#TRCMPYA

DAR ES SALAAM TANZANIA

Пікірлер: 96

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62104 жыл бұрын

    Safi sana

  • @zainaburashid5080
    @zainaburashid50804 жыл бұрын

    Safi Sana ambae anapinga maendeleo hayo basi nimchawi na nimamluki wa........

  • @methuselaissack2193
    @methuselaissack21934 жыл бұрын

    kweli tanzania tunaweza Magufuli kweli jembe

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza16994 жыл бұрын

    Wahu wahu wahu after 3 months dar will breath into nyaya za reli

  • @kelvinhaibu4052
    @kelvinhaibu40524 жыл бұрын

    Hongereni matangazo yenu ya vipindi vya reli tv ,yapo vyema kabisa.safi sana

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo20134 жыл бұрын

    Safi sana.

  • @khamisrashidy1079
    @khamisrashidy10794 жыл бұрын

    Nani wa kukupinga jpm

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest2254 жыл бұрын

    Ama kweli , kama uta vile kumbe ndo tunasonga,,, Mungu ibariki Tanzania, pia Mjaalia afya njema Rais wetu.

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90884 жыл бұрын

    Kaz nzuri sana

  • @mussaamosstevenjr4571
    @mussaamosstevenjr45714 жыл бұрын

    Viva JPM viva my favorite reporter wa nguvu Ben

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine79064 жыл бұрын

    Bigup ben

  • @renatusmgongo4083
    @renatusmgongo40834 жыл бұрын

    Ben vipi kuhusu updates za marekebisho ya reli kipande cha Moshi hadi Arusha ?

  • @rasheedmsigwa4612
    @rasheedmsigwa46124 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Dar na Nairobi, hizo miji zitakuja kuwa kama Toronto na New York.

  • @mubarakacloud7892

    @mubarakacloud7892

    4 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @allananam6631

    @allananam6631

    4 жыл бұрын

    Dar na Mombasa.

  • @manpelo8064

    @manpelo8064

    4 жыл бұрын

    Nairobi na arusha

  • @allananam6631

    @allananam6631

    4 жыл бұрын

    @@manpelo8064 Arusha ni kijiji

  • @manpelo8064

    @manpelo8064

    4 жыл бұрын

    @@allananam6631 mara ya mwish kufka ni mwaka gan????

  • @noahdaud8400
    @noahdaud84004 жыл бұрын

    napita cna neno kwan yote yamesemwa big up magu

  • @mangegervas9651
    @mangegervas96514 жыл бұрын

    Gud saana mwanantara ... Gud saana wataalam wetu na jpm oyeee

  • @robertterry8909
    @robertterry89094 жыл бұрын

    Mzee baba kamua jembe piga kazi achana na vyombo vya habari vya nje etii vinasema uminywaji uhuru wa vyombo vya habari sisi tunachotaka ni maendeleo sio makelele ya vyombo vya habari

  • @MWALIMUMBUNIFU89

    @MWALIMUMBUNIFU89

    4 жыл бұрын

    Sawa kabisa

  • @bestermlwafu3781
    @bestermlwafu37814 жыл бұрын

    Nakupata vizuri Benny kutoka hapa Boston Marekani

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61774 жыл бұрын

    Mwanantala vipi tena ndio rangi au vipodozi usoni

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza16994 жыл бұрын

    Huwa napata homa na simanzi ninapokuwa sioni notfcns za RELI TV

  • @gabrieljesus1018

    @gabrieljesus1018

    4 жыл бұрын

    Duh kabisa ndg hata mimi pia..

  • @TRCRELITVTANZANIA

    @TRCRELITVTANZANIA

    4 жыл бұрын

    Msihofu watatuelewa tuu

  • @misschagga8042

    @misschagga8042

    4 жыл бұрын

    Bomyeza hicho kikengele kulia hapo juu utapata

  • @Tiffany340
    @Tiffany3404 жыл бұрын

    Duuh jpm kweli Wewe ni jembe nawaza tu maendeleo haya yangeanza na raise mkapa,kikwete na sasa jpm Tanzania yetu ingekuwa hong Kong wallah

  • @hussainomar1849
    @hussainomar18494 жыл бұрын

    Hakika kazi nzuri inaendeshwa na uongozi mzuri.

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis38844 жыл бұрын

    Ujenzi mzur na wakihistoria ambao unamatarajio chanya kwa watanzania walo wengi katka kuuinua uchumi wa nchi. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika.

  • @johnmanda3210
    @johnmanda32104 жыл бұрын

    viva JPM..

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha11184 жыл бұрын

    Nice jpm.

  • @aga__zabe__paints__company9365
    @aga__zabe__paints__company93654 жыл бұрын

    new tz

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani41674 жыл бұрын

    Jpm kazi nzuri sana huna mpinzani

  • @emmanuelchaplingi9050
    @emmanuelchaplingi90504 жыл бұрын

    Magu oyeeeee

  • @lexisavage1770
    @lexisavage17704 жыл бұрын

    asante rais wetu mpendwa Magufuli asante Mungu Magufuli hoyeeeeeeeeeee Tanzania hoyeeeeeeeeeee

  • @romeoromeo4125
    @romeoromeo41254 жыл бұрын

    Yaan siku hizi ata kukoment nachoka coz video ni mara kwa mara. Hongereni kwa kazi nzuri sana.

  • @malibolosedlaminithambo6249
    @malibolosedlaminithambo62494 жыл бұрын

    Hizi train stations mnazojenga east africa... Linganisha na Cuba ama kweli hizo ni airport mle

  • @stephensigonda9927
    @stephensigonda99274 жыл бұрын

    Hii ni miujiza

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo86724 жыл бұрын

    Beniiiiiiiiiiiiiii pamoja Bro

  • @misschagga8042
    @misschagga80424 жыл бұрын

    Mbomoe majengo mabovu ambayo hayana kazi muongeze reli nyingi hapo baadae muongeze train nyingi zaidi maana miaka ijayo tutakua na train 10 sasa muanze kuandaa eneo mapema

  • @michaelsiweya6500

    @michaelsiweya6500

    4 жыл бұрын

    Bado mgorofa mjengo mmoja wa hatari unakuja kaka ..pande hizo unazoziona zina majengo ya zamani.... Kwote kutabomolewa

  • @misschagga8042

    @misschagga8042

    4 жыл бұрын

    @@michaelsiweya6500 ok kumbe basi sawa

  • @leonardmichael6665
    @leonardmichael66654 жыл бұрын

    Nc Jpm

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje86934 жыл бұрын

    Ben huwa unapata kidogo kabala ya kutupa Utamu huu nini?,anyway Thankyou for your updates .

  • @nickjustin2023
    @nickjustin20234 жыл бұрын

    BEN KWENYE RAMANI INAONEKANA KUNA MAJENGO MAWILI YA STESHENI LAKINI HAPA NAONA LINAJENGWA MOJA TU!! IMEKAAJE HII

  • @TRCRELITVTANZANIA

    @TRCRELITVTANZANIA

    4 жыл бұрын

    Jengo la pili linaanza kujengwa muda si mrefu

  • @nickjustin2023

    @nickjustin2023

    4 жыл бұрын

    @@TRCRELITVTANZANIA anhaa! Hapo Sawa.

  • @almasjuma4194
    @almasjuma41944 жыл бұрын

    Tunasonga mbelee

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni68894 жыл бұрын

    Trebien bennn. Lkn nilichokua naomba ongeza notfction hata×2/zaidi qa wiki bas.

  • @MWALIMUMBUNIFU89
    @MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын

    ASANTE KWA HABARI

  • @kahroogall5695
    @kahroogall56954 жыл бұрын

    Kalibu Kaka nirikuwa nimemiss new

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa69704 жыл бұрын

    Ben nakufatilia vizuri sana kutoka South Africa

  • @jmwalimtzafrica3791
    @jmwalimtzafrica37914 жыл бұрын

    Magu oye

  • @MWALIMUMBUNIFU89

    @MWALIMUMBUNIFU89

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @shabilmagalla8291
    @shabilmagalla82914 жыл бұрын

    Tz iiotayo

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama81664 жыл бұрын

    *HAYA MAMBO YANGEANZA MIAKA ATLEAST 20 ILIYOPITA TUNGEKUWA TUNAZUNGUMWA KIVINGINE*

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai25084 жыл бұрын

    Site nzima ya stesheni nimeona wafanyakazi wawili tu, are we serious?!

  • @majadotto9513
    @majadotto95133 жыл бұрын

    Hatupigi kura tunaenda kumpitisha tu magu

  • @ukurasawangu
    @ukurasawangu4 жыл бұрын

    Napenda unachokifanya brother na chanel hii iwe na muendelezo hata kama wewe hautakuepo

  • @MWALIMUMBUNIFU89

    @MWALIMUMBUNIFU89

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @brownjulius8514
    @brownjulius85144 жыл бұрын

    Duuuh sio poa

  • @josephkauki6094
    @josephkauki60944 жыл бұрын

    Ben Monantala tuletee mzee baba habari tupe baba

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    4 жыл бұрын

    Ben ngwanantala.ngwadila baba.mimi naomba kasehemu tu hapo station nifungue kitu cha kileo.PIZZERIA au PIZZA nina mtambo wa.jiko la kisasa kabisa limekaa tu bure

  • @karyori69
    @karyori694 жыл бұрын

    daraja linaitwa "cable stayed bridge" na si cable bridge!

  • @edwardisack1890
    @edwardisack18904 жыл бұрын

    Ben Leo umetulia sana ,ukitangaza namna hii inapendeza

  • @TRCRELITVTANZANIA

    @TRCRELITVTANZANIA

    4 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu99714 жыл бұрын

    Kwenye picha ya hilo daraja me sijaona mambo hayo ya kebo breeg ... mambo ya kushikiliwa na vikamba kamba sijui...hayo mambo ya kuweka vikamba kamba mmeongeza nyinyi wenyewe...sasa subili uzito wa treni lishushe au likate hivyo vikamba vyenu.../ sisi hatutaki kuongezewa mambo mengine kwenye ujenzi wa taifa letu bana. Msije mkajenga chini ya kiwango bulee

  • @danieljoseph6309
    @danieljoseph63094 жыл бұрын

    Ben amepewa onyo mini apunguze mbwembwe 😂😂😂😂

  • @TRCRELITVTANZANIA

    @TRCRELITVTANZANIA

    4 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄

  • @na0m1fes51

    @na0m1fes51

    4 жыл бұрын

    😂😀😀

  • @saidiissa8729
    @saidiissa87294 жыл бұрын

    Beni leo umepooza vp

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu99714 жыл бұрын

    Sasa hilo daraja la tren...tunataka liwe kama kwenye picha linavyoonekana. Maana hamkawieg kubadiri badiri vitu nyie

  • @danieljoseph6309

    @danieljoseph6309

    4 жыл бұрын

    Design and build io 😂😂😂lazima libadilike huoni wameongeza io cable bridge

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa24064 жыл бұрын

    Kitaalam,Mtaalam,Utaalam hii wasomi mna maana gani???nashindwa kuwaelewa kabisa yaani.

  • @richardtv8339

    @richardtv8339

    4 жыл бұрын

    Tusie watalam tunasema nguzo tu ila ktaalam sasa ndyo km engineer anavyotamka....cjui na me nmekujbu kitalam😂😂😂

  • @HASASON

    @HASASON

    4 жыл бұрын

    Ni kama kikawaida kuku ni kuku tu lakini kitaalam kuku ni ndege

  • @nicasnelson7527

    @nicasnelson7527

    4 жыл бұрын

    mtaalam ni mtu, mhusika mwenyewe, utaalam ni ule ujizi au maarifa aliyo nayo mtaalam, na kitaalam ni kile kitendo cha ku deliver ujuzi wako

  • @wilsonmakambi6900

    @wilsonmakambi6900

    4 жыл бұрын

    Kazi nzuri!

  • @na0m1fes51

    @na0m1fes51

    4 жыл бұрын

    @@HASASON 😂😂😂😂

  • @mangegervas9651
    @mangegervas96514 жыл бұрын

    Gud saana mwanantara ... Gud saana wataalam wetu na jpm oyeee

Келесі