UJENZI BARABARA ZA JUU UBUNGO WAZIDI KUSHIKA KASI, WANANCHI WAFUNGUKA

Wananchi wa jiji la Dar es Salaam Wilaya ya Ubungo wametoa hisia zao kuhusu ujenzi wa barabara za juu unaoendelea, wakisema kuwa ni mwarobaini wa kumaliza foleni iliyokuwa ikipunguza kasi ya uchumi katika jiji hilo.

Пікірлер: 80

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa69704 жыл бұрын

    Wakwanza kulaiki kutoka South Africa asante sana magufuli

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe38264 жыл бұрын

    Jpm nakubar sana kazi yako rais wangu

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine79064 жыл бұрын

    Naiona tu newyork ndani ya Tz na na washngton Dodoma. Ila serikali iyatazame kwa upya majengo chakavu ya wananchi ktk haya majiji

  • @kinjeketilengwale1141

    @kinjeketilengwale1141

    4 жыл бұрын

    Nato Simchimba 😂😂😂 yabomolewe kwa nguvu hasa pale km0 Sgr station aibu tupu

  • @antoinea.katembo5326

    @antoinea.katembo5326

    4 жыл бұрын

    Nato Simchimba wakiweka bidii ya kutosha na kufanya kazi kwa uweledi, uwaminifu na uzalendo wa juu kila kitu kinawezekana barani Africa na wazungu wanaweza kueshimu watu wa bara hilo la Africa maana hakuna kinacho mzaraulisha mtu yeyote duniani kama maisha ya OMBA OMBA ambao ndo maisha ya mataifa yetu ya kiafrika!

  • @antoinea.katembo5326

    @antoinea.katembo5326

    4 жыл бұрын

    Kinjeketile Ngwale wenzio WOTE wanausifu huo ujenzi alafu wewe unauponda kweli ndugu??? Duh wewe wakutizqme kwa ukaribu sana aisee!

  • @kinjeketilengwale1141

    @kinjeketilengwale1141

    4 жыл бұрын

    Antoine A. KATEMBO we mtu vipi?hebu soma tena msg yangu ukielewa comment tena...kisha fatilia ujenzi huu utakutana na comments zangu maelfu kwa maelfu....tulikua tunazungumzia vibanda na majengo chakavu kuzunguka miradi!

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Nakwambia hizo barabara za juu za Ubungo zikikamilika utaipenda bure. Yaan nakwambia Toronto itakuwa hapa karibu na sikio lako.

  • @kinjeketilengwale1141

    @kinjeketilengwale1141

    4 жыл бұрын

    Mica Mathew 😂😂😂😂👏🏿👏🏿👏🏿

  • @masoudmahmoud5255
    @masoudmahmoud52554 жыл бұрын

    kazinzuri nausimamizimzuri chiniyauongozi wangosha kiboko yawahuni

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61774 жыл бұрын

    Yaa mambo kama ayo wacha wakamate ndege mabebelu na vyama vingine kupotelea mbali maana magufuri anatisha kiboko yao penda saaana kazi zake apa kazi tu tanzania kwanza magufuri anatosha mwingine wa nini wakati jpm mpango mzima

  • @kecha5251
    @kecha52514 жыл бұрын

    Nothing impossible. Tz tumeamua; God bless Tz God bless Africa God bless Magufuli;

  • @khalidytezura8751
    @khalidytezura87514 жыл бұрын

    Daah!! Kweli magufuli miaka 100

  • @nguruwekikwete1635
    @nguruwekikwete16354 жыл бұрын

    Kwanini serikali isijenge kabisa njia za brt kote inapojenga barabara bila kusubili mikopo na kuanza kuvunja tena kujenga upya kwenye flyover wamefanya vizuri kuzingatia brt

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum38324 жыл бұрын

    Kama sio mgufuli haya yote tungebaki kuyaona kwenye nchi zawenzetu tu

  • @manpelo8064

    @manpelo8064

    4 жыл бұрын

    Lowasa angefanya zaidi ya hayo

  • @mohdsalum3832

    @mohdsalum3832

    4 жыл бұрын

    Mbona hakufanya

  • @manpelo8064

    @manpelo8064

    4 жыл бұрын

    Amekos nafasi ya kuwa raisi ndio man Ila angepat ungeshuhudia akiyafanya mamb zaidi ya hayo

  • @hussainomar1849

    @hussainomar1849

    4 жыл бұрын

    @@manpelo8064 asengefanya Mana watu wenye akili Kama magufuli Ni WACHACHE na inahitaji ujasiri.

  • @sammwanza4402

    @sammwanza4402

    4 жыл бұрын

    Mohd Salum watu ambao sio watanzania comment zao utazijua tu

  • @omirey4255
    @omirey42554 жыл бұрын

    Hii pesa yetu wenyewe hamna msaada moja kwamoja halipiadeni kwani huyu kakuta madeni mangapi nakalipa alipo lipa tuache roho mbaya mwenzako akipata mpongeze

  • @kinjeketilengwale1141
    @kinjeketilengwale11414 жыл бұрын

    JPM 4 life!

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77634 жыл бұрын

    Mungu niweke hai nikaione nchi yangu ilivyobadilika, cjui nitapotea 😁😁😁

  • @vincentmokenye4465

    @vincentmokenye4465

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum38324 жыл бұрын

    Safi sana serekali ya awamu ya tano

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje86934 жыл бұрын

    Inabidi nirudi kunyambani nikashangae kidogo

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb4 жыл бұрын

    Ukitaka kuona TZ tunafeli kwenye mipango yetu... kuwa na miradi miwili mikubwa ambao mmoja umejenga na mwengine unabomoa... Namaanisha hicho kituo cha mwendokasi cha ubungo maji....

  • @batromeonassoro3273
    @batromeonassoro32734 жыл бұрын

    ushauriwangu tu hiyo logo mnayoiweka hapo katikati ya kioo inatuchanganya sana bora ibaki juu kulia tu

  • @fakichileu8931
    @fakichileu89314 жыл бұрын

    Jpm big up zaid ya pressedent of tz of old

  • @zefamange7281
    @zefamange72814 жыл бұрын

    NAWAOMBA MTUMIE HIZO PICHA TUNDULISU

  • @ezm

    @ezm

    4 жыл бұрын

    Of course

  • @mohdsalum3832

    @mohdsalum3832

    4 жыл бұрын

    Atazipata tu

  • @shariffrajab6063

    @shariffrajab6063

    4 жыл бұрын

    Tundulisu muuza maneno

  • @jaydenmugisha1663

    @jaydenmugisha1663

    4 жыл бұрын

    Anizipata tu Seema anajitoa akili

  • @lucytibe7790

    @lucytibe7790

    4 жыл бұрын

    @@jaydenmugisha1663 hhahahahaaaaa

  • @Ndayaki
    @Ndayaki4 жыл бұрын

    Hongeara TZ

  • @simu2008
    @simu20084 жыл бұрын

    Pia hiyo barabara kutoka hapo ubungo hadi magomeni ipanuliwe angalau njia ziwe 3,itapendeza zaidi

  • @maregesimafuru4199
    @maregesimafuru41994 жыл бұрын

    I gal love for u tz

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90884 жыл бұрын

    Jpm noma sana

  • @manpelo8064
    @manpelo80644 жыл бұрын

    Manyumbuuu

  • @zikirination6769

    @zikirination6769

    4 жыл бұрын

    Afu ww ndo nyumbu jike😀

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59224 жыл бұрын

    Kwa hali tunaoishi Ulaya tukija bongo ndio tutashaa hizo fly over manake tunaziona huku Ulaya tuuu sasa mtu nina miaka kumi sijaja bongo nikija nikiona mambo hayo daa nitakuwa mie ndio mshamba manake sijawahi ona bongo ikiwa hivyo japo hapa Germany nayaona kila siku

  • @noahmadal753
    @noahmadal7534 жыл бұрын

    Sawa tumaini

  • @jerrykikuli3700
    @jerrykikuli37004 жыл бұрын

    Tumepata rais. Anafanya alichoagiza.

  • @abshirkhamis9038
    @abshirkhamis90384 жыл бұрын

    Camera yako haileweki

  • @Tutindaga
    @Tutindaga4 жыл бұрын

    raisi atakaye kuja baada ya huyu atakuwa na kazi kubwa sana ya kulipa madeni

  • @husseinloyy1912

    @husseinloyy1912

    4 жыл бұрын

    Kwani anaweka mfukoni kwake au zinajenga nchi...rudia shule sasa ni bure

  • @Tutindaga

    @Tutindaga

    4 жыл бұрын

    @@husseinloyy1912 kwahiyo hata wewe ukiwa unafilwa ilimradi unaingiza pesa mfukoni sawa tu kwako?kila kitu kina utaratibu hata kama ni kizuri

  • @husseinloyy1912

    @husseinloyy1912

    4 жыл бұрын

    We inaonesha ni bwabwa ni madam gan unaleta

  • @Tutindaga

    @Tutindaga

    4 жыл бұрын

    @@husseinloyy1912 kumbe we ni bwabwa nilihisi kitu Kama hicho baada ya comment yako ya kwanza! Biashara unafanyia wapi kinondoni?

  • @jacklinezepha8495

    @jacklinezepha8495

    4 жыл бұрын

    @@Tutindaga yani wewe bn kumbe wwe bwabwa

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine79064 жыл бұрын

    Naiona tu newyork ndani ya Tz na na washngton Dodoma. Ila serikali iyatazame kwa upya majengo chakavu ya wananchi ktk haya majiji

  • @kinjeketilengwale1141

    @kinjeketilengwale1141

    4 жыл бұрын

    Nato Simchimba 😂😂😀😀👏🏿👏🏿👏🏿😆👍🏿🙏🏿👌🏿🕺🏿🇹🇿✍🏿