MSINILETEE UMADHEHEBU TU OFISINI/WALID NI YULEYULE TU/ SITAKI KUNYENYEKEWA KABISA/NAOMBENI DUA ZENU.
Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Пікірлер: 69
Mimi ni mkristu kwa hapa kweli Shehe uko vizuri sana , na Mungu akupe maisha marefu.
Allah akuhifadhi sheikh. Maneno ya hekima kubwa. Ukijishusha, Allah hukupandisha.
Mashallah Shekh Walid napenda sana Mawaidha yako Allah akunze na akupe Nguvu 2nd Nampongeza Muft wetu kwa kukuona Allah Awape Afya njema wote Viongozi wetu 🙏🏾🙏🏾
Huyu shekhe nimempenda sana Sio mropokaji kama Alie pita
Allah Akupe Afya njema shekh Walid Nampongeza Muft wetu kwa kukuona
Kwanza nakupa hongera shekh kwa nafasi hiyo na ninakuombea Allah akuhifadhi na cheo hicho na a kujaalie hekima busara ktk cheo hiko, akukinge na hasa di za watu na majini .
Allah akufanyie wepesi Sheikh Walid
Hongeren waislamu mmepata chuma
Mashallah sheikh walid ❤❤
Allah akuzidishie maarifa ili uzidi kutufahamisha inshaallah
حياك الله يا شيخنا الجليل الحبيب شيخ وليد
Mashaallah sheikh waliid tabarak rahman maneno mazuri
Huyu ni shehe kweli... Ndani ya Maneno yake nimepata Radha ya haki, unyenyekevu, utu, uchaji wa Mwenyezi Mungu, n.k Kwa utakatifu.... Iwe heri Kwa watz
Mashaallah, Allah akutilie wepesi katika kazi yako shekh Walid.
Mashallah tabarakallah swadkta 🙏 💯 💯 💯 💯
MashaAllah azidi kumpa afya, azidi kuwaongeza Waislam
@ashahassan2667
Жыл бұрын
Mashaallah alhamdullilah alla akupe siha njema
@eshasalim5496
Жыл бұрын
Allahumma Amiin
Mola takuafiqia inshallah
Mashaa'Allah mwenyez Mungu akuhifadhi na mitian katika hii dunia na akupe subra afya njema na akufariji nafsi yako yarabiy ❤️
@amirihakimu8748
Жыл бұрын
Sheikh Walid hakika MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE sana MWENYEZI MUNGU akikupa MTIHANI AKUJAALIE na jibu la MTIHANI ahsante kwa mwaaidha ya kuipokea ramadhani ndani ya nyoyo zetu Wala SI miili yetu MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE KILA la KHERI a hakimu
Ma shaa llah in shaa llah tunakuombea
Wa Alaykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh. Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. ALLAHU BAARIK
@mozain9892
Жыл бұрын
😢
Jazaka Allah khaira shekh walid
Masha Allah,ujumbe mzuri
MashaaAllah Allah akuepushe na hasira
Barak Allah feeq
Swadaktar sheikh walid
Ma Shaa Allah
Tatizo la huyu na aliyepita ni busara huyu anabusara kubwa sana mashallah
Walaikum salam warahamatullahi wabarakatuh
Safi sana
Sheikh ulishawai kuzungumzia masuhr y kutaja sifa za wtu kumbe ukidhapt madarak ni lazima utaje sfa za watu
Sheikh maneno mazuri sanna haya
MashaaAllah
Alhamdulillah
Allah Akuifadhi 🤲
Swala la madhehebu kaka umenena.sawa sawa
@manilabonalumanula9210
Жыл бұрын
Madhehebu ndani ya dini yoyote ni upinzani na biashara na hayo hayatakiwi sisi wote ni wamoja.
@pppppp4195
Жыл бұрын
@@manilabonalumanula9210 Allah akubarik
Msimamo thabiti, Alhamdulillah!
@allycomm1553
Жыл бұрын
Hakuna msimamo apo anakusanya mpaka makundi yaliopotea ktk njia y sawa kwak yy hakuna shda hana tofaut n yule alie mkaim
Mm najiuliza huyu shekhe wwalidi atapishwa lini kuna nn kwani kuna sheria gani kwani inayofanya asiapishwe mnamchunguza kwani shekhe walidi hamumjui ?kama hamumjui bado ss tunamjuwa sasa tunaomba mumuapishe kuna nn kwani? Nakuomba baba yangu mufti
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Kwanza hakuna kuapishwa pili ni kawaida wote walopita wanapewa kama ukaimu baada ya miezi sita anatangazwa tena na mufti kuwa shekhe wa mkoa hivyo wali si geni wakti utafika na itakua
@athumanomary8144
Жыл бұрын
Shekh mkuu na mufty wa tz tunakuomba kiongozi wetu haujakosea kumteuwa shekh Walid kukaimu ushekh wamkoa shekh ninakuomba umkabidhi full kuwa shekh wamkoa wa dar
Huku kukaa chini kunaumiza mgongo sana hasa kwa watu wazima, labda ndio sababu hawakai muda mrefu kusikiliza mawaidha
@adonis-bx7ht
Жыл бұрын
We mchokozi kweli 🤣🤣. Hawa wamezoea kukaa chini tangu wadogo hata majumbani wengine hata wawe matajiri vipi hukaa kunako mabusati.
@abdulnaseermrisho4342
Жыл бұрын
Hata kukaa kwenye mabenchi kuna umiza makalio,fata yako
@ngoni7944
Жыл бұрын
@@adonis-bx7ht wanaua migongo yao, ndio maana wazee wengi wa kiislamu wakitembea wamepinda migongo sababu ni kukaa chini misikitini
اكتبِ المقاديرِ❌ اكتبِ المقاديرَ✅
@abubakartengeza1978
Жыл бұрын
نطق الشيخ كلمة مقادير بدون الألف واللام وزاد في الكلمة ياء المتكلم وقال اكتب مقاديري. كن منصفا يا حبيبي. بارك الله فيك
@iddishame6596
Жыл бұрын
Sasa ndio nini
@ZuleikhaAbdallah
Жыл бұрын
@@abubakartengeza1978 Asante sheikh abuubakar tengeneza Nakujua tangu uhai wa sheikh Muhammad bakar tanga shamsil maarifil islamiyya
Hivi Mtume Muhammad (SAW) alikuwa dhehebu gani na mimi nifuate.
@abdulmfaumemohamed6977
Жыл бұрын
Muislam
@husseinally5550
Жыл бұрын
Swali hili linakufunua kuwa hujui mambo mengi sana.kaa darasanni
@omarkhamis4804
Жыл бұрын
Jua maana ya dhehebu mwanzo
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@husseinally5550 jibu swali, mtume alikuwa dhehebu gani?
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@omarkhamis4804 jibu swali mtume alikuwa dhehebu gani?