UCHAMBUZI WA JEMEDARI SAID KUHUSU YANGA SC
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 69
Team imekamilika sasa😂😂😂
HAPO MMETUKOSEA SANA CROWN HOVYOOOOO SANA HATUSIKILI HIYO RADIO YA WANAF..............
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Fuata uchambuzi Acha propaganda
Jemedari hicho kichwa chako na hiyo pua yako ni tatizo kwa soka la Tanzania😢
@allymwachuma3132
14 күн бұрын
Jinga moja na roho yako mbaya dhidi ya Yanga tuachie team yetu halafu usije haribu kazi ya kijana wawatu kaweka hiyo radio kama aehem ya uwekezaji usilete chuki zako kazini kwa watu.
@user-ty7hl4sw8n
14 күн бұрын
Hahahaaaaaaaaa bro umewaza nn kumwambia hvo mi smpendi
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Punguza hasra maisha ayaendi ivyo anafamilia na anategemewa
Kwa Jemedari kuwa huko mie nahama.
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Unaisi kuchambua ni rais
Mwamba kabisa big up CROWN 👑 wengi hawataki ukweli waambiwe xaxa leo nipewe kadi ya uanachama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🧯🧯🧯
Siji live tena uku ni upuuzi ......huyo jamaaa nooooo
Crown munaweza muko vizuli sana
😂😂alhamudulirah nilizani ni mkule mnamnyakua make alikua bize asubuh uko kwetu kumbe si yey uyu watapigana na hans kwa kuiongelea viby yanga Niko pale 😂😊
Nipo pamoja na Crown hapa arizona
Mwendo wa burudan🎉🎉
Mtangazaji bora big up crown media
Yani hapo crown ndio mmeharibu kwa huyo jemedali
Hapa hii redio itafeli Kwa chAmbuzi hili
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Badilika usiwe mgando
sasa nitaisikiliza efm
Huyu jamaa anajionaga Ambangile, lkn ni kilaza tupu
Tuamie efm huko wamearibu kumleta huo jamaa
Huyu jamaa htr mtoen bana
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Kuwa muungwana maisha hubadilika
Crown kumchukuwa jenedali mmechemka sana Mimi naama hiyo redio maana kutakuwa na mipasho sio redio Tena Bora niangalie xx
@OmaryMohamed-lj8ek
14 күн бұрын
We ni mpiga nyeto tuu😂
Ameenda kuiharibu hiyo redio,maana hakuna mchambuzi hapo ni shabiki tu
Mmelileta hili. Sasa tuthamia EFM
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Apana kuwa mvumilivu maisha yatakuwa sawa
Asa Geof lea na Kazumali wametoka kule sas Efm mambo shwari
Sawa
Hapo ndio mmechemka vibaya
Mko vinzuli sana
Daaa kumbe Yuko huku daa sijii tenaaaaa
Safiiiiiiiiii
sa jemedar wa nn nyumban kwetu
@OmyJr-hw2nk
13 күн бұрын
Ataambiwa nyumban uishi vzur
😂😂hatari
mpuz we simchambuz
Ila nashangaa sana huyu Mzee kujadili yanga tu Kila wakati
Kumbe na Jemedari ni Crown? Basi EFM imekwisha!
@magrethmalobola5470
15 күн бұрын
Duuuuuh!! Kiba muuaji jamn😂naamia Crown naama na Jemedari mie😂😂😂
Crown apa mmetuangusha mmelileta ili jitu uku puuuzii uyu shenzi
Unaulizwa eneo gani 😁😁 wewe umeenda kwenye mambo ya uongozi, yaan jemedari bhana
Lakini afadhali EFM sasa itakuwa na nafuu. Vichaa wawili washaondoka. Jemedari na Geof
Lkn kuusu kudaiwa mbona club kubwa zinadaiwa
King kiba Mwamnyanyi wa Ufm chukua jamaa huyo😂
Limeulizwa swali lingine linajibu vitu vingine... Hivi hili jamaa linatumia dawa nini...linapataje nafasi za uchambuzi?
KUMEKUCHA SASA KAZUMARI KUWA MPIGA ZUMARI WA CROWN, HAYA TENA WALE WENYE RANGI YA MAJANI MSIOMTAKA KAJAAAA!!!!!!!...
Inaanza kua radio ya madunduka huyo udunduka umemjaa
@IbniAbbas-yz3kt
15 күн бұрын
Wasafi ni radio ya uto na Simba wanasikiliza!kwa hiyo vumilia maumivu tu hamna namna😊
Jemedali si mchambuzi wa mpila ila ni mchambuzi wa habari za michezo
Kabla ya simba kuchukua mara 4, Yanga walishachukua mara 3, na yaliyowakuta baada ya pale ndio yaliyopelekea kwenda LA LIGA kujifunza upya. Na sasa ni mwendo wa kujenga klabu imara na inayojua nini inafanya. Ni tofauti na akina Deborah
Washabiki wa efm wanarudi kwa kasi
Mumefanya sajili zuri ila Kuna usajili mumembwanda mtu wa matabaka wanini kwenye kituo chenu sitaji jina kwasababu ni mkate wake wa kila siku ila naamini kama ataendelea majibu mutayaona kwa wafuasi wa Chanel
Mkule naye katoka wasafi hii kali sana napenda sana anavyoongoza vipindi. Wasafi inabidi wafanye kazi ya Zaida Ambangile naye asije toka. Itakuwa kwisha Habari Sport Arena ya Wasafi
Jemedali kafata nn cjui Yan simkubali
kudaiwa kawaida zinadaiwa tumu kubwa sembuse yanga,,simba ilitambaga kwasababu yanga ilikosa usimamizi dhabiti ,,kipindi simba inachukua ubingwa mara nne mfululizo yanga ilikosa mambo mawili moja ni usimamizi dhabiti pili pesa ya kuendeshea club ,,,simba hiyohiyo unayosema mbovu kama yanga ikikosa uwekezaji lazima utaiona tu inatamba,,ubora wa yanga umesababishwa na usimamizi dhabiti na upatikanaji wa pesa za uendeshaji
Hayo maneno yako hayatusumbui huo weledi wako peleka kwenu
Uyu jemedar sipendi
Kiba umeyachukua haya madunduka ya wanaharakati wa Simba kutoka Efm? Narudi kusikiliza Efm huku tunakuachia masimba yako
Kunawakati saambovu inaotea muda sahihi ila maranyika uozo tu sisi raisi atuambiaga tusibwabwaje tu umetoka kula mihogo unakuja kuongeaongea upuuzi wako mpira unamatokeo matatu mojawapo laweza kukukuta sio Kila siku utashinda, akatuambia tukatafute timu yetu ambayo inashinda tu Kila siku, inatoka wapi sasa
Swali na maelezo yalito tolewa havifanan kabisa yan
@user-qo2nf6vm7k
14 күн бұрын
Kichwa maji kabisa huyu mpuuz
Crown hamjatutendea haki kumleta huyu mchambuzi. I'm unsubscribing from your chanel😟
Stupid media
Tuliomfuata jemedari weka like hapa
sasa nitaisikiliza efm
sasa nitaisikiliza efm