TUMIA JINA HILI LA ALLAH ( YAL-LATWIF ) | KUFANYA MAMBO YAKO KUA MEPESI | SHEIKH SHARIF ISLAM
Tumia Jina Hili La Allah S.w Kuyafanya Mambo Yako Kua Mepesi. #MasjidMtoroTv #Yal-laTwif
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Maashaallaah masomo yako shekhe ninzur sana mungu akuweke akuzidishie mambo ya kheri nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako amiina amiina
@sikukuuchuo30934 жыл бұрын
Shukran kaka Allah akubariki uzidi kutupa chakula cha roho nakufuatilia vyema nikiwa Doha Qatar.
@modhhirmaulana82834 жыл бұрын
TUMIA JINA HILI LA ALLAH (YAL-LATWIF) KUFANYA MAMBO YAKO KUA MEPESI Kwanza utaswali rakaa 2 Katika rakaa yakwanza utasoma suratul-fatiha kisha utasoma suratul- Alamnashrah, Katika rakaa ya pili baada ya suratul-fatiha utasoma tena suratul- Alamnashrah mara 1 tu. Ukishamaliza kuswali utaleta Istighfara kama zifuatavyo: 1. Astaghfiru-Allah x 100 2. La illaha illa Allah x100 3. Allahumma Swale ala Muhammed ya Rabbi swale Aleihi wa sallamx100 4. Ya Latwif x 16641 Kila ufikapo Ya Latwif 1000 utasoma dua ifuatayo mara 100 Allahu Latwif Biibadihi yarzuku man ya shau wahual qawiyul aziz x100
@nuratyabdallah2537
2 жыл бұрын
Naomba kuuliza kama nitakuwa kwenye udhulu naluhusiwa
Mungu anasiri kubwa juu yaviumbe wake sio sisi tujuavyo dini iko moyoni namatendo yako so ombeni hizo dua mkeshe tuone utajiri kama utawajia lini mungu akashusha utajiri pasipo juhudiya MTU
@hildaemmanuely4961
4 жыл бұрын
Ya mezekana we kafii hujui lolote menyezi mungu akuogoze
@rahilunyundo5706
4 жыл бұрын
Hata sisi tunafanya kazi,biashara tunapambana hasa na wakumuomba ni Allah ili atupe baraka ili tufanikishe sio kwamba tumekaa tu tunaomba dua lbd haijaeleweka
@uwamahorosalima662
4 жыл бұрын
SubhanaAllah, ikiwa hauna yakiini, huwezi kupata cocote
@rizikisebe8904 жыл бұрын
Mashaallah shukran.....na aya hiyo iko surah gani
@IMRANSTORIES136
4 жыл бұрын
Katika majina zamwenyezi mungu.
@IMRANSTORIES136
4 жыл бұрын
Jina LA Allah ya Latif
@nkurunzizaabdul-aziz72114 жыл бұрын
Allahum Amin Amin kwadua nawe pia Allah akujalie pepo yake sheikh wetu.ila nikuombe kitu unapo tutajia aya jitahidi kutuelekeza ni surat gani na ni ayat yangapi maana inakua nyepesi kuisoma kwenye kitabu unaiona.samahan lakini kama nimekosea
@samirasaid9176 Жыл бұрын
A.aleykum shekh je kama ni mgonjwa utafanyaje
@mariamsfamily4824 жыл бұрын
nataka kumregesha mume wangu
@ayshersuleyman22542 жыл бұрын
Asalam aleykum heri niandikie hiyo dua Nina ndugu yangu yupo jela
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Yaaa Latwiiiif
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Shkuran 🤗🤗
@kudrawanguvu59233 жыл бұрын
Assalam Aleykum Warahmatullah Ust unacho kisema utupe na dalil. dini ni Qala Allah Qala Rasulullah Swalallah Aleyh wassala tunaomba dalil.
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
Unajua ninyia sjui tuseme akili zenu zipoje ktk Dua unahitaji dalili Gani wewe muhmini Gani usiejua Dua ni ibada ni muumini gn asiyejua mtume saw kafundisha Dua ni silaha ya muumini ni muumini Gani usiejua anaeombwa ni ALLAH au angekwambia ukaombe mizimu ndo furaha Yako kipi hapo usichoelewa Sasa , Au ndio kijifanya mchamungu zaidi ya wenzako ili tukuone, Kipi hapo ni dhambi ktk maelezo ya Huyo mzungumzaji
@Catherine-mh8sw
5 ай бұрын
@msafiriduwiya7765😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aminanchola10514 жыл бұрын
Sheikh mm nina mtoto na nimemuita Islam ila cha ajabu watu wananiambia jina gani hilo je hairuhusiwi kuita jina hilo jibu ni zuri baya sijaelewa mm nimelipenda sana
@sabimamy6661
2 жыл бұрын
@Msafiri Afraha Allahuma Ammin M/mungu akujalie mke mwema kwako na watto wema waje wakufae ww au nynyi wazazi pamoja na jamii kwa ujumla akufunglie kila la kheri duniani na Akhera akupe hitaji moyo wko 🙏 Ammin Allahuma Ammin 🤲
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
Sasa walitaka umwite KAFIRI? kwa sababu kinyume Cha ISLAM NI KAFIRI Hao ndo wanaokimbia kuisoma dini yao hata Hilo jina maana yake haijui anapinga TU kwa sababu hajasikia mtu kwao akiitwa hivyo
@IMRANSTORIES1364 жыл бұрын
Iyo Aya pia omesoma inapatikana sura gani?
@islammbarack4768
4 жыл бұрын
الشوري ١٩
@ayshamahariq6665
4 жыл бұрын
Twaa no yke uongee nae akwambiee
@IMRANSTORIES1364 жыл бұрын
Sheikh Alam nashira inapatikana sura gani tafadhali?
@rutahalima1400
4 жыл бұрын
rashida birungi Surat Ash sharh ina patikana katika sura ya qur ‘an number 94
@islammbarack4768
4 жыл бұрын
Shukran
@mahaditasilima1027
4 жыл бұрын
Allahumma amiin
@IMRANSTORIES136
4 жыл бұрын
@@rutahalima1400 pole dada naona Leo hi, tafuta katika quran sura inaitwa INSHIRAAH.
@SaadEbrahim4 жыл бұрын
Sheikh Sharifu islam hongera kwakutupa faida ya jina la Ya Latwifu lakini si unajuwa idadi yake hilo jina ni kubwa sana kuisoma hilo jina? uache kazi ufanye kazi sana sio kazi ndogo unaweza kumaliza hata masaa 4 hujamaliza kusoma hilo jina la Allah subhana watala Ya -Latwifu? ningekuomba utoe idadi ya ndogo japo ya kusoma hilo jina idadi ya mara 1000 itakuwa ni bora zaidi kuliko kutoa idadi kubw akıama hiyo asante sana huo ndio ushauri wangu.
@fauziamakame7755
4 жыл бұрын
Shukran Allah bariki na atuongoze ktk njia ya kher sis nawazaz wetu. Amin amin amina yaraby takabal duaa
@mjasiriamalishupavulailamu71634 жыл бұрын
Sasa tutashika kipi natuache kipi au mwanogesha kipindi
@rahilunyundo57064 жыл бұрын
Asalam aleykum sheik naomba niandikie hiyo dua ya kusoma baada ya kumaliza ya Latwif mara elfu 1 ili niendelee mpaka nifike 1,660,041
@abdulhalimhumud1917
4 жыл бұрын
Rahilu Nyundo ni elfu 16641 iyo uliyoandika Wewe ni mil 1 Laki 6 na 60 na 41 Shukran
@rahilunyundo5706
4 жыл бұрын
@@abdulhalimhumud1917 sawa niligundua baadae nimekosea asante
@abdulhalimhumud1917
4 жыл бұрын
Rahilu Nyundo Insha Allah kheri
@rahilunyundo5706
4 жыл бұрын
@@abdulhalimhumud1917 Amiin
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
16641
@naimamwambe80834 жыл бұрын
Shekhe je nikisha zigawa hizo Mara elfu moja jee zile Mia sita 41 nafanyaje Kisha ni natakiwa kusoma kwa muda wa siku ngapi ama siku moja intosha?
@islammbarack4768
4 жыл бұрын
Inatosha hzo nyengine utamalizia bila hyo ayaaa
@fatmahmlumba8978
4 жыл бұрын
@@islammbarack4768 jazaka lahu kheri allah akulipe kheri nyingi
@mjasiriamalishupavulailamu71634 жыл бұрын
Kwanini mnaotupa darasa ndo mnakuwa na mitihani migum kuliko wasio jua mambo yote nakama mwajua kwanini msiyafate yote hayo kisha utajiri ukawajia namikosi zikawaondoka ?
@ramarsalehe8332
4 жыл бұрын
MJASIRIAMALI SHUPAVU LAILA MUSSA mitume wengi walikuwa Masikini na mitihani mingi sana, ingawa siri za uungu walikuwa walikuwanazo, sasa wale mitume vp mimi na wewe. Changamsha kichwa majibu unayo
@hamisamohd4550
4 жыл бұрын
We dini yk nn
@hamisamohd4550
4 жыл бұрын
Mn naon una masuala y ovyo
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
Akili zako zitskuwa haziko sawa labda km hujarlewa ni Bora ungeuliza
Пікірлер: 121
Maashaallaah masomo yako shekhe ninzur sana mungu akuweke akuzidishie mambo ya kheri nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako amiina amiina
Shukran kaka Allah akubariki uzidi kutupa chakula cha roho nakufuatilia vyema nikiwa Doha Qatar.
TUMIA JINA HILI LA ALLAH (YAL-LATWIF) KUFANYA MAMBO YAKO KUA MEPESI Kwanza utaswali rakaa 2 Katika rakaa yakwanza utasoma suratul-fatiha kisha utasoma suratul- Alamnashrah, Katika rakaa ya pili baada ya suratul-fatiha utasoma tena suratul- Alamnashrah mara 1 tu. Ukishamaliza kuswali utaleta Istighfara kama zifuatavyo: 1. Astaghfiru-Allah x 100 2. La illaha illa Allah x100 3. Allahumma Swale ala Muhammed ya Rabbi swale Aleihi wa sallamx100 4. Ya Latwif x 16641 Kila ufikapo Ya Latwif 1000 utasoma dua ifuatayo mara 100 Allahu Latwif Biibadihi yarzuku man ya shau wahual qawiyul aziz x100
@nuratyabdallah2537
2 жыл бұрын
Naomba kuuliza kama nitakuwa kwenye udhulu naluhusiwa
@tallyfa05saeed67
2 жыл бұрын
Shukran 🤲
@user-if1us9cx5x
5 ай бұрын
KILALAKHERY NAKUTAKIA
Asw sheh Nawomba wutaratibu Nitume swada tuma wastap namajina Ya kitaburisho ishaallah
JAZAKA LLAH KHAYRAN ALLAH akupe umri mrefu wenye kheri na baraka ndani yake
tunakushuru sheikh kwa darsa zako ni nzurisana na nyepesi kuelewa shukran
Ustadhi nashukuru sana nimekufahamu na ni kweli umenielemisha
Shukraan Sana sheikh wangu kwa DARSA zur jazaka Allahu khaira
Namm piya namuomba Allah akupe husnlhatimaa
Shukran shekh tunasubr ljayo ishaallah
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh. Amiin thumma Amiin .Barak'Allahu fiiQ kka yetu.
WA alaykum salam warahmaturah wabarakatuh jazak Allah khayran
AMINA YA RABBI MUNGU AKUPE KILA LA HERI DUNIANI NA KESHO AKHERA
Allah akulipe nmejifunza manshaallaha
Walykum salaam warahma tullah wabarakatu
ALLAH akujalie kila la kheri shekhe wetu
Mashallah, hizo dua mngekuwa mnatuandikia ili tuweze kuzisoma
Mashallah hakika ALLAH ( SW) anataupenda kwani wakat tukimuomba ikiachana kutupa tulicho muomba Bali hutupa thawabu pia AL HAMDULLILLAH.
@foodcook3626
Жыл бұрын
Akujalie ALLAH hidaya na akuzidishie riziki na ilmu sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah
Shukran sana shekhe Allha akuzidishie ilimu
Shukran jazakallah khair
Asante Sheikh
Mashallah allahbakulipe kwakutupa darsa allah atujalie wepesi atufungulie riziki natuweze kutekeleza ulicho tufundisha amin ya allahnashukuru mnoo nimeelewa
Ameen
MAA Shaa ALLAH TABARAKALLAH JAZAKALLAHKHEYR
Wa'aleykum Salaam Wa Rahmatullahi Ta'ala Wa Barakatuh. Jazak ALLAH Khair.
Amina
Shukran sheikh
Ameen thuma ameen yarabby
@saumuabdalla9577
3 жыл бұрын
Shukran
Mashallah
Shukran sheikh wetu, tafadhali nisaidie na dua ya muisho.
Mashaallah
Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh shukaran sheykh jazakallahu khair
shukran jazakallaahu khayr
Masha Allah
MashaAllah MashaAllah MashaAllah.
@ashanjango9937
4 жыл бұрын
Manshallah Allah akuzidishie Elimu yako, na akupe kila Kheri uzidi kutupa na sisi elimu zaidi
MashaAllah
ManshaAllah jazaka Allah khaira 🤲
Shukran mashallah
Alaykumsalaam warahmatullah wabarakatuh Amina
Jazakallah khair
Jazakallah khaira
Shukran
Shukran habib mungu akujazi kheri inshaalh kwa kutuma mazuri
Shukran ya ustadh
Allaykum msalam warahmatullah wabarakatuh shukrani sheikh Ameen
Shukran inshallah
Walekum musalam warahamatul llahu wabarakatu
Amina inshaallah
Maa shaa Allah
Ndugu ALLAH akujaze naakupe umri mrefu
In sha allah
Ameen Yaa Rabbil aalamin
Jazakalheri Allah akujalie pepo
Aamiin ya rabb aamiin
Amiin
Maashalaahhh
Merci beaucoup
Amiin amiin amiin
Masshaallah
Allahumma ameen
Yaraatifu
Mungu anasiri kubwa juu yaviumbe wake sio sisi tujuavyo dini iko moyoni namatendo yako so ombeni hizo dua mkeshe tuone utajiri kama utawajia lini mungu akashusha utajiri pasipo juhudiya MTU
@hildaemmanuely4961
4 жыл бұрын
Ya mezekana we kafii hujui lolote menyezi mungu akuogoze
@rahilunyundo5706
4 жыл бұрын
Hata sisi tunafanya kazi,biashara tunapambana hasa na wakumuomba ni Allah ili atupe baraka ili tufanikishe sio kwamba tumekaa tu tunaomba dua lbd haijaeleweka
@uwamahorosalima662
4 жыл бұрын
SubhanaAllah, ikiwa hauna yakiini, huwezi kupata cocote
Mashaallah shukran.....na aya hiyo iko surah gani
@IMRANSTORIES136
4 жыл бұрын
Katika majina zamwenyezi mungu.
@IMRANSTORIES136
4 жыл бұрын
Jina LA Allah ya Latif
Allahum Amin Amin kwadua nawe pia Allah akujalie pepo yake sheikh wetu.ila nikuombe kitu unapo tutajia aya jitahidi kutuelekeza ni surat gani na ni ayat yangapi maana inakua nyepesi kuisoma kwenye kitabu unaiona.samahan lakini kama nimekosea
A.aleykum shekh je kama ni mgonjwa utafanyaje
nataka kumregesha mume wangu
Asalam aleykum heri niandikie hiyo dua Nina ndugu yangu yupo jela
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Yaaa Latwiiiif
Shkuran 🤗🤗
Assalam Aleykum Warahmatullah Ust unacho kisema utupe na dalil. dini ni Qala Allah Qala Rasulullah Swalallah Aleyh wassala tunaomba dalil.
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
Unajua ninyia sjui tuseme akili zenu zipoje ktk Dua unahitaji dalili Gani wewe muhmini Gani usiejua Dua ni ibada ni muumini gn asiyejua mtume saw kafundisha Dua ni silaha ya muumini ni muumini Gani usiejua anaeombwa ni ALLAH au angekwambia ukaombe mizimu ndo furaha Yako kipi hapo usichoelewa Sasa , Au ndio kijifanya mchamungu zaidi ya wenzako ili tukuone, Kipi hapo ni dhambi ktk maelezo ya Huyo mzungumzaji
@Catherine-mh8sw
5 ай бұрын
@msafiriduwiya7765😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sheikh mm nina mtoto na nimemuita Islam ila cha ajabu watu wananiambia jina gani hilo je hairuhusiwi kuita jina hilo jibu ni zuri baya sijaelewa mm nimelipenda sana
@sabimamy6661
2 жыл бұрын
@Msafiri Afraha Allahuma Ammin M/mungu akujalie mke mwema kwako na watto wema waje wakufae ww au nynyi wazazi pamoja na jamii kwa ujumla akufunglie kila la kheri duniani na Akhera akupe hitaji moyo wko 🙏 Ammin Allahuma Ammin 🤲
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
Sasa walitaka umwite KAFIRI? kwa sababu kinyume Cha ISLAM NI KAFIRI Hao ndo wanaokimbia kuisoma dini yao hata Hilo jina maana yake haijui anapinga TU kwa sababu hajasikia mtu kwao akiitwa hivyo
Iyo Aya pia omesoma inapatikana sura gani?
@islammbarack4768
4 жыл бұрын
الشوري ١٩
@ayshamahariq6665
4 жыл бұрын
Twaa no yke uongee nae akwambiee
Sheikh Alam nashira inapatikana sura gani tafadhali?
@rutahalima1400
4 жыл бұрын
rashida birungi Surat Ash sharh ina patikana katika sura ya qur ‘an number 94
@islammbarack4768
4 жыл бұрын
Shukran
@mahaditasilima1027
4 жыл бұрын
Allahumma amiin
@IMRANSTORIES136
4 жыл бұрын
@@rutahalima1400 pole dada naona Leo hi, tafuta katika quran sura inaitwa INSHIRAAH.
Sheikh Sharifu islam hongera kwakutupa faida ya jina la Ya Latwifu lakini si unajuwa idadi yake hilo jina ni kubwa sana kuisoma hilo jina? uache kazi ufanye kazi sana sio kazi ndogo unaweza kumaliza hata masaa 4 hujamaliza kusoma hilo jina la Allah subhana watala Ya -Latwifu? ningekuomba utoe idadi ya ndogo japo ya kusoma hilo jina idadi ya mara 1000 itakuwa ni bora zaidi kuliko kutoa idadi kubw akıama hiyo asante sana huo ndio ushauri wangu.
@fauziamakame7755
4 жыл бұрын
Shukran Allah bariki na atuongoze ktk njia ya kher sis nawazaz wetu. Amin amin amina yaraby takabal duaa
Sasa tutashika kipi natuache kipi au mwanogesha kipindi
Asalam aleykum sheik naomba niandikie hiyo dua ya kusoma baada ya kumaliza ya Latwif mara elfu 1 ili niendelee mpaka nifike 1,660,041
@abdulhalimhumud1917
4 жыл бұрын
Rahilu Nyundo ni elfu 16641 iyo uliyoandika Wewe ni mil 1 Laki 6 na 60 na 41 Shukran
@rahilunyundo5706
4 жыл бұрын
@@abdulhalimhumud1917 sawa niligundua baadae nimekosea asante
@abdulhalimhumud1917
4 жыл бұрын
Rahilu Nyundo Insha Allah kheri
@rahilunyundo5706
4 жыл бұрын
@@abdulhalimhumud1917 Amiin
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
16641
Shekhe je nikisha zigawa hizo Mara elfu moja jee zile Mia sita 41 nafanyaje Kisha ni natakiwa kusoma kwa muda wa siku ngapi ama siku moja intosha?
@islammbarack4768
4 жыл бұрын
Inatosha hzo nyengine utamalizia bila hyo ayaaa
@fatmahmlumba8978
4 жыл бұрын
@@islammbarack4768 jazaka lahu kheri allah akulipe kheri nyingi
Kwanini mnaotupa darasa ndo mnakuwa na mitihani migum kuliko wasio jua mambo yote nakama mwajua kwanini msiyafate yote hayo kisha utajiri ukawajia namikosi zikawaondoka ?
@ramarsalehe8332
4 жыл бұрын
MJASIRIAMALI SHUPAVU LAILA MUSSA mitume wengi walikuwa Masikini na mitihani mingi sana, ingawa siri za uungu walikuwa walikuwanazo, sasa wale mitume vp mimi na wewe. Changamsha kichwa majibu unayo
@hamisamohd4550
4 жыл бұрын
We dini yk nn
@hamisamohd4550
4 жыл бұрын
Mn naon una masuala y ovyo
@msafiriduwiya7765
Жыл бұрын
Akili zako zitskuwa haziko sawa labda km hujarlewa ni Bora ungeuliza
Mashaallah
Shukran
Masha Allah
Mashallah
Amiin
Masha Allah
Mashaallah
Amiin
Mashaallah
Masha Allah