Tazama Mbiu ya Pasaka ilivyoimbwa vizuri na Shemasi Hamilton Kikoti mbele ya Askofu Mkuu Ruwa'ichi
𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN... JINA HAPA) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar... Ujumbe au Video Hapa)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Пікірлер: 173
Uimbaji wenye stahiki ya heshima ya Ibada. Ubarikiwe na Bw Mungu 🙏🙏
Hongera sana Father Kikoti watching in 2023
Shemasi Mwakikoti, hongera sana kwa kujaliwa sauti ya kuwapeleka watu kwa Mungu . Tunafarijika sana Wanairinga kwa kutuwakilisha vema. Bela Twilumba. Mwanakwetu.
Mungu akutangulie tumtumaini daima,Mbiu ya Pasaka ni Salam nzito,Ina masifu,inatukuza ,Ina maombi,Ina shukrani ,KUOMBA msamaha, ñguvu na utukufu wa Mungu,Ina faraja ,mbarikiwe watu wa Mungu,wabarikiwe na wote walioimba Mbiu ya Pasaka 2022
@mesiahdhambi3112
Жыл бұрын
??? .
Voice from heaven... proud Catholic 🥰
Mungu aibariki sauti yako ikawe baraka Kwa watu wengine.
Hongera baba kwa kusoma vizuri mbiu ya Pasaka Barikiwe sana katika utume wako
Mbiu ya pasaka, things like this make me to never miss services especially from holy Thursday to Easter sunday. What a voice brother!!!
Hiyo ndiyo sauti ya kipasaka asante baba
Shemasi Kikoti nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ufikie daraja la upadri na hata uaskofu, ukardinali na upapa.
Nimeipenda sana
Hongera sana shemasi Mungu awe nawe kila jambo ufanyalo kwa sifa na utukufu wake
Kumbe ni huyu ni Shehemas basi Mungu akutunze daima karibu Tanga uje umwone Kaka yako Joseph Kikoti 🙏🙏
Just love the way he flows in Swahili lot of love from Kenya..
Safi sana shemas umeimba vizuri
Asante umeimba vizuri sana Mungu akutegemeze ufikie lengo lako
can't stop listening and i never get tired.
hongera sana shemasi kwa sauti yenye kusisimua na mbiu inayotuletea faraja barikiwa sana shemasi KIKOTI
Thanks God that I am Christian especially Roman Catholic 🙏🙏🙏
MBIU YA PASAKA imesomwa Vizuri, nywele zinasisimka Honger Shemas KIKOTI
@lucymassoi9363
2 жыл бұрын
HAKIKAAAA 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@julithermayombya6572
Жыл бұрын
Hongera shemasi umeiimba mbiu ya PASAKA kwa weledi mkubwa! I'm Proud to be a CATHOLIC ❤
@danwakaba7557
3 ай бұрын
❤
Hongera Shemasi Kikoti, wewe ni tunda LA Kanisa Katoliki.
Hongera sana shemasi Kikoti. Hakika MUNGU anakaa katika Sifa na Sifa zake ni za Milele 🙏🏼
❤ naipenda Roman Catholic forever.... Balikiwa shemasi
Hii ndiyo liturjia ya Kikatoliki. Kinyume cha hivi, kulia lia na kuhangaika ni uzandiki usiotuhusu Wakatoliki. Hongera sana shemasi.
@Mary-br3ft
Жыл бұрын
U
@bettymandyanga2954
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mcglmsigala3552
Жыл бұрын
Seconded
@ijueimanikatoliki980
Жыл бұрын
Hao wa kulia Huwa wanalizwa na madeni mengi na shauri ya mlo mmoja
@gracemanoti2199
Жыл бұрын
Huu ndio ukatoriki bwana Asante Yesu
God chooses the best. How can he create all beauty and fail to draw one beautiful voice to sing His praises. Proud of you Deacon ❤
Hongera sn shemes kwa usomaji makini mzuli wa mbiu ya pasaka sauti mzuli mungu akujarie
Vyema sana shemasii kikotii the future of priesthood to youu is beautiful😍
Mungu akutunze sisi kama familia ya kikoti tunakiombea Mungu akuhifadhi
Beautiful, safi sana
Complimenti benissimo cantatata che voce soave 🙏❤️che dio ti benedica 🙏
Waooooo so nice
Extraordinary rendition of the beautiful chant Exultet. Happy Easter from Nairobi.
@Mary-br3ft
Жыл бұрын
So much gifted
@antoniatemu7221
Жыл бұрын
@@Mary-br3ft nafarijika Sana ninapoisokia mbiu ya pasaka ubarikiwe sana
Kila siku asubuhi lazima nisikilize hii ibada . Mungu akubariki sana Shemasi Kikoti.
Duh! Atukuzwe Mungu.
Naendelea kusikiliza mbiu hii ya pasaka leo 4/8/2023. Hongera sana Fr. Hamilton Kikoti, wakati ukiimba mbiu hii ulikuwa shemasi.
@stanslaushoya5255
Жыл бұрын
Na mimi pia
@annaosmond6442
10 ай бұрын
Na mimi pia
❤❤❤❤Hongera Baba
Amina mtumishi wa MUNGU
Kikoti 👏🏾👏🏾👏🏾
Extraordinary
Fadha upo vizuri mungu akutangulie
I love ❤️ 😍 to hear this every Easter and feel at Peace
Asante Mt. Ambrose kwa itunzi wa hii kitu
Cogratulation father
wonderful, you are really gifted ,may God bless you 🙏
Mungu awe nawe kwa kila hatua utakayoifanya kwa sifa na utukufu wa Mungu.
@monicahminai1452
Жыл бұрын
Owesome...I cant stop listening....sweet voice...
Ubarikiwe sana na mungu kwa uwo uwezo ulio jariwa na mungu mungu akupe maisha marefu uenderee kulitumikia kanisa lake
So moved by both the lyrics and the voice congratulations
Just beautiful
This is humbling
Shemasi Kikoti God bless you, for the beautiful Easter Chant. So Blessed. We all Catholics feel the presence of God
Blessing rendition
Hongera sana. Well done.
It is amazing to follow it...i feel like risen to straight to heaven
🙏❤️Dio ti benedica 🙏❤️
Simply beautiful shemasi alijiandaa
@margaretoyugi7137
2 жыл бұрын
Kweli kabisaa
Asante baba mungu akutangulie katika utume wako
Father kikoti Safi Sana Kwa jumbe nzuri pamoja na mafundisho yako
Safi Sana
Beautiful!!
Beautiful voice blessed voice Godly praise voice may Lord guide us. Amen
Be blessed my kaka.
@johnalexandermushi6720
Жыл бұрын
Hii sauti na tune ya mbiu ya Pasaka hata miaka 10 utafikiri imeimbwa leo. Mungu akubariki sana Pd Hamilton.
Mbiu ya Pasaka imesomwa vizuri jamani mpaka mwili umesisimka kama tunapaa Leo mbinguni 🙏🙏🙏🙏🙏
He just did justice to this Mbiu ya Pasaka...hongera shemasi.
Good voice I like it congrats
Asante kwa Neno zuri Baba
This is soo beautiful am soo proud and Love my Catholic Faith which is so rich 🙏💕
Amina
Safi sana nivyema
bora sanaa 🙏🙏🙏
Shemasi KIKOTI, nimekuita kwa jina lako. Umeonesha kuwa kweli una wito, ilinde hiyo zawadi ya sauti aliyokujalia MUNGU
Hongera sana, mungu awe nawe
heavenly chant
Well done fr.Hamilton
Beautiful Catholic tradition
Anaimba vizuri sana hchoki kumsikia
Wonderful singing
Hongera sana shemasi umetisha,KONGOLE BABA
Mungu akubrik san
❤
Well done my brother,Haichoshi kusikiliza
Kiukweli hapa ndipo ulipo utofauti wetu na madhehebu mengine
Hongera Sana, Shemasi. Uko vizuri. Nahisi kama niko na Mungu physically. Kudadeki.
Hallelujah!barikiwa sana Padre,
Barikiwa sana shemas daraja la upadre tayar mkuu amekutazama kwa jicho la tatu
♥️🔥
Baba nabarikiwa saana na wewe
Looh,mbiu imepigwa vyeema kabsa
Mungu akulind shemas
Ameitendea haki 🙏
Asante sana shemasi
ASANTE BABA SHEMASI ,,,,,,UMEWAKILISHA VEMA KANISA LA MUNGU ,,,,ENDELEA KUBARIKIWA,!!!!
Najivunia kuwa mkatoriki
Simply the Best. Thanks Brother Hamilton
Mungu ni mwema
Mbingu na zifunguke kwa sauti hii nzuri . Hongera sana Shemas Kikoti
kaka kikot mbiu umeitendea haki hongera
Ee yesu msimamizi wa mapadri wetu utuombeee
🙏🙏🙏
2023. Haijawahi kuchuja.
Safi sana, vp tayari kapata upadre au wamemfanya hiyana maana hawachelewi