UJENZI BARABARA ZA JUU UBUNGO WAZIDI KUSHIKA KASI, WANANCHI WAFUNGUKA
Wananchi wa jiji la Dar es Salaam Wilaya ya Ubungo wametoa hisia zao kuhusu ujenzi wa barabara za juu unaoendelea, wakisema kuwa ni mwarobaini wa kumaliza foleni iliyokuwa ikipunguza kasi ya uchumi katika jiji hilo.
Пікірлер: 80
Wakwanza kulaiki kutoka South Africa asante sana magufuli
Jpm nakubar sana kazi yako rais wangu
Naiona tu newyork ndani ya Tz na na washngton Dodoma. Ila serikali iyatazame kwa upya majengo chakavu ya wananchi ktk haya majiji
@kinjeketilengwale1141
4 жыл бұрын
Nato Simchimba 😂😂😂 yabomolewe kwa nguvu hasa pale km0 Sgr station aibu tupu
@antoinea.katembo5326
4 жыл бұрын
Nato Simchimba wakiweka bidii ya kutosha na kufanya kazi kwa uweledi, uwaminifu na uzalendo wa juu kila kitu kinawezekana barani Africa na wazungu wanaweza kueshimu watu wa bara hilo la Africa maana hakuna kinacho mzaraulisha mtu yeyote duniani kama maisha ya OMBA OMBA ambao ndo maisha ya mataifa yetu ya kiafrika!
@antoinea.katembo5326
4 жыл бұрын
Kinjeketile Ngwale wenzio WOTE wanausifu huo ujenzi alafu wewe unauponda kweli ndugu??? Duh wewe wakutizqme kwa ukaribu sana aisee!
@kinjeketilengwale1141
4 жыл бұрын
Antoine A. KATEMBO we mtu vipi?hebu soma tena msg yangu ukielewa comment tena...kisha fatilia ujenzi huu utakutana na comments zangu maelfu kwa maelfu....tulikua tunazungumzia vibanda na majengo chakavu kuzunguka miradi!
Nakwambia hizo barabara za juu za Ubungo zikikamilika utaipenda bure. Yaan nakwambia Toronto itakuwa hapa karibu na sikio lako.
@kinjeketilengwale1141
4 жыл бұрын
Mica Mathew 😂😂😂😂👏🏿👏🏿👏🏿
kazinzuri nausimamizimzuri chiniyauongozi wangosha kiboko yawahuni
Yaa mambo kama ayo wacha wakamate ndege mabebelu na vyama vingine kupotelea mbali maana magufuri anatisha kiboko yao penda saaana kazi zake apa kazi tu tanzania kwanza magufuri anatosha mwingine wa nini wakati jpm mpango mzima
Nothing impossible. Tz tumeamua; God bless Tz God bless Africa God bless Magufuli;
Daah!! Kweli magufuli miaka 100
Kwanini serikali isijenge kabisa njia za brt kote inapojenga barabara bila kusubili mikopo na kuanza kuvunja tena kujenga upya kwenye flyover wamefanya vizuri kuzingatia brt
Kama sio mgufuli haya yote tungebaki kuyaona kwenye nchi zawenzetu tu
@manpelo8064
4 жыл бұрын
Lowasa angefanya zaidi ya hayo
@mohdsalum3832
4 жыл бұрын
Mbona hakufanya
@manpelo8064
4 жыл бұрын
Amekos nafasi ya kuwa raisi ndio man Ila angepat ungeshuhudia akiyafanya mamb zaidi ya hayo
@hussainomar1849
4 жыл бұрын
@@manpelo8064 asengefanya Mana watu wenye akili Kama magufuli Ni WACHACHE na inahitaji ujasiri.
@sammwanza4402
4 жыл бұрын
Mohd Salum watu ambao sio watanzania comment zao utazijua tu
Hii pesa yetu wenyewe hamna msaada moja kwamoja halipiadeni kwani huyu kakuta madeni mangapi nakalipa alipo lipa tuache roho mbaya mwenzako akipata mpongeze
JPM 4 life!
Mungu niweke hai nikaione nchi yangu ilivyobadilika, cjui nitapotea 😁😁😁
@vincentmokenye4465
4 жыл бұрын
Hahaha
Safi sana serekali ya awamu ya tano
Inabidi nirudi kunyambani nikashangae kidogo
Ukitaka kuona TZ tunafeli kwenye mipango yetu... kuwa na miradi miwili mikubwa ambao mmoja umejenga na mwengine unabomoa... Namaanisha hicho kituo cha mwendokasi cha ubungo maji....
ushauriwangu tu hiyo logo mnayoiweka hapo katikati ya kioo inatuchanganya sana bora ibaki juu kulia tu
Jpm big up zaid ya pressedent of tz of old
NAWAOMBA MTUMIE HIZO PICHA TUNDULISU
@ezm
4 жыл бұрын
Of course
@mohdsalum3832
4 жыл бұрын
Atazipata tu
@shariffrajab6063
4 жыл бұрын
Tundulisu muuza maneno
@jaydenmugisha1663
4 жыл бұрын
Anizipata tu Seema anajitoa akili
@lucytibe7790
4 жыл бұрын
@@jaydenmugisha1663 hhahahahaaaaa
Hongeara TZ
Pia hiyo barabara kutoka hapo ubungo hadi magomeni ipanuliwe angalau njia ziwe 3,itapendeza zaidi
I gal love for u tz
Jpm noma sana
Manyumbuuu
@zikirination6769
4 жыл бұрын
Afu ww ndo nyumbu jike😀
Kwa hali tunaoishi Ulaya tukija bongo ndio tutashaa hizo fly over manake tunaziona huku Ulaya tuuu sasa mtu nina miaka kumi sijaja bongo nikija nikiona mambo hayo daa nitakuwa mie ndio mshamba manake sijawahi ona bongo ikiwa hivyo japo hapa Germany nayaona kila siku
Sawa tumaini
Tumepata rais. Anafanya alichoagiza.
Camera yako haileweki
raisi atakaye kuja baada ya huyu atakuwa na kazi kubwa sana ya kulipa madeni
@husseinloyy1912
4 жыл бұрын
Kwani anaweka mfukoni kwake au zinajenga nchi...rudia shule sasa ni bure
@Tutindaga
4 жыл бұрын
@@husseinloyy1912 kwahiyo hata wewe ukiwa unafilwa ilimradi unaingiza pesa mfukoni sawa tu kwako?kila kitu kina utaratibu hata kama ni kizuri
@husseinloyy1912
4 жыл бұрын
We inaonesha ni bwabwa ni madam gan unaleta
@Tutindaga
4 жыл бұрын
@@husseinloyy1912 kumbe we ni bwabwa nilihisi kitu Kama hicho baada ya comment yako ya kwanza! Biashara unafanyia wapi kinondoni?
@jacklinezepha8495
4 жыл бұрын
@@Tutindaga yani wewe bn kumbe wwe bwabwa
Naiona tu newyork ndani ya Tz na na washngton Dodoma. Ila serikali iyatazame kwa upya majengo chakavu ya wananchi ktk haya majiji
@kinjeketilengwale1141
4 жыл бұрын
Nato Simchimba 😂😂😀😀👏🏿👏🏿👏🏿😆👍🏿🙏🏿👌🏿🕺🏿🇹🇿✍🏿