#TAZAMA

Ойын-сауық

Ujenzi wa Daraja la muda kwa ajili ya kufanikisha ujenzi katika wilaya mbili za misungwi na sengerema yaani kigongo - busisi limekamilika kwa asilimia 100 na sasa magari yanaweza kupita.
kamati ya siasa imepita katika daraja hilo kwa mara ya kwanza na kutumia dakika 7 tu kwa mwendo wa spidi ya km 40 kwa saa tofauti na dakika 30 kwa kutumia kivuko cha mv sengerema.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер: 10

  • @florianruttahindurwa1189
    @florianruttahindurwa11892 жыл бұрын

    Mnaonyesha progress ama magari na msafara?jifunzeni kwa watu wa reli TRC.

  • @sometimes5621
    @sometimes56212 жыл бұрын

    Hakika JPM atakumbukwa kwa mazuri yake!

  • @almac121
    @almac1212 жыл бұрын

    Mnatuonyesha ulipofikia ujenzi wa daraja ama ma V8 ya wizara yakikatiza kwenye daraja la muda?? SMH

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat91072 жыл бұрын

    Badala ya kutuonyesha sehemu wazojenga untuonyesha daraja la mkandarasi

  • @mzuvendi
    @mzuvendi2 жыл бұрын

    Mbona mnatudanganya kama utadhani sisi sio wafutiliaji? Hili mnatuonyesha na service bridge la muda linatumiwa na mkandarasi kwa ajili ya ujenzi pembeni yake bridge lenyewe! Wacheni mihemuko sisi tunaopita katika panton ndii tunajua..

  • @ellyisidoli2192
    @ellyisidoli21922 жыл бұрын

    halafu mbona Amna kinacho endelea?

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe67502 жыл бұрын

    Hilo sio daraja linalojengwa ila ni daraja la muda/kandarasi!

  • @Rubaba_Tech
    @Rubaba_Tech2 жыл бұрын

    Mbona Hamna kinacho endelea

  • @stansmorland5072
    @stansmorland50722 жыл бұрын

    Wanaonyesha v8…

  • @alistidiusjohn3757
    @alistidiusjohn37572 жыл бұрын

    MUNGU amlaze mahala pema peponi Magufuli hii ni idea yake kama sio yeye nani angefanya hivyo?

Келесі