UCHAWI WA KIARABU

Комедия

Sidhani kama nitapona na anaeniloga ni mama yako; Mkewangu Aliongea hayo kabla ya kukata kauli ....

Пікірлер: 88

  • @MombasaKwetu-ft9ky
    @MombasaKwetu-ft9ky5 ай бұрын

    Nawapa pongezi sana waau nimewakubali ❤❤❤

  • @user-jm3jx8kv8g
    @user-jm3jx8kv8g5 ай бұрын

    Hongereni kazi nzuri mashaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it5 ай бұрын

    Yaani uyo Mkaka ambaye Mkewe anaumwa ajuwi kuigiza ni mkaIi sana

  • @LilianWaruguru-il4ls
    @LilianWaruguru-il4ls4 ай бұрын

    Kazi nzuri bt ilikua mueke part 2

  • @IRENEIRENE871
    @IRENEIRENE8716 ай бұрын

    Aa huyo muganga nikama huyo mchawi 😂😂

  • @christinaakyoo2399
    @christinaakyoo23995 ай бұрын

    Anajua kuigiza huyo kaka wala hana hasra ni character aliyo icheza

  • @milkatoma340
    @milkatoma3405 ай бұрын

    Huyo mwanaume hajui kuigiza ananiboo sana

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan39186 ай бұрын

    Me ata cjaelewa lakn bdo natizama to 😂😂😂😂 lakn sehemu zengine nimezielewa ivo ivo😂😂😂😂ila cjaelewa buana

  • @Habiba-yb2hb
    @Habiba-yb2hb5 ай бұрын

    Nimemwelewa sn Dogo ambaye anamaamuzi ka kiume mana alisha hangaika kila kona anaambiwa mchawi ni mama so lazima tuombe hekima Ya Mwenyezi Mungu maana Kikulacho kinguoni mwako big up dogoooo😂😂😂❤

  • @YunusMkii-pn1cl

    @YunusMkii-pn1cl

    5 ай бұрын

    Ni kwel ila mda mwingine ukimjua mpinzan wako bas mchunguz kwanz Ili uone uwezo wake kama unamuwez bas muingie ila ukion haunawezo bas Jana chn utafut suruhish kijana alivyo faham tatiz linatok Kwa mama yake bas akamuendea mazima bila kutafakar mwisho akapotea kabs

  • @Habiba-yb2hb

    @Habiba-yb2hb

    5 ай бұрын

    @@YunusMkii-pn1cl of course ndio maana yatupasa sana katika Maisha kuomba sn hekima ya Mungu hivyo tutashinda na zaidi yakushinda ila hekima ya ulimwengu ni upuzi ndiomaana tunaangamia au unalionaje hilo? Ila dogo kacheza hivyo ili tukumbuke nakutambua jinsi yakuenenda nasio kukurupuka.

  • @danfordkessy515
    @danfordkessy5155 ай бұрын

    Namewaelewa Sana wanawake wananunuq uchawi pasipo kujua athar yake

  • @saumosoro9799
    @saumosoro97996 ай бұрын

    Waa pole vjana wachawi kweli

  • @SelemaneIssa-vr7po
    @SelemaneIssa-vr7po5 ай бұрын

    Kweli adui atiki mbali

  • @ramlatshabani5235
    @ramlatshabani52355 ай бұрын

    mwanaume mwamuona hajui kuigiza wakat ndiyo uhusika wake jmn Kila msanii kacheza vzur nafasi aliyopewa movie ni nzur na inaeleweka hongereni 🎉🎉🎉

  • @agnessbahamu3931

    @agnessbahamu3931

    5 ай бұрын

    Sana tuu nimeipenda pia mm

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo96715 ай бұрын

    Hongereni sana nawapenda sanaaaaaaa ❤❤❤❤❤

  • @SarumHaridhamonaizikakoseasana
    @SarumHaridhamonaizikakoseasana9 күн бұрын

    Mganga punguza Mashaliti unataka kupiga Nyoka msadie

  • @user-rx8xb5me5s
    @user-rx8xb5me5s5 ай бұрын

    Lamda niwaambie kit, mnapoigiza chungeni sana midomo yenu msipende kuongea sanaaa mnaboaa

  • @KeruboIrene1333
    @KeruboIrene13336 ай бұрын

    Huyu mganga mzuri kweli kashauri mtu apige maombi❤❤❤❤❤❤❤

  • @NajimaNichole-oz3zv
    @NajimaNichole-oz3zv6 ай бұрын

    Nimeipenda hi move sn!ila mme wa uyo dada alofariki nimemchukia sn na ibis wake

  • @catherinebaranga58
    @catherinebaranga585 ай бұрын

    dah huyo kaka n8 mjinga

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j5 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤mko poa sana ila mkaka ameweka hasira mbele alikuwa niatulie atibiwe mkewe ila hasira hasara kweli

  • @user-bo3nt4ji2c
    @user-bo3nt4ji2c5 ай бұрын

    Hajui kuigiza kbs uyo kaka mwenye mwanamke wa mauzauza

  • @mariamomran6144

    @mariamomran6144

    5 ай бұрын

    Hajui kivipi? Sindosehemu aliyo pangiwa

  • @FedaSema
    @FedaSema5 ай бұрын

    Hongera kwa kujitaidi

  • @user-sm3mu1cb2i
    @user-sm3mu1cb2i5 ай бұрын

    Mimi nikiwa hapa Congo nashangaa nahuyo mukaka hajui maana ya mapenzi.

  • @HassanKanguwo-fy4cm
    @HassanKanguwo-fy4cm6 ай бұрын

    Hapo amna kitu😂

  • @JeddahTravels-yg6hh
    @JeddahTravels-yg6hh5 ай бұрын

    Makubwa haya kazi dzuri sana

  • @saumukonde4338
    @saumukonde43386 ай бұрын

    Hii hali ya kuogopa giza mi pia ilinipata ila allahamdulilahi Allah alininusuruu

  • @user-xk6po8bq3v
    @user-xk6po8bq3v5 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @AminaAmani-nl9yt
    @AminaAmani-nl9yt6 ай бұрын

    Kiukwel me nimeielewa kabisa, mko vizuri na haya mambo yapo kabisa

  • @user-ub3xy9qu5q

    @user-ub3xy9qu5q

    6 ай бұрын

    Hata mimi nimewaelewa haya mambo yapo kbs

  • @basharanasser1541

    @basharanasser1541

    5 ай бұрын

    😃😃 .you have 😃😃...😮5😮jo7🎉

  • @lemwelindosi6606
    @lemwelindosi66065 ай бұрын

    Ipo vizur kabisa

  • @user-nb1om1re2o
    @user-nb1om1re2o5 ай бұрын

    Uyo mkaka anachefua sanaa😂

  • @prisikachande
    @prisikachande5 ай бұрын

    mnaweza nimeumia moyoni

  • @user-sx6zv6fv2i
    @user-sx6zv6fv2i6 ай бұрын

    Huyu kaka anboa hajui kuingza

  • @agnessbahamu3931
    @agnessbahamu39315 ай бұрын

    Mm naona alicheza party yake kama alivyoagizwa kuicheza so ujumbe aliupeleka kama ulivyo, ndio watu wajifunze

  • @mckobatz5861
    @mckobatz58615 ай бұрын

    Huyu mganga ni smart sana pamoja na maigizo ila elimu inayopatikana ni kubwa mno

  • @millybrenda-il5ub
    @millybrenda-il5ub5 ай бұрын

    Hiki kipindi hakina hata mwelekeo ni upusi wa kitoto tu kuigiza😂😂😂

  • @Maryfredykapnandi
    @Maryfredykapnandi5 ай бұрын

    Hahaha 😂😂😂😂😂😂kulala na nkeo miezi 6 surely 😢😂😅😅😅😅

  • @BarackAnacled
    @BarackAnacled5 ай бұрын

    Mnakurupukia kazi xauti yenyewe xhida

  • @BarackAnacled
    @BarackAnacled5 ай бұрын

    Kuigiza ni kazi tafta kazi uwezi kuigiza

  • @beatricenekesanekesa3101
    @beatricenekesanekesa31015 ай бұрын

    Mchawi auliwe kabisa holy ghost fire fire fire fire fire

  • @Zena-br7si
    @Zena-br7si5 ай бұрын

    😂Nancy.lam. Sorry. Oooo

  • @user-fq9ol4nr9x
    @user-fq9ol4nr9x6 ай бұрын

    Waaaah machungu hayo jamani

  • @shamterashidi5196
    @shamterashidi51966 ай бұрын

    Wakwanza mimi mau yangu

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh5 ай бұрын

    Dume jinga kweli litampoteza mwanamke

  • @user-ig3wo3td2x
    @user-ig3wo3td2x5 ай бұрын

  • @BarackAnacled
    @BarackAnacled5 ай бұрын

    Akuna unachojua

  • @joctanmsambila1894
    @joctanmsambila18945 ай бұрын

    Amjuwi bhn 😂😂😂😂

  • @user-db4pu7mn2n
    @user-db4pu7mn2n5 ай бұрын

    ili li kaka linabowa wanamwambiy mtu atakuwa wakwanza amchom kisu anatiy kichefu chefu

  • @RaysMerige-cn6xg
    @RaysMerige-cn6xg4 ай бұрын

    We unasaidiwa ila mkali

  • @Gladys-254
    @Gladys-2546 ай бұрын

    Mwanaume maembe😏

  • @jumagakurya9679
    @jumagakurya96795 ай бұрын

    Mko sawa ila tatizo mitambo yenu ina shda

  • @mussasebatiano4787
    @mussasebatiano47875 ай бұрын

    Yani hata awe mama namugonga kisu tena kama visu 7000

  • @user-db4pu7mn2n
    @user-db4pu7mn2n5 ай бұрын

    kumbe changaz ndo mchaawii aduwi hatok mbali kweli

  • @user-zb4pz2px8e
    @user-zb4pz2px8e5 ай бұрын

    Jaman mganga anamambo yaajabu mpaka hapo kashazidiwa n uyo mchawi I o natafuta visa mwenyemke ashindwe 😢😮haaaa

  • @joctanmsambila1894
    @joctanmsambila18945 ай бұрын

    😂😂

  • @mariamsaid6334
    @mariamsaid63345 ай бұрын

    Uyu mume ana kichwa sio poa

  • @Zena-br7si
    @Zena-br7si5 ай бұрын

    4w.ago

  • @twagirimanaaisha
    @twagirimanaaisha5 ай бұрын

    Naomb muret ingine ime isha aw bad❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapend kuraj😊😊😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Lov you ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kinyuakitaka2408
    @kinyuakitaka24085 ай бұрын

    Mwanamke mbaya wewe

  • @user-xo7ns7bc8c
    @user-xo7ns7bc8c5 ай бұрын

    Ubaya hasira ndio mmeiweka mbele

  • @beautyhennayummyfoodmwechi6833
    @beautyhennayummyfoodmwechi68336 ай бұрын

    Hata mganga yuko pamoja na shangzi yake haina hata maana hii movie kumaliziana mda kajifunzeni hamna lolote 😂

  • @carolineakani3065

    @carolineakani3065

    5 ай бұрын

    Kama hamna lolote waiangalia ya nini wewe .ama wataka u act wewe kwenda zako

  • @tinnahagustinolyelu4247

    @tinnahagustinolyelu4247

    5 ай бұрын

    Si ucheze yako jamani

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it5 ай бұрын

    Uyu kaka ajuwi kuigiza

  • @NzaaraMTAITA
    @NzaaraMTAITA6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-wn9xk7ys7n
    @user-wn9xk7ys7n5 ай бұрын

    Amakwel adui wa mtu ni mtu

  • @barkyabdallah170
    @barkyabdallah1705 ай бұрын

    Huyu mwanaume ni mzembe saana

  • @user-rl5qu4zj9b
    @user-rl5qu4zj9b5 ай бұрын

    Huyu kaka kuigiza zilo

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh5 ай бұрын

    Ni mtu mmoja mpumbavu ni jitu linaboa kweli

  • @OnyangoOnyango-iz8qx
    @OnyangoOnyango-iz8qx5 ай бұрын

    Sauti mbovu amna loloteee

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @lubuva708
    @lubuva7085 ай бұрын

    Sasa filamu hii kwanini mmeita uchawi WA kiarabu?

  • @elishajilungu1055
    @elishajilungu10555 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-qi2oq5gq6p
    @user-qi2oq5gq6p5 ай бұрын

    Utchawi wa kiarabu vipi hatuelewi , wipi utchawi wa kiarabu ?

  • @user-ik5rj3ym3o
    @user-ik5rj3ym3o5 ай бұрын

    Shida ni saut inakatakAta

  • @kinyuakitaka2408
    @kinyuakitaka24085 ай бұрын

    Kijana acha ushindani

  • @kinyuakitaka2408
    @kinyuakitaka24085 ай бұрын

    Shida huelewi wewe

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi62856 ай бұрын

    Hebugwa bora muache kufanya kazi hizi,, yaani siwaelewagi kabisa

  • @twagirimanaaisha
    @twagirimanaaisha5 ай бұрын

    Uw manaume anakicwa hasikiy kwer subuhanallah shangaz yak nimucaw mbon haj rek mut acuk muk wake urekaka hasikiy wallah😢😢😢 namim naumiy kwer 😢😢😢😢😢😢😢

  • @catherinebaranga58
    @catherinebaranga585 ай бұрын

    hahahahahhaha ila huyu mganga sasa

  • @user-rp4qz5xs2t
    @user-rp4qz5xs2t6 ай бұрын

    Movei yenu yaboesha aseee

  • @user-ko2ml6fu9j
    @user-ko2ml6fu9j6 ай бұрын

    Hamna lolote yani makelele tu

  • @saumu7760

    @saumu7760

    5 ай бұрын

    Msiwavunje moyo nikama Wana anza hakuna anae Anza nakujua taari

Келесі