PIGO LA KUTISHA SANA FULL MOVIE
Комедия
FILM HII BORA NA NZURI NI HADITHI YA KWELI IMETOKEA TARFEHE 22 MWEZI WA 3 -2024...NA ILIPOISHIA HII FILM NDIO MAISHA YA HUYU MTU YALIVYO KWA SASA....INAUMIZA SANA ..MIMI NIMEILETA HADITHI HII ILI MUIANGALIE NA MUWEZE KUMSHAURI MAANA ANAPITIA WAKATI MGUMU SNA.
Пікірлер: 46
Official sadatte loway Seen it Aisee hii Idea nimeipend mno mwanang afu pia ubongo wko una nguvu kibao kutengeneza movie 🙏🙏❤️❤️
Ni kaa ugali haujaiva vizuri
Mungu aboreshe kazi za milono yake,umetisha
Ila,kweri ebugwa wewe ni mzuri nauigizaji,wako pia,nimzuri😂😂😂
Mmejitahidi hogeren sana
Heeee!mwanamke kwenye kuulizwa mshahara wake,amecheji ghafra
Mungu Awabariki Sana 🙏 wote waandaaji wa tamthilia hii
I like it ❤
Wooi mtoto wa kijana Hana mwenyewe mungu
Ila sis wanawake wake wabaya tuna logo mbaya xana
Iyo kazi iyo ni kuchepuka asifanyi kazi
Ahsante sana nimeipenda lkn yatoa machozi mno
Wewe baba,ndiyo unachangia ndoa,yawatoto wako,kuvunjika mwanamke akisha,olewa siyo,wako tena acha,kuingilia maisha,yao
Muendelezo wa hii filam sijatosheka
😢😢😢😢😢nimeumwa sana kakangu
Waaah Dunia duara unacho kufanya Leo utakuja lipwa kesho 😢
So creative 🎉🎉❤💥💥
Dah Mdada anaongea saaaaana
Nimeipenda ❤❤❤❤ sana lakini imenitowa machozi mapenzi
Jmn naomba muelekezo plzz 😢😢😢
Asante
Mmmmh ila huyu mwanamke hana busara 😢😢
👍🏾👍🏾
Kweri Kuna kitu chakujifunza
Mashallah
Bro ushauri wangu kwako muache afanye kazi sababu hata akiwa ndan kama hana heshima hatokuheshimu tu
Noma sana
Nimemaliza je ina mwendelezo😂😂😂😂
Talaka haitolewi ilhali mwanamke ni mjamzito
Uyo mwanamuke aisee
Mwanaume sana anabusara mwanamke yupo sawa lakini anabusura😢
Kaka hebugwa unaweza kuigiza vizuri tu ila comedy hazikufai
Tunaomba Part 2 iendelee.
Tunakomb part two jaman
Part two please
🎉🎉
Hii movie lazima utoe machozi aki
❤❤❤
Kwani ndo imeishia hapo jamaniiii hakuna p2?
Talaka haitolewi ilhali mwanamke ni mjamsito na BBa usingilie ndoa
@user-ky1ni2ly9r
Ай бұрын
Talaka inatoka mwanamke akiwa na mimba ni talaka ya kisunnah
Hongereni filamu Safi sana hebu ngwa
😢😢😂❤❤❤
kzread.info/dash/bejne/ia2bw9mNibW7Yaw.htmlsi=VqpqiPFCCe3mQyzJ Kazi kazi hakuna kulala #Hebugwa
Kaka hebugwa unaweza kuigiza vizuri tu ila comedy hazikufai