SAFARI YA KIJANA MCHAWI

Комедия

Kila alipopita aliacha balaa ,kwa bahati mbaya kijij chetu ndio ilikua kituo chake cha mwisho..

Пікірлер: 118

  • @user-ry3pq6eg4i
    @user-ry3pq6eg4i6 ай бұрын

    Nimeipenda Kaka mpo vizuri

  • @user-on3fy9yo4u
    @user-on3fy9yo4u7 ай бұрын

    Mimi kutoka Nchini Burundi' yaani mmeigiza vizuri sana' ninawatakia mfanikio maishani mwenu

  • @DE_AIRAM_DOLLAR_FILMS.
    @DE_AIRAM_DOLLAR_FILMS.9 ай бұрын

    Rafiki ýako, kumbe adui nimwako. Tunakula nae tunacheka nao kumbe mwenzako, anakurogea ndugu yako. 🎉🎉🎉🎉🎉 Big ❤❤❤❤❤

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f7 ай бұрын

    Big up,keep going

  • @FikiriSanga-hp3bh
    @FikiriSanga-hp3bh7 ай бұрын

    Kazi nzuri sana.

  • @rosedee254
    @rosedee2548 ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪mimi napenda wanavyo ongea kiswahili sanifu...kazi nzuri💯💯💯

  • @rachelsedelah7314
    @rachelsedelah73144 ай бұрын

    Good job

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana9 ай бұрын

    Kweli hivi vitu vipo vinanitesa sana mpaka sasa ila mungu yupo atanionyesha njia na wabaya wote watakuwa hadharani🙏🙏🙏

  • @felicianfrancis9895

    @felicianfrancis9895

    9 ай бұрын

    Kweli, lakini kuna watu wanasingiziwa na wahusika wanaachwa wakifurahia. Ila Mwenyezi Mungu yupo

  • @ZulfaMussa-jv1js

    @ZulfaMussa-jv1js

    8 ай бұрын

    nitafte nikusaidie

  • @felicianfrancis9895
    @felicianfrancis98959 ай бұрын

    Nimependa sana mwisho wa muvi. Hakika ubaya hauna kwao. Mchonganishi yupo pembeni tu anawazoom wanavyoteseka huku akijua alichokifanya.

  • @OthmanJohn
    @OthmanJohn3 ай бұрын

    👋👋👋👋👋nawapenda.sana

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya42126 ай бұрын

    Mmejitahidi sana ku uvaa uhalisia

  • @NkeshimanBarton-dk7zk
    @NkeshimanBarton-dk7zk9 ай бұрын

    Hivyo vi dada ni vibaya sana

  • @ashajohn2711

    @ashajohn2711

    14 күн бұрын

    Umejuaje 😂😂😂😂😂

  • @user-ou4ht9sg5h
    @user-ou4ht9sg5h9 ай бұрын

    Mimi kutoka burundi kweri funzo👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @MkomboziSeptroidejeunes2330

    @MkomboziSeptroidejeunes2330

    9 ай бұрын

    🇧🇮❤

  • @nuruheartaman5925
    @nuruheartaman59259 ай бұрын

    Movie ina wanawake wababe 😂😂😂😂 Ila ni nzuri

  • @HadijaZabroni-pu1lt

    @HadijaZabroni-pu1lt

    8 ай бұрын

    Asante sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-cf8pq6uv7v
    @user-cf8pq6uv7v9 ай бұрын

    Good job 👍

  • @lydialimera
    @lydialimera9 ай бұрын

    Mko Sawa nimejifunza kitu maishani ❤❤❤❤

  • @WalivyoMbegu-gl6ft
    @WalivyoMbegu-gl6ft9 ай бұрын

    Jambo zito la kujifunza hapa aisee hii n zaidi ya uhalisia; keep working

  • @DavidNdara
    @DavidNdaraАй бұрын

    Kazi nzuri

  • @pili6642
    @pili66429 ай бұрын

    Mpo vizuri

  • @morjanoman5181
    @morjanoman51819 ай бұрын

    Nachingwea. Tujuane wa kumui rafiki mkia wa fisi 😂😂😂😂

  • @FauuFabian-kk2cx
    @FauuFabian-kk2cx9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 iyo inanish2a kbc ata ctk japo inafundixha

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is9 ай бұрын

    Nice movie ❤❤❤

  • @doreenmsafari2945
    @doreenmsafari29458 ай бұрын

    Movie nzuri Sana 🥰🥰🥰🥰 alafu inachekesha😅😅😅😅😅😂🔥🔥🔥

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg9 ай бұрын

    Kazi nzuri sana❤❤❤❤❤

  • @IbrahimMngombe-bd6xi
    @IbrahimMngombe-bd6xi9 ай бұрын

    Kisa kizuli sana muandishi hongera

  • @suleimanbuta3217
    @suleimanbuta32179 ай бұрын

    Mmmmhhh nzuri sana

  • @abellucas1649
    @abellucas16499 ай бұрын

    Waooooooo nzuri sana

  • @user-uf8or6de4i
    @user-uf8or6de4i9 ай бұрын

    Hongeren 2peni No zenu 2changie hat kadogo

  • @user-zj1hk5oq1n
    @user-zj1hk5oq1n9 ай бұрын

    Nimeilewa Safi Sana hongereni washiriki

  • @morjanoman5181
    @morjanoman51819 ай бұрын

    Amakweri rafiki mkia wa fisi. Ongereni Sana washilikiwote Niko Oman mnanifariji Sana ninavyoona uwarisi wa nyumbani

  • @cosmasmuthini2362

    @cosmasmuthini2362

    9 ай бұрын

    Oman kuko aje dear nataka kuja uko kazi,,,,,nipe taarifa plzz

  • @morjanoman5181

    @morjanoman5181

    9 ай бұрын

    @@cosmasmuthini2362 kwa Mimi nilipo pazuri sijui kwa wengine

  • @JuniorDilema-ki1jy

    @JuniorDilema-ki1jy

    7 ай бұрын

    Nyumbani wapi

  • @morjanoman5181

    @morjanoman5181

    7 ай бұрын

    @@JuniorDilema-ki1jy kunashingwea

  • @morjanoman5181

    @morjanoman5181

    7 ай бұрын

    @@JuniorDilema-ki1jy nachingwea

  • @mashafestusmramba7577
    @mashafestusmramba757710 күн бұрын

    Nice move

  • @devidijonh3305
    @devidijonh33058 ай бұрын

    safy sana viongozi nimeierewa sana kaka

  • @user-dx5gh8me9o
    @user-dx5gh8me9o9 ай бұрын

    Waaaa mzazi n mzazi tu jamani

  • @BenjaminiThomasi
    @BenjaminiThomasi9 ай бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v9 ай бұрын

    ❤❤❤move zurii

  • @user-ko2ml6fu9j
    @user-ko2ml6fu9j9 ай бұрын

    Safi sana

  • @user-do1ko3od3v
    @user-do1ko3od3v9 ай бұрын

    😂😂😂😂kazi nzuri

  • @user-mx6yk9vx1t
    @user-mx6yk9vx1t8 ай бұрын

    Nakubali _kibaoni😮 Kula chuma hicho

  • @user-ve6pj5uc2g
    @user-ve6pj5uc2g9 ай бұрын

    Move zuri sn kikulacho kipo nguoni mwako

  • @shamterashidi5196
    @shamterashidi51969 ай бұрын

    Safi san

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu13739 ай бұрын

    Muvi nzuri imenifanya nicheke sana; huku mwisho jama anakwambia😂😂😂maneno haya eti nilikuroga😂😂❤

  • @user-uf4rz4hm8f
    @user-uf4rz4hm8f8 ай бұрын

    Watching from Homa Bay, Kenya

  • @SelinaSelina-yh3zx
    @SelinaSelina-yh3zx9 ай бұрын

    KAZI nzur sana

  • @MohamedKajombo-qp2il
    @MohamedKajombo-qp2il8 ай бұрын

    Mbon uyu dada kafanana na kuzaa kwa wende

  • @chrisman4727
    @chrisman47278 ай бұрын

    Watching from Burundi 🇧🇮 love this

  • @DorothyKyalo-hm3lv

    @DorothyKyalo-hm3lv

    8 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @MRJ1308
    @MRJ13089 ай бұрын

    Mumeigiza vizuri sana

  • @user-gp9pf5dr7i
    @user-gp9pf5dr7i6 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @EmanuelAmuravu
    @EmanuelAmuravu8 ай бұрын

    Napenda.bongo.movie.hina.mafunzo.

  • @MondesWilson-jr7rr
    @MondesWilson-jr7rr8 ай бұрын

    Jamani hi nzr sana inafundisha

  • @user-nr2nt9it2g
    @user-nr2nt9it2g9 ай бұрын

    Next please

  • @davidmaswaga7251
    @davidmaswaga72519 ай бұрын

    Aise bonge la kazi

  • @allymtalika9839
    @allymtalika98398 ай бұрын

    hallo....nimewapenda sn nyie watu....mmeigiza vzr sn....wwaaaaoooo

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona55848 ай бұрын

    Hapo mmeferi eti bajaji kijijini mngesema baiskel

  • @barkyabdallah170
    @barkyabdallah1709 ай бұрын

    Big up mwamba natamani ungekuwa kakangu ila good job guys

  • @SalumuMohamed745
    @SalumuMohamed7458 ай бұрын

    Daaaah 😢😢😢 tunataka movie zaid jamani

  • @user-kr5yx2yq9y
    @user-kr5yx2yq9y8 ай бұрын

    ❤si mchezo move

  • @Rravini
    @Rravini9 ай бұрын

    du mchawi hana urafiki kama police tu yani

  • @mathewfransic4877
    @mathewfransic48778 ай бұрын

    Asanten kwa kazi zuri unatufariji sana endereheni kua wabunifu nawatakia maisha mema

  • @iddypandu4285
    @iddypandu42859 ай бұрын

  • @furahaeto6193
    @furahaeto61939 ай бұрын

    Nzur😢sana ❤😢😢🎉🎉🎉

  • @chiefmatwi
    @chiefmatwi9 ай бұрын

    Jamaaaan jamaaani... Kazi nzuri mtupatie Jina Gani unatumia Facebook na Instagram account

  • @user-xq8vq2vu1p
    @user-xq8vq2vu1p9 ай бұрын

    Mkaze but mtafanikiwa 🎉🎉🎉

  • @taharamohd4853
    @taharamohd48539 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂sele nakusalimia 😂😂😂😂

  • @MamaYussuf-ou2ob
    @MamaYussuf-ou2ob9 ай бұрын

    Hakuna kit kizuri Kama uwaminifu

  • @lilianbarasa6882
    @lilianbarasa68829 ай бұрын

    finally 🤣😄🤣🤣

  • @AmarathKhalfan-lr2hc
    @AmarathKhalfan-lr2hc9 ай бұрын

    Nawapenda thanaaaaa 😘

  • @SalamaFrancis-yg7sr

    @SalamaFrancis-yg7sr

    9 ай бұрын

    Unawapenda Thanaaa 😅😅😅kwan una mapengo ?

  • @user-pd8cm4sz7m
    @user-pd8cm4sz7m9 ай бұрын

    😢😢😢😢 sitosahau huu mkasa

  • @SaideKuntalala-kq9bn
    @SaideKuntalala-kq9bn8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 savi sana

  • @niyonsabasaada234
    @niyonsabasaada2349 ай бұрын

    Waburundi tujuwane jaman

  • @najryaautbya2774
    @najryaautbya27749 ай бұрын

    🙏🙏🙏❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @SelemaniHassan
    @SelemaniHassan6 ай бұрын

    Na mimi niko burundi nashkuru sana

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr8 ай бұрын

    From Burundi nyiye niwatu wakigoma?

  • @SaidIssa-ow8ee
    @SaidIssa-ow8ee8 ай бұрын

    Yes mmejitaid ila muongeze ukwality wa camera wakuu

  • @agriphinamushi6218
    @agriphinamushi62188 ай бұрын

    kidudu mapenzi hicho

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np9 ай бұрын

    Pole jaama yangu vibao vitakuuwa

  • @user-jk9cv2oz7k
    @user-jk9cv2oz7k9 ай бұрын

    Haya mambo yapo nayameizunguka jamii yetu

  • @user-rr5mh9pj8u
    @user-rr5mh9pj8u9 ай бұрын

    Wewe nae Dada hata huleti mudi yakuigiza Yan unaanzaj kuumupiga mwanaume si mulihalibiana ote Sasa wewe mbona ulikua unapanua mapaja yako

  • @producergoodman
    @producergoodman8 ай бұрын

    This is a good one, nimeipenda

  • @user-qm9lq6hz3q
    @user-qm9lq6hz3q8 ай бұрын

    😅😅

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston19 ай бұрын

    Rafiki wabaya jamaniiii

  • @user-qy3lf7ul2e
    @user-qy3lf7ul2e8 ай бұрын

    Kila goti litapigwa🙏

  • @EkingBoy61
    @EkingBoy618 ай бұрын

    😂

  • @user-help046
    @user-help0468 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤

  • @ElimerickBatulaine

    @ElimerickBatulaine

    8 ай бұрын

    Tuelekeze utaratibu wa kufika Oman,je kuna kazi za kulipa?

  • @ElimerickBatulaine

    @ElimerickBatulaine

    8 ай бұрын

    Naomba jibu

  • @manenomassare9656
    @manenomassare96569 ай бұрын

    Mmmmh duniani Kuna maajabu

  • @MERCY-te1ku
    @MERCY-te1ku8 ай бұрын

    Kazi nzuri 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @travisscoot7797
    @travisscoot77978 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅 hongera sana

  • @MwajumaMakwawa-pr5yh
    @MwajumaMakwawa-pr5yh9 ай бұрын

    Unawez San pambambn

  • @misheckmrk8848

    @misheckmrk8848

    9 ай бұрын

    Mngetoa part 2 ingekua vema sana

  • @geselebagalwa4974
    @geselebagalwa49749 ай бұрын

    Vraimant ninzuri

  • @bskytv2023
    @bskytv20239 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/o4yKsKqsnZPUlcY.html Hivi Umeshawahi kuona maajabu wewe?

  • @MadlineMaghangaa
    @MadlineMaghangaa8 ай бұрын

    waa kweli nimeamini rafiki yako n adui yako mkubwa aisee noma sana alafu anagonganisha majirani sio poa

  • @user-uf8or6de4i
    @user-uf8or6de4i9 ай бұрын

    🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @user-zi9dl9iw3y
    @user-zi9dl9iw3y9 ай бұрын

    Nguruwe sio 😂😂😂😂

  • @salmarajabu4890

    @salmarajabu4890

    9 ай бұрын

    🤣🤣

  • @OthmanJohn
    @OthmanJohn3 ай бұрын

    ❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹👛👜💼

  • @AlbetnaAndrew
    @AlbetnaAndrew3 ай бұрын

    Mpo vizuri

  • @user-ko2ml6fu9j
    @user-ko2ml6fu9j9 ай бұрын

    Safi sana

  • @maurinenarotso2193
    @maurinenarotso21939 ай бұрын

    Good job

  • @user-ld3cg1rr4k
    @user-ld3cg1rr4k9 ай бұрын

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula70809 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @user-oq7vv2hk9q
    @user-oq7vv2hk9q8 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @MohamedAhmadNdoka-xx7nf
    @MohamedAhmadNdoka-xx7nf8 ай бұрын

    Hongera kwenu

Келесі