#TAZAMA
Ойын-сауық
Ujenzi wa Daraja la muda kwa ajili ya kufanikisha ujenzi katika wilaya mbili za misungwi na sengerema yaani kigongo - busisi limekamilika kwa asilimia 100 na sasa magari yanaweza kupita.
kamati ya siasa imepita katika daraja hilo kwa mara ya kwanza na kutumia dakika 7 tu kwa mwendo wa spidi ya km 40 kwa saa tofauti na dakika 30 kwa kutumia kivuko cha mv sengerema.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
Пікірлер: 10
Mnaonyesha progress ama magari na msafara?jifunzeni kwa watu wa reli TRC.
Hakika JPM atakumbukwa kwa mazuri yake!
Mnatuonyesha ulipofikia ujenzi wa daraja ama ma V8 ya wizara yakikatiza kwenye daraja la muda?? SMH
Badala ya kutuonyesha sehemu wazojenga untuonyesha daraja la mkandarasi
Mbona mnatudanganya kama utadhani sisi sio wafutiliaji? Hili mnatuonyesha na service bridge la muda linatumiwa na mkandarasi kwa ajili ya ujenzi pembeni yake bridge lenyewe! Wacheni mihemuko sisi tunaopita katika panton ndii tunajua..
halafu mbona Amna kinacho endelea?
Hilo sio daraja linalojengwa ila ni daraja la muda/kandarasi!
Mbona Hamna kinacho endelea
Wanaonyesha v8…
MUNGU amlaze mahala pema peponi Magufuli hii ni idea yake kama sio yeye nani angefanya hivyo?