Tunahitaji kibali ya Mungu [Obtaining God's favour] - Rev. Edward Mwai
#kenya #sermon #blessings
Catch inspiring sermons Mon -Thur at 5pm
Follow us on
INSTAGRAM @Mwangaza_tv
/ mwangazatvkenya
FACEBOOK @Mwangazatv
/
TWITTER @Mwangaza_tv
/ mwangaza_tv
Пікірлер: 44
Naomba neema ya JWM iwe juu yangu nipate kibali kwa kazi ya biashara na financial breakthrough
God this morning I pray for your favour
Nasimama katika njia zako Ebenezer.
Naomba kibali cha haya madhbabu kila siku ya maisha yangu. It is a favor that is unusual. Mtoto wa daddy
Naomba kibali ya Mungu, nipate kazi na kibali ya financial breakthrough nimjengee Jehovah
AMINA. Wakristo tunahitaji Favour Ya Mungu na inapatikana mahali kuna Utukufu Wa Mungu. Tunahitaji Kibali Cha Mungu.Ukipata kibali maisha yako hayatakuwa ya kawaida. Ukipata kibali cha Mungu hauhitaji kujiuza. Ukikubalika Machoni Mwa Mungu hata machoni mwa watu utakubalika. Ukiwa na favor Ya Mungu wewe ndiye utakuwa unavuta watu na watu watajileta wenyewe. Lazima kwanza utafute Uso Wa Mungu, uwachane na mambo ya dunia ukaribie Mungu na uzishike Sheria Zake, nayo hapo utakuwa mwenye hekima.Njia Za Mungu ni njia za utakatifu. Kukaa katika Mlango Wa Jehovah. Kungojea Mungu hapo ndipo utaanza kupata Kibali Cha Mungu. Baraka zitaanza kukuja zenyewe.
nataka kibali kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Naomba Kibaki cha Mungu
My spiritual dad I'm grateful to b a member of Jwm roysabu
We as kikuyu Jesus wener we love u
Lord grant me your favour,ipray
Amen amen 🎉
AMINA. Wakristo kuna maadui wanatutafuta usiku na mchana, wanangojea tuishe, watucheke lakini kwa sababu ya Favour of God hawatatuweza. Kabla watuangamize Mungu Atakuja. Kama Mungu wa JWM Ameongea nobody can stop!! Hata mawimbi yakija Mungu Atayasimamisha. Ingawa tunaonekana bure Mungu Anabadilisha hiyo hali na nyumba zetu zitabarikiwa kwa ajili yetu. Hata kama utapitia kwa moto shikilia maono na utachomoka. Shika maono, usikufe bila kubarikiwa. Mungu Akikupatia Kibali lazima utabarikiwa. Tunapata favour ya JWM na maisha yatabadilika.Tusimuache Huyu Jehovah! Kuna mambo yatasimamishwa sisi tukienda kubarikiwa, kuinuliwa na kupokea kibali.
My God,please Grant me your favour 🙏
Neno poa
Amen....The grace of God🙌
Altar of Jehovah God
😊
Oh God I need your favour much more
Amen 🙏 I receive it
Amen
True❤
Amen,I receive it
Amen Amen Amen
Amen 🙏 amen groly be to God I resived the favor of God
❤
God may Your favor shine on me
Kibali ya Jehova🙌 The favor of the Lord is upon me🙏
Amen naomba favour
I receive the favor of God
Amen glory be to God
Amen...I pray that the grace and favour of God locates me 🙏
Nataka kibali
Amen 🙏 but huwa sielewi kwanini kila siku nikiamka naona Snail kwa nyumba ndani different colour 🙆 hadi zilimaliza pesa ya chumvi 😳
God is faithful all the time
😊
Amen
😊
😊
😊
Amen
Amen
Amen