THE CLASSIC BUFF G: MTU MUHIMU NYUMA YA MAFANIKIO YA EAST COAST,SOG NA CBM/KIONGOZI WA AY NA SNARE
Moja Ya majina ambayo hayazungumzwi sana lakini ana athari kubwa katika muziki wa Bongo ni huyu Buff G,akiwa na zaidi ya miaka 30 kwenye game Buff alikua ni uti wa Mgongo wa makundi ya SOG,CBM CREW na hata EAST COAST TEAM,amebarikiwa mambo mengi na ufahamu wa juu akiwongoza wadogo zake kina Ay,Snare na wengine wengi,Mfahamu
Пікірлер: 16
Akuje Gulamaka GK
Ohy Wazee wa mtaa wa Gaza Weweeee ayeee
Mzee wa kuvi mtafute kiraka king crazy Gk
Ananikumbusha mbali sana mwamba Mama yake Makanza kanilea toka utoto mpaka ST7 BG.
Makanza alijitutumua kufanya sana to stayed far she has mother for to make a industry of music and fillum. Rest in peace Makanza.
timu bora ya maprodyuza ni -major lazer
Legend 🔥🔥🔥🔥
noma
Mtafute chindoman mkali wangu mi ni mc safara
Buff g og huyu jamaaa noma Tanzania talented
Ndugu ya Oscar Oscar
Tuna mtaka gk
Alicheza movie ya girlfriend broo. Nakumbuka alicheza kama mtoa nafac flan hivi kwenye kupafome jaman
@herisophisticated9275
6 ай бұрын
Alikua DJ
Kuvichaka
Una mchango mkubwa sana I see ... 😇