UCHAMBUZI WA JEMEDARI SAID KUHUSU YANGA SC

Спорт

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 69

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga80914 күн бұрын

    Team imekamilika sasa😂😂😂

  • @asifznz
    @asifznz14 күн бұрын

    HAPO MMETUKOSEA SANA CROWN HOVYOOOOO SANA HATUSIKILI HIYO RADIO YA WANAF..............

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Fuata uchambuzi Acha propaganda

  • @Marjeby
    @Marjeby15 күн бұрын

    Jemedari hicho kichwa chako na hiyo pua yako ni tatizo kwa soka la Tanzania😢

  • @allymwachuma3132

    @allymwachuma3132

    14 күн бұрын

    Jinga moja na roho yako mbaya dhidi ya Yanga tuachie team yetu halafu usije haribu kazi ya kijana wawatu kaweka hiyo radio kama aehem ya uwekezaji usilete chuki zako kazini kwa watu.

  • @user-ty7hl4sw8n

    @user-ty7hl4sw8n

    14 күн бұрын

    Hahahaaaaaaaaa bro umewaza nn kumwambia hvo mi smpendi

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Punguza hasra maisha ayaendi ivyo anafamilia na anategemewa

  • @hamisikapute598
    @hamisikapute59815 күн бұрын

    Kwa Jemedari kuwa huko mie nahama.

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Unaisi kuchambua ni rais

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo976414 күн бұрын

    Mwamba kabisa big up CROWN 👑 wengi hawataki ukweli waambiwe xaxa leo nipewe kadi ya uanachama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🧯🧯🧯

  • @ramadhanmswaki1021
    @ramadhanmswaki102115 күн бұрын

    Siji live tena uku ni upuuzi ......huyo jamaaa nooooo

  • @AllySeleman-co6km
    @AllySeleman-co6km13 күн бұрын

    Crown munaweza muko vizuli sana

  • @malietamaliet
    @malietamaliet15 күн бұрын

    😂😂alhamudulirah nilizani ni mkule mnamnyakua make alikua bize asubuh uko kwetu kumbe si yey uyu watapigana na hans kwa kuiongelea viby yanga Niko pale 😂😊

  • @EkyociSilasmmongelwa-sb5xe
    @EkyociSilasmmongelwa-sb5xe15 күн бұрын

    Nipo pamoja na Crown hapa arizona

  • @Oficialkb
    @Oficialkb15 күн бұрын

    Mwendo wa burudan🎉🎉

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1015 күн бұрын

    Mtangazaji bora big up crown media

  • @salimNdendya
    @salimNdendya15 күн бұрын

    Yani hapo crown ndio mmeharibu kwa huyo jemedali

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm14 күн бұрын

    Hapa hii redio itafeli Kwa chAmbuzi hili

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Badilika usiwe mgando

  • @mussarachidi2156
    @mussarachidi215615 күн бұрын

    sasa nitaisikiliza efm

  • @abednego3876
    @abednego387614 күн бұрын

    Huyu jamaa anajionaga Ambangile, lkn ni kilaza tupu

  • @bolemboalenge2325
    @bolemboalenge232515 күн бұрын

    Tuamie efm huko wamearibu kumleta huo jamaa

  • @MAGANGAFITINA
    @MAGANGAFITINA14 күн бұрын

    Huyu jamaa htr mtoen bana

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Kuwa muungwana maisha hubadilika

  • @MamaHidaya-r5m
    @MamaHidaya-r5m14 күн бұрын

    Crown kumchukuwa jenedali mmechemka sana Mimi naama hiyo redio maana kutakuwa na mipasho sio redio Tena Bora niangalie xx

  • @OmaryMohamed-lj8ek

    @OmaryMohamed-lj8ek

    14 күн бұрын

    We ni mpiga nyeto tuu😂

  • @amaniandrew534
    @amaniandrew53414 күн бұрын

    Ameenda kuiharibu hiyo redio,maana hakuna mchambuzi hapo ni shabiki tu

  • @WilsonCharles-lr1ko
    @WilsonCharles-lr1ko14 күн бұрын

    Mmelileta hili. Sasa tuthamia EFM

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Apana kuwa mvumilivu maisha yatakuwa sawa

  • @paulclementmakune3661
    @paulclementmakune366114 күн бұрын

    Asa Geof lea na Kazumali wametoka kule sas Efm mambo shwari

  • @alfredmalebeto145
    @alfredmalebeto14514 күн бұрын

    Sawa

  • @Moteswa
    @Moteswa14 күн бұрын

    Hapo ndio mmechemka vibaya

  • @IddyNdiryamba
    @IddyNdiryamba15 күн бұрын

    Mko vinzuli sana

  • @LucasNtemi
    @LucasNtemi14 күн бұрын

    Daaa kumbe Yuko huku daa sijii tenaaaaa

  • @timothnakiz-zb4rz
    @timothnakiz-zb4rz14 күн бұрын

    Safiiiiiiiiii

  • @derambo-hr7de
    @derambo-hr7de15 күн бұрын

    sa jemedar wa nn nyumban kwetu

  • @OmyJr-hw2nk

    @OmyJr-hw2nk

    13 күн бұрын

    Ataambiwa nyumban uishi vzur

  • @kgtizzo1926
    @kgtizzo192614 күн бұрын

    😂😂hatari

  • @user-hu2vo1jm8o
    @user-hu2vo1jm8o14 күн бұрын

    mpuz we simchambuz

  • @EstomiMoshi
    @EstomiMoshi14 күн бұрын

    Ila nashangaa sana huyu Mzee kujadili yanga tu Kila wakati

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu708715 күн бұрын

    Kumbe na Jemedari ni Crown? Basi EFM imekwisha!

  • @magrethmalobola5470

    @magrethmalobola5470

    15 күн бұрын

    Duuuuuh!! Kiba muuaji jamn😂naamia Crown naama na Jemedari mie😂😂😂

  • @abdulhamidyhamady762
    @abdulhamidyhamady76214 күн бұрын

    Crown apa mmetuangusha mmelileta ili jitu uku puuuzii uyu shenzi

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction843614 күн бұрын

    Unaulizwa eneo gani 😁😁 wewe umeenda kwenye mambo ya uongozi, yaan jemedari bhana

  • @Moteswa
    @Moteswa14 күн бұрын

    Lakini afadhali EFM sasa itakuwa na nafuu. Vichaa wawili washaondoka. Jemedari na Geof

  • @FaustineTz
    @FaustineTz14 күн бұрын

    Lkn kuusu kudaiwa mbona club kubwa zinadaiwa

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola547015 күн бұрын

    King kiba Mwamnyanyi wa Ufm chukua jamaa huyo😂

  • @WilsonCharles-lr1ko
    @WilsonCharles-lr1ko14 күн бұрын

    Limeulizwa swali lingine linajibu vitu vingine... Hivi hili jamaa linatumia dawa nini...linapataje nafasi za uchambuzi?

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j15 күн бұрын

    KUMEKUCHA SASA KAZUMARI KUWA MPIGA ZUMARI WA CROWN, HAYA TENA WALE WENYE RANGI YA MAJANI MSIOMTAKA KAJAAAA!!!!!!!...

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op15 күн бұрын

    Inaanza kua radio ya madunduka huyo udunduka umemjaa

  • @IbniAbbas-yz3kt

    @IbniAbbas-yz3kt

    15 күн бұрын

    Wasafi ni radio ya uto na Simba wanasikiliza!kwa hiyo vumilia maumivu tu hamna namna😊

  • @user-zw9oj6ej9v
    @user-zw9oj6ej9v11 күн бұрын

    Jemedali si mchambuzi wa mpila ila ni mchambuzi wa habari za michezo

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge138314 күн бұрын

    Kabla ya simba kuchukua mara 4, Yanga walishachukua mara 3, na yaliyowakuta baada ya pale ndio yaliyopelekea kwenda LA LIGA kujifunza upya. Na sasa ni mwendo wa kujenga klabu imara na inayojua nini inafanya. Ni tofauti na akina Deborah

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm14 күн бұрын

    Washabiki wa efm wanarudi kwa kasi

  • @allymtapera5370
    @allymtapera537015 күн бұрын

    Mumefanya sajili zuri ila Kuna usajili mumembwanda mtu wa matabaka wanini kwenye kituo chenu sitaji jina kwasababu ni mkate wake wa kila siku ila naamini kama ataendelea majibu mutayaona kwa wafuasi wa Chanel

  • @veelmng7746
    @veelmng774614 күн бұрын

    Mkule naye katoka wasafi hii kali sana napenda sana anavyoongoza vipindi. Wasafi inabidi wafanye kazi ya Zaida Ambangile naye asije toka. Itakuwa kwisha Habari Sport Arena ya Wasafi

  • @user-hj2ny7gi7z
    @user-hj2ny7gi7z14 күн бұрын

    Jemedali kafata nn cjui Yan simkubali

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn14 күн бұрын

    kudaiwa kawaida zinadaiwa tumu kubwa sembuse yanga,,simba ilitambaga kwasababu yanga ilikosa usimamizi dhabiti ,,kipindi simba inachukua ubingwa mara nne mfululizo yanga ilikosa mambo mawili moja ni usimamizi dhabiti pili pesa ya kuendeshea club ,,,simba hiyohiyo unayosema mbovu kama yanga ikikosa uwekezaji lazima utaiona tu inatamba,,ubora wa yanga umesababishwa na usimamizi dhabiti na upatikanaji wa pesa za uendeshaji

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi971615 күн бұрын

    Hayo maneno yako hayatusumbui huo weledi wako peleka kwenu

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn15 күн бұрын

    Uyu jemedar sipendi

  • @geraldmbengwa6381
    @geraldmbengwa638115 күн бұрын

    Kiba umeyachukua haya madunduka ya wanaharakati wa Simba kutoka Efm? Narudi kusikiliza Efm huku tunakuachia masimba yako

  • @SurprisedAgilityPuppy-od7lj
    @SurprisedAgilityPuppy-od7lj14 күн бұрын

    Kunawakati saambovu inaotea muda sahihi ila maranyika uozo tu sisi raisi atuambiaga tusibwabwaje tu umetoka kula mihogo unakuja kuongeaongea upuuzi wako mpira unamatokeo matatu mojawapo laweza kukukuta sio Kila siku utashinda, akatuambia tukatafute timu yetu ambayo inashinda tu Kila siku, inatoka wapi sasa

  • @mrmbuyatv3727
    @mrmbuyatv372715 күн бұрын

    Swali na maelezo yalito tolewa havifanan kabisa yan

  • @user-qo2nf6vm7k

    @user-qo2nf6vm7k

    14 күн бұрын

    Kichwa maji kabisa huyu mpuuz

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa14 күн бұрын

    Crown hamjatutendea haki kumleta huyu mchambuzi. I'm unsubscribing from your chanel😟

  • @Cao_ZeKai
    @Cao_ZeKai13 күн бұрын

    Stupid media

  • @julioshomy1101
    @julioshomy110114 күн бұрын

    Tuliomfuata jemedari weka like hapa

  • @mussarachidi2156
    @mussarachidi215615 күн бұрын

    sasa nitaisikiliza efm

  • @mussarachidi2156
    @mussarachidi215615 күн бұрын

    sasa nitaisikiliza efm

Келесі