UCHAMBUZI: Kocha Mpya wa Simba SC || Sifa zake na mashabiki watakachokipataka kutoka kwake

Спорт

Baada ya Mnyama @simbasctanzania kumtangaza #FadluDavis kuchukua Kikoba ya Abdelhak Benchika....mwandishi wa habari wa Tanzania anayeishi Afrika Kusini, Fortunatus Kasomfi anamchambua 'BOSS MPYA WA BENCHI LA UFUNDI' wa Wababe wa Mtaa wa Msimbazi.
Mashabiki wa Simba SC watarajie haya….lakini wachezaji ‘Kazi Wanayo’
#UfmUpdates

Пікірлер: 4

  • @venancemartin6734
    @venancemartin673425 күн бұрын

    Mwandishi unajua kazi yako, maswali mazuli 👍

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu20 күн бұрын

    Kocha linafanana na Giggs mtakoma

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba232228 күн бұрын

    Hlw Ufm

  • @FelixAkwa-m1b
    @FelixAkwa-m1b28 күн бұрын

    kocha mkubwa anaifundisha timkubwa

Келесі