TUACHE MAZOEA TUWATUMIENI WANAZUONI

Kaimu SHEIKH WA MKOA WA DSM SHEIKH WALID IBN SHEIKH ALHAD OMAR akiwaomba Wapenzi wa Mtume Mohammed (s.a.w) kuacha mazoea ya kuwaalika msharif kwenye Hadhara za Mtume (s.a.w) kwa kuwapa kufanya dua na fatiha na kuondoka bila kusema chochote na kuridhika

Пікірлер: 4

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Жыл бұрын

    Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat

  • @shomarymwatanda6577
    @shomarymwatanda6577 Жыл бұрын

    maneno makubwa allah akujaalie khery na umri mrefu ili tuweze kustafidi maneno yako

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 Жыл бұрын

    Jazakallahu khayran kwa mawaidh yenye faida.

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Жыл бұрын

    Kwa hekima hizi utafika mbali Inshaallah

Келесі