kwa ndani.. Linajengwa daraja lingine linaenda kutokea Ubungo stand.. Ni daraja ambalo halionekani sana.. ILa sasa hivi pako wazi huku juu ...maana kuna kitega uchumi kikubwa sana kitajengwa pale stand ya ubungo baada ya stendi kuhamia Mbezi ya Kibaha

  • @mubarakacloud7892

    @mubarakacloud7892

    4 жыл бұрын

    @@michaelsiweya6500 natamani kujua ni kitu kipi kitajengwa pale ubungo baada ya kuhama

  • @michaelsiweya6500

    @michaelsiweya6500

    4 жыл бұрын

    Mubaraka... Pale kutakuwa na jengo kubwa sana la kitega uchumi... Litakuwa ni kubwa hata mlimani city siyo kitu.. Litakuwa na gorofa nne.. Itakuwa ni bussines centre.. Shopping Malls.. Parking ya magari Mwendo kasi.. Ninalo gazeti hapa linaloonyesha hiyo picha.. Ni mradi wa bilion 300..Mkandarasi ni Kutoka china.. Kwa hiyo Barabara inapita kule nyuma inaenda kutokea simu 2000..Ndo naona ujenzi umeshaanza kwa kutengeneza barabara kwanza.. Itakuwa ni business centre kwa nchi za Africa kusini mwa jangwa la sahara.. Kwa bidhaa zote za China.. Kwa hiyo nchi za Afrika zitakuwa zinachukua mizigo hapa Dar.. Tz badala ya kwenda China

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed45494 жыл бұрын

    kalibuni utaisha amazingi san tz juuu

  • @nurubwire2207
    @nurubwire22074 жыл бұрын

    Stendi ikikamilika itakuwa moja ya stendi Bora sana nchini

  • @josephkauki6094
    @josephkauki60944 жыл бұрын

    Hongera raisi maguu

  • @kaijagekabaju2289
    @kaijagekabaju22894 жыл бұрын

    My Tanzania..

  • @johnsonjusto9564
    @johnsonjusto95644 жыл бұрын

    kwenye miradi muheshimiwa uko vizuri unaitendea haki sana

  • @zesootv6726
    @zesootv67264 жыл бұрын

    Kazi nzuri lazima tuipongeze serikali.

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya31474 жыл бұрын

    Mungu akurinde raisi wetu

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa69704 жыл бұрын

    Magufuli is main man

  • @amo-one.babalake3588
    @amo-one.babalake35884 жыл бұрын

    Kweri mji umekua mnazi mmoja mala ubungo leo hii mbezi kweli Tz kama China piga kz magu wenye wivu wajitie kamba

  • @saydalfred9840
    @saydalfred98404 жыл бұрын

    Magu nooma aisee,,,tulichelewa sana

  • @zafaranimrisho2111
    @zafaranimrisho21114 жыл бұрын

    Jpm for life

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93034 жыл бұрын

    😍😍😍😍😍

  • @charleserastusnsense1305
    @charleserastusnsense13054 жыл бұрын

    Manguli Baba yao tz

  • @kyangalambunge3955
    @kyangalambunge39554 жыл бұрын

    Endelea ivo kabisa Magufuli

  • @aliabmugh2362

    @aliabmugh2362

    4 жыл бұрын

    Ovias King

  • @hamadali9159
    @hamadali91594 жыл бұрын

    Wengi walisema ndoto haitowezekana sijui wanaona

  • @johnmlay4759

    @johnmlay4759

    4 жыл бұрын

    Wanaona aibu

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb4 жыл бұрын

    Hapo pia watakuwa wanakusanya sh 300??

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini86784 жыл бұрын

    Mbez tena jaman magar ya mkoani sasa yanayopitia bagamoyo kwahiyo yanafika ubungo afu yanarud tena mbezi mmmmmmm ilipokuwepo ndio ilikuwa janction na sio huko

  • @erickbayega1804

    @erickbayega1804

    4 жыл бұрын

    Kuna barabara inapita kutoka mbez bich mpaka mbez... Hayata pita ubungo

  • @tanzanianchiyangutaifalang8376

    @tanzanianchiyangutaifalang8376

    4 жыл бұрын

    Kuna barabara itatengenezwa kutoka mbezi kimara mpaka tegeta au bunju.

  • @kwisa4899
    @kwisa48994 жыл бұрын

    Wangepeleka kibaha ingependeza zaidi hapo ni jirani sana na mji baadae itakuwa kama ubungo tu kwa kasi ya ujenzi wa makazi ya watu ninavyo uona

  • @janehamisi6069
    @janehamisi60694 жыл бұрын

    Minaona eneo km dogo

  • @heartnsanya1182

    @heartnsanya1182

    4 жыл бұрын

    Unapingana na wataalam wa ujenzi kaweke vipimo vyako au mchoro wa mkubwa tako ww

  • @janehamisi6069

    @janehamisi6069

    4 жыл бұрын

    @@heartnsanya1182 we fala Kwn ukiwachangia mawazo kuna ubaya Kwn stendi hiyo ya kwanza stendi ilianzia mnazi mmoja na kisutu Ikaja ubungo .sasa mbezi .huko kote imetoka kwa ufinyu wa eneo niwakatili vibaya kuongea hivyo

  • @janehamisi6069

    @janehamisi6069

    4 жыл бұрын

    @Change Mindset tena koma sijawahi kuwa chama

  • @janehamisi6069

    @janehamisi6069

    4 жыл бұрын

    @@heartnsanya1182 mbona airport imepanuliwa si waliona kuwa ile ya kwanza ndogo wakaongeza eneo wamejenga ingine. We VIP ujaona hata songea mkuu wa mkoa kamweka ndani injinia wa barabara kwenye mtandao kajenga barabara na chemba za maji ktk ya barabara. We ni jike au dume

  • @davidchesco52

    @davidchesco52

    4 жыл бұрын

    Jane Hamisi macho yako tu iyo stendi imesanifiwa kulingana na uwingi wa magar yatakayokuwa yanaingia hapo ondoa shaka kabisa ni stend kubwa na ya kisasa pengine itakuwa kubwa kuliko stend zote

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa86994 жыл бұрын

    Upinzani.oyee

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    Tanzania kwanza mengine baadae jpm number 1 katiba ibadilishwe aendelee kugombea milele

Келесі