The Sory Book : Jasusi Waliyemuua Chooni na Kumfunga Ndani ya Begi
Ойын-сауық
The Sory Book : Jasusi Waliyemuua Chooni na Kumfunga Ndani ya Begi
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 461
Mungu hakupe umri mrefu ...uendeleeeee kutufunza maisha ......kama unamkubali professor jamali gonga like 👍
@RjdEfuNny
11 ай бұрын
Kwel🙏
@getrudemajaliwa7629
11 ай бұрын
Haya hatamupa 😂
Kama una mkubali uyu Jamaa gonga like mojo 🔥🙏
@jumamahiza2997
10 ай бұрын
Yup sasa jasusi au msimuliaji
@satanachonya6778
7 ай бұрын
Unaupiga mwing broo 19:44
@theresiakapalata1980
7 ай бұрын
Mojo ndo nini
@joshuameoli5193
4 ай бұрын
😂😂😂😂i😊@@jumamahiza2997
Tunaompenda Jamal tukusanyike hapa kuna mkutano kidogo ... Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
NA NDIO MAANA ALLAMETUNADIA NDANI YA QUR-AN KUWA "NA HAKUNA MLINZI BORA ZAIDI YA ALLAAH " ❤❤❤❤ JAMAA KALINDWA MPAKA SPIDI KALI LKN KAULIWA KIZEMBE KABISAAA NA HAKUNA KILICHO TOWA TAAKIWA KWA TRACK ZOTE ALIZO WEKEWA 😢😢😢😢 TUMTEGEMEE ALLAAH TU NDIO MLINZI WA KUTOSHA
@SafiyaAthumani-jn5bc
10 ай бұрын
Hakika mlinzi ni Allah only
Nakukubari Jamal April kwa story mzuri tamu kama Asali 👏🙏🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷
Mwamba kaludiiiii❤❤❤❤ lile jamaa lilopita lilikua alijua kuadisia jaman yani yule alikua anaimba sia kuadisia
@yusufsuleiman7886
10 ай бұрын
Hahahahahhahaah
@fatmaally7252
9 ай бұрын
Nimejikuta nimecheka adi nimeli daaaah lakini alikuwa anajitahidi kwa kiasi chake yule jamaaa
hakika ww ni zaid ya mwalimu asante sana kwa kuendelea kutufunza mamb tusiyoyajuwa mungu atakulipa prf jamal maana sisi wanadamu hata tukupe pesa vp halina malipo kwa hii elifu unayotupatia 💯
The only Goat in East Africa that can be on trending #1 in Tanzania 🇹🇿 and Kenya 🇰🇪 👏
Kaka nilikusubili sana hongera mr professor jamali 🎉🎉🎉🎉🎉
One love from +254 🇰🇪
We really appreciate your commitment and sharing of knowledge. We love your job. Big up. Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💥💥💯
The greatest story teller 😮 of all the time salute yn I wish KUWE na series when will WASAFI allow you to do series of audio book we will buy👌👍
Nimekuja kwa kuchelew ila nimefika ase naomb izo like ase na story ipo poa 🎉
@ObAH
10 ай бұрын
Like inakua mnafanyia nini?
@user-hp4zd8lf6k
10 ай бұрын
@@ObAHt
@shuwehaharuna6309
10 ай бұрын
@@ObAH hata Mimi nashan'gaaimekuwa kama fashion
@songoloakwaya4895
10 ай бұрын
1:55 1:55
@songoloakwaya4895
10 ай бұрын
3:07 3:07 3:07 3:07
Anda story kuhusu movie zinazo predict future
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦 ndonilipo kwasasa ilA nakufatiliya zaidi kaka japo uli tutenga kwAmda broo one love kak
Toka niamze kusikia the story book sijaona wa kufanana na jamal,na sioni wa kulinganishwa naye big up bro.
Jamal April...we loving you from KENYA ❤
Sijawahi kukupinga profess Nakukubar sana ✊✊
Kama umeona neno The sory book like hapa😂😂
@bintmrisho3526
Ай бұрын
😅
Mjomba Jamal naomba utupe stori ya blood🩸 and crips💙 niggas yale magang makubwa inchini marekani
Story book twice a week thanks for your gift🎉❤.#PROFESSOR
@Nobengaphotographer
11 ай бұрын
twice na ni week nyingine hiii😂😂😂😂😂au siku zineganda,nn kwakk
@amanidjuma2580
11 ай бұрын
@@Nobengaphotographer 😀😀😀
0:57 The only One and Best stry teller,Prof.Jamal
Hello Professor, can you kindly narrate also stories about writers and importance of books in our lives.
More love from Nairobi Kenya 🇰🇪 😍
Muda huu wote akilewa, kwani hakuwa na walinzi... Mwanzo tumeambiwa alikuwa amepewa ulinzi mkali na serikali ya Uingereza na Marekani.
From +254🇰🇪 We like you the best story teller of all the time ❤
The Everseen storyteller.I love you from Kenya 🇰🇪🇹🇿❤
Naomb ya John guero jasusi wa zimbabwe aliekimbia
Chuma juu ya chuma amani sana broo
👁️👁️Much love from Helsinki 🇫🇮🇫🇮🇫🇮🤝
@mubabray9845
11 ай бұрын
Finland
Cool sound smart person the guy anayeweza kuwa mfano if you appreciate dondosha like
The story book 📖 kila ijumaa tujuanane 🙋
❤❤❤professor jamali nilikumis
Nko ndani jamal from kenya
The best story book I ever listen….congratulations bro🎉
WARUSI NI HATARI SANA KWENYE UJASUSI 🎉
Jamaal you've never disappointed me, another great contents
Jamal April your the best story teller
Prof JM nakukubali kwa kuunga maarifa mengi kwaajili yetu
@mussakubari3920
11 ай бұрын
Kaka nikuulize swali kwani Kuna dawa inatumia ndo unafanya kipindi mbona unaeleweka sana Mimi binafusi yangu nakukubali sana unachokiongea nakielewa
More love to professor jamal ❤❤❤unatupea usingizi kwa kuskiza story zko good work
🙏 🙏 🙏 much love from Kenya 🇰🇪
Leo nimekuwa wa Tano like kwang tafadhaliii
Sas wew jamal aplil ulikua unangoj nn kunip mambo yang 🤣🤣🤣🙏🙏🇧🇮🇧🇮❤❤
Big up Jamal,,I really love your story the voice is always amazing,,naomba story ya Shanghai
Profesa 🔥🔥🔥
History ikisimuliwa hivi ina eleweka zaid🥱🥱🥱 shuleni sasa 😅😅😅
#NAKUPATA MWALIMU ALL THE WAY FROM🇨🇦 🙌🏿 514
Unajasana kusimulia jamal
The story book ibaki milele....!!!
Anajua anajua htr
Love from dubai jamal professor
Kazi nzuri mkuu sema ulivoitaja M16 cyo sahihi n MI6
@omaryharuna2866
11 ай бұрын
sahihi kk
🎉🎉 Uko na story tamu tamu...lakini uwacha ku nyamza sana...🎉
Nilitaman kujua baada ya uyo mrusi kwann hawajamfatilia ilintujue mwisho WA uyo olien
Leo wa 6😊Jamali mwenyew 🎉
Kila cku tunaomba mungu atupe mwisho mwema inshallah
@fitinahbakari5026
11 ай бұрын
Amiiin
Mimi napenda sauti yake tu jamani huchoki kusikiliza hata siku nzima 😘😘😘😘 like jamani.......
Mashallah , brother uko poa sana , mpaka nakutamania aisee , respect ❤❤❤
Binafsi muuaji ni muajili kwasababu cctv nani kafuta taarifa zake na kwann hawataki kuojiwa
Kaka unajua saba asee endelea hivyo hivyo kutuelimisha😊❤
Mauaji ya Gareth yatakuja namba mbili nyuma ya kifo tatanishi cha mwanamke wa Isdal
Maskini pengine hilo shilika lisingemfuata. Angekua na maisha yake. Ila sisi binadamu
Hii intro ya leo imenikamata.... Thank you bro
Much respect bro for ever 🙏👏✌
Ukiskia vyema na kutafakari basi unajua ni nani muuaji hapo bila shida yoyote! Yani huyo jasusi alikubali kuwa na urusi na uingereza wakajua hilo kisha uingereza wakawasiliana na marekani baada ya marekani kuona atakacho fanya jasus kwao ni hatari kuliko kumpoteza yeye huyo basi bora kumpoteze yeye maana wajuzi uzaliwa kila uchao na ndo ukawa mwisho wake😢
Iko poa sana ila mtuongezee siku atilist kwa wiki story book iwe kat yawik na mwish wa wiki ......💦🫡
Nawakubali ✊✊✊ Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi 👂👂👂 Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯
Kali
Story book why Raila odiga isn't the president of republic of Kenya We need this bro
@suleimankb0210
11 ай бұрын
😂
@mercyminah5284
10 ай бұрын
😂😂eiy!!
kaka allah akujalie heri zaidi
Jamal April Una talent kubwa mno big up
Mashaallah 😊
Kaka nakukubali sana
Voice of voiceless 😮
Yn pfofessor jamal nakukubali sana kwa kazi nzuri❤❤❤
Hapa ndo napendagaaaaa ❤❤
I really appreciate your work bro!
Big up jamaliiiiiiiiiii
My best story teller always congrats
The best story teller ever..Big up Professor Jamal
Youiso. So genius brother
Safi sana jamal
Mkuu mwenyewe professor
We love you brother may GOD bless you #@like❤ 🇰🇪
We love u here from Botswana❤
Gareth Williams' death was ruled as suspicious and unexplained. He was found dead inside a locked bag in his apartment in London in August 2010. The cause of death was determined to be suffocation, but it is unclear how he ended up inside the bag. The circumstances surrounding his death remain a mystery.
@stevetoocool2880
11 ай бұрын
You are a spoiller
@aminmohammed4249
11 ай бұрын
Thank you mr mgambo🫡
@lyneetengeresa9135
10 ай бұрын
😂😂😂
@bobstockcaraccessories8541
9 ай бұрын
🔥🔥
One love Jamal April from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Asante sana my brother from another mother
Mnyama jamali the real meaning of professor.
Katika maisha ya binadamu uximwamin kabisa marafiki ndio walii mukiwa mfanyakazi mwenzao
Nadharia namba mbili🙌🙌
Nakubali Jamal🔥🔥🔥
Nakubari
Toka 254 Niko ndaaaani
Leo profesa ume andika the sory book 📖
Watu na kazi zao duh 😢😢😢
Daaah kwàkwel alikufa vibay mtt wa watu😢
Much love from Kenya. Always waiting for your stories.
@jofreykabobe
10 ай бұрын
@aishanatecho4139mbona unawivu na wabongo ww kidemu nmeona kila sehemu unacomment hovyo tu 🚮
Ukimya wa muda mrefu wa Jamal kumbe alikuwa anatuandalia vitu vitam kama Nanas😂😂🙌🙌
@topselaz6366
11 ай бұрын
Na kula nanasi kwahitaji nafasi
@abdhallahmwero4312
10 ай бұрын
Wee ushapagawa
Moja ya Vijana wenye Akili na kufanya vitu kwa kiwango cha TBS n Jamal