UBAYA WA FITNA NA KUSENGENYA

Пікірлер: 22

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Жыл бұрын

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @mwatimeramadhan6824
    @mwatimeramadhan68242 жыл бұрын

    Mawaidha mazuriiii ALLAH atuongoze sote humati muhammad

  • @afric01
    @afric012 жыл бұрын

    Aslm alkm ww..... Shukran sana Sheikh. Jazakallah kheir 🙏

  • @hamjanikera1234
    @hamjanikera12342 жыл бұрын

    Allah atueke mbali na masengenyo..... Amin Amin Amin

  • @khuiii9032
    @khuiii90322 жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-oo7xd9ex7m
    @user-oo7xd9ex7m2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi673819 күн бұрын

    JazakaAllahu kheir

  • @alihamadi9510
    @alihamadi95102 жыл бұрын

    Chukralilahi Alhamdu lilahi اللهم نفعنا بما علمتنا وعلمنا ما ینفعون

  • @rajabulesale3598
    @rajabulesale35982 жыл бұрын

    Alaawakbar

  • @mwanaherialy983
    @mwanaherialy9832 жыл бұрын

    shukurani kwa ukumbusho jee mwanamke afaa kusali ndani kwake swala ya tarawehe

  • @mwanaherialy983

    @mwanaherialy983

    2 жыл бұрын

    pekeyake au vip

  • @ummsalma2461
    @ummsalma24618 ай бұрын

    حسبي الله ونعم الوكيل الله يحفظكم من كل شر يارب العالمين 🤲🌺💚

  • @andallaathman3856
    @andallaathman38562 жыл бұрын

    Mungu atustiri hapa hatoki mtu Kwa kusenhenya coz Leo litatutoa wapi Hilo sababu mtu amekuibia ukienda ukisema Kwa wenzio umeesengenya umeniona nduyoo aingila lodging na mwanaume ukienda kuongea na wazazi wako wamsemgenya viongozi nihawa Leo watusiana ukisema ni kisengenya ila mungu atujuua nibinadamu wtusamehe sabbu mashekhe watutisha mpkaa watufisha moyo kwnmba hatuna pepo hizi ibada tufanyazo ni hazina maana afadhali hawa wakiristo wenyewe wafanya killa kitu huko wajua motoni sis twajtahidi Ila masheikh watustishia Vibaya mungu atuaafu subhana llah

  • @munirali2822

    @munirali2822

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 жыл бұрын

    Hawatutishwi Ukweli Nimgumu. Hata Ukitaka Kwenda Peponi Nilazima Ufe Sasa Kufa Nikitu Kizuri. Haki Yoyote Ningumu.

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    2 жыл бұрын

    @@nurdinmfamau3493 hutishia watu Sana sasa BC haoni mtu pepo kma hali ndio hio musahau Kwa sababu Nani asie taja mtu Leo hakuna na hata usipo taka utataja tuu kivyovyote so tujipangeni na Moto kma hivi ndio ilivyo kuomba mungu atusahlishie tuu atuepushe Kwa rehma zake bt nikuubaya namna hii

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 жыл бұрын

    @@andallaathman3856 Aaamin.

  • @aminaibrahim7175

    @aminaibrahim7175

    2 жыл бұрын

    ALLAH ATUNUSURUUUUU WALLAHIII😭😭😭😭