Ziara ya Balozi Mbelwa Kairuki katika jiji la Leeds nchini Uingereza
Жүктеу.....
Пікірлер: 72
@maimunaahmed3477Ай бұрын
Balozi asanteeee ni husda tu na roho mbaya watanzania tuna roho mbaya sana wakiwa shule na vyuo wafundisheni waache roho mbaya
@user-zf5kv9op4bАй бұрын
Mimi nipo hapa TZ lakini anachozungumza Dada Farhiya yana ukweli wacheni, urasimu tuambieni hawa watendaji wabovu tunawaripoti wapi ingekua hawa wanachukuliwa hatua za haraka kama alivyokua Magu wangejua kuwajibika, hao wababaishaji ni wengi wapo katika kila sekta
@zamzamharoon332Ай бұрын
Tunashukuru sana kukutana na Balozi wetu wa Tanzania. Tunachomba mtu sikilize maombi zetu ba mheshimiwa Rais Mama Sumaya alizo ahidi itekelezwe ili iwe na manufaa ktk Generation zetu na kwa sisi wazazi.
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Agreed 👍
@gracekagoma3231Ай бұрын
Hello.Wewe umeshakuwa Muingereza Tu.Tanzania hatuna uraia Pacha 😢chagua moja Britain au Tanzania . Sasa hivi Brexit Inawatoa kijasho.Mnaanza kukimbia.Uraia Pacha mi balaa dunia nzima.Uhindini je
@user-wr3jp6tg4pАй бұрын
Wababaishaji Sana wanatikisa ili wapate hela
@janethmgeni1840Ай бұрын
Mara nyingi wanataka hela ndio upewe kitambulisho. Tena hawana customer care nzuri, mpaka uwape hela. Ilishanitokea
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Mtihani kweli
@sarahrashidabdallah3109
Ай бұрын
Umesema ukweli kbs mie kwanza vile nimesomea Kenya kiukweli lugha ili nifanya niwekwe ndani pale chanika kituoni sinaga hata hamu ilibidi mpk apigiwe simu baba na mama wakaulizwa ndipo majibu Yao yakawa Sawa na yang airport ndio htr, tofauti na nchii za wenzetu walai 😢mtihani kiukweli
@salma0000
Ай бұрын
Halafu kuomba ID inachukua muda mrefu mpaka muda wako wa kuondoka unafika bado hawajakujibu, kwa hao wanaobahatika kukubaliwa na sheha maana hao masheha nao ni mtihani wa peke yake
@user-kd9dc4li7fАй бұрын
Sasa iyo serikali ya tz kila siku inatangaza watanzania waishio nnje ya nchi inawaita njooni muwekeze nyumbani wakija wanawakataa kwamba nyinyi cyo watanzania sasa munawaitia nini ni Ujinga wa viongozi wajinga wasiokuwa na Elimu Roho mbaya inawatesa
@websuperspyАй бұрын
Ili nchi isonge mbele, serikali inapaswa kupiga vita ufisadi mkubwa katika utoaji vibali vya uwekezaji. Ni vigumu sana kupata vibali bila ya kukutana na mafisadi wa dhahir na wa chini kwa chini, kila moja huomba zawadi!
@hamidmussa838Ай бұрын
Wapuuzi sana Wahamiaji.
@hatimmohamed4299Ай бұрын
Serikali wapo kisiasa zaidi, hayo yote wanafanya kwa sababu wanaogopa. Watu wanakuja from nowhere wanapewa vitambulisho. Vitambulisho vimetengenezwa kwa sababu ya kura tu na sio jengine. Kila mwaka wa uchaguzi Wanatoa vipya, fix tu.
@salma0000Ай бұрын
Kama umetoka nje ya nchi ukifika Dar kuingia Zanzibar lazima uwe na ID za Tz na kama huna unauziwa ticket kwa USD hata kama umetoka UK wao wanataka dola tu😂😂
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Kweli tunapata shida sana
@rkcomercialenterprises3209Ай бұрын
Uraia ni haki siyo fadhila
@sulimankarusi8345Ай бұрын
Africa, we should wake up on this through government laws to give birth to the country to boost the economy. Europe is gaining from outsider money. Why not Africa to do so?
@salma0000
Ай бұрын
Waafrica wana roho mbaya
@AW-vt9pwАй бұрын
Waangalie wenzao wa Rwanda na Burundi wazawa wana haki za kuwekeza kufanya biashara bila matatizo yoyote, wanajenga na kumiliki nyumba na biashara na Rwanda sasa imeendelea sana
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Hapa kwetu sijui wanaogopa nini kutoka kwa watu wao!!;
@khamisjuma8501Ай бұрын
CCM understand nduguzagu
@MasoudSultan-ks6kcАй бұрын
100%
@wakwetu2444Ай бұрын
Passport ni hati ya kusafiri tu. Haki ya kuzaliwa lazima iwepo.
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Agreed 👍
@abdulrahmansalim9773Ай бұрын
WENDAWAZIMU AKILI ZAO MBOVU HAWANA HESHIMA WANAJUWA KUIBA NA WIZI 😮😮😮😮
@MohamedIbrahim-bn1gzАй бұрын
Mishungi kuliko Dubai na Muscat mashaalah
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Bado wako ni IMANI yao ya kiislamu Alhamdulliah
@salma0000
Ай бұрын
Ulitaka watembee uchi, wewe itakua ni shoga😏
@MohamedIbrahim-bn1gz
Ай бұрын
@@swahilimedianetwork Mimi nasifu Ulaya wawe watu wamefikia ivyo na huku kwetu mambo yanaharibika sijasema kwa ubaya
@MohamedIbrahim-bn1gz
Ай бұрын
@@salma0000 Innalilah waina ilaihi rajiuna kama hujafahamu mimi nimefurahi kuona Ulaya nchi ya uhuru watu mashaalah wamejistiri vyote ivyo any way heshima za mtu waziona kwenye maneno yao
@Musajuma-nz5brАй бұрын
Washez
@OthmanJuma-qq5vnАй бұрын
Toka Mkapa mambo ya uraiya pacha CCM hawawezi kukubali kwasabab waoga wanakuogopeni inakili za kiulaya wazan mnataka nafas serekalin
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Sasa mbona wanahamasisha waje kuwekeza???
@user-kd9dc4li7fАй бұрын
Sasa mtanzania halisi ni nani
@Musajuma-nz5brАй бұрын
5:08
@maimunaahmed3477Ай бұрын
Wizi wizi tu wakusumbua ili uawape pesa.
@rkcomercialenterprises3209Ай бұрын
Kula bata mmmmhhh
@gracekagoma3231Ай бұрын
Kinachosikitisha NI airport kuhangaishwa Kwa wale wenye passport za kigeni 😢😢
@salma0000
Ай бұрын
Unahangaishwa vipi na ukifika unaomba visa ya Tz unalipa dola 50, unagongewa then unaruhusiwa.
@shabanipanya1033Ай бұрын
Alafu mbona kuna wachina,wahindi wamewekeza bongo bila ya uraia pacha kwa nini nyie uraia pacha uwe kikwazo mimi naona unaweza ukabaki kuwa muingereza na ukawekeza na mbona kuna wazungu waingereza kama nyie wamewekeza malawi zambia kwa nini nyie msiwekeze malawi zambia kutokana na sheria kuwazuwia kuwekeza bongo
@ZenjNationАй бұрын
Same old stories 😢😢😢
@labunaabouna6122Ай бұрын
Nchi ya kusadikika ile
@mymuamsrrr7884Ай бұрын
Sasa lini hivi vitambulisho vitatolewa?? Kwa nini musifanye fast track,ili kusudi wafanye shughuli zao Bila kuzulimiwa na kuchelewa Kazi zao.ili Hali yote Ni kwa faida ya Tanzania,I mean tunaleta Hela kutoka huku tunaxileta huko.sasa shida iko wapi ?? Hamuoni kwamba hiyo Ni faida kwa nchi,? Au huwaga mnafikiri kwa kutumia kifungo gani cha mwili ? Kama sio Akili mbovu Ni nini ?????Asante Ni.
@user-po1cq9so9hАй бұрын
Sisi wengine tunaogopa kuchukua passport za nje kwasababu unapoteza passport ya Tanzania tunasubiri waeke uraia pacha
@salma0000
Ай бұрын
Kama faida ya uraia wa Tz ni kubwa kuliko uraia wa British sawa sawa shikilia hapo hapo😂
@user-po1cq9so9h
Ай бұрын
Mimi nipo Spain na nyumbani nina mali zangu
@abdallasheha4173Ай бұрын
Mnajichubua badi muonekane weupe suza zinatisha
@mwanahawamohammed8540
Ай бұрын
Njoo utupake hiyo rangi unayotaka wewe kama hii alitupa M/Mungu huipendii. Wewe unamkosoa Mungu kuwa amekosea? watu waliozoea uongo basi hata ukiwaambia kweli hawaamini ndio tatizo. 🤣🤣
@salma0000
Ай бұрын
Unaona wivu, njoo na wewe tukuchubuwe, msenge mmoja
@mwanahawamohammed8540
Ай бұрын
Kama sura zinatisha njoo uzitengeneze maana wewe umekuwa Mungu?
@labunaabouna6122Ай бұрын
Story tu nyingi Hazi maalum hio kila siku story shida nini miaka sasa hazi maalum hio haiwi au pesa hazitoshiKui nunua lol 😆
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Pole dada hapa shida ni uelewa na shule, kuishi Nje na kuongea English sio ndio uelewa, elimu bado inahitajika kweli kweli, hivi kweli Mtanzania akiukana uraia wa Tz hajui athari zake ni nini?? ila Serikali iko kwenye mchakato wa hadhi maalum na nadhani liko hatua za mwisho
@mwanahawamohammed8540
Ай бұрын
Asante sana
@salma0000
Ай бұрын
🤔
@zamzamharoon332
Ай бұрын
Shida ni kwamba wengine wameolewa huku wanawatoto wanakuja kuona mimi maishayangu imeshapita kwa sasa umuhimu ni maisha ya watoto wangu wapate Elimu, Matibabu Ugenini , Tz hamna hizi ni ufanye kazi utunze Family ,wenye watoto wagonjwa Tz hawana Support ama ujunzi wowote, Vijana wamemaliza mpaka vyuo Ajira hamna na ikiwepo mshahara ni laki 3 ama nne Kweli utaweza tunza family wakiowa?. Na hata uwe Raiya wakuzaliwa ktoka kwa Mababu na Wazazi umefanya kazi ama omesoma huko bado utasumbuliwa wanaotumia vyeo vyao mpaka urefushe mkono Ni ngumu kweli. Sasa hizi Vitambulisho vya NIDA wamesema ni muhimu kuwanazo kushinda Passport kama unataka kufungua biashara lazima uwe nayo ajabu wengine wanazo tayari sisi wengine umepa Number tu unaambia si rahisi kuipata now Sasa kwanini wameanzisha?. Ndio maana watu wanaona kuwa na Uraiya wa nchi nyingine inamanufaa kwa Family zao kitu ambacho naona ni kweli. Wewe ukiwa na mlemavu Tz si utamfungia ndani wapi utampeleka wapi utapata vifaa vyake si utaishia kuchanganyikiwa kwa kweli nchi hii ya Uengeraza ina Ubinadamu na msaada na kushangaza sisi sio wenyeji wao na wanatudhamini. Kwa nini sio Nchi yetu wa weke mambo sawa?
@straitnews3441Ай бұрын
Hukuwa na Mda ????
@azizayassin3623Ай бұрын
Watu ndio wakome kusema wao ni wararabu 😂😂😂😂😂😂 miye mziguwa OG Nina adi passport na siendi kokote kule 😂😂😂😂😂 yni kusudi tu😂😂😂😂😂😂😂
@salma0000
Ай бұрын
Kuna aliyesema yeye ni mwarabu hapo au umekosa visa ya kwenda kuosha vyoo vya waarabu😏
@azizayassin3623
Ай бұрын
@@salma0000 pole kwa maumivu niko nairobi nafanya marketing and Solidarity part time ⏲️ naosha vyombo na kufua 🤣🤣 wewe unafanya ama ndio unaomba adi pesa ya vitumbua
@@azizayassin3623 me nnajita mwarabu sasa wewe kama inakuuma kajinyonge 🚮
@salma0000
Ай бұрын
@@azizayassin3623 aziza ni jina la kiarabu pia badilisha uitwe pendo au jiite Komo ndio litaendana na roho yako mbaya😏
@Musajuma-nz5brАй бұрын
Serial ya znz ni washez tu kill kitu wanabebwa na muungano
@salma0000
Ай бұрын
Muungano feki, vunjeni basi kama mnaona Zanzibar ni mzigo. Vile serikali ya Tanganyika ilienda wapi🤔
@user-kd9dc4li7fАй бұрын
Serikali ni ya kijinga ya tanzania
@nyembomajid1262
Ай бұрын
tatizo sio serekali ya Tanzania ni Africa kwaujumla hiyo shida ulaya hakuna Sheria ulaya ukizaliwa ulaya uraia unapata bila shida Africa mambo mengi hata kama Sheria inaruhusu utapitishwa pitishwa Sana
@straitnews3441Ай бұрын
Unaleta hisia kwenye maswala ya kisheria
@corrolesscpsАй бұрын
Tatizo wana ROho za Wivu Roho za kwanini? Zote hizo zinawasumbua, wewe utamwambiaje mwenzako sio kwako hapa wewe ni Mgeni, sasa home country kwao ni wapi? Maanake hapo ndipo ukoo wake wote na familia yake inapotokea naye katokea hapo akaelekea ugenini kwenye nchi ya ugeni kutafuta Maisha
@abdulrahmansalim9773Ай бұрын
WAO KAZI ZAO KUIBA MALI ZA WANANCHI WANAKULA HARAMU TUPU MALI ZA WIZI NA WANALISHA FAMILIA ZAO HARAMU TUPU 😮😮😮😮😮😮😮
Пікірлер: 72
Balozi asanteeee ni husda tu na roho mbaya watanzania tuna roho mbaya sana wakiwa shule na vyuo wafundisheni waache roho mbaya
Mimi nipo hapa TZ lakini anachozungumza Dada Farhiya yana ukweli wacheni, urasimu tuambieni hawa watendaji wabovu tunawaripoti wapi ingekua hawa wanachukuliwa hatua za haraka kama alivyokua Magu wangejua kuwajibika, hao wababaishaji ni wengi wapo katika kila sekta
Tunashukuru sana kukutana na Balozi wetu wa Tanzania. Tunachomba mtu sikilize maombi zetu ba mheshimiwa Rais Mama Sumaya alizo ahidi itekelezwe ili iwe na manufaa ktk Generation zetu na kwa sisi wazazi.
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Agreed 👍
Hello.Wewe umeshakuwa Muingereza Tu.Tanzania hatuna uraia Pacha 😢chagua moja Britain au Tanzania . Sasa hivi Brexit Inawatoa kijasho.Mnaanza kukimbia.Uraia Pacha mi balaa dunia nzima.Uhindini je
Wababaishaji Sana wanatikisa ili wapate hela
Mara nyingi wanataka hela ndio upewe kitambulisho. Tena hawana customer care nzuri, mpaka uwape hela. Ilishanitokea
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Mtihani kweli
@sarahrashidabdallah3109
Ай бұрын
Umesema ukweli kbs mie kwanza vile nimesomea Kenya kiukweli lugha ili nifanya niwekwe ndani pale chanika kituoni sinaga hata hamu ilibidi mpk apigiwe simu baba na mama wakaulizwa ndipo majibu Yao yakawa Sawa na yang airport ndio htr, tofauti na nchii za wenzetu walai 😢mtihani kiukweli
@salma0000
Ай бұрын
Halafu kuomba ID inachukua muda mrefu mpaka muda wako wa kuondoka unafika bado hawajakujibu, kwa hao wanaobahatika kukubaliwa na sheha maana hao masheha nao ni mtihani wa peke yake
Sasa iyo serikali ya tz kila siku inatangaza watanzania waishio nnje ya nchi inawaita njooni muwekeze nyumbani wakija wanawakataa kwamba nyinyi cyo watanzania sasa munawaitia nini ni Ujinga wa viongozi wajinga wasiokuwa na Elimu Roho mbaya inawatesa
Ili nchi isonge mbele, serikali inapaswa kupiga vita ufisadi mkubwa katika utoaji vibali vya uwekezaji. Ni vigumu sana kupata vibali bila ya kukutana na mafisadi wa dhahir na wa chini kwa chini, kila moja huomba zawadi!
Wapuuzi sana Wahamiaji.
Serikali wapo kisiasa zaidi, hayo yote wanafanya kwa sababu wanaogopa. Watu wanakuja from nowhere wanapewa vitambulisho. Vitambulisho vimetengenezwa kwa sababu ya kura tu na sio jengine. Kila mwaka wa uchaguzi Wanatoa vipya, fix tu.
Kama umetoka nje ya nchi ukifika Dar kuingia Zanzibar lazima uwe na ID za Tz na kama huna unauziwa ticket kwa USD hata kama umetoka UK wao wanataka dola tu😂😂
Kweli tunapata shida sana
Uraia ni haki siyo fadhila
Africa, we should wake up on this through government laws to give birth to the country to boost the economy. Europe is gaining from outsider money. Why not Africa to do so?
@salma0000
Ай бұрын
Waafrica wana roho mbaya
Waangalie wenzao wa Rwanda na Burundi wazawa wana haki za kuwekeza kufanya biashara bila matatizo yoyote, wanajenga na kumiliki nyumba na biashara na Rwanda sasa imeendelea sana
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Hapa kwetu sijui wanaogopa nini kutoka kwa watu wao!!;
CCM understand nduguzagu
100%
Passport ni hati ya kusafiri tu. Haki ya kuzaliwa lazima iwepo.
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Agreed 👍
WENDAWAZIMU AKILI ZAO MBOVU HAWANA HESHIMA WANAJUWA KUIBA NA WIZI 😮😮😮😮
Mishungi kuliko Dubai na Muscat mashaalah
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Bado wako ni IMANI yao ya kiislamu Alhamdulliah
@salma0000
Ай бұрын
Ulitaka watembee uchi, wewe itakua ni shoga😏
@MohamedIbrahim-bn1gz
Ай бұрын
@@swahilimedianetwork Mimi nasifu Ulaya wawe watu wamefikia ivyo na huku kwetu mambo yanaharibika sijasema kwa ubaya
@MohamedIbrahim-bn1gz
Ай бұрын
@@salma0000 Innalilah waina ilaihi rajiuna kama hujafahamu mimi nimefurahi kuona Ulaya nchi ya uhuru watu mashaalah wamejistiri vyote ivyo any way heshima za mtu waziona kwenye maneno yao
Washez
Toka Mkapa mambo ya uraiya pacha CCM hawawezi kukubali kwasabab waoga wanakuogopeni inakili za kiulaya wazan mnataka nafas serekalin
@swahilimedianetwork
Ай бұрын
Sasa mbona wanahamasisha waje kuwekeza???
Sasa mtanzania halisi ni nani
5:08
Wizi wizi tu wakusumbua ili uawape pesa.
Kula bata mmmmhhh
Kinachosikitisha NI airport kuhangaishwa Kwa wale wenye passport za kigeni 😢😢
@salma0000
Ай бұрын
Unahangaishwa vipi na ukifika unaomba visa ya Tz unalipa dola 50, unagongewa then unaruhusiwa.
Alafu mbona kuna wachina,wahindi wamewekeza bongo bila ya uraia pacha kwa nini nyie uraia pacha uwe kikwazo mimi naona unaweza ukabaki kuwa muingereza na ukawekeza na mbona kuna wazungu waingereza kama nyie wamewekeza malawi zambia kwa nini nyie msiwekeze malawi zambia kutokana na sheria kuwazuwia kuwekeza bongo
Same old stories 😢😢😢
Nchi ya kusadikika ile
Sasa lini hivi vitambulisho vitatolewa?? Kwa nini musifanye fast track,ili kusudi wafanye shughuli zao Bila kuzulimiwa na kuchelewa Kazi zao.ili Hali yote Ni kwa faida ya Tanzania,I mean tunaleta Hela kutoka huku tunaxileta huko.sasa shida iko wapi ?? Hamuoni kwamba hiyo Ni faida kwa nchi,? Au huwaga mnafikiri kwa kutumia kifungo gani cha mwili ? Kama sio Akili mbovu Ni nini ?????Asante Ni.
Sisi wengine tunaogopa kuchukua passport za nje kwasababu unapoteza passport ya Tanzania tunasubiri waeke uraia pacha
@salma0000
Ай бұрын
Kama faida ya uraia wa Tz ni kubwa kuliko uraia wa British sawa sawa shikilia hapo hapo😂
@user-po1cq9so9h
Ай бұрын
Mimi nipo Spain na nyumbani nina mali zangu
Mnajichubua badi muonekane weupe suza zinatisha
@mwanahawamohammed8540
Ай бұрын
Njoo utupake hiyo rangi unayotaka wewe kama hii alitupa M/Mungu huipendii. Wewe unamkosoa Mungu kuwa amekosea? watu waliozoea uongo basi hata ukiwaambia kweli hawaamini ndio tatizo. 🤣🤣
@salma0000
Ай бұрын
Unaona wivu, njoo na wewe tukuchubuwe, msenge mmoja
@mwanahawamohammed8540
Ай бұрын
Kama sura zinatisha njoo uzitengeneze maana wewe umekuwa Mungu?
Story tu nyingi Hazi maalum hio kila siku story shida nini miaka sasa hazi maalum hio haiwi au pesa hazitoshiKui nunua lol 😆
Pole dada hapa shida ni uelewa na shule, kuishi Nje na kuongea English sio ndio uelewa, elimu bado inahitajika kweli kweli, hivi kweli Mtanzania akiukana uraia wa Tz hajui athari zake ni nini?? ila Serikali iko kwenye mchakato wa hadhi maalum na nadhani liko hatua za mwisho
@mwanahawamohammed8540
Ай бұрын
Asante sana
@salma0000
Ай бұрын
🤔
@zamzamharoon332
Ай бұрын
Shida ni kwamba wengine wameolewa huku wanawatoto wanakuja kuona mimi maishayangu imeshapita kwa sasa umuhimu ni maisha ya watoto wangu wapate Elimu, Matibabu Ugenini , Tz hamna hizi ni ufanye kazi utunze Family ,wenye watoto wagonjwa Tz hawana Support ama ujunzi wowote, Vijana wamemaliza mpaka vyuo Ajira hamna na ikiwepo mshahara ni laki 3 ama nne Kweli utaweza tunza family wakiowa?. Na hata uwe Raiya wakuzaliwa ktoka kwa Mababu na Wazazi umefanya kazi ama omesoma huko bado utasumbuliwa wanaotumia vyeo vyao mpaka urefushe mkono Ni ngumu kweli. Sasa hizi Vitambulisho vya NIDA wamesema ni muhimu kuwanazo kushinda Passport kama unataka kufungua biashara lazima uwe nayo ajabu wengine wanazo tayari sisi wengine umepa Number tu unaambia si rahisi kuipata now Sasa kwanini wameanzisha?. Ndio maana watu wanaona kuwa na Uraiya wa nchi nyingine inamanufaa kwa Family zao kitu ambacho naona ni kweli. Wewe ukiwa na mlemavu Tz si utamfungia ndani wapi utampeleka wapi utapata vifaa vyake si utaishia kuchanganyikiwa kwa kweli nchi hii ya Uengeraza ina Ubinadamu na msaada na kushangaza sisi sio wenyeji wao na wanatudhamini. Kwa nini sio Nchi yetu wa weke mambo sawa?
Hukuwa na Mda ????
Watu ndio wakome kusema wao ni wararabu 😂😂😂😂😂😂 miye mziguwa OG Nina adi passport na siendi kokote kule 😂😂😂😂😂 yni kusudi tu😂😂😂😂😂😂😂
@salma0000
Ай бұрын
Kuna aliyesema yeye ni mwarabu hapo au umekosa visa ya kwenda kuosha vyoo vya waarabu😏
@azizayassin3623
Ай бұрын
@@salma0000 pole kwa maumivu niko nairobi nafanya marketing and Solidarity part time ⏲️ naosha vyombo na kufua 🤣🤣 wewe unafanya ama ndio unaomba adi pesa ya vitumbua
@azizayassin3623
Ай бұрын
@@salma0000 tnawajua tnaishi nao haswaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salma0000
Ай бұрын
@@azizayassin3623 me nnajita mwarabu sasa wewe kama inakuuma kajinyonge 🚮
@salma0000
Ай бұрын
@@azizayassin3623 aziza ni jina la kiarabu pia badilisha uitwe pendo au jiite Komo ndio litaendana na roho yako mbaya😏
Serial ya znz ni washez tu kill kitu wanabebwa na muungano
@salma0000
Ай бұрын
Muungano feki, vunjeni basi kama mnaona Zanzibar ni mzigo. Vile serikali ya Tanganyika ilienda wapi🤔
Serikali ni ya kijinga ya tanzania
@nyembomajid1262
Ай бұрын
tatizo sio serekali ya Tanzania ni Africa kwaujumla hiyo shida ulaya hakuna Sheria ulaya ukizaliwa ulaya uraia unapata bila shida Africa mambo mengi hata kama Sheria inaruhusu utapitishwa pitishwa Sana
Unaleta hisia kwenye maswala ya kisheria
Tatizo wana ROho za Wivu Roho za kwanini? Zote hizo zinawasumbua, wewe utamwambiaje mwenzako sio kwako hapa wewe ni Mgeni, sasa home country kwao ni wapi? Maanake hapo ndipo ukoo wake wote na familia yake inapotokea naye katokea hapo akaelekea ugenini kwenye nchi ya ugeni kutafuta Maisha
WAO KAZI ZAO KUIBA MALI ZA WANANCHI WANAKULA HARAMU TUPU MALI ZA WIZI NA WANALISHA FAMILIA ZAO HARAMU TUPU 😮😮😮😮😮😮😮
@salma0000
Ай бұрын
Wamejisahau kama duniani tunapita tu.