UCHAGUZI KINONDONI: MATOKEO YA UBUNGE HAYA HAPA
UCHAGUZI KINONDONI: MATOKEO YA UBUNGE HAYA HAPA
Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya ubunge katika Jimbo la uchaguzi la Kinondoni kufuatia uchaguzi uliofanyika jana ambapo Maulid Mtulia wa CCM ameibuka mshindi kwa kupata kura 30,313 akifuatiwa na Salum Mwalim wa Chadema aliyepata kura 12,353 huku Rajab Salim wa CUF akipata kura 1943.
Kufuatia matokeo hayo, Mtulia amefanikiwa kutetea nafasi yake hiyo na kurudi bungeni ambapo tofauti na awali alipokuwa akiwakilisha wananchi kwa tiketi ya CUF kwa mwamvuli wa UKAWA, safari hii atakuwa akiwakilisha wananchi kwa tiketi ya CCM.
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 38
Mnachezea pesa zetu tu.
hongera mtulia umeshinda,tumeona juhudi zenu,tumeona vifo ,tumeona watu kupigwa ila mungu aendelee kukuweka hai na akulipe kulingana na unavyojiandalia inshalah
Tuliza camera mavi
Huyu anayetangaza matokeo anaona AIBUhata kutangaza angalia mdomo wake haujatulia. Anajuwa anachitangaza ni uongo wa kutengeneza na amelazimishwa kutangaza. Yaani Mungu akuone ufe mdomo wazi!
Eti mliwekewa risasi msaini mbona usisimame kama mwanaume tusikie ulipigwa risasi kulazimishwa kusaini, acheni visingizio bwana, tofauti ya matokeo siha ni kubwa mno, mwizi haibi hivyo, kubalini mkishindwa
Mimi naona upizani msipo badilika 2020 mtasahaulika unapojikwaa lazima ujiulize kwa nini umejikwaa siokulaum watu wengine utaendelea kushidwa
@maxgerad5083
6 жыл бұрын
+KUMA MNATO [Kigoli Mie] ujue vijana wengi tunaendeshwa na mihemko kimsingi cc tunajifanya tuko busy sana ukichukua vijana 10 wa3 hadi wa4 unakuta hawana kadi za kupigia kura hilo la 1 lakini pia vyama vya siasa bado havijipambanui na kuelekeza jinsi gani wataleta maendeleo kwa wananchi badala yake wanahubili hasira kila kona so wapinzani wa tz wakienenda na mfumo huo 2020 watapoteza nafasi nyingi zaidi na hata kupotea kabisa
Piga kaz baba magu enderea kurudisha iman kwa wananchi ili 2020 mjomba tunawapa kula mm upinzani Wa bongo n mzinguo tu magu juuu juuu zaid
chama changu kilifanya makosa sana kumchukuwa mzee na hapo kikakosa dira
washukuru sana tume kwani wamekutangaza, wao ndiyo waamuzi siyo wananchi.
kwa kuiba kura mnajua
kiama cha ccm jamani ni noma
Sisi tunajua matokeo yanasomewa wananchi siyo ndani anamsomea mbunge na mapolisi kweli dunia inaona na watu wanajipanga moyoni
Mmmmmmmmmh hata siamini
Global tv iko vizuri ILA mtangazaji nashauri akaongeze elimu
anaelia saaana msiban ndo mchaw! cdm tunalawama sana zinapelekea kuumiza watu wasiojua nn hatima yao na kufuata mkumbo
siasa shida xana
sina maana hiyo, ila nadhukuru kwa kunielewa....tuache mikumbo sikuzote wanasiasa wetu nikama wajasiliamali kutafuta profit...
waizi wakula
mme wakamata chadema alafu nyie mmeshinda mungu anawaona
hamna cha matokeo uchaguzi feki wenzenu wametolewa nje halafu mnasema wameshinda
Sasa kama walishindwa Siha watashindaje Kinondoni?? Tumia akili kidogo tu, utasikia wakisema wameibiwa
@johnmnzava6462
6 жыл бұрын
makoiga mg hivi wewe NDUGU mm nakaa siha yaliyowapata mawakala ni Mungu saidia umewahi kuona form inakuja imejazwa siyale matokeo mlikuwa nayo na unawekewa risasi usaini utaki unanyanganywa simu
What is democracy?
Kila lenye mwanzo lina mwisho
Ramadhan kalumbete usitujumlishe wa Tanzania wrote.hayo ni mawazo yako sio ya watanzania
mna2ona watz nimazombi BT.ipocku uwoga uta2toka
@godfreybigeyo9105
6 жыл бұрын
nenda somalia
Sasa wataelewa ccm ni kitu kipi si kuamasisha fujo na matusi tu
hakuna malefu yasyo na mwisho
Makonda umetukamata dar ww n bonge la keader
Natumaini uchaguzi unde kwa amani bonyeza hapa>>>>>, kzread.info/dash/bejne/Y6OYpNV9hNSpZdI.html
Sina koment, Mungu atawakoment
@chiefchannelgmailcom
6 жыл бұрын
Stupid politics like one will be accomplished by God only bcz Leo ni wskati wa wasakatonge na mibepari mieusi
@chiefchannelgmailcom
6 жыл бұрын
Subirini wakati wa Mungu ndo mtajua kuwa dunia si ya polepole Bali ni ya asiyewahi wala kuchelewa
Awezi shinda.. Wizi mtupu pumbanvu kabisa ila ipo siku..... Uwo uonevu wenu..... Mtulia hajashinda kihalali. Siwezi sema hongera. Kwenda i huko hii nchi siyo ya chama fulani.... Hamna akili wote kazi kuchezea kodi za walalahoi... Hukumu yenu inafika mtakufa vifo vya ajabu .. Ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga. Damu itanena.
sina maana hiyo, ila nadhukuru kwa kunielewa....tuache mikumbo sikuzote wanasiasa wetu nikama wajasiliamali kutafuta profit...
anaelia saaana msiban ndo mchaw! cdm tunalawama sana zinapelekea kuumiza watu wasiojua nn hatima yao na kufuata mkumbo