TINO RAFIKI wa HARMONIZE AFICHUA YOTE ya HARMO - ''KUNA WATU WANAMALIZA UGALI KONDE GANG''
TINO RAFIKI wa HARMONIZE AFICHUA YOTE ya HARMO - ''KUNA WATU WANAMALIZA UGALI KONDE GANG'' | KONA YA MTAA
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 61
Tino salute bro ukweli siku zote ndio hutoa njia.Alafu bro tino unajua kuongea sana yatakikana uwe mtangazaji.😂😂😂
Kweny picha mzee ni fact kbsa
Kaka anajitetea sana😂😂😂
Tinooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dogo anaongea ukwl lkn SEMA n kipararrira!! tuh
😂😂 Harmonize anatakiwa kuwa na huyu Jamaa kwenye timu yake
Ogopa watu wanaongea sana kuigizwa mjini sekunde na kujua harmonize au kutomjua sio shida hata Mimi ninaweze kuja konde gang na Nikafanya maajabu zaidi ya waliotangulia kwasahivi omba tu kaka akukumbuke ila usiseme wenzako hawafai wanamaliza ugali wakati wao wanafamilia wewe komaa Harmonize atakuona Tu na atakuweka kwenye majaribio kama akikuona unatamaa na uheshimu uliowakuta hata wakiwa ni wadogo kwako na hawana ukaribu sana kama harmonize mlivyoishi basi ujuwe utaishia njiani wewe tu pambana atakuona ipo siku
Gai watz wanaongeanga mob Jo! 'Ati kajamba kwenye maji 'sijawai sikia hiyo 😅😅
Unqongea sana mtoto wa kiume punguza pararira
Eti hapa "umejamba kwenye maji" 😂
tino maku tuu harmo mwamba kabisa
Nimeipenda iyo, jama amenyoka
Namkubali Harmonize❤🎉
Hata unavyoongea ni wazi kuwa kuna watu/vijana wengi umeua ndoto zao mbwa wewe acha uro mtoto wa kiume. Una nyota gani wewe kimperesimperesi tu wewe!
Braza huyu jamaa anaongea ukweli mchopa ndo fitina mkubwa pale konde gang
Wazii
Sisi ambaye tuna fanya mziki tuna penda mutu anafanya critique iyo inaumiza ila ina jenga sana, una umiya moya ila una fanya vizuri mziki✅✅✅ namkubali uyu jama
Huyu anaongea km redio😂😂 kuwa snich rahisi sana😅😅😅 eti watu wanamaliza ugali
Story tamu sana 🙏🏿
Jamaa kasema kweli
Jamaa ukimuwwkea beat ya singeli tayari hit namna anavyoongea kwa anatiririka triiiiii
@controlTheoryChamps
10 ай бұрын
🤣
@kassimrajabu7805
10 ай бұрын
😂😂😂muache mdogo wqngu bhaba,nimemlea mwenyewe huyo TINO NINO MALAVILA
@ricklandennis
9 ай бұрын
😂😂😂😂, kwa kweli
Rafiki wakweli nijule anae kwambia kweli haijalishi utajiskiaje
Tafuta pesa kijana uache kujielezea xna...
Interviewer sauti ni dume saaaaafi kweli braaaah
Harmonize hajasema kwa ubaya
Kumbe roho yko mbaya eeh 😅😅😅😅
Huyu amepigwa chini konde gang Sasa anaona wenzake wanapiga pesa anawaonea wivu
😂😂😂😂hahahahaha Mdogo wangu Tino bhana!!! Haya bhana
Jitete nduguyangu
Mwana ulikuwa sinich
@jimmymeshack9338
10 ай бұрын
Sana 😂😂
Chawa mpya mjini
Tulia kijana .....ongea fact iyo ni mike unao mkononi
Angeiba ungesema tulikua pamoja? Wewe unariziki yako. Pambana tino.
Sema unataka kazi konde
@missmwayway4704
10 ай бұрын
Kwakweli 😅😅😅
Mwanaume unawivu nawanaume wezako 😂😂 ana weye unatak ugari njo unaongeya ayo yote
Huyu njaa inamsumbua na anatafuta huruma apewe kazi
Uongo Ulikua Una Loho Mbaya Baada Ya Kufanikiwa Ndio Unajifanya Ulikua Unafanya Ili Aende
Tukitoka ndo mnajifanya mnatujua
Huyu. tino mzima kiafya Mbona yuko hivyo
Muogope mchopa pale konde gang fitina balaaa anamfanya mpaka harmonize asiwapende ndugu zake au watu wake alotoka nae utotoni
Urikuwa unamkatisha tamaa na wivuuu
Huyu roho mbaya inamsumbua
Konde kiukweli amepambana japo mwanzo siku mjuua kama ni msaanii Kwa nilijua ni house boy Kwa Diamond bt alijua ancho tafuta acheni alematunda yake
😂😂mwanaume unaongeya kama mwanamuke🤣🤣wanaume kama hawa awanaga musaada katik familia
Mwamba anatakiwa awepo konde huyo
eti mchawi iphone nimecheka sana
Ogera kijana
Uyu analoo mbayaanieamini
Anajikubali huyu mpuuzi
🦣🦣💪💪💪💪
TINO KANYOOKA
Kaza Wew Acha tamaa Utatolewa tope, Mother Fanta.
@controlTheoryChamps
10 ай бұрын
🤣
Unabalaa wewe
Na yeye anakukanyagiaa ilii ujifuzee
@MariamJuma-nj9fc
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂