“Tunza hako kamama kama kabunge kalikotoroka Vikao/Mwanamke ni kama Boda Boda”Mch Mgogo
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / pastordanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanielmgogo
KZread : Pastor Daniel Mgogo / @pastordanielmgogo
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 215
Watching from Kenya, ndugu zangu wa TZ nipe likes, mafunzo mazuri sana
@bundaufugajikadagala3480
2 жыл бұрын
O9o990
Likes za mtumishi hapa tafadhali
@annejuma996
3 жыл бұрын
Amen true kabisa
Kama ww ni mwislm lakn unamuelewa huyu pastor tujuane course I really like
@danielleonarddaniel801
4 жыл бұрын
Yuko vzur past
@onchegomaiteka7654
4 жыл бұрын
Nice speech
@stevensimtoe2989
4 жыл бұрын
Kabisa,point
@annageorge7712
3 жыл бұрын
Yuko vizuli sana
shukrani za pekee zimwendee Mungu kwa kukuleta hapa duniani. Mm ni mkatoliki safi lkn nafuatilia sana mafundisho yako....hakuna hata siku moja umetukana dhehebu lolote. unadeal na matendo yetu...Mungu akuinue zaidi na shetani akae mbali nawe maana kama shetani alimjaribu Yesu ujue hata ww utajaribiwa
Woi! Wachungaji wa makanisa wangekuwa kama huyu mchungaji Watu wangekuwa kiroho kwa njia mzuri Barikiwa sana mchungaji
Hahaha pastor ubarikiwe sana kwa kweli unamafundisho yanayo gusa maisha ya watu na jamii kwa ujumla Mungu aendelee kukutunza
@rashidnnampendasaan788
4 жыл бұрын
Ubalikie
@rashidnnampendasaan788
4 жыл бұрын
Unasemaukweli.kabisa
@ericwkakwimba728
4 жыл бұрын
Yusuph Paul waryoba sema ukwel
Watching from Kenya,akh napenda mafudisho yako pastor
Nafurahia mafundisho yako mchungaji
Amen. Wababa wasikilie apo. Usipotunza, watakutunzia!
Nairobi👏👏 good Mchingaji
Asante Mungu kwa kuwa Umenibakizia Mume wangu safinani. Yule Boko Haramu aende tuu kwa amani
Mjungaji mungu akubariki sana kwa kweli inauma sana lai angeona na kusikia hii full dose kabisa
Umekuwa baraka sana,mchungaji MUNGU akubariki
Amina mtumishi sema tupone ubalikiwe San mungu akujalie afya njema 🙏🙏🙏🙏
Baba mungu akupe maisha malefu kabisa
mchungaji shikamoooo,Tena kamwene...
Hakika mtumishi wa mungu unajua kulea watoto wa mungu na neno barikiwa Sana tena Sana
Gud word be blessed man of God, watching from Doha
Amen Amen, Ubarikiwe sana Pastor
Mahubiri mazuri sana nabarikiwa nikiwa kenya
Amina mtumishi wa Bwana hakika Ndoa zinabarikiwa kupitia wewe
God bless you pastor,mafundisho yako ni mazuri mno
Asante mtushi kwa neno
AMEN, barikiwa sana pastor
ni uchungu sana Hasa Leo God bless me with faithful ad who know God kwa imani inawezekana mungu ni mwaminifu
Aisee nakataa kukongoroka kwa jina la Yesu
Ameeeen ..👏👏 wanaume mjaribu kutunza ,wake
Balikiwa mtumishi asante kwa mafundisho
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@sifambuya944
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Amen ubaeikiww sana kwa mafundisho mazuriii
Kazi nzuri pasta
Nimeipenda hiyo juhud kuinama
Amina Baba sema tupone 🙏
Mungu pamoja nawe daima mchungaji mgogo,,,,hiyo ni nyundo nyingine umetupa,,,
Hallelujah
Ni kweli 🙏
mafunzo muhimu . barikiwa mchungaji. nimefaidika sana. kutoka kenya nairobi
Mimi ni muislaam ila nakukubali kuliko hata baadhi ya mashehe ongera sana mungu akupe umli mlefu mchungaj
Amen
Asante Sana mchungaji mafundisho mazuri mno nabarikiwa sana
Amen ubarikiwe sana mtumishi
Mungu azidi kuku linda mchungaji,
@lulusimba8022
4 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua mchungaji barikiwa
@jacksoncharls228
4 жыл бұрын
Janeth Limo freshi
B blessed ,some pretend vile wameokoka
Asante baba
Kweli mchungaji
Mungu atupe hekima ya kuishi katika hayo
Ndio mtumishi wa Mungu barikiwa sana kwa neno lako zuri
Kwel kabisa
Mungu akupe maisha marefu
@mariajoachim7744
2 жыл бұрын
Amina aminaa
Haleluya
@barakakidava8506
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi WA mungu
Paster Mungu wangu akubariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
That's true pastor Daniel,
kabisa be blessed pastor
@lawrenciamwampelwamwampelw9911
4 жыл бұрын
Hilo neno baba from CANAN Baptist mby
Always we're rejoice ur preaching. Our apostle the comforter of revival will conduct effectively in ur journey menial... __menial philosopher de last_ may Jehovah's will blcc u more......
THANK you for good advice and encouragement may God bless you
Appreciate it pastor🙏🙏🙏🙏ukwl mtupu
Mungu akubariki sana
True words
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwanzia leo siwachanganyi wanaume wote, Asante mungu kwa kunitokomezea lile boko haramu.
@dianerose9674
4 жыл бұрын
miss moona 🤣
@geofreymnyanyi3047
4 жыл бұрын
miss moona oooooh
@fadhiliekyoci7216
4 жыл бұрын
@@geofreymnyanyi3047 siri yafamilia pat35
@quennevavatheboss7519
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@salimmasatu7637
4 жыл бұрын
Na ubarikiwe
Mchungaji barikiwa sana
Ubarikiwe sana mtumishi
Saf sana Mchungaji kwa maombi yako
Umekuja kwa wakati baba,Mungu akubariki sana.
Barikiwa mtumishi
may God bless u pastor
Barikiwa jamiii ipone
Pastor uliyoyasema ni ya ukweli mungu akubarik sana na aibariki kazi ya mikono yako
mungu tusaidie
Kabisa baba
Kweli mkuu, be blessed
Nice preaching barikiwa tu sana
Kweli kabisa, AMEN 🙏🙏
yaniwemchungaji noma aise nakupenda sana
Saa sita zikadondoka dah jamani, barikiwa pastor!!!
@cyrusngei2234
3 жыл бұрын
Hi
Amen!!!!!
Aminaaaa somo zuri hili
@lulumasawe1603
4 жыл бұрын
Kweeeeli baba,,,,,
Mungu akubarik Mtumishi, lakin pia mtuombee tunahitaji Msaada wa Mungu.
@evanguvila8018
4 жыл бұрын
Rose John pambana kuomba ujibiwe ikitokea na kina bwana furani mpeleke kwa mwakimwaga mmalize mzozo
Upo sawa baba
Safi👏👏
Mtumishi nichombo ambacho uko kwa wakati sahihi kwa madhabahu tumekosa mambo haya muda mrefu mungu ametukumbuka!
@dorcasgasper8510
4 жыл бұрын
injili motoo, asante baba kwakufikisha ujumbe kwetu
@patriciafotunatus2945
Жыл бұрын
Mungu aenseree kumtuza
Ujalipa mahari na unamsomesha bib wa mwenyewe? barkiwa sana pst
Amen, Barikiwa mnoooo
Iyo ni kweli baba
Amee
Scrapper keshakongoroka shida ni wanaume anaanza kufananisha you right baba
ameeen🙏🙏🙏
Hakika mch.
Aminaaaa
Amen amen
From kenya
Mungu akutunze mchungaji kwakeli unatutengeneza
@nillaexaud5654
4 жыл бұрын
Barikiwa Sanaa
inauma sana
Amina
sema baba
True
@ngarukiyintwarirodrigue9757
4 жыл бұрын
Klara Green Mungu akubariki mchungaji mimi naishi burundi nakufata sana kwenye you tubu
Ukweli mtupu!
@ashelyngulungulu26
4 жыл бұрын
Tusua mch
mchungaji ubarikiwe
kam wewe unlalaga kanisan kam bony mwaitege kwa huyu pastor hakuna kulala
Ukweli kabisa
Mhubiri kama huwa unakuja Kenya, naomba kufahamu kanisa lako.