THAMANI YA MAMA Full Movie || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
Фильм және анимация
THAMANI YA MAMA || Bongo movie 2021 || swahili Latest Bongo Movie
THAMANI YA MAMA is the best Tanzanian film with good content. The aim of this film is to provide education on reproductive health.
KAPAYA THE GREAT FILM Contact: 0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instagram Kapayathegreat TANZANIA.
Пікірлер: 265
Wow MashaAllah nice movie I'm watch saudia Arabia ( mkaaji wa Kenya)❤❤
Bila shaka hii ni kazi nzuri👏👏 ila naomba muendelezo wa Kosa la Mama❣️❣️
@johariulochi6349
Жыл бұрын
Tonka
@jeanclaudekitumaini2694
Жыл бұрын
Ni kweli kitu ya muhimu sana kurudiliya kosa la mama
VERY TOUCHING STORY ,IT HAS TAUGHT ME ALOT,THANK YOU FROM KENYA
Kaka Kapaya watu hawajui yatima ukimshika kichwa tu basi Allah anakulipa thawabu sasa vipi ukimpa chochote unaujira mkubwa sana
Ninyi ni Baraka Sana wapendwa, very interesting story! Am happy for you Jonhson, nimejifunza vitu vingi Sana Toka kwako! Itoshe tu kusema ninyi NYOTE ni Baraka kwangu!
Kapaya movie zako ni 🔥 broo big up sana ✋✋✋ endeleeni kutuletea movie nzuri namna hii
KUTOKA KENYA.JOHNSON HAKIKA UMSANII FIKA UNAPOANZA JAMBO UNAAKISHA KIKOMO TUPO.REAL LIFE FICTION.HEKO WOTE
Mashallah movie nzuri sanaa yaani haiboeshi kabisa leteni nyengine kama hiyo from (Kenya) watching nikiwa Saudiarabia
@chantalemukalayi470
2 жыл бұрын
P
@thomasgonnah7452
2 жыл бұрын
Nimeipenda sana
@aminashafi6000
Жыл бұрын
Wàaaaaàaaaaa2
@kapaayathegreat
2 ай бұрын
ingia KZread andika kapayathegreat films au NTEMI TV kisha SUBSCRIBE ili kuendelea kupata zote
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Namshukuru Allahu hii imenifanya kusikia moyo wangu hauna nguvyu. Wanawake wengi tunapitia kwenye changa moto nyingi. Sadaka yako mwenye Enzi mungu amekubali. Amin hakika sadaka ndio ufunguo wa maisha. Sifa njema zote ni zake mwenye Enzi mungu Amin.
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
Ameen sana 🙏
Kapaya aisee this is more than educational movie kwanini nilichelewa kuifatilia jamani. Bravo bravoooo kwako brother
@user-rv4wm7ov3s
3 ай бұрын
mi ndo naicheck saiv
@nzigirakeka3690
3 ай бұрын
@@user-rv4wm7ov3s iko njema Sana aisee
@kapaayathegreat
2 ай бұрын
ahsante sana, Endelea ku Enjoy
Kwa kweli jonhson mungu akubariki sana
the best character with lots of heartfelt affections ,,johnsons good job
@rukianasoro2213
Жыл бұрын
Lv 💞
I found tears in my cheeks suddenly very touchable and teachable also
Kaz nzr leteni nyingine congratulations 👏👏👏 zenu Kwa wote mliohusika hapa
@kapaayathegreat
2 ай бұрын
ingia KZread andika kapayathegreat films au NTEMI TV kisha SUBSCRIBE ili kuendelea kupata zote
Mpo good sana mmekuja kitofaut sana kwa Kaz nzur hakika 2nainjoy
Ipo vzr Sana ,Mungu awabariki kwa kazi nzr aisee mpo vizuri
Daaaaah hii movie imenifanya nitoe chozi hakika nmejifunza tunakupenda sana kapaya❤️❤️
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
Ahsante sana 🙏, Philomena
Tunakupenda san kapaya mana kazizako nzuri sana 💪💪🔥🥰
Mungu azidi kukuhifadhi kwa kazi nzuri unafanya 🇸🇦🇸🇦
Yani kaka kapaya nakuelewa sana kwa ubunifu kama huu hakika utapiga hatua sana kwenye tasinia ya flam Tanzania mm nakufatilia vizur sana kaka nikiwa Kenya me mtanzania hongera sana umefundisha vitu vingi Sana mungu awe na ww 🙏🫶🌹♥️💯
@kapaayathegreat
2 ай бұрын
shukrani sana
Sinema hii ina mafunzo kibao......shukrana kapaya james deo
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante sana mpenzi wangu jamani Monique Mshai
Duuuuh Kapaya Broo kazi yko n nzuri sana keep it the great work .....💪💪💪....I support u from Kenya ....endelea kutuletea vitu vipya
Aisee hii muvi ni tamu hongereni sana wahusika
Also has taught me we have to trust ppl not Especially hawa tunakutana ukubwana 😢😢,and to help any one we able to help you never know your tommorow🎉 and not only money are enough in our lives Peace is what it needed❤
Endeleeni na Moy huo huo wapendwaa💯💯♥️♥️♥️
Aminia sana KAPAYA uko vizur sana endelea kuwakilisha ...
Usiogope kumsaidia mtu yeyote anaestahili Msaada uwenda unaemtafuta ni mmoja kt ya unaemsaidia.very good Jonson mungu amekulipa hapa hapa duniani pia hongera BB Jonson Kwa kusema ukweli hakika ni funzo zuri sana lenye maarifaa
Nakukubali kijana,vema sana.
Hongera sana kaka kwa kazi nzur ya kuelimisha jamii Mungu akutie nguvu uweze kusonga mbele zaid
Ebwana ndugu jemes kapaya unafanya kitu Roh inapenda WW NI zaid ya kanumba Big up nataman Siku moja uwigize na Wema Kama mke wako nitafurah sana
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
🤝ntalifanyia kazi tamanio lako
@elinaeliasgabrieli6306
Жыл бұрын
Bado, kanumba ni habari nyingine kijana Sema kazi zake siyo mbaya Yuko vzr
Nimekubari utunzi mzuri uchezaji pia safi
Nzur san hongereni washiriki
Jonson mungu akuongezee moyo wahuluma
Fantastic story,I wish I can have another one like that,(Kenya) watching from saudi
@kapaayathegreat
6 ай бұрын
SUBSCRIBE to our channel, you will see another sweet films like kosa la mama
Be blessed kapaya Kwa moyo wako nmependa Sana movie zako
Hongera sana kaka hakika unajua sana na asante kwa kutuelimisha namana ya kuishi katika maisha yetu ya kila siku
Ninzur ninzur sana kwakwel hongeren nyoot
The best movie ever with a lot of teachings
UKIMALIZA HII TUNAOMBA MWUENDELEZO WA KOSA LA MAMA NI MOVIE TAMU SANA
@baimarrajahbuayan6237
2 жыл бұрын
Mbona ipo
Johnson my best actor I do follow ur movies Kila mahali I like ur acting
Very impressive"" naona bongo movie mnaanza kunikoshaaa, big up sanaa "kipaya the great"
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Kaa tayari muda wowote kupata kazi mpyaaa
Waaoooh! Move nzur sana cikutamani hata ifike mwisho, tunaomba nyingine tena
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Mbona zipo hapo nyingi2
I love you guys keep it up ❤❤❤, much love from Lebanon
Nimeipenda sana, hongereni, leteni na nyingine
good job johnson keep the fire burning
Pole sana Salome na wadogo zako wote jamn
Naipenda kaz yako kapaya
Mashalha mashalha muvi nzuri Sanaa👌👌👌👌👍👍👍
Kazi nzuri,,nimetazama hadi nikalia machozi,,,Kwa hakika mama ni wa thamani
@lucyodhiambo5554
Жыл бұрын
KAPAYA Nakupenda sana sana wewe ni actor mzuri sana sana part one wewe na Sandra congratulations 🎊
Iko vizur hongereni
Mwendelezo kosa la mama
🎉🎉🎉🎉❤❤❤nimependa sn kbs 😊😊😊🎉🎉🎉
Mwanyaezi Mungu ibarikie kazi yako kaka hakika malipo ni kwamungu tu unastahili ponfezi kwa huduma ya elimu uitoayo. Mungu akutie nguvu
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ameen sana 🙏
Hongelenn sana kwa kaz yenu. Nzuri😅
Hongera sana kaka kwakazinzuri unayo fanya
Good job kapaya 💕💕,,endeleza please
Nyie watu kuna filam nyengine zikiendelezwa aziko vzur bora kidogo kitamu kuliko kikumbwa kichungu
Watching from kenya I really love the story line
@jeanclaudekitumaini2694
Жыл бұрын
Very good thing it's movie
Naomba mawasiliano na wewe nataka niwe moja wapo kwenye movies zako
Kazi safi really motivating, just can't get enough of it great job
@magembemagunila1558
Жыл бұрын
Sawa kaka unajua kuchezea hakili zamashabiki binasfi nimeipenda kaziyako
😢😢😢😢 Mtoto Kamsaidia Mamaaye Wa Kumzaa Inapendeza Japo Inaumiza Inakata Inachoma Inaunguza Kabisaa Kwenye Moyo
Naipenda Sana yaani haiboesji
hongera sana broo stori nzuri sana endelea kutuletea nzuri zaidi big up
Thank you so much have learn many things from this video God bless you more
Bonge la movie, hongeren sana.
Kaz nzuri saaana,inasikitisha kwakweli
Nakubali bro ujawahi kukosea
ata mm nimeipenda
NAMPENDA uyu kaka movie zake ana kua na ukarimu asa akiwa na uyu baba ..
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante 🤝
Jaman wakina baba msitufanyie hivyo😮😮
Asanteni sana kwa kazi nzur sna ❤
Nice one watching from KSA
Ambia watoto ukweri
@gideonmarube6832
2 жыл бұрын
Tunajifunza kuwa mungu akikubariki na pesa nawe saidi walemafu, maskini, wagonjwa, na wale awajiwezi kimaisa , kipindi yenu hiko sawa
Filamu nzuri saana Johnson muigizaji mzuri saana from Rwanda
@ovicsmnene4811
8 ай бұрын
Tunawapenda
@kapaayathegreat
8 ай бұрын
Nashukuru sana ndugu zangu kutoka Rwanda 🇷🇼 🙏
Ni nzuri sana wamoiz from Kenya
Your doing great brother,,keep going higher
Wooou congratulation thank you so much be blessed all I like it 🔥🔥🔥🔥🙏❤
@mwerokalimbo3045
10 ай бұрын
MWERO
Thamani ya mama,kosa la maka,Ntemi n.k
jamani mnatunyanyasa sana
Nzuri San yaani mumeuwosha moyo wangu kabisa
Mmetisha nimeipenda hyo
MICHAEL Nimeipenda sana Story sana ila ndan ya story Kuna watu walikua ngusha sana 1 wapo ni ISAYA alizingua na Cjaoenda alivoihiza mdgo wake na Johnson alilazimisha sana kiswahili. Ila ongera kwako kwa Eliza na Rose 👍 pia dictator mpe Ongera.... Kwa ufup umetisha ila, kwenye Filam ya KOSA LA MAMA mliua Haina mapungufu yyete na SELVNA 👍. Ongera tuko pamoja
Kazi safi sana
Napaona MTAA WA GENERAL GEITA❤❤❤
Jamn hongera sana kapaya Kaz nzur
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante sana mpenzi wangu magreth
Asante sana ndugu Kapaya kwa filamu zako tamutamu💪💪💪😍😍alafu Ntemi ep13 ilipata shida Gani?!
Just waiting
Tunaomba mwendelezo wa kosa la mama
Wapi pt 2
Jamaniiii muendelezo was kosa la mamaaaaa
Asante nimejifunz pakubwa
Hongera kwa kazi nzuri sana
Uhakika , hukoseagi kaka mkubwa kapaya 🔥🔥🔥
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante sana kaka 🙏
Kalagu kize movie tam
Félicitations bro pour le travail #tokoos
Watching from kenya...very nice
Tuko Tena hapa🇰🇪
Micheal nakubali movie zako big up bro from Kenya 💙♥️💪
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
🙏🤝
@paulinamkumbo3592
Жыл бұрын
Ahsante sana kaka inaelimisha kila pande mungu awajarie jamani
daaa hii picha bomba sanaaaa
Kaka kazi yako haichoshi kusikiliza ila nilikua Naomba Ututumie movie ya Ntemi kaka