Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili
@ChristopherDaniel-zk1lx8 ай бұрын
Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤
@kyuneshila67508 ай бұрын
Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe
@neemaisaac835610 ай бұрын
Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana
@africandarling6925 Жыл бұрын
HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada
@malaikajabali-oj2fh8 ай бұрын
Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hegikibaby11209 ай бұрын
upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
@anithasimon2830
Ай бұрын
Hakika inahisia kali jamani
@rehemakenethi-tu2co8 ай бұрын
Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo
@aloyceponela32492 ай бұрын
Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu
@shufaahmmmohamed18336 ай бұрын
Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia
@AgredaMoyo-ni2jp Жыл бұрын
Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda
@beathagabriel84387 ай бұрын
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
@BeibyBonny7 ай бұрын
Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏
@mwazanimnyamani84938 ай бұрын
Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina
@evematinya60277 ай бұрын
Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo
@zuhurasaid17 күн бұрын
Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana
@user-oc7pc2db6f8 ай бұрын
Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤
@firmakisika50733 ай бұрын
Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni
@jacintatheuri53727 ай бұрын
This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿
@emmykishindo28529 ай бұрын
Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo
@marycelestin65868 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤
@user-xc4or2vp6l6 ай бұрын
Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah. Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤
@agneskaseya8473 Жыл бұрын
Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
@bokomapesaАй бұрын
Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina
@BAYINAVALENTINE-lu3vl11 ай бұрын
AMAZING STORRY
@heriethmozes815110 ай бұрын
Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki
@FELISTAKAIMBIАй бұрын
Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo
@naomindulu23067 ай бұрын
Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏
@lydiawanjiru12594 ай бұрын
Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today
@NafisaJumanneMwanzalimaАй бұрын
Mungu amtuze huyu dada😊😊
@simphrosaclavery47195 ай бұрын
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
@user-eq1xh3so2j Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila
@hannahtembo8280Ай бұрын
Baraka nikumbuke nami❤❤❤
@mellenondieki63295 ай бұрын
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
@elisantemrita9490 Жыл бұрын
Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu
@elizabethmvumu188110 ай бұрын
Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.
@deedee36148 ай бұрын
Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️
@naomindulu2306
7 ай бұрын
Me too my tears come out.❤
@FurahaMajilanga-ny8xj2 ай бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉
@joankhalumi25645 ай бұрын
This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi
@anithasimon2830Ай бұрын
Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏
@edwardwangombe23587 ай бұрын
So nice, i respect this lady and the family.
@user-um2wn9rm4i5 ай бұрын
Its good to appreciate may God bless you
@user-dm4zn3ry6n8 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani
@raysoneustace6359Ай бұрын
Wema hauzi nikwer❤
@user-wu7dn6fb9x7 ай бұрын
Nawapenda jmn mmelelewa Kwa upendo wa Hali ya juu saan, mbarikiwe na mungu
@stanleymsenga24362 ай бұрын
Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali
@malangwandekeja61167 ай бұрын
Duuh Mungu ambariki huyo Dada maradufu kwa moyo huo mzuri.
@user-iz5uq8qo6r Жыл бұрын
❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri
@EsterMbukwaАй бұрын
Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako
@marysona99999 ай бұрын
Hayo ndiyo matunda ya kusoma seminari kujengewa moyo wa upendo na kuwa kioo chema ktk jamii. Hongera kwa kumuibua Nicolina.
@verobecamfipa8655
8 ай бұрын
Ni kweli ata nilikuwa na boyfriend alisoma shule za seminali alikuwa na upendo xana na imani ya kupitiliza na ustarabu wa hali ya juuu aixeee
@joycesamweli12198 ай бұрын
She did take good care of them God bless you Dads
@khadijatanzania7817 Жыл бұрын
Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu
@PauloKasimuАй бұрын
Mungu akubariki sana
@HadijaZabroni-pu1lt11 ай бұрын
Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha
@itikamlagalila1911 Жыл бұрын
Mungu na awabariki thoughtful kids❤
@user-ql7to3rm3p8 ай бұрын
Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Stephaniealphonce
16 күн бұрын
Ilinga
@marymwandandila93273 ай бұрын
Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu
@NeemaStephanomjengi-xq4dg6 ай бұрын
Kaka NDOA yako owe ya baraka sana kwa kukumbuka dada aliyewalea
@magrethlucas55057 ай бұрын
Mmenifanya nimelia jmn ni binti yangu Eliza Mungu amtunze tu kwa kweli kasimama vyema katika kulea wanangu
@anithawidambe75433 ай бұрын
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
@kamgishaisaya47637 ай бұрын
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.
@Stephaniealphonce16 күн бұрын
Daah nimejikuta nalia wallah
@VerediaChalamila2 ай бұрын
Huyu dada alijielewa nn anafanya na nn kimempeleka, maana wadada wa kileo ni mtihani ubahatike tuu
@RaysMerige-cn6xg3 ай бұрын
Mmh hongera kaka Kwa kukumbuka aliekuosha
@beatricefredilick1646 Жыл бұрын
Uliwalea vizuri sana
@fidelisluvanda3585 Жыл бұрын
Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional
@israelkisaila8401
8 ай бұрын
Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa
@herriethchamuriho52898 ай бұрын
Imani huzaa upendo wa kweli
@ruthmukami75736 ай бұрын
Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.
@rehemakanyere4188
25 күн бұрын
Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana
@greenandriano61182 ай бұрын
Wema ni hazina 😊😊
@DaudiSita-rg3usАй бұрын
Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana
@user-mi6dn2ez3f9 ай бұрын
Mungu awabariki❤
@nancychiboi71334 ай бұрын
Wow God bless u mum
@brianoduor11186 ай бұрын
What kanitoa machozi Mungu ambariki mwanadada huyo
@user-gj6mv4ko4h6 ай бұрын
Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho
@ShamsiaMuhagamaАй бұрын
Ni wachache sana kukumbuka fadhira
@raniy0262 Жыл бұрын
Ni wachache wanaokumbuka fadhila
@user-lb9ek2qf7d6 ай бұрын
Mungu awabalik😂😂😂💓💓💓
@mwazanimnyamani84932 ай бұрын
Huyu dada jamani kila ninavyoiona hii video lazima nicoment wadada wenye roho mbaya igeni huu mfano aa huyu dada
@user-xy5nc7hp7j2 ай бұрын
Mungu andelee kuwabariki sana sana
@user-nh9ql5fx7s8 ай бұрын
Kwa marayakwanza kuona mungu akubariki.
@user-jg9nd9jd9n6 ай бұрын
Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya
@liannsambu72644 ай бұрын
Great surprise and this is unique
@IsabelaLeonard3 ай бұрын
sanaaa nimependaaa
@ElizabethOmutanyi8 ай бұрын
Be blessed❤
@OmanOman-ky2oo Жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤
@user-tq3cf9rg8s2 ай бұрын
Hakika mungu awabariki
@aud5487 ай бұрын
Sio dada bro . .huyo ni mama mlezi😢
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Masha allaah
@beatricefredilick1646 Жыл бұрын
Ni upendo wa ajabu asanteni sanaa
@salomekwilasa38928 ай бұрын
brought me to tears... lovely 🥰
@user-lo9lh5iy1c8 ай бұрын
Jmn ww dada utunzwe na Yesu Maan ni wachache mno wadada wa hivi
@EmanueliBoiАй бұрын
Anastazia muema
@rosebarasa845610 ай бұрын
Bi harusi iyo heshima usivunje tafadhali ❤❤❤❤❤
@JullianaBoazАй бұрын
Namfananisha na marry
@faridampota-jh9rx8 ай бұрын
Uyu kaka anamoyo mke anaonekana kisilani
@bellatrixblack4491
8 ай бұрын
Umeonaee
@dorsaonyari91242 ай бұрын
Beautiful
@user-fs1eu8nl5y3 ай бұрын
Kiukweli hata Mimi nimehisi kutokwa na machozi hasa nilipona bwana Harusi anatokwa na machozi ,kijana uendelee na moyo wa upendo
@user-fv9bx5ct7b7 ай бұрын
Jamani raha yaani dada mikolina amewambukiza watoto roho yake ya upendo Mungu wa mbinguni akutunze dada.
Пікірлер: 184
Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili
Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤
Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe
Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana
HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada
Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
@anithasimon2830
Ай бұрын
Hakika inahisia kali jamani
Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo
Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu
Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu
Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia
Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏
Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina
Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo
Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana
Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤
Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni
This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿
Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo
❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤
Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah. Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤
Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina
AMAZING STORRY
Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki
Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo
Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏
Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today
Mungu amtuze huyu dada😊😊
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila
Baraka nikumbuke nami❤❤❤
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu
Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.
Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️
@naomindulu2306
7 ай бұрын
Me too my tears come out.❤
Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉
This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi
Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏
So nice, i respect this lady and the family.
Its good to appreciate may God bless you
Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani
Wema hauzi nikwer❤
Nawapenda jmn mmelelewa Kwa upendo wa Hali ya juu saan, mbarikiwe na mungu
Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali
Duuh Mungu ambariki huyo Dada maradufu kwa moyo huo mzuri.
❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri
Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako
Hayo ndiyo matunda ya kusoma seminari kujengewa moyo wa upendo na kuwa kioo chema ktk jamii. Hongera kwa kumuibua Nicolina.
@verobecamfipa8655
8 ай бұрын
Ni kweli ata nilikuwa na boyfriend alisoma shule za seminali alikuwa na upendo xana na imani ya kupitiliza na ustarabu wa hali ya juuu aixeee
She did take good care of them God bless you Dads
Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu
Mungu akubariki sana
Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha
Mungu na awabariki thoughtful kids❤
Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Stephaniealphonce
16 күн бұрын
Ilinga
Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu
Kaka NDOA yako owe ya baraka sana kwa kukumbuka dada aliyewalea
Mmenifanya nimelia jmn ni binti yangu Eliza Mungu amtunze tu kwa kweli kasimama vyema katika kulea wanangu
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.
Daah nimejikuta nalia wallah
Huyu dada alijielewa nn anafanya na nn kimempeleka, maana wadada wa kileo ni mtihani ubahatike tuu
Mmh hongera kaka Kwa kukumbuka aliekuosha
Uliwalea vizuri sana
Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional
@israelkisaila8401
8 ай бұрын
Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa
Imani huzaa upendo wa kweli
Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.
@rehemakanyere4188
25 күн бұрын
Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana
Wema ni hazina 😊😊
Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana
Mungu awabariki❤
Wow God bless u mum
What kanitoa machozi Mungu ambariki mwanadada huyo
Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho
Ni wachache sana kukumbuka fadhira
Ni wachache wanaokumbuka fadhila
Mungu awabalik😂😂😂💓💓💓
Huyu dada jamani kila ninavyoiona hii video lazima nicoment wadada wenye roho mbaya igeni huu mfano aa huyu dada
Mungu andelee kuwabariki sana sana
Kwa marayakwanza kuona mungu akubariki.
Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya
Great surprise and this is unique
sanaaa nimependaaa
Be blessed❤
Mashallah ❤❤❤
Hakika mungu awabariki
Sio dada bro . .huyo ni mama mlezi😢
Masha allaah
Ni upendo wa ajabu asanteni sanaa
brought me to tears... lovely 🥰
Jmn ww dada utunzwe na Yesu Maan ni wachache mno wadada wa hivi
Anastazia muema
Bi harusi iyo heshima usivunje tafadhali ❤❤❤❤❤
Namfananisha na marry
Uyu kaka anamoyo mke anaonekana kisilani
@bellatrixblack4491
8 ай бұрын
Umeonaee
Beautiful
Kiukweli hata Mimi nimehisi kutokwa na machozi hasa nilipona bwana Harusi anatokwa na machozi ,kijana uendelee na moyo wa upendo
Jamani raha yaani dada mikolina amewambukiza watoto roho yake ya upendo Mungu wa mbinguni akutunze dada.
Mmeniliza sana😢