TIZAMA SHK RUSAGANYA AZUNGUMZA MANENO MAKALI MNO KUHSU PASTOR MUNSHI HADI HURUMA "ASKOFU NI MSHENZI"

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #Munishi

Пікірлер: 253

  • @mufid707
    @mufid7072 жыл бұрын

    Wallahi Sheikh nakupenda kwa ukweli. Allah akupe Umri Wakheri.

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye17992 жыл бұрын

    Sheikh Rusaganya, nakupenda kwa ajili ya Allah, weye huwa unazungumza ukweli, Allah akuhifadhi, ameen

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 жыл бұрын

    Subhana Allah daima uki soma Qur'an,uta dhani ime teremshwa sasa hivi, kweli kabisa maneno yako sheikh

  • @hassanisadiki824

    @hassanisadiki824

    2 жыл бұрын

    Raya mbona km nakujua jmn

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Raya..... HUJAMUELEWA.

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    2 жыл бұрын

    @@hassanisadiki824 subhana Allah labda una nijuwa

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    2 жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 kwa vipi sija muelewa, naomba uni fahamishe

  • @hassanisadiki824

    @hassanisadiki824

    2 жыл бұрын

    @@rayaalhabsi1725 tutafutane bx jmn

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah74902 жыл бұрын

    Unachonifurahisha ni ujasiri WAKO wa kusema kweli,Masheikh wengi walokatika nafasi wameamua kuwa wanafiki na kuipenda Dunia kuliko akhera,wanaogopa hata kivuli.nakukubali

  • @maulidmwegio5704

    @maulidmwegio5704

    2 жыл бұрын

    Yani Kama Mashekhe Wote Wangesimama Hivyo Daah!! , Ingekuwa Laha Sana Maana Waislamu tumekuwa Waoga Sana hata kwenye Jambo tunaliona Hilo Alipo Sawa Kwetu.

  • @maulidmwegio5704

    @maulidmwegio5704

    2 жыл бұрын

    Kweliii%100

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    2 жыл бұрын

    Ajamtukana amemshauli ushauli sio tusi mama ntilie ni mama Kama mama rais samia

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71852 жыл бұрын

    "Hawatakua radhi Mayahudi na manaswara (wakristo)mpaka mfuate Mila zao.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54872 жыл бұрын

    Huyo Ndo rusanganya sheikh

  • @thanisaid5096
    @thanisaid50962 жыл бұрын

    EXCELLENT !!! KUNA WAKATI TUBNAHITAJI LUGHA YA NAMNA HIYO MAANA HAWA JAMAA WAMEZIDI SANA

  • @azizakussaga9632
    @azizakussaga96322 жыл бұрын

    Mashallah skh Rusaganya una msimamo Allah akuzudishie nakupenda kwa ajili ya Allah huogopi kiumbe

  • @issamkondoa9330
    @issamkondoa93302 жыл бұрын

    Ameongoza Nyerere wamekaa kimyaa, Mkapa kimyaaa, Magufuli kimyaaaa!

  • @basharahamtzhalisi6871

    @basharahamtzhalisi6871

    2 жыл бұрын

    Wanataka wabaki wenyewe ndani ya nchi hii, Chuki dhidi ya Uislam, roho mbaya, husuda imewajaa, hawana mahubiri mazuri kwa waumini wao wakristo, wanatamani tufe wote, lkn ALLAH anatupenda watakufa wao na hata kama tukifa wote UISLAM utabaki milele na milele daaaima.

  • @edsonndomba1049

    @edsonndomba1049

    2 жыл бұрын

    Mimi ni Mkristo ao wabaoongea hivyo kama huyu munishi ni wapumbavu si wakuwatilia maanani

  • @PaziTuktuk

    @PaziTuktuk

    2 жыл бұрын

    Mie ni mkenya na nafatilia sana wakristo wa huko na wa huku kenya hawana tafauti manake hata mukapa alikua akivaa msalaba mbona waislamu hamkusem kitu mungu anawaona

  • @oman7710
    @oman77102 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh Hashimu

  • @mrafm7285
    @mrafm72852 жыл бұрын

    Takbiir allahu akbar

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 жыл бұрын

    Mzee wa rukhsa Allah amhifadhi yaarab

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Wewe nijasili mashaallah waambie shekh

  • @dawoodothman8681
    @dawoodothman86812 жыл бұрын

    Munishi ni mpumbavu si mjinga ujinga ni cheo anaweza akaelimika lakini mpumbavu hata ufanyeje ni mpumbavu tu ! ! !

  • @AliMohamed-xy3hz
    @AliMohamed-xy3hz2 жыл бұрын

    Shekhe kuanzia Leo Nimekupenda kwa Ajili ya Allah

  • @w4058
    @w40582 жыл бұрын

    Yaani sheikh wewe nakupenda kwa kusema kweli kabisa Allah akuhifadhini nyote Masheikh wetu

  • @hadijamushi8674
    @hadijamushi86742 жыл бұрын

    Jaman Mwenyezi Mungu akuhifadhi sheikh Rusaganya akupe umri mrefu wenye Afya na matendo mema ili tuzidi kupata neema ya ilmu na ujasiri

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97732 жыл бұрын

    MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI DAWA YAKE IPO NJIANI INSHALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN

  • @shabanmbiaje2439
    @shabanmbiaje24392 жыл бұрын

    Shekhe rusaganya uko vizur ALLAH akuhifadhi

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 жыл бұрын

    Mzee wa rukhsa ndio alie leta maendeleo lakini hawa watu hawana kheri

  • @khamisseif9870
    @khamisseif98702 жыл бұрын

    Gud sana shekh wetu

  • @joyjey8609
    @joyjey86092 жыл бұрын

    Sheikh uyasemayo ni sawa ila usishirikishe ujinga wa huyo anayejiita mch na wakristo wote, hakuna mkristo anayekubaliana ujinga wa huyo Munish, wengi imetukera, inaonekana Munish anaona bora wanaotembea nusu uchi. lkn kuhusu kanzu, ndevu, nikabu, kila jambo huwa lina sababu kama kusingekuwa na tukio baya linalohusika na mwonekano huo wala kusingekuwa na shida, kwa kumbukumbu zangu haya matatizo ya mwonekano wa mtu kutiliwa shaka yalianza baada ya septemba 11, kabla ya hapo sikuwahi kusikia tatizo la nikabu wala ndevu kwa waislamu. na ndio maana hata katika baadhi ya maduka au ofisi hata za waislam wanashauri uvue nikabu,kuna sababu sio bure, kwa hiyo ili kuendelea na kuheshimu mionekanao hii ni sote kwa umoja bila kujali dini tukemee matendo maovu yanayofanywa na baadhi yao na kufanya mionekano ya waislam kutiliwa shaka, ilhali wengi wao wanaojua uislam ni wa amani, tuwakemee hawa wachache wanaochafua uislam tusikae kimya.

  • @aliyidrisa1536

    @aliyidrisa1536

    2 жыл бұрын

    Like it

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj14002 жыл бұрын

    MaashaaAllah, very transparent! Allaah akuhifadhi Sheikh wetu

  • @hakbilalbilal1071
    @hakbilalbilal10712 жыл бұрын

    Mashaa Allah sheikh wetu Allah ukuhifadhi nakupe umlimulefu akuzidishie kila rakreli inshaa Allah

  • @khalidhaji1098
    @khalidhaji1098 Жыл бұрын

    Maashallah; Napenda sana ukweli wako na ujasir mashekh kam nyie mupo wachache ALLAH akulinde

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis20822 жыл бұрын

    Masha Allah! Barakallahu fiq sheikh wetu, hajitambui huyu, hata Mama wa Issa ibn maryam yumo ndani ya stara, wanalisahau hilo, Allah amuongoze siku 1 aitambue haki aifuate,

  • @ahmedaliahmedahmed3003
    @ahmedaliahmedahmed30032 жыл бұрын

    Kwli shekhe yule mlevi inawauma Rais wa Tanzanian ni muislamu ALLAH AMLINDE NA MAHASIDI RAISI WETU

  • @islachristabinastaravista8104

    @islachristabinastaravista8104

    2 жыл бұрын

    Acha ujinga mwanamke amuongoze mwanaume kitabu gan hicho ulichosoma ww

  • @ahmedaliahmedahmed3003

    @ahmedaliahmedahmed3003

    2 жыл бұрын

    Mjinga ni ww bwege usojuwa mipango ya mungu sasa ishakuwa punda la deki anza ni malize sasa

  • @jumakoga2179

    @jumakoga2179

    2 жыл бұрын

    @@islachristabinastaravista8104 kiislaam haifai na yupo innje ya dini lakini si katiba yao na ni magufuli ndie alimchagua mbona hamkusema??

  • @furahamossi3199
    @furahamossi31992 жыл бұрын

    Mansha Allah sheikh tabarakallah, Allah akupe umri mrefu na afya njema, maneno ya hekma kabisa, amwambie uyo mshenzi mkubwa

  • @saidal-rawahi4564
    @saidal-rawahi45642 жыл бұрын

    Mashaa Allah, Sheikh wape ukweli Allah akulinde na kila mabaya na akupe afya njema 🤲

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed34372 жыл бұрын

    Amin shkh. Allah amlani kafiri yule

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp93812 жыл бұрын

    Asante shekhe wape makavulive

  • @fatumahamis4257
    @fatumahamis42572 жыл бұрын

    MashaaAllah ,shiekh wettu,waambie Ila watupe heshma waislam,..Munishi anafaa kuomba msamaha au ufungwe,

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad37242 жыл бұрын

    Nampenda huyu shehe kwa msimamo wa dini na kusema ukweli nampenda kwa ajili ya alla mungu ambariki na ampe mwisho mwema ampe kaul thabit

  • @ramadhanirama6636

    @ramadhanirama6636

    2 жыл бұрын

    Allahumma aamiin

  • @tobmnyamis8642
    @tobmnyamis86422 жыл бұрын

    Allah akupe maisha marefu

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale68772 жыл бұрын

    Maraisi wa kisilam wanaongoza kua haki kabisa. - Esse merece punicao forte

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija16042 жыл бұрын

    Maa shaa Allah tabarakaallah

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice86862 жыл бұрын

    Ujumbe huu umefika Wazanzibar mnajifunza nini hapa..... USTADH SHUKRAN SANA

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri68572 жыл бұрын

    Watching you from Lusaka zambia, you are talking truth, that foolish pastor should stop belittling her excellence the president

  • @zulekhamkwizu3091
    @zulekhamkwizu30912 жыл бұрын

    MashaaAllah baraq llah fih

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Subhan Alla

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji15662 жыл бұрын

    Ni mshenzi sana Yule hanisi yule

  • @mossilamanne3350
    @mossilamanne33502 жыл бұрын

    Hahahahahah askofu kama demu

  • @nacmentodanca6498
    @nacmentodanca64982 жыл бұрын

    Mashallah Allah akuhifadhi na makufar 🙏

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Yan mkubali mkatae mama Samia anachukiwa kwa ajir ni muislamu na data zipo kua viongozi wa kiislamu wanachafuliwa San kwenye nchii hii hakuna kiongozi wakiislamu nchii hii alishawah kusifiwa

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Viongozi wa kikikristo na mabaya yote waliofanya ila walisifiwa kua ni wachapakaz mfano ni huu masheikh wakiongea waanaambiwa waache siasa ila wakina gwajima wakiongea wanashangiliwa

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Gwajima alimtukana San kikwete na Prof Assad gwajima alimsifia San magufuli na gwajima anamponsa San mamasamia

  • @fashion7442

    @fashion7442

    2 жыл бұрын

    @@abuuramadhan8093 Tena angefanya shekh angeswekwa ndani lakini mchungaji anatamba mtaani

  • @sadallasaleh8337

    @sadallasaleh8337

    2 жыл бұрын

    Tatizo ni viongozi wao wenyewe wa kiislam, wanashindwa kusimamia nafasi zao, kiwazifa naata kiiman. Leo hii wanaitwa kuaga Maiti, kuweka mashada. Na sasa ishaakua fashion

  • @munimuni3365
    @munimuni33652 жыл бұрын

    Mi siwapendagi.makafiri atatunaongeyaga nao wanarohombaya awatupendi si waislam

  • @joalbanda9796

    @joalbanda9796

    2 жыл бұрын

    Sa siuame tanzanie ukakae kwawanaokupenda

  • @abdulmajid8778
    @abdulmajid87782 жыл бұрын

    Mungu akulinde inshaallah kwa kutetea dini ya uislam allahu barik

  • @mrossobartholomew9368
    @mrossobartholomew93682 жыл бұрын

    Lazima kuheshim dini za watu wengine. Rais lazima aheahimiwe na wote.

  • @witomwandunga7292

    @witomwandunga7292

    2 жыл бұрын

    KWA hiyo hamjakereka mama ntilie kudhihakiwa ila KWA rais mwanamke.

  • @majaliwamohammedally2997

    @majaliwamohammedally2997

    2 жыл бұрын

    Majaliwa Mohamed Ally naomba nami niwe au nife nikiwa na ujasili kama wewe lusaganya

  • @dhamiirrashid6175
    @dhamiirrashid61752 жыл бұрын

    Shukran

  • @abuukilanga2249
    @abuukilanga22492 жыл бұрын

    ALHAMDULILLAH. Sheikh Lusaganya ALLAH AKUJAALIE MAISHA MAREFU YENYE KHERI NA WEWE

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah43572 жыл бұрын

    Shekh ule ulikuwa ni mpanga ili wanafunzi wa chuo wafukuzwe serekali wakatoa agizo wasi pokelewe chuo chochote lengo waislam walio kuwa chuo wakati ule walia asilika sana maana wote walikosa kuendelea na masomo yao hata wale walio bakisha mwaka mmoja walifukuzwa pia

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat43002 жыл бұрын

    Mashaalllah tabarak lllah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Shukran Kwadarsa nzuri Sana

  • @rashidmohamed1903
    @rashidmohamed19032 жыл бұрын

    Safi sana Rusaganya waambie Makafiri

  • @magomakabanja4861
    @magomakabanja48612 жыл бұрын

    Nimependa sana namkumbuka na masheikhe wetu AbduRogo na ilunga na masheikhe wakasiri kama hao ??

  • @thanisaid5096

    @thanisaid5096

    2 жыл бұрын

    UMEONNA EE!!!! ILUNGA ROGO ..ALLAH AWAPE NEEMA ZAIDI ...AMIN

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid1142 жыл бұрын

    Allaah Kareem ww waitwa rusaganya mm Rashid Mohammed nami nakuunga wanifate Sina kwetu ila mahenge nimezaliwa wanifate

  • @hamedfaisal9449
    @hamedfaisal94492 жыл бұрын

    Sheikh nakupenda kwa reality zako wape kavu kavu

  • @saidmaulid523
    @saidmaulid5232 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @afizimana1204
    @afizimana12042 жыл бұрын

    maa shaa llah

  • @ggelishachannel450
    @ggelishachannel4502 жыл бұрын

    Sawa lakin kuwachukia wakristo kwa mtu MMOJA ni Roho mbaya Hana haja ya kuonyesha ubaguz

  • @sabkiunasib4372
    @sabkiunasib43722 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @haleemhhaleemh707
    @haleemhhaleemh7072 жыл бұрын

    Abakafir kweri kweri tunawapenda tu halakin kwao hawana upendo ku l'islam Allah awaongoze

  • @ayoublupande3987
    @ayoublupande39872 жыл бұрын

    HAHAHA nakukubali sana Shkh wng huwa unavionjo vyitam san

  • @alijuma1189
    @alijuma11892 жыл бұрын

    Yule alomtukana Rais si askofu eti yule ni Shoga alikua anatafuta bwana

  • @user-mq6lu2po3y

    @user-mq6lu2po3y

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @azizayahyah1597

    @azizayahyah1597

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 duuh nimecheka

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat43002 жыл бұрын

    Subhannnalllah

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed47682 жыл бұрын

    Mti wenye matunda ndo unaorushiwa mawe

  • @issamkondoa9330
    @issamkondoa93302 жыл бұрын

    Askofu Munishi SHOGAAAA

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf75682 жыл бұрын

    Safi sana mzee msaganya

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh28812 жыл бұрын

    Mashaallah shkh bless you Yarrab

  • @mufid707
    @mufid7072 жыл бұрын

    Ameen Ameen.

  • @haworabongomuvihawora9678
    @haworabongomuvihawora96782 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @missrukia9661
    @missrukia96612 жыл бұрын

    Mashallhaaa shekhewetu llha akupeumli mlefu

  • @shehamasai788
    @shehamasai7882 жыл бұрын

    Allah akulipe kila la kheri kwa hili

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54872 жыл бұрын

    Naam shekh

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97732 жыл бұрын

    WAISLAM NDIO WALIOWASTARABISHA KUANZIA BABA YAO JULIE

  • @salumajuma9583
    @salumajuma95832 жыл бұрын

    Makafiri daima watafanya yakikafiri hawan kheri hata tukijipendekeza vp lazima wafanye ukafiri waoo

  • @munimuni3365

    @munimuni3365

    2 жыл бұрын

    Nami siwapendagi Makafiri atatunaongeyaga nao

  • @tamatithomas3360

    @tamatithomas3360

    2 жыл бұрын

    Kwan kafiri ni nan?

  • @user-mq6lu2po3y

    @user-mq6lu2po3y

    2 жыл бұрын

    Watu waliokua siyo waislam na mafikio yake ni motoni somo dini kiukweli utajua

  • @milomohamed7201

    @milomohamed7201

    2 жыл бұрын

    @@tamatithomas3360 munishi na anaowaongoza

  • @rayaahamad5502

    @rayaahamad5502

    2 жыл бұрын

    @@tamatithomas3360 Anayempinga Rasul Muhammad Na mwenye kuikana Qur-an kiufupi nakupa hivo

  • @sofiamussakimaro4018
    @sofiamussakimaro40182 жыл бұрын

    Hiyo afandee nimeipendaaa

  • @hajjijustine4519
    @hajjijustine45192 жыл бұрын

    ALLAHu akbar

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi46112 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @ahmedkagambo4964
    @ahmedkagambo49642 жыл бұрын

    Kwa bahati mbaya sikumuona Dua yangu ingemumaliza

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba35492 жыл бұрын

    Sheikh Rusaganya ni jembe langu, Allah bareek

  • @zuu__95
    @zuu__952 жыл бұрын

    Alipiga oksijeni 😂😂😂😂😂subhanallah

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji28722 жыл бұрын

    Kuna viongozi wanajisahau nakutokulinda midomo yao hii sio nzuri kwamustakabali wa tanzania yetu

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh39392 жыл бұрын

    MAGU HAKUNA ALIEFUNGUA DOMO TENA NI MSHENZI NA WENZAKE

  • @ramadandjuma8855
    @ramadandjuma88552 жыл бұрын

    Ukweli sheikh

  • @nurusaid1804
    @nurusaid1804 Жыл бұрын

    Kwani hijabu ndio inaongoza hau moyo ndio inaongoza.

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l2 жыл бұрын

    Colgate na sigara ziliuzwa kwa magendo. Wakenya walitucheka kufanya matairi ya magari kuwa viatu,enzi za babu yuleeee! Ulanguzi uliisha kipindi cha rais Mwinyi,sio uongo sheikh.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92182 жыл бұрын

    Huyounisi maisha yamemshinda, achaneni naye. Nakumbuka nilikuwa badodogo wakati anatangaza kuokoka. Lakini mpaka Sasa Hana uokovu. Pole yake. Bibilia inasema, huwezi kuhudumia miungu wawili. A Hague moja siasa, au Dini.

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya53 ай бұрын

    Upo sahihi kafiti nikafiri maalim

  • @justineluoga1515
    @justineluoga15152 жыл бұрын

    Watazania wote ni watoto wa muheshimiwa samia hakuna sababu ya kuwa na maneno mengi mnajikosesha bora mnyamaze kuonyesha watoto wote niwamama yeye ndiye atakaeamua ambebeje?

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross11322 жыл бұрын

    Safi unamsimamo

  • @gentille1766
    @gentille1766 Жыл бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @victorkalolo9517
    @victorkalolo95172 жыл бұрын

    Shehe upovizr lkn usiingize mbona yaudin hapo niyy kakosea sio wakristo wote maana hata wakristo ametukosea nahakuna MTU anaemuunga mkono kwaiyo ustaje ukafri Katk hiri nimbaya Sana naujue huyo nimwanadam kukosea atakosea tumuombeetuu

  • @sofiamussakimaro4018
    @sofiamussakimaro40182 жыл бұрын

    Sheikh wangu ilikuwa ukivaa hijabu wanasema mtu hawazi kusikia coz hijabu inaziba masikio ALHAMDULILLAH leo hii tumshukuruni sana mzee mwinyi na dua tuzizidisheni juu yake na familia yake

  • @sofisayed4768
    @sofisayed47682 жыл бұрын

    Waislam hatuna umoja tumejisahau

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29832 жыл бұрын

    Subhanna Allah.

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi22772 жыл бұрын

    Mungu ndio muhukumu Hivyo, muombee Mungu amsamehe, ila usi mlaani

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    10 ай бұрын

    Bila shaka wewe ni walewale,nadhani huyu ni ndugu yako wa karibu.

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf75682 жыл бұрын

    Kumbe ss wapemba tulikuwa wajanja uwii

  • @masudikhatibu9179
    @masudikhatibu91792 жыл бұрын

    Bora muwemunawambia wamezidi kuukejeri uisiramu

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын

    Wanataka wabaki wenyewe ndani ya nchi hii, Chuki dhidi ya Uislam, roho mbaya, husuda imewajaa, hawana mahubiri mazuri kwa waumini wao wakristo, wanatamani tufe wote, lkn ALLAH anatupenda watakufa wao na hata kama tukifa wote UISLAM utabaki milele na milele daaaima.

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    2 жыл бұрын

    Mashallah

  • @sofiamussakimaro4018
    @sofiamussakimaro40182 жыл бұрын

    Hata mimi nimekerekwa

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo43602 жыл бұрын

    Munishi anatakiwa awaombe radhi waislam

Келесі