The Story Book: KANYE WEST Anayejiita MUNGU / Vituko na Mambo ya Kukera ❗️
Ойын-сауық
The Story Book: KANYE WEST Anayejiita MUNGU / Vituko na Mambo ya Kukera ❗️
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 681
Kazi ya kuhukumu tumwachie MwenyeziMungu☝️ siku itafika tu ukwel tutaujua mungu tujalie maisha ya kukutii ww na mwisho mwema🙏🌍🙏
@mangishop6643
2 жыл бұрын
AaaaAaaaaamiiiin ya rabil aalamiin
@africanicon4006
2 жыл бұрын
Fact zake ziko understandable wanadamu n wepesi.kufuata mapokeo yeye kawaA tofauti n wajinga wengi
@dostovan5142
2 жыл бұрын
Lakini huyu jamaa sio
@beautyjaydenbrockbelgety172
2 жыл бұрын
Amen
@phinaswai4718
2 жыл бұрын
@@dostovan5142 mtakua wote huko
Kanye West ni Mtu Mweusi pekee maarufu Nchini Marekani ambaye ana Utajiri wa Ardhi ana hekari 4,000. Ni ngumu sana kwa mtu mweusi kumiliki Ardhi katika Taifa la Marekani. Kanye West ni Genius. Professa Jamali naomba utuletee Story Book ya Ellon Musk Tajiri namba 1 Duniani.
@rihannadaima7606
2 жыл бұрын
Unamjuwa tuyeye kwasababu nimsan kuko watuwesi msheni marekani wakumjida Mimi ninaishi marekani nanimeona wengi san
@mchagashop1342
2 жыл бұрын
@@rihannadaima7606 unaishi pande zipi mamii
@africanicon4006
2 жыл бұрын
@@rihannadaima7606 sikupingi ni wengi je ni wengi wenye ardhi kubwa kama yeye.....huyu ni genious anastahili heshima
@Divinelinna
2 жыл бұрын
Akuna Tajiri marekani aliye fanyikiwa na nguvu zake zote ni nguvu za giza
@abboushen8335
2 жыл бұрын
Kabisa
Biblia ndo kitabu Cha Mungu kinacho sakamwa saaaaana. Allah anajua zaidi kilicho jificha. Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema
@partnersah8802
2 жыл бұрын
@lionel nibitanga Kinachozungumzia Mwenyezi Mungu
@gospelman3720
2 жыл бұрын
@lionel nibitanga sio kitabu cha mungu wako
@geofray0132
2 жыл бұрын
@lionel nibitanga ni mti wenye nn unaopigwa mawe...?? hutumii ata akili ww, ukiondoa maneno ya kwenye biblia ktk Quran itakuwa kituko, lkn biblia hamna neno la kwenye Quran baada ya Muhammad, sasa nambie wapi una shaka nayo....???
Kaka nimekuvulia kofia your the top#jamal
Jumanne kanye anapotosha watu Mungu ni mmoja hakuna wa kufanana naye tumuombee huruma Mungu asimwangamize big up J aprili
@shijaolomi6800
2 жыл бұрын
Asante bro kwa kuona comet yang na kunipa like za kutosha big up
@shijaolomi6800
2 жыл бұрын
Big up bro tuletee mastori makali kama hayo hunayotuletea
Anacheza huyu aulize pharaoh ....usicheze na Mungu anaeza kukushusha ulie!!!!🇰🇪2022
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
Hamjui vizuri mungu huyu ana msikia tuu.
Jamal April Kaka unaweza sana mungu akulinde
Neno la Mungu litasimama milele
Mungu ni mmoja tuu hawa wengine ni miungu tu .
Kanye is the goat ...the greatest artist of our generation ...show some respect
Subhanallah
Eeeh mungu nusuru hivi vizazi 🙏🙏🙏🙏
Ubinifu Ni Hapo Mwisho Bana Asante Sana Bw Jamal Umetisha Sana Mafunzo mema
bro..jamal wewe ni miongoni mwa ma great thinkers......naapreciate saaaaana
Dah kanye✍️
jamal hana mpinzan, aya ile 1000 kwake😋🔥
@geofray0132
2 жыл бұрын
Mwambie jamila aongee na mazuri yake, km hayajamaliza masaa 6.
The story book ibaki milele...!!
Sjawahi comment kwenye stor zako ila huku mwisho umeongea vizuri sana salute bro
Dah kwel MUNGU ana kazi ka binadam ndo hawa🙌
@missmwayway4704
2 жыл бұрын
Tena ana kazi kweli kweli hata sio uongo 😀😀😀😀
Ok tunashukulu kwa story jamali🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamal on the top most creativity professor kuwahi kutokea
Tuliokua Tunasubiri Story Ya “KANYE WEST” Kutoka Kwa Legendary Professor Jamal April Tujuane Kwa 👍🏿Hapa👇🏻
@nassircalale1860
2 жыл бұрын
Na mie
@josephisaya6274
2 жыл бұрын
Nipo
@isaimathias
2 жыл бұрын
Bullshit story. Clickbait. Hakuna ukweli Kwnye title.
@chany9950
2 жыл бұрын
Na jewe mimi murundi jmn
@leekhalid5754
2 жыл бұрын
Emu nambie jaman iv the story book haionyeshw tena ijumaa au mana kila niki taim kipind wasaf tv ijumaa sio naona matangazo yao tu ya mchongo pesa
Wao nilikuwa nayisubiri kwaham
Ni moja ya vituko tu vya dunian ila end of the day dunia itabaki tupu ✌
unatufinza mengi yakale sante kaka mungu akuongeze miaka ya kuishi love by AISHA
Duhh the story book umezidi Kachimba Hatari sana…..
@jamal April @jamal April!!! Mimi nime mu elewa uyu jama sana tena sana!!!! Sio kama anampinga mungu ila naitangaza injili bila watu kujuwa
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Saana namkubali
Ndugu mtangazaji naona pumzi inavyokata duuuuu hongera mno
Broo wew ni hatar sana 🔥🔥🙌🙌
napenda kazi yako so much creative ,,,,,, endelea buda
Hatari Sana ❤️
@abdulnoor8003
Жыл бұрын
Tumuombe Mungu atupe pepo yake na sio pesa,
Haaa I'm happy to hear the story of this man,thank u proffessor I have been waiting your story for so long.
Congratulations brother, unasoma sana, unajua vingi... Thank you for the lesson!
Hujawai kukosea broo❤
Hatari sana. pia nimekuelewa sana!! hasa hapo mwishoni. ndipo umenichanganya kabisa
SubhanAllah
Prof Jamal mungu akuweke maana najifunza vitu Ving kupitia story zako
This guy is dangerous😎
Kenya well represented 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@maryjohn1436
2 жыл бұрын
Danii
@PattiPattoz-Montana_254
2 жыл бұрын
I'm Here With You 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️
@mansoormannix1753
Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aishambarouk4607
4 ай бұрын
2:16
Kwa hakika, tuwe na tabia ya kujisomea wenyewe na kufuatilia mambo bila kutafutiwa na mtu lasivyo na matango pori tutalishwa. Mfano, hapo sehemu anayosema Kanye anajiita MUNGU, wala hakusema kuwa yeye ni Mungu, alikuwa anaeleza kwenye interview BBC RADIO kuhusu CLASSISM kama UBAGUZI wa namna nyingine, na akawa anaeleza kitu positive sana, ila namna Prof Jamal kaieleza daah! Nipo disappointed sana, namheshimu sana JAMAL MUSTAPHA, ila tafadhali tupe taarifa za kweli ili tuyajue mengi ya ulimwengu huu. Ahsante
@fridamarkalios1679
4 ай бұрын
Kwn mwenzetu hujui maana ya "I am God"?
Thanks Jamal ,,,,Kenya well represented
@marthamuinde6874
2 жыл бұрын
Hey,inakuga saa ngapi kwa tv
@maryjohn1436
2 жыл бұрын
Following
@karowanjeri4077
2 жыл бұрын
@martha stay tuned at wasafi tv for more information I'm an online big fan
@winicatewainaina4456
2 жыл бұрын
Bomboo 👌
@fatmazullu4933
Жыл бұрын
@@marthamuinde6874 fuata huku tu ndo tupo sisi wavivu wa tv! Hata hatujui kwa tv kipindi lini
This man is Complicated bro None can stop him Until he passed away or God 🙏🏿 because he will learn Lessons
@phelixonyango5281
2 жыл бұрын
What lessons?
@collinsbella8360
2 жыл бұрын
Absolutely right
Irmão! Você é muito criativo, sem inveja, deixe-me parabenizar pelo seu trabalho. Acompanho todo o seu trabalho a partir de Moçambique 🇲🇿 porém peço uma coisa, isto é, quando está se falar sobre ano, por exemplo 1962, então deve legendar aí no vídeo, isso irá ajudar muito na percepção do telespectadores. E a mesma legenda deve ser feita em algarismo (#). Mungu akubariki! 🙏💪❤️
Moto sana kaka naifurahia nkiwa kenya
big five broo nakubar unachokifanya na najifunza nakujua mengi
achana na wamarekani aseee kiki zao ziko katika next level...kanye kajitoa tu ufaham mambo yake yaende aongelewe nini thats business na kanya mfanyabiashara sio bongo kiki zetu dhaifu sana
Unyama Sana kk
🔥🔥🔥
Hapa ambao si Waislam wathibiyishe kuwa Ukristo sio Dini wala hizo dini nyengine 7bu hakuna aliyeweza kuibadili kwa kuongeza wala kupunguza jambo Lake ktk QUR-AN 🥰😍💖 ALHAMDULILLAH A'LA NEEMATIL ISLAM WALHAMDULILLAH A'LA NEETIL QUR-AN 😍🥰
Jamali leo umetuingiza chaka wazi wazi acha kusimulia mambo ya social media kuhusu kanye unajiharibia brand yako... fuatilia maisha yake ww si umeamua kusimulia sasa fatilia kwanza kabla hujaharibu kama hivi... yote uliyo sema ni sawa Umsimulie Diamond Platnumz kwa kutumia Social medias...yaan humo uweke story za mwijaku zoooteeeee ndo ulicho fanya sasa hapa. KUWA MAKINI
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Hahaha kwakwel Ig haina uhalisia wa mtu
Keep it up jamaar April 💸💸💸🎶🎶🙌🙌🙌🙌🙌
Nmependa jinsi ulivyosimulia,Mtindo wako ulikuwa poa pia ... Lakini shida umechagua pande moja tu ya story ya kanye ambayo ni mabaya yake na jamii inavyomchukulia. But Kanye is the Best Artist ever happened to live in this world ..... Nimemfuatilia Kanye tangu Anaanza Art yake what i see from him is the true man in the world .... KANYE WEST is Tupac Shakur of our Generation.
@thieryalex7547
2 жыл бұрын
Huyu professor anafikiri sisi hatufatilii mambo kanikera anadhan hii shoo wanao angalia ni wasio fatilia vitu tu damn !!!
@yesayamwamakasi4792
2 жыл бұрын
Amefeli anaogopa migongano ya iman ndo mana story yake imebez kumponda kanye
@vickydan2869
2 жыл бұрын
@@yesayamwamakasi4792 kanye ni mtu mzur sana sema dunia haijamjua tuu
@user-vm7bk3xr1z
4 ай бұрын
Ww huelewi kichwa cha habari au,sasa mtu anaepingana na weusi wenzake nyie itakuwa mashoga sio bure...yani mtu anawapinga weusi wenzake toka kipind cha obama
@user-vm7bk3xr1z
4 ай бұрын
@@vickydan2869 mbn mwishoni amesema ata saa mbovu inahumuhimu au hamjaelew...
Thank you so much bro you're the best
We unadizain vzr Sana kwanza umekua mbunifu sana kuhusu kideo zako. Nakumbuka umepanda mtumbwi, nfaransi nk Pia umewahi kushuti kama upo vitani🤣🤣 umetisha sana plof wamchongo
WENGI tumevaasana tisheti ya YEEZUS bilakujua ni album ya huyujamaa na bilakujua maanayake
Intro ya kizazi sana, Creativity is on Top
Prof Jamarl, what an introduction!!
Kanyee hongera
Love ❤ post umetupa SoMo ,ye, by fromu🇹🇿
His choir look quite impressive i like that❤️❤️❤️❤️❤️
Best of professor
Brown Kanye iko freshi na mwamini❤❤❤
Mr prof
Nakubali juu ya maneno yako ya mwishoo nimeelewaaa mno
Noumer sanaaaa 🔥🔥🔥🔥
Nzur
🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇰🇪 WE AR RESPECT YOU PROFFESER JAMALLI MAZNA WANGU👏👏👏👏👏👏👏
Mwishoni nimekuelewa vzr sana,
Brother good job buh can u give us beyonce or Jay z story
One of the best stories ever👌
Good story
This life no balance 🙏
You can't tell me nothing.Naikubali ngoma hiyo
Kanye ni genius na mkweli sana ndo vitu vinavyomfanya kuonekana wa tofauti
Story % kubwa in base negative side kuliko positive story ya Kanye west
@salumubolenge289
2 жыл бұрын
Ndo alivyo brother 🔥 ataongelewa negative tu ndo ivyo
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Amemfichia mazur ila katika mabaya yake nimeona maZur mengi sasa cjui mazur yake nikiyajua
Jamari I love you so much. Story zako ni noma
🙏 🙏 🙏 🙏 Kanye West tumekuelewa
Jamali unaweza sana hongera professor
Subhanaallah Allah amjalie atubu kbla ajafaa maana kishakufur hyu jmn
Hapo tuuu kwenye kujiita Mungu ndio anatufanya tusimuelewe
Umeanza na taizi moja la kutisha
Story nzuri sana Jamal tuletee story ya mom Hussein mjukuu wa mohamad kwani uku Bahrain watu wanashiriki sana iyo
hii story book ya leo tamu sana😅😅😅
Suala la kubadilika ghafla kwa mwanadamu kukasirika na kuchekeka ni kuwatisha mahasimu wako ila kwayeye linakua na umarufu kulingana naustaa wake
Don't like to go through only darkside of person try to balance coz no one who is perfect in short "don't judge let allah decides"
Much from Kenya like back guys❤
daaaah noma sana
Hello
uyu anaitwa chizi maarifa
My crush "YE" 😍❤
@haafidhaboubakary3097
2 жыл бұрын
You're not serious my dear
Thanks Mr kanyee
I think you should do the Elon Musk story. definitelly itakuwa poa sana
Tupee story book ya2022
Pamoja sana bro 🙏
Mwachieni mungu ndio anajua
Wewe ni Kanye kabisa! I salute you Brother.. live fancy chau😇
Ye is always the best I appreciate and love him
Noma sna
Ye for life 🇹🇿😎
Kisumu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪, thanks