Kontawa: Mke (Lyrics Video) Based on Story
Музыка
Hii ni kwa mashabiki zangu wote mnaopenda mziki wangu
Hi ni moja ya story kali sana, Ambayo mimi binafsi huwa navutiwa Nayo. Enjoy🔥🙏🏾
This is for all my fans who love my music
This is one of the strongest stories, which I am personally interested in 🙏🏾Enjoy🔥
Audio produced by papa
Directed by Numz
Written by me
#kontawa #story #mke
Пікірлер: 765
Ivi mnajua kontawa akiamua kuimba ile serious kabxa tunampata mtu mwingine kabxa na mi naona upande uo atatisha zaidi xio kwamba uku kwenye rap hayupo poa yuko vzr sana tena sana ila muziki wa kuimba nafikiri utampa sana pesa kutokana na watu wanaosapot ni wengi zaidi
@georgemronda7693
Жыл бұрын
Namuona King zilla kabisaa hapaa
@kingvoice4669
Жыл бұрын
Mwanangu kontawa anajuwa sana bigapu sana ntawa
@rashidizenge4218
Жыл бұрын
Tawaaa kwahaya mashairi anyo yatoa umetisha sanaa✍️🔥🔥🔥🔥
@kapona927
Жыл бұрын
Kweli akiimba Anajua anakua mnomaa
@jumatingi2047
Жыл бұрын
Azzah Dorah Nakuunga mkono kk
Love from Kenya....wapi like zake jameni
Haujawahi Niangusha Kaka Tawa🔥🔥 Good story
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
Hii hapa 👇.....🕊 kzread.info/dash/bejne/hquets2vqNvTcZc.html
Ntawa we ni Nyoko Sana hujawahi tuangusha wahuni🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka una uwezo na story unazoimba ziko true. Mimi hapa shabiki wako wa kitu cha kwanza,big up!🎶💖
Wewe ni star wangu ninaye moenda 💗💗💖💋
this guy is serious a rapper...ana story ambazo ni nzuri sanaaa
Ila TAWA uko vzur mno kwenye aina hii ya nyimbo🔥🔥🔥
bro we ni mkali Kwa utunzi mungu akuzidishie Sema TAWA TAWA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mashairi yaliyopangwa kweli I love ❤️ Kontawa #🇰🇪
kontawa best of best 🎉❤ more love more blessing
Hii story nikama nishawahi kuskia ila ulivyoihadisia umeongeza utamu na manjonjo #Umetisha #Kontawa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
Chiiiiii👋😻we waiting
kontawa man uko sawa unafow vyaani huwezi AMINI, bonge la ng0ma
Uko vizur kontawa mungu atakusaidia usijal mwaya
U alwys drop the movies 💥 can't wait......
Ime bidi nirudie hii ngoma 🔥🔥🔥🙌🙌
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥🤍
Tawa umeua bana umenibamba much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉 yuvu Master of tawa unajuwa xan kaka 😢😢😢
💯🤗🤗🤗much love from kenya unajuwa baba shikamoo
Daaaah tumekosa mke hapo 🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿
Kizazi sanaa tawa unanyoosha mno blessing 2 you
@kontawa7342
Жыл бұрын
🔥🙏🏾💪🏽
Wanaoimba good music hawana nyota wenye nyota wanaimba kawaidaa daaaah😭😭😭one day yes go TAWA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥
We Waiting For This Awesome Brodah Hujawahi Niangusha
Tawa Bhanaa🔥🔥
We bana wewe 🙌🙌🙌🙌🙌😀😀😀😀😀 yaaan storii haiishii masikioni
@Kusali from Kenya I love the lyrics 🔥 You good Kontawa 👊✊
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥
Anyone can sing but not everyone can tell a story they a song.
Hii style yako ya uimbaji ni ya kichoko achana nayo, endelea kuflow kama zamani....
story imefika hadi komoro 🇰🇲🇰🇲 ... big story and big up sn bro
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🤍
Woooow am so proud of u. Ongeza bidii uchukue tunzo.
More love from kenya bro,i really i admire everything ,this song is on another level
Mwenetu kontawa tunakubali .....Dunga mawe
😳😳😳 Masaibu kwa siku moja mzee 🤣🤣💪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🔥♨️
🔥🔥🔥🔥🔥 nakubali sana kontawa big up much love from Kenya 🇰🇪(254)
Alaways huna kazi mbovu Be blessed tawa✊🏽
Kaza homeboy zaidi ya hapa uje kua na jina la uelimishaj na uburudishaj
Daaah congratulations 🎉 bro uko poa sana hii ngoma na doctor nimezielewaaah
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥
Oyaa wewe sio wa level hiiii 🙏🙏🙏🙏
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾
Nomaree kijana ya mwea amema ni fire
Talended boy huna kazi mbovu TAWAAAAA
kaka ume weza San kwenye hii ngoma 🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kontawa wew daaaah unajua mpaka unakera 🔥 🔥 🔥 🔥
Jaman Mimi nakupenda kontawa...😍😍😘
Jamaa naona jitu frani ivi ndani yake yaani ameonyesha ubunifu
tawa shikamoo sna Neno kwako Kaka uyujamaa nifundi asee
hizi nyimbo zinanikumbusha mbali Sana kont unaimba kwa mafumbo .hivi ni kweli ulienda jera na kufukiwa ukiwa mzima
Big up ✌🏿✌🏿✌🏿🇰🇲
daah mwanang umetisha sana nyimbo saf sana hii
Asante harmo uyu jamaaa anajuwa kabisa ila nilikuwa simufaham ila kutokan na remix ya i am champion namufaham sasa
TAWAAA KAMAAA TAWAAAAAA
Here we gooo
Broo kwakweli ngoma zako kiboko sana afu zinafundisha sana nakubar sana kaka popote ulipo
Huu ndo utofauti tunaoutafuta kwenye hiphop muzik sio punch tu but how you write your stanza nimependa sana real excited
Unajua sana broh fanya mpango mkutane na @dizasta vina mtaua ataree
Am in wait bench.
Yho mzee baba iyi kali kishenz bro much love from captown south africa
@kontawa7342
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
mungu akusaidie weee jamaaa unajua San kuimba
munyama... kontawa good mungu akutangulie kk
Fundiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥
Nakukubali hujawahi kuniangusha keep it up 👍 my G🥰
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥
Mungu ibaraki Tanzania kazi nzuri
Comment kutoka visiwani😂😂 comment la kivita yaani mwambaaa huyuuu hapaaaaa🌴🌴🌴🌴🌴🏝🏝🤣😂 🔥 ngoma ya kwenda💪🏿
@rajabukinoge3094
Жыл бұрын
😄😄
Oaaa ,kontawa anajua ni kisengee bana
We jamaaa fire 🔥🔥 sanaaaa
Nmependa ufundi wa kishule,hii inataka makini ukisikiza
Safiiiii Kaz nitakusapot na mm nitakuja kuimba kama ww
Kontwa brooo hakika unajua sana kaza tuuu
Weeèee mbwaaaa unajuaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🚀🚀🚀🚀🚀🚀🚀
nimeskiza huu wimbo kwa umakini sana ...ikabidi nisubscribe bana talent ipo zidi mwanangu na mziki wa aina hii
Ka story cha kitambo sema kamekaa 🔥🔥🙌
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥
Tawa anapenda mpila kwa sababu ametokana na bao sjui mmeiskia iyo
Talent 🔥 uyu aisee ni kipaji
👍👍👍👌👌ngoma imesimama kaka salute xanaaaa
Nimependaaa
A rapper from Congo Nakupata Sanaa bro
Nishakuwa shabiki yako bro I like how you sing salutations
Quality and brilliant idea ang good music
THE WAITING is OVER 🔥🔥🔥
@kontawa7342
Жыл бұрын
🔥🔥
Umeweza kaka najaribu kama ww
Kontawa kazinzuri uki mtafuta kijana kwa jina la Zwingli Alama mtupepe rusha bendera la duniya nzima ila wewe nitakacho kuomba zidi kuandika utafika
Uyu mwamba stoli sjui ata anazipata wap mnyama Sana 🎵🎶
Nakua speechless Kwa uyu mwamba lemme say in capital letters,,,LET NTAWA 💕KONTAWA BE MY BEST RAPPER IN DIS YEAR💕💕MUCH LOVE 💖💖
Daah umeuwa mwanangu noma sana
@kontawa7342
Жыл бұрын
🔥🔥🙏🏾
Hili Dubwanaaa
Why do i feel kantawa is underated.. Champ is making a masterpieces back to back .. more love brother 💥🔥
Tawaaaa🔥🔥🔥🔥
Mashine zipo nyingi dar ila kontawa ni baba laoooooo kweliiiii
Kontawa my best star
Big talent ❤
Hawawana wanajua sana2
Daaaah wee jamaaa ni shidaaa 🔥🔥🔥
Kak umetisha noma kwangu ihh ningoma ya #3ontrending
Haujawilahii niangusha ongera unanijaja sana tawa
Hii Balaaa jinginee
@kontawa7342
Жыл бұрын
🔥🙌🏽💪🏽
This is real song brow, keep going your time is now
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🔥
Uko poa sanaa kaka pambanaa nakukubaliiisanaa
Mhh mwamba umepangilia👐👐👏
Hiii haina kuchimba dawa ✊🔥🔥🔥🔥
TAWA of Babylon🔥... much love and blessings from KENYA💯
@kontawa7342
Жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾🔥