TINO RAFIKI wa HARMONIZE AFICHUA YOTE ya HARMO - ''KUNA WATU WANAMALIZA UGALI KONDE GANG''

TINO RAFIKI wa HARMONIZE AFICHUA YOTE ya HARMO - ''KUNA WATU WANAMALIZA UGALI KONDE GANG'' | KONA YA MTAA
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 61

  • @rajabali1663
    @rajabali166310 ай бұрын

    Tino salute bro ukweli siku zote ndio hutoa njia.Alafu bro tino unajua kuongea sana yatakikana uwe mtangazaji.😂😂😂

  • @teoofficially2347
    @teoofficially234710 ай бұрын

    Kweny picha mzee ni fact kbsa

  • @abdoulazizalimohamed7995
    @abdoulazizalimohamed799510 ай бұрын

    Kaka anajitetea sana😂😂😂

  • @yuslaelias953
    @yuslaelias95310 ай бұрын

    Tinooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah793010 ай бұрын

    Dogo anaongea ukwl lkn SEMA n kipararrira!! tuh

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr843610 ай бұрын

    😂😂 Harmonize anatakiwa kuwa na huyu Jamaa kwenye timu yake

  • @DaressalaamTv-rb2io
    @DaressalaamTv-rb2io10 ай бұрын

    Ogopa watu wanaongea sana kuigizwa mjini sekunde na kujua harmonize au kutomjua sio shida hata Mimi ninaweze kuja konde gang na Nikafanya maajabu zaidi ya waliotangulia kwasahivi omba tu kaka akukumbuke ila usiseme wenzako hawafai wanamaliza ugali wakati wao wanafamilia wewe komaa Harmonize atakuona Tu na atakuweka kwenye majaribio kama akikuona unatamaa na uheshimu uliowakuta hata wakiwa ni wadogo kwako na hawana ukaribu sana kama harmonize mlivyoishi basi ujuwe utaishia njiani wewe tu pambana atakuona ipo siku

  • @user-km5jc6sv5f
    @user-km5jc6sv5f10 ай бұрын

    Gai watz wanaongeanga mob Jo! 'Ati kajamba kwenye maji 'sijawai sikia hiyo 😅😅

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k810 ай бұрын

    Unqongea sana mtoto wa kiume punguza pararira

  • @parachichiFM
    @parachichiFM10 ай бұрын

    Eti hapa "umejamba kwenye maji" 😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala555910 ай бұрын

    tino maku tuu harmo mwamba kabisa

  • @mateusjoao5584
    @mateusjoao558410 ай бұрын

    Nimeipenda iyo, jama amenyoka

  • @ManichManich-yj4sl
    @ManichManich-yj4sl10 ай бұрын

    Namkubali Harmonize❤🎉

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo10 ай бұрын

    Hata unavyoongea ni wazi kuwa kuna watu/vijana wengi umeua ndoto zao mbwa wewe acha uro mtoto wa kiume. Una nyota gani wewe kimperesimperesi tu wewe!

  • @user-cx3in6dl1y
    @user-cx3in6dl1y10 ай бұрын

    Braza huyu jamaa anaongea ukweli mchopa ndo fitina mkubwa pale konde gang

  • @user-bk7jl6ej1g
    @user-bk7jl6ej1g10 ай бұрын

    Wazii

  • @UsStepha-qd2ke
    @UsStepha-qd2ke9 ай бұрын

    Sisi ambaye tuna fanya mziki tuna penda mutu anafanya critique iyo inaumiza ila ina jenga sana, una umiya moya ila una fanya vizuri mziki✅✅✅ namkubali uyu jama

  • @ricklandennis
    @ricklandennis9 ай бұрын

    Huyu anaongea km redio😂😂 kuwa snich rahisi sana😅😅😅 eti watu wanamaliza ugali

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege220010 ай бұрын

    Story tamu sana 🙏🏿

  • @KIDEMA
    @KIDEMA10 ай бұрын

    Jamaa kasema kweli

  • @user-od5eg6ty1d
    @user-od5eg6ty1d10 ай бұрын

    Jamaa ukimuwwkea beat ya singeli tayari hit namna anavyoongea kwa anatiririka triiiiii

  • @controlTheoryChamps

    @controlTheoryChamps

    10 ай бұрын

    🤣

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    10 ай бұрын

    😂😂😂muache mdogo wqngu bhaba,nimemlea mwenyewe huyo TINO NINO MALAVILA

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂, kwa kweli

  • @KIDEMA
    @KIDEMA10 ай бұрын

    Rafiki wakweli nijule anae kwambia kweli haijalishi utajiskiaje

  • @tigejuma9865
    @tigejuma986510 ай бұрын

    Tafuta pesa kijana uache kujielezea xna...

  • @Seleman_Leonard.
    @Seleman_Leonard.10 ай бұрын

    Interviewer sauti ni dume saaaaafi kweli braaaah

  • @abdoulazizalimohamed7995
    @abdoulazizalimohamed799510 ай бұрын

    Harmonize hajasema kwa ubaya

  • @missmwayway4704
    @missmwayway470410 ай бұрын

    Kumbe roho yko mbaya eeh 😅😅😅😅

  • @allyismaili1049
    @allyismaili10499 ай бұрын

    Huyu amepigwa chini konde gang Sasa anaona wenzake wanapiga pesa anawaonea wivu

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu780510 ай бұрын

    😂😂😂😂hahahahaha Mdogo wangu Tino bhana!!! Haya bhana

  • @SaideAndurabe
    @SaideAndurabe10 ай бұрын

    Jitete nduguyangu

  • @user-gw6zg5yx9e
    @user-gw6zg5yx9e10 ай бұрын

    Mwana ulikuwa sinich

  • @jimmymeshack9338

    @jimmymeshack9338

    10 ай бұрын

    Sana 😂😂

  • @mnazicomedytz
    @mnazicomedytz10 ай бұрын

    Chawa mpya mjini

  • @makischocho4613
    @makischocho461310 ай бұрын

    Tulia kijana .....ongea fact iyo ni mike unao mkononi

  • @faustinojoaquimromao1489
    @faustinojoaquimromao148910 ай бұрын

    Angeiba ungesema tulikua pamoja? Wewe unariziki yako. Pambana tino.

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah43910 ай бұрын

    Sema unataka kazi konde

  • @missmwayway4704

    @missmwayway4704

    10 ай бұрын

    Kwakweli 😅😅😅

  • @lydi791
    @lydi79110 ай бұрын

    Mwanaume unawivu nawanaume wezako 😂😂 ana weye unatak ugari njo unaongeya ayo yote

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma776410 ай бұрын

    Huyu njaa inamsumbua na anatafuta huruma apewe kazi

  • @hamidumpota2722
    @hamidumpota272210 ай бұрын

    Uongo Ulikua Una Loho Mbaya Baada Ya Kufanikiwa Ndio Unajifanya Ulikua Unafanya Ili Aende

  • @sharafijaribu5590
    @sharafijaribu559010 ай бұрын

    Tukitoka ndo mnajifanya mnatujua

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe84510 ай бұрын

    Huyu. tino mzima kiafya Mbona yuko hivyo

  • @user-cx3in6dl1y
    @user-cx3in6dl1y10 ай бұрын

    Muogope mchopa pale konde gang fitina balaaa anamfanya mpaka harmonize asiwapende ndugu zake au watu wake alotoka nae utotoni

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi10 ай бұрын

    Urikuwa unamkatisha tamaa na wivuuu

  • @user-ln9px2vh6r
    @user-ln9px2vh6r10 ай бұрын

    Huyu roho mbaya inamsumbua

  • @user-iv8vs9lv2o
    @user-iv8vs9lv2o9 ай бұрын

    Konde kiukweli amepambana japo mwanzo siku mjuua kama ni msaanii Kwa nilijua ni house boy Kwa Diamond bt alijua ancho tafuta acheni alematunda yake

  • @lydi791
    @lydi79110 ай бұрын

    😂😂mwanaume unaongeya kama mwanamuke🤣🤣wanaume kama hawa awanaga musaada katik familia

  • @user-kw8my5pp4k
    @user-kw8my5pp4k10 ай бұрын

    Mwamba anatakiwa awepo konde huyo

  • @BigGamingTz
    @BigGamingTz10 ай бұрын

    eti mchawi iphone nimecheka sana

  • @domingosjohnraissemaikomai7930
    @domingosjohnraissemaikomai793010 ай бұрын

    Ogera kijana

  • @afizimbulo2527
    @afizimbulo252710 ай бұрын

    Uyu analoo mbayaanieamini

  • @abdulgeuka3985
    @abdulgeuka398510 ай бұрын

    Anajikubali huyu mpuuzi

  • @masizitony9800
    @masizitony980010 ай бұрын

    🦣🦣💪💪💪💪

  • @Matunzo_Classic
    @Matunzo_Classic10 ай бұрын

    TINO KANYOOKA

  • @MfaumeHassani
    @MfaumeHassani10 ай бұрын

    Kaza Wew Acha tamaa Utatolewa tope, Mother Fanta.

  • @controlTheoryChamps

    @controlTheoryChamps

    10 ай бұрын

    🤣

  • @officialmichemiche1869
    @officialmichemiche186910 ай бұрын

    Unabalaa wewe

  • @afizimbulo2527
    @afizimbulo252710 ай бұрын

    Na yeye anakukanyagiaa ilii ujifuzee

  • @MariamJuma-nj9fc

    @MariamJuma-nj9fc

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

Келесі