Vitu Vinavyokuja Mwakani Producer - JayDrama Director - Billy lenz
Жүктеу.....
Пікірлер: 941
@jordanjonas8009 Жыл бұрын
Wanangu wa TOX tujuane kwa like jaman 🔥🔥🔥🔥
@stephenmaroa6178
Жыл бұрын
💯
@SEXYMOMO
Жыл бұрын
📞
@officialmanji4438
Жыл бұрын
Respect Sana
@worldhappiness1181
Жыл бұрын
Huyu namkubal kitambo sana
@kephadonald3299
Жыл бұрын
Huy mxenge nlikuwa cmjui lkn kumbe mnyama🔥🔥🔥
@alfredbizimana7814 Жыл бұрын
"Mwamba amehonga Kila kitu ila amebaki na kikohozi" Aliye iskia gonga like hapo🤟🤟🤟🤟
@hasheemomary4507
Жыл бұрын
😁😁
@sanchostylist...9719
Жыл бұрын
Konde...😁
@enemwescumulus3379
Жыл бұрын
Safi sana good idea
@nobertyohani5637
Жыл бұрын
😁😁😂😂😂😂😂. Nimesikia hapo
@triphonechami1037
Жыл бұрын
Kuna Connection nyingi
@salimally28236 ай бұрын
Ndio mwaka tunaumaliza Ivi..Kheri ya mwaka 2024 wanangu,ila kweli kuna watu kibao mwaka wameshindwa kuumaliza,ukiwa mzee gonga like tukimshukuru Mungu
@dikaboy979 Жыл бұрын
Ewaaa nimewai nipen like zangu twende sawa
@hassanidrisankingilea8827 Жыл бұрын
Kuna watu mwakani siwaoni🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Konga like twenzetu
@ommymsomi4362 Жыл бұрын
The finishing part of Kontawa is so Touching
@arynxbaba9091
Жыл бұрын
saaana wallah Kuna watu mwakani siwaoni😭😭😭😭
@FutureProfitinc
Жыл бұрын
Kabisaaa
@nzogyamkumbo1654
Жыл бұрын
Ebwana kwa uwezo wa Mwenyenzi Mungu mwenyewe akipenda tutaonana mwakani...
@Addinjr8774 Жыл бұрын
Huu wimbo unatakiwa uwe katika top 10 trending tukutane mwakani one love kwa Toxic
@willinjowritter206 Жыл бұрын
Mad combination..Kontawa is at the peak of his career.. much love and blessings from KENYA 🔥💯🙏❤️
@deogratiusjohn1871
Жыл бұрын
Kazi nzuri nmeikubal salute sana Mr sumu na kontawa Mzee wa champion sema nini heshima nyingi ziende kwa Direct Billy lenz kaz yako nmeiona usiihie endelea kupambana sana mshikaji...
@willinjowritter206
Жыл бұрын
@@deogratiusjohn1871 uko sahihi kabisa kaka
@roselaremigius8435 Жыл бұрын
Dah" kuna watu siwaoni mwakani" 🥺, so touching 2023 imetisha mapema sana. Well done Toxic&Kontawa👏👏❤️❤️
@killergravityyt4156 Жыл бұрын
Hii ngoma imetiii sana🔥🔥moja kali tutaonana mwakani, nipateni Kenya🇰🇪🌴👌
@abdulali8228 Жыл бұрын
kuna watu mwakani siwaoni....my best line😢😢
@clintonroimas4548 Жыл бұрын
Two Big brains in 1 track🤝🏼🍯
@joshuachristopher2356
Жыл бұрын
CHRIXBURNA is here for you African middlechild
@clintonroimas4548
Жыл бұрын
@@joshuachristopher2356 Brodaaah
@hdboytz2124 Жыл бұрын
Hili ndio lile tuliokua tunasubiria sasa lime come big up brothers 💪 gang... Toxic ft Tawa..
@sumbiasungwa8998 Жыл бұрын
This masterpiece deserves more than 100 millions views 🔥
The message is delivered... Nahsangaa kwa Nini mama hashtuki...mzee Makmb,jmk...wanaarib nchi in shadows. ...Kuna mda nataman nipate bolm afu nimpoteze yaan ni maumivu...Mkopo nastahili sababu natokea familia duni...lkn watoto w matajir ndo wanawekew 100%, si hapo tu..deni lao kwa taifa saa hii 91 trillion, afu wanasema ni deni la taifa ...mi sielew...vx wanatembelea tena sauti ya mnyonge haisikilizwi...ni hofu zimetawala juu ya kesho yangu..maana mi ni kijana 24 yrs, najua naweza kupotezwa ila ...viongoz funguka bas....kifo kipo tu, behew mnaleta mtumba kama vile mnavaa mtumba yaan , si kwa mabaya ila kumbuka Allah yupo, tulitoka mavumbin na mavumbin tutarudi
@officialmoody6246 Жыл бұрын
Kama Unakubali #Toxic Ndo Mbadala wa Stamina Nipe Like Zake Hapa #Mwakani
@puzzleman7062 Жыл бұрын
😢😢😢Naona mwakani kuna watu siwaoni😢. Dah umagusia sana hako ka vesii🤜💥🤛
@josenaphmwara9739 Жыл бұрын
Oyaaaa weeeeeee.......nyie wajomba mnaona far kichizi Cause mi mwenyewe kuna wana siwaoni mwakani.....🎤💪💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@robertnyaa3934 Жыл бұрын
Toxic Sumu, hujawahi kutuangusha bro, great Rapper✊✊🔥🔥💥💥
@sidebansakula6231 Жыл бұрын
Like zang kwa waliomuelewa KONTAWAA
@odao450 Жыл бұрын
Noma sana moto sana ...hope ungemix iwe sheng ... kiswahili & english... From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes wadau.
Hahahahaa Wale waliokua wanatembea na umeme alafu home Wakakosa LUKU ndio hao mwakani HATUWAONI daaah 😥😥
@robinmdamu3938 Жыл бұрын
You never disappoint Tawa na Toxic☠️🔥more love from 25flow🇰🇪tuonane mwakani
@talibthetruth8709
Жыл бұрын
Super creativity and splendid 🥰
@ramadhankhamis6216 Жыл бұрын
mm sio mpenzi wa hiphop, daah mi naanza kuipnda hip hop leo sio tena mwakaniiiiiiii, kiufupi kwny hii ngoma kila mstar una neno moja au zaid kanye ujumbe mzito unaokisi maisha halisi ya hapa tanzania, hawa vijana wajengewe sanamu zao pale nyerere square, serikali iwanyanyue kimanagement nasio kuwaza kuzifungia ngoma kama hii, ubora wa hii ngoma nisawa na ile ya ALIKUFA KWA NGOMA, ya FA na ile ya STAREHE ya FEROUZ, ifike wakat tuachane na ngoma nitongoze kama unanitaka maana zinawaharibu vijana, ila daaah kontawa pambana sana mwakani nakuona unapiga kolabo na JAY Z.
@morenobdi9187 Жыл бұрын
Kbx nakubali kontawa anaona kwl😂😂😂😂 jeshi kaonga mila kitu kabaki na kikohozi
@hakizimanadjuma167 Жыл бұрын
Uyu ndo TOXIC ninae mjua mimi: muandishi mzuri, ana flow zakikubwa alafu bado uyu jamaa ninoma sana
@chrisbayona411 Жыл бұрын
Ngoma moja creative sana kaka Toxic✊🏾, wakati umefika Uchukue nafasi yako kati ya Marap bora Tanzania
@directorkasope6338 Жыл бұрын
Oyaaa hii atary🔥🔥🔥
@benedictalex6838 Жыл бұрын
New trending hit song TOXIC & KONTAWA balaa zito hii ngoma mazee
@yohancabbaye7456 Жыл бұрын
Oyah wanangu mwakan mbn Kama panatisha😂😂,,,,,,,toxic fuvu umetisha bro🔥🔥
@pingumagongo1997 Жыл бұрын
😔Kuna watu mwakani siwaoni😔 hii nzito sana
@saidndaki9783 Жыл бұрын
Best hip pop collaboration 🔥🔥🔥
@iamemma5860 Жыл бұрын
Oyaaa hii ngoma iende billboard kmmk🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿hao jamaa watengenezewe sanam aisee✌🏿❤
@angelapeter8825
Жыл бұрын
Kontowa na Toxic hiyo ni kazi mzuri bro endelea bro
@sidathmwanga547 Жыл бұрын
Dah hii ngoma iko pow sana ipo vyema asee nimeisikiliza zaid ya mala 3 🙌🔥🔥
@rodgerskombo4403 Жыл бұрын
Wa kwanza nipewe like
@barakamwainuka2871 Жыл бұрын
Dha! Si poaaa wanna mmetisha good idea👏👏👏👏👏👏👏
@zakariakasimila149 Жыл бұрын
Hata tukiitoa beat .... Huu mzigo ni 🔥🔥🔥🔥
@jurcxonmwita5469 Жыл бұрын
Its nice before even listening😍😍😍😍
@claudymvanda2525 Жыл бұрын
"Daah kuna watu mwakani siwaoni" huu mstari unamaana kubwa sana...km umeuelewa weka like 👍
@khamissaid7712 Жыл бұрын
Sema mshag #tox kuna kitu Amekisoma sana kwa roma uyu chalii dah nima big up tox # Kama kontawa #ndani ya nyimbo akili tu viva roma
@whitewolftv5447 Жыл бұрын
Mwamba anajua Yan hizi nyimbo huwa anatisha sana🔥🔥🔥🔥
@yonasimoni2208 Жыл бұрын
wanaomwelewa kontawa tujuane kwa like
@justinmuna8752 Жыл бұрын
Broo una ticha sana tuko pamoja broo ❤❤❤❤❤❤
@shedrackdaudi3403 Жыл бұрын
Wimbo wangu bora wa mwaka 🔥
@gaspermisana7710 Жыл бұрын
Toxic verse whoooop , " naona ad tanesco wamewasha mishumaa 😁" toxic killed this
@revelationtz7842
Жыл бұрын
Wew ni kontawa uyo kaka (I respect TOXIC but I think Kontawa killed in this track )
@nzogyamkumbo1654
Жыл бұрын
Namuona meneja wa dawasco asubuhi haogi Bali ananawa... 🔥🔥🔥
@americainog Жыл бұрын
Ngoma ya mwana FA bado nipo nipo kwanza Nakubali jomba from+243🇨🇩🇨🇩
@jofreysaka132 Жыл бұрын
Balaaaaa Zito buku mb10 🔝🔝🔝🔝
@maswaladigitalplatform.7613 Жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo, na hawa ndio mifano bora ya wasanii.
@erickabel6201 Жыл бұрын
Hatimaye mmekutana nilikua naisubir sana hii collaboration. Ni hatariii8iiiiiiiiiii ❤️🖖🟫
@FAMILYSIMBA Жыл бұрын
KIZAZI CHENYE TALENT NZITO....
@lilmonitz4265 Жыл бұрын
Mwakani never disappoint my G 💥💥
@philradjivwardenofficiel1644 Жыл бұрын
Big Up 😇🥰 This Is Good Vibes 🔥🔥 I love this Song ❤
@humtomreyson5032 Жыл бұрын
Tatizoo ndo ilii apaaa ni kubwaa palee wanapokutana vijanaa majinii wanaojuaaa kama majinii ✊✊✊✊✊🙌🙌🙌
@stanzamobb4410 Жыл бұрын
Noma Mzee Baba
@richardmloha1762 Жыл бұрын
Hommie ✊🏻🔥🔥🔥🔥
@KirundoFilmsGroup Жыл бұрын
Nimependa kila kitu mwakani big up
@kirikuukirikuu5193 Жыл бұрын
Toxic fuvu one of the best upcoming artist
@Yosemite6060 Жыл бұрын
The song is touching..its hot 🥵 from Kenya wap like
@ketsonempire Жыл бұрын
Combination hatarii Hiii...💥💥🔥🔥🔥. Mob love from 🇰🇪
@tausikwayu3150 Жыл бұрын
Guys you kill it!!!!! This is the best song to close the year👌👌👌👌👌👌👌👌
@teddykithi7339
Жыл бұрын
Inaeleweka mwanangu tawa🔥🔥
@aloyceurio306 Жыл бұрын
Duuuh msg Kali Sanaa, mmegusa sehemu nyingi 🔥🔥🔥🔥🔥
@Yo_tune-tb5sn Жыл бұрын
Dah kunawatu mwakani hawaonekani mungu nipe nafasi yakuwepo mpka mwakani🙏🙏🙏
@hagaimadonda9145 Жыл бұрын
When two insane meet💥🔥
@barretobacca9754 Жыл бұрын
Good job guyz 🔥🔥🔥🔥 ngoma Kali sana. ❤️🇲🇿
@shobimzawa Жыл бұрын
Ngoma kali sana wanangu, mikazo iendelee..!!
@YoungpJoseph10 ай бұрын
Kila kitu ni muda tuu tazam mbele Big up mabro ambae mlifanya kaz imeenda 😎🌟
@directorshasibu Жыл бұрын
Kaka Toxic, Hii Ngoma Ni Kali Sana 🔥..... Nakubalii Sana Kazi Zako Keep Going On Ipo siku Wataamini Kwa Unachofanya Bro 🙏
@kabadt3kabadt323
Жыл бұрын
Mmetisha wanetu
@abedymtore2707 Жыл бұрын
you guys is untouchable much love
@rizikisam64816 ай бұрын
😢😢😢😢😢 apo kuna watu mwakani siwaoni dah kweli bwana kuna watu huu mwaka 2024 siwaoni. 😭😭
@DurahRich Жыл бұрын
Gomaaaa hili✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
@azaboicomedy Жыл бұрын
MasterPIECE COLLABORATION
@dladchalle9179 Жыл бұрын
Another banger 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mosamossile9113 Жыл бұрын
Oyaa sio poa Nyie Wahuni wametisha umo ndani ni kwenzi juu ya kwenzi
@willey_brandtrue9966 Жыл бұрын
Mwakani .. kuna wengine hawaonekan!! Dah!! Inauma ila ngoma kali Inapenya sanaaaa
@aloneswaggz1746 Жыл бұрын
TOXIC IS DANGER 🔥
@danieldaggo5064 Жыл бұрын
U kill it mzeeee
@neymaajuma Жыл бұрын
Big brain in one trackkkkk😂😂😂😂
@fzlcomrajabu9514 Жыл бұрын
Never disappointed 🤴 of rapper
@EMMAN57 Жыл бұрын
Respect brothers 🔥🔥🔥
@mwinyiswalehe9564 Жыл бұрын
Best much from this brothers more appreciation to them contawa ft toxic
@wizzykada9850 Жыл бұрын
Tawa kaimba Kidogo Alf kauwa tu My Geee Toxic Umetuweza aapaaa
@w_media_house Жыл бұрын
Creativity fam💪💪
@hekimajohn3070 Жыл бұрын
Tox is the best artist in the world
@zackariarabieth4909 Жыл бұрын
Ukweli kuhusu mwakani....."babe wako ana kibendi cha just a friend 🙌🏽
@stanleysamwel2679 Жыл бұрын
Oyaaa😅 finishin ya kibabeeee mamaaaaaeeeee🎉
@bigwallettvkomango4390 Жыл бұрын
Brother hongera sana nyimbo nzr na video Kali. But Kuna kitu kimemiss bro. Ili kupata utamu wa video Kuna vitu ungeongeza kdg. Kwanza pale unaangalia kwenye darubini mara ya kwanza kabisa ilibid utulie kdg kias kwamba Kuna vitu umeona. Pili. Kuna scene ilibid uzitumie hasa view ya kwenye darubini paonekane kipi unakiona hata mara moja. Mfano inaweza kuonekana sub Crip za video za harmonize akiwa na kajala anamhonga hyo gar uliyoisema. Au video za tanesco wakiwa na mishumaa. Tatu. Hakuna sehemu ambayo umechana mistari ukiwa unaangalia kwenye darubini inaleta view nzr na tofut. Yan macho yanakuwa bizy kwenye darubini huku mdomo ukiendelea kutoa maneno Nne. Huyo kontawa alivyochana amekosa utulivu kwenye darubini sehemu aliyopatia ni pale tu lIposema darubini inaona hata peponi. Bro jitahid video izungumze yenyewe hata kama mtu akizima sauti video unaielewa.
@thomasjohn2816
Жыл бұрын
Upo sahihi wafanyie kaz
@youngboytz2662 Жыл бұрын
Like za kutosha kwa kontawa please 💪🙏🙏
@redtz Жыл бұрын
Inaenda kuvunja record ya ngoma zako Kali KIFO, DALILI, JINAI. Inaenda kuwa best song kwangu Mimi ukali naona video imepambwa na wanangu Sana @max Traven na @kenzo cyrax💥💥
@johnsonchonja40322 ай бұрын
Contawa contawa contawa dope dope dope🔥🔥🤣
@chrisbaraka6854 Жыл бұрын
Eeish!! When the king stands, y'all should sit down!!!..mad talent Toxic and Tawa...tuonaeni 254.
@amosjuma4362 Жыл бұрын
Toxic X tawa wote n wakali sanaaaa hawa jamaa👏👏👏👏👏👏
@patrickbasil9825 Жыл бұрын
This is LIT 💥
@jacksonmfyagidzi943 Жыл бұрын
ngoma kaliii xana mmeua wanangu
@BILLIONAIRE_KINGKONG Жыл бұрын
Ukisha mtaja harmonize kwa nyimbo ako unafanikiwa direct bro congratulations
@maxmilianmexades6684 Жыл бұрын
kontawa mg geee namkubali leo kesho huyu jamaa
@brekmohammed8044 Жыл бұрын
Hii ngoma kiboko duuuh,i say Tòxic na Kontawa wameuwa mwakani
@shwariahmad9249 Жыл бұрын
Aseee kumbe tuna watu wenye talent kias hiki vijana tushikane mikono kupush wale wanaojituma Kama Hawa leo naongeza rapa mwingine kwenye list ya best rapa toxic
Пікірлер: 941
Wanangu wa TOX tujuane kwa like jaman 🔥🔥🔥🔥
@stephenmaroa6178
Жыл бұрын
💯
@SEXYMOMO
Жыл бұрын
📞
@officialmanji4438
Жыл бұрын
Respect Sana
@worldhappiness1181
Жыл бұрын
Huyu namkubal kitambo sana
@kephadonald3299
Жыл бұрын
Huy mxenge nlikuwa cmjui lkn kumbe mnyama🔥🔥🔥
"Mwamba amehonga Kila kitu ila amebaki na kikohozi" Aliye iskia gonga like hapo🤟🤟🤟🤟
@hasheemomary4507
Жыл бұрын
😁😁
@sanchostylist...9719
Жыл бұрын
Konde...😁
@enemwescumulus3379
Жыл бұрын
Safi sana good idea
@nobertyohani5637
Жыл бұрын
😁😁😂😂😂😂😂. Nimesikia hapo
@triphonechami1037
Жыл бұрын
Kuna Connection nyingi
Ndio mwaka tunaumaliza Ivi..Kheri ya mwaka 2024 wanangu,ila kweli kuna watu kibao mwaka wameshindwa kuumaliza,ukiwa mzee gonga like tukimshukuru Mungu
Ewaaa nimewai nipen like zangu twende sawa
Kuna watu mwakani siwaoni🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Konga like twenzetu
The finishing part of Kontawa is so Touching
@arynxbaba9091
Жыл бұрын
saaana wallah Kuna watu mwakani siwaoni😭😭😭😭
@FutureProfitinc
Жыл бұрын
Kabisaaa
@nzogyamkumbo1654
Жыл бұрын
Ebwana kwa uwezo wa Mwenyenzi Mungu mwenyewe akipenda tutaonana mwakani...
Huu wimbo unatakiwa uwe katika top 10 trending tukutane mwakani one love kwa Toxic
Mad combination..Kontawa is at the peak of his career.. much love and blessings from KENYA 🔥💯🙏❤️
@deogratiusjohn1871
Жыл бұрын
Kazi nzuri nmeikubal salute sana Mr sumu na kontawa Mzee wa champion sema nini heshima nyingi ziende kwa Direct Billy lenz kaz yako nmeiona usiihie endelea kupambana sana mshikaji...
@willinjowritter206
Жыл бұрын
@@deogratiusjohn1871 uko sahihi kabisa kaka
Dah" kuna watu siwaoni mwakani" 🥺, so touching 2023 imetisha mapema sana. Well done Toxic&Kontawa👏👏❤️❤️
Hii ngoma imetiii sana🔥🔥moja kali tutaonana mwakani, nipateni Kenya🇰🇪🌴👌
kuna watu mwakani siwaoni....my best line😢😢
Two Big brains in 1 track🤝🏼🍯
@joshuachristopher2356
Жыл бұрын
CHRIXBURNA is here for you African middlechild
@clintonroimas4548
Жыл бұрын
@@joshuachristopher2356 Brodaaah
Hili ndio lile tuliokua tunasubiria sasa lime come big up brothers 💪 gang... Toxic ft Tawa..
This masterpiece deserves more than 100 millions views 🔥
Daaah aise bongelachupa mwishon limetak kuniliz daah acha tuangalie mwakan itakuwaje
Vichwa vibovuu....toxiiiikiiiii@254 tunakubali
The message is delivered... Nahsangaa kwa Nini mama hashtuki...mzee Makmb,jmk...wanaarib nchi in shadows. ...Kuna mda nataman nipate bolm afu nimpoteze yaan ni maumivu...Mkopo nastahili sababu natokea familia duni...lkn watoto w matajir ndo wanawekew 100%, si hapo tu..deni lao kwa taifa saa hii 91 trillion, afu wanasema ni deni la taifa ...mi sielew...vx wanatembelea tena sauti ya mnyonge haisikilizwi...ni hofu zimetawala juu ya kesho yangu..maana mi ni kijana 24 yrs, najua naweza kupotezwa ila ...viongoz funguka bas....kifo kipo tu, behew mnaleta mtumba kama vile mnavaa mtumba yaan , si kwa mabaya ila kumbuka Allah yupo, tulitoka mavumbin na mavumbin tutarudi
Kama Unakubali #Toxic Ndo Mbadala wa Stamina Nipe Like Zake Hapa #Mwakani
😢😢😢Naona mwakani kuna watu siwaoni😢. Dah umagusia sana hako ka vesii🤜💥🤛
Oyaaaa weeeeeee.......nyie wajomba mnaona far kichizi Cause mi mwenyewe kuna wana siwaoni mwakani.....🎤💪💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Toxic Sumu, hujawahi kutuangusha bro, great Rapper✊✊🔥🔥💥💥
Like zang kwa waliomuelewa KONTAWAA
Noma sana moto sana ...hope ungemix iwe sheng ... kiswahili & english... From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes wadau.
Kontawa kaimba kidogo ilq kauwa kinoma salute tawa minachekaga sijaisikia kaka
Hahahahaa Wale waliokua wanatembea na umeme alafu home Wakakosa LUKU ndio hao mwakani HATUWAONI daaah 😥😥
You never disappoint Tawa na Toxic☠️🔥more love from 25flow🇰🇪tuonane mwakani
@talibthetruth8709
Жыл бұрын
Super creativity and splendid 🥰
mm sio mpenzi wa hiphop, daah mi naanza kuipnda hip hop leo sio tena mwakaniiiiiiii, kiufupi kwny hii ngoma kila mstar una neno moja au zaid kanye ujumbe mzito unaokisi maisha halisi ya hapa tanzania, hawa vijana wajengewe sanamu zao pale nyerere square, serikali iwanyanyue kimanagement nasio kuwaza kuzifungia ngoma kama hii, ubora wa hii ngoma nisawa na ile ya ALIKUFA KWA NGOMA, ya FA na ile ya STAREHE ya FEROUZ, ifike wakat tuachane na ngoma nitongoze kama unanitaka maana zinawaharibu vijana, ila daaah kontawa pambana sana mwakani nakuona unapiga kolabo na JAY Z.
Kbx nakubali kontawa anaona kwl😂😂😂😂 jeshi kaonga mila kitu kabaki na kikohozi
Uyu ndo TOXIC ninae mjua mimi: muandishi mzuri, ana flow zakikubwa alafu bado uyu jamaa ninoma sana
Ngoma moja creative sana kaka Toxic✊🏾, wakati umefika Uchukue nafasi yako kati ya Marap bora Tanzania
Oyaaa hii atary🔥🔥🔥
New trending hit song TOXIC & KONTAWA balaa zito hii ngoma mazee
Oyah wanangu mwakan mbn Kama panatisha😂😂,,,,,,,toxic fuvu umetisha bro🔥🔥
😔Kuna watu mwakani siwaoni😔 hii nzito sana
Best hip pop collaboration 🔥🔥🔥
Oyaaa hii ngoma iende billboard kmmk🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿hao jamaa watengenezewe sanam aisee✌🏿❤
@angelapeter8825
Жыл бұрын
Kontowa na Toxic hiyo ni kazi mzuri bro endelea bro
Dah hii ngoma iko pow sana ipo vyema asee nimeisikiliza zaid ya mala 3 🙌🔥🔥
Wa kwanza nipewe like
Dha! Si poaaa wanna mmetisha good idea👏👏👏👏👏👏👏
Hata tukiitoa beat .... Huu mzigo ni 🔥🔥🔥🔥
Its nice before even listening😍😍😍😍
"Daah kuna watu mwakani siwaoni" huu mstari unamaana kubwa sana...km umeuelewa weka like 👍
Sema mshag #tox kuna kitu Amekisoma sana kwa roma uyu chalii dah nima big up tox # Kama kontawa #ndani ya nyimbo akili tu viva roma
Mwamba anajua Yan hizi nyimbo huwa anatisha sana🔥🔥🔥🔥
wanaomwelewa kontawa tujuane kwa like
Broo una ticha sana tuko pamoja broo ❤❤❤❤❤❤
Wimbo wangu bora wa mwaka 🔥
Toxic verse whoooop , " naona ad tanesco wamewasha mishumaa 😁" toxic killed this
@revelationtz7842
Жыл бұрын
Wew ni kontawa uyo kaka (I respect TOXIC but I think Kontawa killed in this track )
@nzogyamkumbo1654
Жыл бұрын
Namuona meneja wa dawasco asubuhi haogi Bali ananawa... 🔥🔥🔥
Ngoma ya mwana FA bado nipo nipo kwanza Nakubali jomba from+243🇨🇩🇨🇩
Balaaaaa Zito buku mb10 🔝🔝🔝🔝
Hizi ndio nyimbo, na hawa ndio mifano bora ya wasanii.
Hatimaye mmekutana nilikua naisubir sana hii collaboration. Ni hatariii8iiiiiiiiiii ❤️🖖🟫
KIZAZI CHENYE TALENT NZITO....
Mwakani never disappoint my G 💥💥
Big Up 😇🥰 This Is Good Vibes 🔥🔥 I love this Song ❤
Tatizoo ndo ilii apaaa ni kubwaa palee wanapokutana vijanaa majinii wanaojuaaa kama majinii ✊✊✊✊✊🙌🙌🙌
Noma Mzee Baba
Hommie ✊🏻🔥🔥🔥🔥
Nimependa kila kitu mwakani big up
Toxic fuvu one of the best upcoming artist
The song is touching..its hot 🥵 from Kenya wap like
Combination hatarii Hiii...💥💥🔥🔥🔥. Mob love from 🇰🇪
Guys you kill it!!!!! This is the best song to close the year👌👌👌👌👌👌👌👌
@teddykithi7339
Жыл бұрын
Inaeleweka mwanangu tawa🔥🔥
Duuuh msg Kali Sanaa, mmegusa sehemu nyingi 🔥🔥🔥🔥🔥
Dah kunawatu mwakani hawaonekani mungu nipe nafasi yakuwepo mpka mwakani🙏🙏🙏
When two insane meet💥🔥
Good job guyz 🔥🔥🔥🔥 ngoma Kali sana. ❤️🇲🇿
Ngoma kali sana wanangu, mikazo iendelee..!!
Kila kitu ni muda tuu tazam mbele Big up mabro ambae mlifanya kaz imeenda 😎🌟
Kaka Toxic, Hii Ngoma Ni Kali Sana 🔥..... Nakubalii Sana Kazi Zako Keep Going On Ipo siku Wataamini Kwa Unachofanya Bro 🙏
@kabadt3kabadt323
Жыл бұрын
Mmetisha wanetu
you guys is untouchable much love
😢😢😢😢😢 apo kuna watu mwakani siwaoni dah kweli bwana kuna watu huu mwaka 2024 siwaoni. 😭😭
Gomaaaa hili✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
MasterPIECE COLLABORATION
Another banger 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oyaa sio poa Nyie Wahuni wametisha umo ndani ni kwenzi juu ya kwenzi
Mwakani .. kuna wengine hawaonekan!! Dah!! Inauma ila ngoma kali Inapenya sanaaaa
TOXIC IS DANGER 🔥
U kill it mzeeee
Big brain in one trackkkkk😂😂😂😂
Never disappointed 🤴 of rapper
Respect brothers 🔥🔥🔥
Best much from this brothers more appreciation to them contawa ft toxic
Tawa kaimba Kidogo Alf kauwa tu My Geee Toxic Umetuweza aapaaa
Creativity fam💪💪
Tox is the best artist in the world
Ukweli kuhusu mwakani....."babe wako ana kibendi cha just a friend 🙌🏽
Oyaaa😅 finishin ya kibabeeee mamaaaaaeeeee🎉
Brother hongera sana nyimbo nzr na video Kali. But Kuna kitu kimemiss bro. Ili kupata utamu wa video Kuna vitu ungeongeza kdg. Kwanza pale unaangalia kwenye darubini mara ya kwanza kabisa ilibid utulie kdg kias kwamba Kuna vitu umeona. Pili. Kuna scene ilibid uzitumie hasa view ya kwenye darubini paonekane kipi unakiona hata mara moja. Mfano inaweza kuonekana sub Crip za video za harmonize akiwa na kajala anamhonga hyo gar uliyoisema. Au video za tanesco wakiwa na mishumaa. Tatu. Hakuna sehemu ambayo umechana mistari ukiwa unaangalia kwenye darubini inaleta view nzr na tofut. Yan macho yanakuwa bizy kwenye darubini huku mdomo ukiendelea kutoa maneno Nne. Huyo kontawa alivyochana amekosa utulivu kwenye darubini sehemu aliyopatia ni pale tu lIposema darubini inaona hata peponi. Bro jitahid video izungumze yenyewe hata kama mtu akizima sauti video unaielewa.
@thomasjohn2816
Жыл бұрын
Upo sahihi wafanyie kaz
Like za kutosha kwa kontawa please 💪🙏🙏
Inaenda kuvunja record ya ngoma zako Kali KIFO, DALILI, JINAI. Inaenda kuwa best song kwangu Mimi ukali naona video imepambwa na wanangu Sana @max Traven na @kenzo cyrax💥💥
Contawa contawa contawa dope dope dope🔥🔥🤣
Eeish!! When the king stands, y'all should sit down!!!..mad talent Toxic and Tawa...tuonaeni 254.
Toxic X tawa wote n wakali sanaaaa hawa jamaa👏👏👏👏👏👏
This is LIT 💥
ngoma kaliii xana mmeua wanangu
Ukisha mtaja harmonize kwa nyimbo ako unafanikiwa direct bro congratulations
kontawa mg geee namkubali leo kesho huyu jamaa
Hii ngoma kiboko duuuh,i say Tòxic na Kontawa wameuwa mwakani
Aseee kumbe tuna watu wenye talent kias hiki vijana tushikane mikono kupush wale wanaojituma Kama Hawa leo naongeza rapa mwingine kwenye list ya best rapa toxic