No video
TIZI LIMEKOLEA CHINI YA KOCHA FADLU DAVIDS JASHO LINAMWAGIKA/HAKUNA KUPOA MAZOEZI MWANZO MWISHO
SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com/tz/app/simba-s...
📱 Play Store - play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC KZread Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Пікірлер: 252
Jamaan eeehhh simba atacheza round ya 2 kati ya mshind uhamiaji fc ya Zanzibar na Libya 1 ya Libya weka like nying sanaaa kama unaamini simba bingwa kombe la shirikisho
To me nasemajeeeeeh nasemajeeeeeh THE RETURNS OF CHAPIONS simba nguvu moja 💪💪💪💪💪
This year we are winning the local league and African Confederation cup and this project will bring the African Champions league cup in the future
Simba Yangu team Yang niipendayo Duniani ♥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ naiombea wakati mwema ktk mashndano yote,
simba's my life❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
We're back to the top......#Nguvu_moja
Chamou karaboue 💥💥💥💥💥💥💥 simba family
Ya Rahman walinde wachezaji wetu wote wape nguvu ya kuitumikia clab kujituma katika mazoez wape upeo wa kumuelewa mwalimu na kufanyia kaz mbinu za mwalimu wa ondolee mabaraha yote na uwarinde na majeraha amen 🤲🤲
Hii ndio simba. Simba iliopita wachezaji walikuwa wanategea maxoezi. Ufadha ulikuwa mwingi sana.
@ElizabethLukosya-lv2vf
25 күн бұрын
Siyo walikuwa wanategea, no kwamba uzee uliingia mifupa ilikomaa, ona hawa vijana
Unyama ni mwingi sisi tuko pamoja tunaendelea kuweka bundle ili kuwaunga mkono ❤❤
Naipenda simba mapaka naumwa nafulaha sana ninapo ona wanapambana kwa ajir yetu
@wilsonpeter1943
25 күн бұрын
Tumuombe mungu awaepushe hawa watoto dhidi ya mashetani wa tz
Mungu ubalikii simbaa❤
Kila la khery mnyama Simba sports club katika maandalizi Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
@hobsons_choice
25 күн бұрын
Ndugu yangu hayo ni mazoezi ya kawaida sana ambayo Kila team inayafanya ,hutaweza kuona mazoezi ya tactical hata siku moja
❤❤❤❤❤❤❤ we are the champion Simba nguvu moja
Aamiin itakua bingwa Inshalla. Kombe la shirikisho Africa
Kuna kim haitaingiz wachezaj uwanjanii,,🙌🙌🙌♥️
I love you simbaaaaaaa
Simba ye tu laaaaahaaaa
Moto 🔥🔥🔥🔥🔥🦁🦁🦁🦁🤜🤛
@sittamwigulu8395
25 күн бұрын
Tena mkali mno
Naipenda simba mpk bc
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉
Simba nguvu moja 🙏🙏🦁💪🇹🇿
❤❤Mungu atatusimamia msimu huu nguvu moja
My life Time club❤
Kila la kheri timu yangu simba❤❤
Ni noma Sana simba 🎉🎉
Mungu ibaliki simba yangu iwe imara zaidi
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Simba nguvu moja ❤❤
🎉 Simba nguvu moj
Simba nguvu moja 🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa simba hii itakua moto
Simba ❤
SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤
Simba nguvu moja litakufa jitu msim ujao
Here we goooo
Vigood chama langu la simba
😊Sisi ndiyo mabingwa wa shirikisho msimu ujao
@husseinmillinga
25 күн бұрын
Inshaallah
Eee mungu nilindie simba yangu
Kramo firstelven bro inshallah
Tizi njema mnyama
Simba nguvu moja
Nguvu moja ❤
Huyu teacher wa fitness hatari sana❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naiyona Simba itafanya vizur San coz naona usajili wachezaji umri mdog naiyona Simba itakuwa tishio sana tuwe pamoja na timu yetu Simba nguvu moja
Nguvu moja
Ok unyamaa ❤❤❤
Naona ata ile nguvu imerudi viva simba tunataraji mengi tuanze nashirikisho kwanza hii tulete nyumban ili kombe
Nasoma coment zen vijana wang😂 ila Simba nguvu mojaa daim mbelale nyuma mwikoo❤❤❤❤❤❤
Mnyama mawindoni🫡🫡
Unyamaniiiiiiiiiiii
Always 🦁🦁red and white flag🔥🔥
❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Nguvu moja 😊
Ayoub apge tizi sna mana kanenepa sana
Nguvu moja 🎉
I can see sharpness ya vijana
❤
❤🎉
Nawakubali sana wapambanaji wetu
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Nguvu Moja simba
❤❤❤❤❤
🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏
Nice mwanzo mzur chama langu kila la kheri
Nice
🎉🎉
🦁🦁🦁🦁🦁
Simba ni maisha yetu hatuwezi kuikimbia
@iddiramadhan
26 күн бұрын
Kabisa kabisa kaka
Simba nguvu Moja....
Simba nguvu Moja pigeni tizi kwa moyo mmoja
Si vizuri Siri ya kambi kuweka wazi.jitahidini baadhi ya vitu kuficha.Yanga si wazuri kwetu,wanaroga sana wachezaji wetu.
Fernandez 💪💪💪
MAVAMBO ☄☄☄
SIMBA NGUVU MOJAA
Wachezaji wetu tusipodharau walim wetu tunaimani watafanya vizur ila Kuna baadhi nawaona kama wapo slow sana sijui wanajiamini kuwa wanaujua mpira? Au laaa
Kila la heri timu yetu pendwa💪💪💪
Unyama mwingi,❤❤
Nice content ila tunaomba muongeze hata background track (beat tu) ili video zikae poa zaidi.#Nguvumoja
Simba mwaka huu haishikiki. Mwendo wa UBAYA ubwela2
#Nguvu moja🦁
Simba nguvu Moja pigeni tizi mpaka kieleweke wapinzani tiwafunge midomo
Simba mwaka huu wa PINZANI wataisoma namba
Chama langu naliamini msimu ujao tutapiga mtu mvua za kutosha
Kocha inaonekana ni mzuri mazoezi kwelikweli yule Benchika mazoezi yake ilikua kukata viuno kwenye magogo ila muhimu ficheni mbinu maadui wanaona huo muziki
Makocha wapo serious sana
sikukosea kushabikia hi tim naipenda mpaka nashindwa ata kula
Haya mazoezi ndio maana chiba Chama alikimbia maana asingeweza😂😂😂
ngυv moja
It's good but sio Kila kitu kioneshwe mitandaon mbinu na mifumo ni siri kwani simba ni timu kubwa na inafuatiliwa na wengi be careful
@wilbertselestine2886
26 күн бұрын
Sahihi kabisaa
@muadhally
26 күн бұрын
Sijaona mazeozi ya kimbinu mbna
@philiponichoraus7201
26 күн бұрын
Ila sidhan kama mmeona mbinu hayo yanayopostiwa ni.mazoez ya kawaida kila tim inafanya na tungepostiwa kila kitu kisingekua kifupi kivideo ivii
@MahamuduFaraji-wx8rh
26 күн бұрын
Kweli kabisa, haitakiw kupost kila kitu, hasa haya mavideo
@MahonaMbaga
26 күн бұрын
Ni sahihi kabisa
Jamani Hawa Timu NSSF na mashabiki zao hawatutkii MEMA kwenye SIMBA yetu Chonde Tuwarinde wachezaji wetu watawachoma misumari
Hakunasababu ya simba kuonyesha mitandaon kilawanalolifanya😂😂😂
Chama langu🫶
Nguv moj
Hawa wachezaji mbona hawaruki aiseee kocha kaa na viboko hatutaki utani kwenye hii season
@aminaabdalla-uo9zq
25 күн бұрын
😂😂😂jmn