'Mwangaza TV Kenya' your daily dose of hope and motivation! (Tumaini Lako)
Here you'll find daily uploads of Christ-centered sermons, interviews and worship i.e The Sunday Service, Neno la Uzima and weekly preachings.
Our other top programmes are Mwangaza Asubuhi, Upishi Bora, Utukufu, Life Garage, Tumsifu Kikwaya, Mama Yangu, Changamoto za Kiroho, Dhahabu ya Ukulima, Nafasi Nyingine, The Plug show, School Edition, Sunday Gospel Express.
Mwangaza TV Kenya KZread Channel is your daily dose of hope and motivation! (Tumaini Lako)
Пікірлер
Amen I
Amen
❤❤❤amen thanks Jesus
This song has really carried me😢😢😢😢😢....its all about u God but no one else....hakika ni wewe Mungu wangu🙏🙏🙏
Amen 🙌
Amen amen amen
This was amazing🎉🎉🎉keep up
Wow Nipungue uongezeke
Amen
Mashida na maginjwa ziishe katika jina la Yesu
Amen
Amen
Yeeeess
Amen
Nonsense
Amen and amen
Oooh my God,, Powerful word from the Man of God
Amen
Amen
Thanks Lord initoa mbali nimekuona
Holy spirit in control, can't hold my tears when I remember wat God has done in my life be I thank you my father .I love this song🙏
Ooh God help me nt to forget where you brought me out..to you alone glory and honor belongs to you...kama mwanadamu mahali naeza sahau na kuenda kinyume chako nirejeshe kwa njia baba..usiache nikapotea. Pslms 121/1
May God lift you hirer be blessed
😢😢nipotee bwana uonekane😢 nipungue uongezeke hakika wimbo wanifanya nalia mpaka najikuta naomba hakika 😭😭joybiliah mungu aendele kupanua kipawa chako🤲🤲 hata kupata kibali sio mm niwewe😭😭😭
Amina ubarikiwe
Amen 🙏
Mahali mimefika mungu nakishukuru sio mapenzi yangu ila ni Kwa neema Yako baba 🙏🙏🙏🙏
Mungu nisaidie ni pungue saidi na wewe uongezenge
Amen Amen.
God is lifting this young generation..he will speak,teach, guide to glorify God
May God bless you 🙏 joybillah, ningependa kuimba kama wewe lakini nashindwa nitaanza aje
Amen😂
Amen 🙏
Amen ..Amen
One of the best gospel songs 😊
Amen amen i receive it injesusname
Amen🙏🏼 Powerful word 💪🏼
Amen amen
Hakuna kupinga sauti ya mungu.Mungu habahatishi.
Nimedharauriwa Kwa muda lakini nimejua mungu anakuja kwangu amen
Nimedharauriwa muda mrefu lakini nimejua kwamba mungu anakuja amen
No process it is Tomorrow
Everything I do is God
God is good all the time
AMINA. Wakristo kesho katikati ya kiangazi na katikati ya hiyo kifo, utupu na ukiwa kuna Muujiza Mungu Atafanya. Kesho wakati kama huu mahali tutakuwa baraka zitatupata. Zile baraka zinakuja mwezi huu wa saba hatujazifanyia kazi, sio bidii wala jasho yetu bali ni kupendwa na Mungu. Kile Jehova Ametuwekea, yeyote anapinga na anazuia ataona na hatakula. Kile ambacho Jehova amesema juu ya maisha yetu na Ameamrisha lazima kitatendeka. Maadui wataona baraka zetu lakini kushirikishwa hawatashirikishwa kwa baraka zetu. Hakuna yeyote anapingana na Sauti ya Mungu atashiriki hizi baraka. Makapteni wa kupinga baraka zetu washindwe katika Jina La Yesu!! Kila upingamizi tunapitia kwa maisha yetu unasimama leo.
Oh Hallelujah brethren, God Will Make it Happen! Hili Neno linafanya kazi leo na kesho itimie. Kile Mungu Atafanya macho hayajaona, masikio hayajaona na mawazo hayajafikiria. Zile baraka Mungu Ametuwekea sio za kawaida ni baraka nzito. Watu wanaangalia hali zetu wanaangalia vile tumefinyika lakini Neno La Bwana Linasema kesho hali zetu zitabadilika. Neno La Bwana Likiongea huwa Halibahatishi. Mungu Hataki historia ya kwetu na hadithi nyingi Anasema kesho Anabadilisha hali zetu kwa Utukufu Wake. Hata kama leo hakuna tumaini tusijidhuru na tusijifanyie mabaya kwa maana kesho kuna Neno la tumaini. Kesho yetu ni bora kuliko leo. Tusiangalie mazingara leo, tujitayarishe vizuri kwa maana kesho kuna mambo mazuri. Kesho ni kubarikiwa, mambo makubwa na shuhuda za ajabu.
AMINA. Wakristo kama kuna utangulizi mwema tunahitaji mwezi huu wa saba ni kusikiza Neno ambalo Mungu Ametuandalia. Mambo yanaweza kuwa ni mazito na magumu, yale tunapitia yanaweza kuwa ya uchungu lakini leo Neno La Mwenyezi Mungu Linashuka kutoka kwa Kinywa Chake. Mwezi wa saba tuache Neno La Bwana Litutangulie na Liongee kwa niaba yetu kwa maana ndilo litabadilisha maisha yetu na mapito yale tunapitia. Neno la Bwana Likashuka Samaria kwa kiangazi na kwa mazito kwa maana hakuna mahali Haliwezi shuka. Hata siku ya leo kuna mambo yalikuwa yamekataa lakini kupitia Neno yatawezekana. Neno La Bwana halijui wakati, kiangazi, majira wala giza. Leo linashuka katika maisha yetu na kwa taifa letu la Kenya.
Amen powerful words
Amen
Neno la baraka