TAZAMA MAGUFULI AJICHANGANYA KWENYE FOLENI NA GARI BINAFSI BILA MSAFARA, POLISI HAJAMPIGIA SALUTI
Жүктеу.....
Пікірлер: 653
@crownpress5512 Жыл бұрын
R.I.P His Excellence honourable Magufuli.....You are Forever in our hearts ❤
@EmmanueldanielDanielkktm-cy1pi
Жыл бұрын
Magufi
@amanmwalyambi1416
2 ай бұрын
You have to say this in your heart not in our heart don't speak on behalf of others
@saidbakari11274 жыл бұрын
JPM Mimi nakupenda lakin Kuna ambao hawakutak hvyo suala la ulinzi ni muhimu. Much love my president JPM 💯✓
@abdulswamaduathumani2791
4 жыл бұрын
Naamini hilo gari limejaa walinzi na waochukua video itakuwa usalama
@mdzainb3722
4 жыл бұрын
Weee lazima awe na walinzi asikuambie mtu
@halinishihalinitokimoyoni8302
4 жыл бұрын
@@abdulswamaduathumani2791 ndugu zangu wa tanzaniya nawaomba musichezee bahati aliyo wapa MUNGU mregesheni tena makufuli musidanganywe na wazungu hawawapendei mema
@nuruelmada9570
4 жыл бұрын
Analindwa na Mungu, hata usihofu, maana maandiko yanasema ,mlinzi akilinda bila Mungu afanya kazi Bure.
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Mimi na kupenda baba uende lee kutuongo zasiku nyingine usifanye hivo usalama wako muhim baba
@malabashitendo89904 жыл бұрын
The best president in Africa never happened before..congrats JPM..
@someaafrika.3379
3 жыл бұрын
We had Thomas Sankara before.
@maulidiismailkambenga6745
3 жыл бұрын
@@someaafrika.3379 He wasn't smart, he got screwed by the brothers themselves.. Magufuli spots rotten people
@sponsor7882
3 жыл бұрын
what abt madiba?
@someaafrika.3379
3 жыл бұрын
@@sponsor7882 Madiba yes so was Nyerere and Mugabe...In fact we had so many of them, unfortunately our generation only have access to the presence.
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Bokasa,Mobutu and Banda
@nurualphonce3008 Жыл бұрын
Jemedali wetu daima tutakukumbuka mwamba .Mungu akupe pumziko la milele
@williummtaki17363 жыл бұрын
Askar hakupiga salute kwa Sababu 1, askari hapigi salute bila ishara kama bendera, plate no. Ambavyo vyote havikuwepo kama ishara. 2. Gari ya kiraia si tatizo, ila mh rais hakushusha kioo hivyo hakuoneka, so hakuweza piga salute kwa Sababu hakumuona. NB: Kumbuka gari ya kiraia si tatizo, kama angemuona kwa ghafla hata ndani ya chombo chochote tena bila ishara angempigia salute, tatizo hakumuona na sidhani hata taarifa kama alikuwa nayo. 🙏
@eng8251
Жыл бұрын
Pia kuna inshara ya taa dereva huwa anaionesha unajua ndani kuna mtu anaestahili kupigiwa sarut
@nikemsongo6931
Жыл бұрын
Nadhani wameelewa
@Hasnspop
Жыл бұрын
Nakukubali mkuu wangu William Bado makumbusho au Santa peters
@godlivingmoshi124
9 ай бұрын
Askari akiwa anapitisha msafara wa kiongozi yeyote hawajibiki kupiga salute. hizo sababu nyingine ni za ziada
@shuwanaliloka3816
Ай бұрын
Inaonekana askari taarifa anayo ila Hajui ni gari gani. Ona gesture yake alivyosimama kusubiria.
@barakamwenda76744 жыл бұрын
Sasa police anakosa ganiii 🤣🤣🤣
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Raisi we2❤
@Word_DJ.
4 жыл бұрын
Kabisa
@nyansongofredeerick10063 жыл бұрын
Nimipenda sana hii ,Rais alivyo jichanganya kitaa .Na hii ndiyo inamfanya kujua SHIDA nyingi za wananchi wake .Mungu atubariki Watanzania.
@lavieestbelle32634 жыл бұрын
Sasa askari angeota nirais anapita🙄🙄🙄
@joramkimario2666
4 жыл бұрын
Mbona kama umeniwah.swal kama Hilo ndo nilitaka niulz
@hajjiyasin4255
4 жыл бұрын
Kweli mrembo
@elizabetjmillel3351
4 жыл бұрын
😂😂😂😂ata kama n mm ningejua ni rais anapepezaa gari vilee😂😂
@emmanuelsolo7457
4 жыл бұрын
Uko sahihi, na kinachotambulisha kwamba gari lina kiongozi ni bendera na plate namba. Laweza kuwa ni gari tu bila kiongozi hapo hamna saluti. Kwa mazingira ya gari hilo hapakuwa na sababu ya kupiga saluti maana hakuna kiashiria chochote kama kuna kiongozi. Wenye magari kama hayo wapo wengi.
@dericachristian6235
4 жыл бұрын
Hahaaaa sasa apo asikar angepiga vp salt Na gari inakimbia jaman haaaaaaa mbavu zang mie
@eliaskilango87403 жыл бұрын
nchi yetu ni nchi ya amani namshukuru Mungu kwa kuniwezesha nizaliwe Tanzania
@nailaty
2 жыл бұрын
kwa sasa mama anaipoteza aman
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Wakati wa Makufuli watu walijuta kuzaliwa Tz,hata sura ya Tz iliharibika kimataifa
@personpeter2221
3 ай бұрын
Ulijuta ww na ukoo wako@@saimonjohnsumley9198
@mosesjohnswilla9926
7 сағат бұрын
@@nailatypita hivi
@mosesjohnswilla9926
7 сағат бұрын
@saimonjohnsumley9ulijuta wew 198
@captenbabacaptenbaba42424 жыл бұрын
Mnamuandama uyo askar mwishoe afukuzwe kazi
@kato_tz
4 жыл бұрын
Hawezi kufukuzwa kazi kwanui angejuaje kwamba Rais anapita wakati ni gari binafsi
@manahiljamal8053
4 жыл бұрын
Sio kosa lake askar hawez kufukuzwa kaz
@wardajoseph6909
4 жыл бұрын
Kwani umeambiwa anawafukuza hivyo magufuli ni rais mwenye elimu safi na akili timamu
@zou7470
4 жыл бұрын
@@kato_tz apo sasa🤷♀️🤷♀️
@usiniguse
4 жыл бұрын
Hamna kosa la kumfukuzisha kazi Askari huyo kwani yuko sawa na ni sawa 100% unapigaje salut kwa mtu ambaye humjui au hufahamu ni Nani.
@tiffatzhemedy94853 жыл бұрын
Nakupenda mh jamani mungu akupe maisha marefuu ya amani
@onekisstv8412
Жыл бұрын
Tiffah ulikua Kama unamuombea kufa vile ndo ishatokea
@timothalex3249 Жыл бұрын
Mungu akuweke mahala pema sana mkuu wetu tutaonana badae tupo tunakuombea sana tunajivunaia sana kipindi chako...
@mirrykirungi5078
Жыл бұрын
Kwakweli
@sadickayoub82844 жыл бұрын
Hakua na haja ya kupiga sarut wakat Gari alilokuwemo rais lilikua n gar binafsi Hana kosa lolote trafik
@selector728
4 жыл бұрын
Siyo sarut sema salut
@zechariahhizza7755
4 жыл бұрын
@@selector728 😂😂
@NkamuJoMundo
4 жыл бұрын
Kwanii nani kasema ana kosa!!!
@dastanfussy4898
3 жыл бұрын
Kwahiyo gari ndiyo inapigiwa saluti? Sema hakumtambua kwa usafir uliotumia.
@sanyamwita1853
3 жыл бұрын
Gari ya rais kama ikiwa na ile nembo hata kama hayumo unaipigia salut
@slayingtee60444 жыл бұрын
Sasa traffic angejuaje km ni rais
@roseliku531
4 жыл бұрын
Slaying Tee eti jamani yeye angejuaje
@agnessemmanuel8434
4 жыл бұрын
Angeota😁😁
@kudoja_fish_shop9592
4 жыл бұрын
Si angenusa harufu ina maana harufu ya boss wake haijui
@ambitiousholyspirit395
3 жыл бұрын
Asingeota
@bikersnation_001
3 жыл бұрын
True...
@selesaid43673 жыл бұрын
Our president ni zawadi yetu kwa Mungu. Hakuna mwenye imani kama yake, hana kibri. Mungu ampe afya njema na familia yake yote. We love you Baba
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
He jailed innocent people,he never employed ,he had dangerous neopotism
@allyismail455
Жыл бұрын
Alichokifa hapa sio cha kukipongeza Rais ni taasisi bhana
@jehidahamisi24042 жыл бұрын
Mungu akulehemu mueshimiwa magu
@lilsome63314 жыл бұрын
Duh! tunakupenda baba lkn usirejee tena kuna wasiokutakia mema rais Karume aliuliwa na wewe Mungu akulinde ila ulinzi muhimu . big up
@abubakarmzee3374
4 жыл бұрын
Kwani ww kwa akili zako ndo unaona apo yuko peke yake jiongeze dungu apo ulizi upo ila so kama ule ulozoeleka siku zote
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
Huyo aliechukuwa video tuu tujiulize...inamana ulinzi anao
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Karume aliuliwa baada naye kuua
@dickson5412
Жыл бұрын
Shomari kapombe
@bibibomba4515
7 ай бұрын
😢
@boniphaceally4864 жыл бұрын
Raisi wa mfano barani africa
@kacherosimba57624 жыл бұрын
Sasa mtu hapo ajichanganye lamda hizo daladala zimekodiwa zimeja wajeda nyie mnaona yuko kwa foleni kumbe wote hao niwajeda😂😂🤣
@barakarobert7003
4 жыл бұрын
😂😂😂
@jamiloabdulle7118
4 жыл бұрын
KabizaaaAaa
@saadakiyungi6437
4 жыл бұрын
Hahahah! Umeona eeeh
@muniradaudi440
4 жыл бұрын
Tenaa
@josephdogan7650
4 жыл бұрын
@Humphrey Msengi Yami ulinxi wa rais hapo mkuu ni mkubwa sana.hsyo maari yite unskuta wamejaa wazee wa kz.
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Utapitaàaa tu mzee baba 💪💪
@adammbuba72303 жыл бұрын
Baba Magufuli ndo ushalala, duu inauma sana
@maisaalawi53994 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amfanyie wepesi.
@hemedsuleiman9034 Жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi amin
@walidsultan74864 жыл бұрын
Tunakupenda Sana rais wetu Ila wapo wachache wanao kuchukia
@bunnasib19614 жыл бұрын
Wakati mnarusha habari muwe makini mtajikuta mnawaletea matatizo watu wana watoto na familia zinawategemea unaposema "Lakini cha ajabu traffic 👮 hakupiga saluti unamaana gani??"
@agnessemmanuel8434
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁 Ukickia mataira ndo hawa
@sarahali5938
3 жыл бұрын
Exactly angejuaji
@Nazareth81194 жыл бұрын
Mhe, usalama kwako ni muhimu sana, Mimi naona hii si Sawa, ninapenda sana unavyojiamini ila isizidi sana, wewe ni Tanzania na Tanzania ni wewe kwa sasa, Mungu akulinde Mhe wetu
@nancyg8664
7 ай бұрын
Kama polisi hakujua kuwa rais anapita bas alikua salama
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Mungu amrehemu. JITU LA WATU.
@UpendoAloyce-uh8ym Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele upimzike kwa amani
@aminatundondege93844 жыл бұрын
Haaaa....!!! Amiri Jeshi wetuu,ni baadhi ya mambo ambayo yanamfanya awe unique!!Barikiwa!!?sanaaa Rais wangu.
@nassoronkelanza61613 жыл бұрын
Alindwe siku zote Marufuku siku ingine Tumempata kwa shida my lovely prezidaa
@swittychenguli55234 жыл бұрын
Traffic hana makosa hakujua Kama ni msafara wa mh
@mwajemwafula721
4 жыл бұрын
Polisi alikuwa anashanga tuu
@swittychenguli5523
4 жыл бұрын
Mwaje Mwafula yah
@alumonkisinda4574
4 жыл бұрын
Dereva anatakiwa kutoa ishara inayoonyesha mkuu yupo ndani kwa ishara ya taa kama hajamuwashia kamanda hana koso na kama gari lipo na dereva tupu unampigia mambo yanaenda na ishara
@ntamwanatv47374 жыл бұрын
Milladi ayo angalia usipoteze hadhi ya channel zako sasa huyo mtangazaji anasema rais hajapigiwa salute angejuaje ikiwa hajamjua
@teddyndungurusabnu47924 жыл бұрын
Hahaha 😂😂nimejiuliza tu kwa sauti mala paaa Askari kapiga mkono gari maana imeovertalki ana kutana na bosi wake 😜😜ungesikia muheshimiwa pita ,, muheshimiwa sasa,, usijari kijana enderea kupiga kazi kwa rafuzi ile ya watani zangu ,,🤣🤣 love you Papaa magufuri 2020 kura yangu chukuaaaaaaaaa💪💪
@user-gj9hu7fd9h10 ай бұрын
Our Great Hero may your Soul rest n peace. 🙏🙏🙏
@ayububrayson89884 жыл бұрын
Hiyo ni ishara kwamba Tanzania ni nchi ya amani#na tuombe Mungu azidi kuidumisha amani ya Tanzania daima kama alivyofanya Mh.
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Amani Iko wapi? au kwavile hujadhuriwa wewe au nduguyako,ACHA unafiki
Maisha ya kienyeji nayo yana raha yake....anamiss vingi mzee
@petrochundu9702 Жыл бұрын
Mungu Amjalie punziko la milele
@jenifarbonnyqn83934 жыл бұрын
Nyie muda mwingine ni wachochezi mshasema gari binafs kwani huyo trafic ni mfalme njozi aote kua hilo gari yupo raisi
@sterachacky98052 жыл бұрын
Mpaka Leo tunakukumbuka baba
@tukuswigaikasu52274 жыл бұрын
Traffic wa watu anajishangalia tu maana hakukua na namna ya kujua huo ni msafara wa rahisi. So alikua sahihi kutokupiga salute.
@brysonuronu58623 жыл бұрын
Askari angejuaje sasa jamani..mtangazaji unazingua
@sharifunyengedi63224 жыл бұрын
Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukulipa Zaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili
@LovelyCoastline-il1lr19 күн бұрын
Atapigaje salute kwa mtu asiemjua
@uwajado30484 жыл бұрын
Kbx Nami nakupenda sana Pesident wa Tanzania kbx
@kathungumorrismutugi3373 жыл бұрын
Sasa angepiga saluti aje gari yenyewe ni ya binafsi angejua aje ni rais Yuko ndani we nawe siku hizi watukologa bana... But much love from Kenya's in Dubai
@youngthug5139
3 жыл бұрын
Bora umesema urais sio madaraka ya kutesea wap... Angejuaje Kama huyo ni rais
@fabiolambunda8903 жыл бұрын
Tutakumbuka daima
@ommyrevocatus57654 жыл бұрын
Angelipiga salute tungeshangaa kuwa huyu mwamba kazi ni kuchungulia magari asee
@rabbithare3813 жыл бұрын
I'm very very sure his excellent president maghufuli was really bothered and disturbed seeing that unnecessary jam thus must have given instructions to his minister to remedy that problem... I truly like and respect the TANZANIAN president.... I wish and pray Tanzanians decide to change their constitution by giving him a third term, I promise you it will rank second after South Africa in infrastructure development and Tanzania will be the ONLY country in Africa that will be corruption free and with the best economy!!!!!!
@ezekieljacob5795
Жыл бұрын
Stop there
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Totally dictetorship
@Harrison-zh9sb
Жыл бұрын
@@saimonjohnsumley9198 your very stupid ni Bora udikteta wenye maendeleo kuliko demokrasia iliyo jaa upuuzi na kukosa muelekeo
@user-jk5ir4ke3z4 жыл бұрын
Mashaalah
@ibrahimmzito3904 жыл бұрын
Sasa apo kajichanganya kwenye foreni gani jamani wakati magari yapo kwenye foreni na yeye anapita pembeni ambapo sio sait yake na uku askali alievaa suti akiyatawanya magari mengine yampishe ...kichwa cha habari na video yenyewe vitu viwili tofauti kabisa..
Mungu anamuonyesha kuaa.kunasiku itakua hivyo usijisahau jpm kuna maisha baada.ya kutawala duniani kotee watu hawapendi kutawaliwa na.were unatawala badala ya kuongoza kama jl au kenyata Uhuru we jpm Leo umekua kagame juzi idiamini mtondogo umekua Mobutu baaadae baada ya utawala utaitw makuful ya kuwafungiaa.watu jela mungu asukusaidiee hata chembe aaameni
@kozbeaqalihani82163 жыл бұрын
RIP chuma😭😭😭
@happyjacline9883 жыл бұрын
Jamani!!! asa atapigaje saluti wakati hana taarifa yoyote ya safar ya Raisi 😁😁😁😁😁
@shakirashakira-gc2yw5 ай бұрын
Daa inauma
@jacksonmawole40294 жыл бұрын
Wewe huyo traffic anajua mchezo mzima mana sio kwa usimamaji ule
@komboabduhaji5047 Жыл бұрын
We proudly for your good leadership
@godfreyjared93073 жыл бұрын
Ndg , watanzania wenzangu mungu aliye ruhusu magufuli aibadilishe Tanzania ndiye aliyeruhusu mama samia aendeleze safari aliyoianza JPM kwaiyo tuzid tu kuombeana kwa mwenyezi mungu Tena na Tena ng'ambo tutafika tu Amina.
@mimahally13883 жыл бұрын
Rip jmn😣
@jamalmullerjordan3 жыл бұрын
Sasa atapiga salute vip n magu sio raisi hadi achaguliwe tena ndio awe raisi wa nchi
@firdausgreen13914 жыл бұрын
I love you with no reasons Hapa kazi tu
@ghulamjuma28834 жыл бұрын
Nice one good very good excellent my President
@patrinraura1397 Жыл бұрын
Lilikuwa Jembe letu,Tingatinga Mweke mahali pema,Peponi Amina
@davidmpuya82224 жыл бұрын
Safi sana, ni nchi ya amani hii
@ikoziboy44884 жыл бұрын
Huenda huyo traffic alikuwa hajui kama gari ni yanani
@frozen4rozen4754 жыл бұрын
Magufuli tembo 👏🏿👏🏿
@ponciopaul4405
3 жыл бұрын
Zaidi ya tembo
@athumaniomari28334 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU
@magumashi12324 жыл бұрын
Tunakupenda sana Mr president
@cleofasnyoni38364 жыл бұрын
Salute yanini sasa mbn unahrbu sasa
@thabitisimba11434 жыл бұрын
Sasa apige sarut gar katumia private kwanza trafic alioigwa butwaa Nani anaharibu foleni
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Hahaaaaa
@aaa64sa13
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@jenyyusuph4973
4 жыл бұрын
😂😂A anajua kutufurahisha
@thabitisimba1143
4 жыл бұрын
Yaani uyu mtangazaji nguchiro kweli
@silvestajohn4335
4 жыл бұрын
Au anapigia magar yote salutii😂😂 ,Mtangazaj naye anazingua 😂😂
@user-yk5ru7nj7x4 ай бұрын
Kwani Askari Angeota kuwa Rais anapita😊
@frankdanford82453 жыл бұрын
Viva magufuli viva
@akshaydavid1594 жыл бұрын
We mtangazaji ni boya, kasome kwanza ujue mazingira ya kupiga salute nanga ww
@damianmakala2913
4 жыл бұрын
Hahahahaha ! Nanga maneno ya majeshini hayo !
@emmanuelsolo7457
4 жыл бұрын
Huyo hata skauti hakupita🤣🤣🤣🤣
@nicholasndiema65964 жыл бұрын
Tanzania askari hupiga salute ovyo 2
@user-ot2io4cy6w4 жыл бұрын
Huyo Askari usikute ni Komandoo mwenye mafunzo ya hali ya juu sana na amewekwa hapo kwa ajiri ya ulinzi wa Rais na kuhusu hizo nguo za traffic alizovaa ni mzugeni tu sasa mtu ajichanganye hapo aone.
@maglansaisai4203 жыл бұрын
Duh noma can trafk alijua gari tyu la kiraia
@tanzaniapatrioticorganizat94134 жыл бұрын
MSF Ni Jukwaa linalo Project Juhudi /Kazi za Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kwa jamii inayotuzunguka na dunia kwa ujumla! #Nchiyetu, #Raiswetu #Fahariyetu #🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥
@jamesjamesh.58224 жыл бұрын
Suala la kumuingiza askari ktk ishu ya Magufuli nimegundua n ujanja wa mwandishi kutaka watu wengi kuicheki clip
@beckajunior13884 жыл бұрын
Weeee mtangazaji nae kimeo kweli sasa hapo akusaluti wewe au weee huoni kama iko tinted hiyooo na prate no. za kiraia weeee ⚓ nn
@mrbayuali69164 жыл бұрын
Tupo wengi RAISI WETU tunaokupenda huku mitaani yaani kazi ulizozifanya ni kubwa Sana KATIKA Maendeleo kwa kweli we love you President JPM kura YANGU tayri iko kwako Bila hata kampeni
@happycarloss67263 ай бұрын
Barabara nyeupeee😊
@andrewluhamo68533 ай бұрын
Mwandishi kuna kitu umekosea, ilo gari halikuwa ni gari binafsi bali mmliki wa gari ni ofisi ya Raisi.Muwe mnafanya uchunguzi kwanza kabla ya kuhabarisha umma wa watanzania.Nawasilisha
Hata me sijamuelewa lengo lake n nn huyu mchizi.🤨🤨🤨
@sengeremaxleo92953 жыл бұрын
Hahaha angekuwaaa dar hata asingejaribu kukaaa kwenye folen
@edwinmachange66079 ай бұрын
Endelea kupumzika kwa Amani Dr. JPM .Tutakukumbuka daima🙏🏼🙏🏼
@abumusabmusab37714 жыл бұрын
Huyu angekuwa zama moja na gadaff Africa ingetisha sana na wenye kujipendekeza Kwa wazungu wangeaibika sana
@johnrambo9642 Жыл бұрын
Waandish nao simaruf kwa kuropoka tu mara gari binafc amepanda mara askari hakumpigia salute mambo mawil tofaut hapo kama kila gari askari angepiga salute ss kwa kila v8
@scolabahame22144 жыл бұрын
Hakujuwa masikini kwamba niyeye Jamani rais kwasababu sio kawaida yamarais kutembea pekee
@robertplasidus51793 жыл бұрын
millard umeanza kuwa km media zngne za ajabu ajabu zinazo maliza M.B zetu bila 7bu huyo askar angejua km ni rahis wakat ushasema ni private car.. 2lichotegemea kukiona akipo hapo
@mohamedkitiku39703 жыл бұрын
Anapigaje Saluti wakati hajui kama rais yupo kwenye hiyo gari wewe mwandishi nae kimeo
@jamesjoseph403128 күн бұрын
Sasa askari ni malaika kujua kila gari lina kiongozi ndani yake?
@MS.independent89344 жыл бұрын
daaaaa uyoo kweli MANGFURI maana anaweza kumkamata mtuu bila yeye kujuwa kama kabambwa😂😂😂😂😂♥️MAGU🔥
Пікірлер: 653
R.I.P His Excellence honourable Magufuli.....You are Forever in our hearts ❤
@EmmanueldanielDanielkktm-cy1pi
Жыл бұрын
Magufi
@amanmwalyambi1416
2 ай бұрын
You have to say this in your heart not in our heart don't speak on behalf of others
JPM Mimi nakupenda lakin Kuna ambao hawakutak hvyo suala la ulinzi ni muhimu. Much love my president JPM 💯✓
@abdulswamaduathumani2791
4 жыл бұрын
Naamini hilo gari limejaa walinzi na waochukua video itakuwa usalama
@mdzainb3722
4 жыл бұрын
Weee lazima awe na walinzi asikuambie mtu
@halinishihalinitokimoyoni8302
4 жыл бұрын
@@abdulswamaduathumani2791 ndugu zangu wa tanzaniya nawaomba musichezee bahati aliyo wapa MUNGU mregesheni tena makufuli musidanganywe na wazungu hawawapendei mema
@nuruelmada9570
4 жыл бұрын
Analindwa na Mungu, hata usihofu, maana maandiko yanasema ,mlinzi akilinda bila Mungu afanya kazi Bure.
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Mimi na kupenda baba uende lee kutuongo zasiku nyingine usifanye hivo usalama wako muhim baba
The best president in Africa never happened before..congrats JPM..
@someaafrika.3379
3 жыл бұрын
We had Thomas Sankara before.
@maulidiismailkambenga6745
3 жыл бұрын
@@someaafrika.3379 He wasn't smart, he got screwed by the brothers themselves.. Magufuli spots rotten people
@sponsor7882
3 жыл бұрын
what abt madiba?
@someaafrika.3379
3 жыл бұрын
@@sponsor7882 Madiba yes so was Nyerere and Mugabe...In fact we had so many of them, unfortunately our generation only have access to the presence.
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Bokasa,Mobutu and Banda
Jemedali wetu daima tutakukumbuka mwamba .Mungu akupe pumziko la milele
Askar hakupiga salute kwa Sababu 1, askari hapigi salute bila ishara kama bendera, plate no. Ambavyo vyote havikuwepo kama ishara. 2. Gari ya kiraia si tatizo, ila mh rais hakushusha kioo hivyo hakuoneka, so hakuweza piga salute kwa Sababu hakumuona. NB: Kumbuka gari ya kiraia si tatizo, kama angemuona kwa ghafla hata ndani ya chombo chochote tena bila ishara angempigia salute, tatizo hakumuona na sidhani hata taarifa kama alikuwa nayo. 🙏
@eng8251
Жыл бұрын
Pia kuna inshara ya taa dereva huwa anaionesha unajua ndani kuna mtu anaestahili kupigiwa sarut
@nikemsongo6931
Жыл бұрын
Nadhani wameelewa
@Hasnspop
Жыл бұрын
Nakukubali mkuu wangu William Bado makumbusho au Santa peters
@godlivingmoshi124
9 ай бұрын
Askari akiwa anapitisha msafara wa kiongozi yeyote hawajibiki kupiga salute. hizo sababu nyingine ni za ziada
@shuwanaliloka3816
Ай бұрын
Inaonekana askari taarifa anayo ila Hajui ni gari gani. Ona gesture yake alivyosimama kusubiria.
Sasa police anakosa ganiii 🤣🤣🤣
Raisi we2❤
@Word_DJ.
4 жыл бұрын
Kabisa
Nimipenda sana hii ,Rais alivyo jichanganya kitaa .Na hii ndiyo inamfanya kujua SHIDA nyingi za wananchi wake .Mungu atubariki Watanzania.
Sasa askari angeota nirais anapita🙄🙄🙄
@joramkimario2666
4 жыл бұрын
Mbona kama umeniwah.swal kama Hilo ndo nilitaka niulz
@hajjiyasin4255
4 жыл бұрын
Kweli mrembo
@elizabetjmillel3351
4 жыл бұрын
😂😂😂😂ata kama n mm ningejua ni rais anapepezaa gari vilee😂😂
@emmanuelsolo7457
4 жыл бұрын
Uko sahihi, na kinachotambulisha kwamba gari lina kiongozi ni bendera na plate namba. Laweza kuwa ni gari tu bila kiongozi hapo hamna saluti. Kwa mazingira ya gari hilo hapakuwa na sababu ya kupiga saluti maana hakuna kiashiria chochote kama kuna kiongozi. Wenye magari kama hayo wapo wengi.
@dericachristian6235
4 жыл бұрын
Hahaaaa sasa apo asikar angepiga vp salt Na gari inakimbia jaman haaaaaaa mbavu zang mie
nchi yetu ni nchi ya amani namshukuru Mungu kwa kuniwezesha nizaliwe Tanzania
@nailaty
2 жыл бұрын
kwa sasa mama anaipoteza aman
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Wakati wa Makufuli watu walijuta kuzaliwa Tz,hata sura ya Tz iliharibika kimataifa
@personpeter2221
3 ай бұрын
Ulijuta ww na ukoo wako@@saimonjohnsumley9198
@mosesjohnswilla9926
7 сағат бұрын
@@nailatypita hivi
@mosesjohnswilla9926
7 сағат бұрын
@saimonjohnsumley9ulijuta wew 198
Mnamuandama uyo askar mwishoe afukuzwe kazi
@kato_tz
4 жыл бұрын
Hawezi kufukuzwa kazi kwanui angejuaje kwamba Rais anapita wakati ni gari binafsi
@manahiljamal8053
4 жыл бұрын
Sio kosa lake askar hawez kufukuzwa kaz
@wardajoseph6909
4 жыл бұрын
Kwani umeambiwa anawafukuza hivyo magufuli ni rais mwenye elimu safi na akili timamu
@zou7470
4 жыл бұрын
@@kato_tz apo sasa🤷♀️🤷♀️
@usiniguse
4 жыл бұрын
Hamna kosa la kumfukuzisha kazi Askari huyo kwani yuko sawa na ni sawa 100% unapigaje salut kwa mtu ambaye humjui au hufahamu ni Nani.
Nakupenda mh jamani mungu akupe maisha marefuu ya amani
@onekisstv8412
Жыл бұрын
Tiffah ulikua Kama unamuombea kufa vile ndo ishatokea
Mungu akuweke mahala pema sana mkuu wetu tutaonana badae tupo tunakuombea sana tunajivunaia sana kipindi chako...
@mirrykirungi5078
Жыл бұрын
Kwakweli
Hakua na haja ya kupiga sarut wakat Gari alilokuwemo rais lilikua n gar binafsi Hana kosa lolote trafik
@selector728
4 жыл бұрын
Siyo sarut sema salut
@zechariahhizza7755
4 жыл бұрын
@@selector728 😂😂
@NkamuJoMundo
4 жыл бұрын
Kwanii nani kasema ana kosa!!!
@dastanfussy4898
3 жыл бұрын
Kwahiyo gari ndiyo inapigiwa saluti? Sema hakumtambua kwa usafir uliotumia.
@sanyamwita1853
3 жыл бұрын
Gari ya rais kama ikiwa na ile nembo hata kama hayumo unaipigia salut
Sasa traffic angejuaje km ni rais
@roseliku531
4 жыл бұрын
Slaying Tee eti jamani yeye angejuaje
@agnessemmanuel8434
4 жыл бұрын
Angeota😁😁
@kudoja_fish_shop9592
4 жыл бұрын
Si angenusa harufu ina maana harufu ya boss wake haijui
@ambitiousholyspirit395
3 жыл бұрын
Asingeota
@bikersnation_001
3 жыл бұрын
True...
Our president ni zawadi yetu kwa Mungu. Hakuna mwenye imani kama yake, hana kibri. Mungu ampe afya njema na familia yake yote. We love you Baba
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
He jailed innocent people,he never employed ,he had dangerous neopotism
@allyismail455
Жыл бұрын
Alichokifa hapa sio cha kukipongeza Rais ni taasisi bhana
Mungu akulehemu mueshimiwa magu
Duh! tunakupenda baba lkn usirejee tena kuna wasiokutakia mema rais Karume aliuliwa na wewe Mungu akulinde ila ulinzi muhimu . big up
@abubakarmzee3374
4 жыл бұрын
Kwani ww kwa akili zako ndo unaona apo yuko peke yake jiongeze dungu apo ulizi upo ila so kama ule ulozoeleka siku zote
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
Huyo aliechukuwa video tuu tujiulize...inamana ulinzi anao
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Karume aliuliwa baada naye kuua
@dickson5412
Жыл бұрын
Shomari kapombe
@bibibomba4515
7 ай бұрын
😢
Raisi wa mfano barani africa
Sasa mtu hapo ajichanganye lamda hizo daladala zimekodiwa zimeja wajeda nyie mnaona yuko kwa foleni kumbe wote hao niwajeda😂😂🤣
@barakarobert7003
4 жыл бұрын
😂😂😂
@jamiloabdulle7118
4 жыл бұрын
KabizaaaAaa
@saadakiyungi6437
4 жыл бұрын
Hahahah! Umeona eeeh
@muniradaudi440
4 жыл бұрын
Tenaa
@josephdogan7650
4 жыл бұрын
@Humphrey Msengi Yami ulinxi wa rais hapo mkuu ni mkubwa sana.hsyo maari yite unskuta wamejaa wazee wa kz.
Utapitaàaa tu mzee baba 💪💪
Baba Magufuli ndo ushalala, duu inauma sana
Mwenyezi mungu amfanyie wepesi.
Mungu akulaze mahala pema peponi amin
Tunakupenda Sana rais wetu Ila wapo wachache wanao kuchukia
Wakati mnarusha habari muwe makini mtajikuta mnawaletea matatizo watu wana watoto na familia zinawategemea unaposema "Lakini cha ajabu traffic 👮 hakupiga saluti unamaana gani??"
@agnessemmanuel8434
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁 Ukickia mataira ndo hawa
@sarahali5938
3 жыл бұрын
Exactly angejuaji
Mhe, usalama kwako ni muhimu sana, Mimi naona hii si Sawa, ninapenda sana unavyojiamini ila isizidi sana, wewe ni Tanzania na Tanzania ni wewe kwa sasa, Mungu akulinde Mhe wetu
@nancyg8664
7 ай бұрын
Kama polisi hakujua kuwa rais anapita bas alikua salama
Mungu amrehemu. JITU LA WATU.
Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele upimzike kwa amani
Haaaa....!!! Amiri Jeshi wetuu,ni baadhi ya mambo ambayo yanamfanya awe unique!!Barikiwa!!?sanaaa Rais wangu.
Alindwe siku zote Marufuku siku ingine Tumempata kwa shida my lovely prezidaa
Traffic hana makosa hakujua Kama ni msafara wa mh
@mwajemwafula721
4 жыл бұрын
Polisi alikuwa anashanga tuu
@swittychenguli5523
4 жыл бұрын
Mwaje Mwafula yah
@alumonkisinda4574
4 жыл бұрын
Dereva anatakiwa kutoa ishara inayoonyesha mkuu yupo ndani kwa ishara ya taa kama hajamuwashia kamanda hana koso na kama gari lipo na dereva tupu unampigia mambo yanaenda na ishara
Milladi ayo angalia usipoteze hadhi ya channel zako sasa huyo mtangazaji anasema rais hajapigiwa salute angejuaje ikiwa hajamjua
Hahaha 😂😂nimejiuliza tu kwa sauti mala paaa Askari kapiga mkono gari maana imeovertalki ana kutana na bosi wake 😜😜ungesikia muheshimiwa pita ,, muheshimiwa sasa,, usijari kijana enderea kupiga kazi kwa rafuzi ile ya watani zangu ,,🤣🤣 love you Papaa magufuri 2020 kura yangu chukuaaaaaaaaa💪💪
Our Great Hero may your Soul rest n peace. 🙏🙏🙏
Hiyo ni ishara kwamba Tanzania ni nchi ya amani#na tuombe Mungu azidi kuidumisha amani ya Tanzania daima kama alivyofanya Mh.
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Amani Iko wapi? au kwavile hujadhuriwa wewe au nduguyako,ACHA unafiki
Nakupendaaaaaaaaaa JPM, nakupenda, jamani nakupendaaaaaaa.
Maisha ya kienyeji nayo yana raha yake....anamiss vingi mzee
Mungu Amjalie punziko la milele
Nyie muda mwingine ni wachochezi mshasema gari binafs kwani huyo trafic ni mfalme njozi aote kua hilo gari yupo raisi
Mpaka Leo tunakukumbuka baba
Traffic wa watu anajishangalia tu maana hakukua na namna ya kujua huo ni msafara wa rahisi. So alikua sahihi kutokupiga salute.
Askari angejuaje sasa jamani..mtangazaji unazingua
Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukulipa Zaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili
Atapigaje salute kwa mtu asiemjua
Kbx Nami nakupenda sana Pesident wa Tanzania kbx
Sasa angepiga saluti aje gari yenyewe ni ya binafsi angejua aje ni rais Yuko ndani we nawe siku hizi watukologa bana... But much love from Kenya's in Dubai
@youngthug5139
3 жыл бұрын
Bora umesema urais sio madaraka ya kutesea wap... Angejuaje Kama huyo ni rais
Tutakumbuka daima
Angelipiga salute tungeshangaa kuwa huyu mwamba kazi ni kuchungulia magari asee
I'm very very sure his excellent president maghufuli was really bothered and disturbed seeing that unnecessary jam thus must have given instructions to his minister to remedy that problem... I truly like and respect the TANZANIAN president.... I wish and pray Tanzanians decide to change their constitution by giving him a third term, I promise you it will rank second after South Africa in infrastructure development and Tanzania will be the ONLY country in Africa that will be corruption free and with the best economy!!!!!!
@ezekieljacob5795
Жыл бұрын
Stop there
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Totally dictetorship
@Harrison-zh9sb
Жыл бұрын
@@saimonjohnsumley9198 your very stupid ni Bora udikteta wenye maendeleo kuliko demokrasia iliyo jaa upuuzi na kukosa muelekeo
Mashaalah
Sasa apo kajichanganya kwenye foreni gani jamani wakati magari yapo kwenye foreni na yeye anapita pembeni ambapo sio sait yake na uku askali alievaa suti akiyatawanya magari mengine yampishe ...kichwa cha habari na video yenyewe vitu viwili tofauti kabisa..
Asee tuna kukumbuka san mungu akusaidie uko uliko
Mwamba hakika tunakukumbuka sana
Mungu Hakulinde Rais wetu wa tanzania
Penda rais magufuli God bless you
Angekaa kwny folen mwazo mwisho mbona gari imetanua kulia...chezea folen ww
Mungu anamuonyesha kuaa.kunasiku itakua hivyo usijisahau jpm kuna maisha baada.ya kutawala duniani kotee watu hawapendi kutawaliwa na.were unatawala badala ya kuongoza kama jl au kenyata Uhuru we jpm Leo umekua kagame juzi idiamini mtondogo umekua Mobutu baaadae baada ya utawala utaitw makuful ya kuwafungiaa.watu jela mungu asukusaidiee hata chembe aaameni
RIP chuma😭😭😭
Jamani!!! asa atapigaje saluti wakati hana taarifa yoyote ya safar ya Raisi 😁😁😁😁😁
Daa inauma
Wewe huyo traffic anajua mchezo mzima mana sio kwa usimamaji ule
We proudly for your good leadership
Ndg , watanzania wenzangu mungu aliye ruhusu magufuli aibadilishe Tanzania ndiye aliyeruhusu mama samia aendeleze safari aliyoianza JPM kwaiyo tuzid tu kuombeana kwa mwenyezi mungu Tena na Tena ng'ambo tutafika tu Amina.
Rip jmn😣
Sasa atapiga salute vip n magu sio raisi hadi achaguliwe tena ndio awe raisi wa nchi
I love you with no reasons Hapa kazi tu
Nice one good very good excellent my President
Lilikuwa Jembe letu,Tingatinga Mweke mahali pema,Peponi Amina
Safi sana, ni nchi ya amani hii
Huenda huyo traffic alikuwa hajui kama gari ni yanani
Magufuli tembo 👏🏿👏🏿
@ponciopaul4405
3 жыл бұрын
Zaidi ya tembo
Asante sana mwenyezi MUNGU
Tunakupenda sana Mr president
Salute yanini sasa mbn unahrbu sasa
Sasa apige sarut gar katumia private kwanza trafic alioigwa butwaa Nani anaharibu foleni
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Hahaaaaa
@aaa64sa13
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@jenyyusuph4973
4 жыл бұрын
😂😂A anajua kutufurahisha
@thabitisimba1143
4 жыл бұрын
Yaani uyu mtangazaji nguchiro kweli
@silvestajohn4335
4 жыл бұрын
Au anapigia magar yote salutii😂😂 ,Mtangazaj naye anazingua 😂😂
Kwani Askari Angeota kuwa Rais anapita😊
Viva magufuli viva
We mtangazaji ni boya, kasome kwanza ujue mazingira ya kupiga salute nanga ww
@damianmakala2913
4 жыл бұрын
Hahahahaha ! Nanga maneno ya majeshini hayo !
@emmanuelsolo7457
4 жыл бұрын
Huyo hata skauti hakupita🤣🤣🤣🤣
Tanzania askari hupiga salute ovyo 2
Huyo Askari usikute ni Komandoo mwenye mafunzo ya hali ya juu sana na amewekwa hapo kwa ajiri ya ulinzi wa Rais na kuhusu hizo nguo za traffic alizovaa ni mzugeni tu sasa mtu ajichanganye hapo aone.
Duh noma can trafk alijua gari tyu la kiraia
MSF Ni Jukwaa linalo Project Juhudi /Kazi za Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kwa jamii inayotuzunguka na dunia kwa ujumla! #Nchiyetu, #Raiswetu #Fahariyetu #🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥
Suala la kumuingiza askari ktk ishu ya Magufuli nimegundua n ujanja wa mwandishi kutaka watu wengi kuicheki clip
Weeee mtangazaji nae kimeo kweli sasa hapo akusaluti wewe au weee huoni kama iko tinted hiyooo na prate no. za kiraia weeee ⚓ nn
Tupo wengi RAISI WETU tunaokupenda huku mitaani yaani kazi ulizozifanya ni kubwa Sana KATIKA Maendeleo kwa kweli we love you President JPM kura YANGU tayri iko kwako Bila hata kampeni
Barabara nyeupeee😊
Mwandishi kuna kitu umekosea, ilo gari halikuwa ni gari binafsi bali mmliki wa gari ni ofisi ya Raisi.Muwe mnafanya uchunguzi kwanza kabla ya kuhabarisha umma wa watanzania.Nawasilisha
Namkubali sana rahis wangu magu.
kwaio ndo unamchoma mchizi kwakua gajapga salute!?
@joackimjulius2779
3 жыл бұрын
Hata me sijamuelewa lengo lake n nn huyu mchizi.🤨🤨🤨
Hahaha angekuwaaa dar hata asingejaribu kukaaa kwenye folen
Endelea kupumzika kwa Amani Dr. JPM .Tutakukumbuka daima🙏🏼🙏🏼
Huyu angekuwa zama moja na gadaff Africa ingetisha sana na wenye kujipendekeza Kwa wazungu wangeaibika sana
Waandish nao simaruf kwa kuropoka tu mara gari binafc amepanda mara askari hakumpigia salute mambo mawil tofaut hapo kama kila gari askari angepiga salute ss kwa kila v8
Hakujuwa masikini kwamba niyeye Jamani rais kwasababu sio kawaida yamarais kutembea pekee
millard umeanza kuwa km media zngne za ajabu ajabu zinazo maliza M.B zetu bila 7bu huyo askar angejua km ni rahis wakat ushasema ni private car.. 2lichotegemea kukiona akipo hapo
Anapigaje Saluti wakati hajui kama rais yupo kwenye hiyo gari wewe mwandishi nae kimeo
Sasa askari ni malaika kujua kila gari lina kiongozi ndani yake?
daaaaa uyoo kweli MANGFURI maana anaweza kumkamata mtuu bila yeye kujuwa kama kabambwa😂😂😂😂😂♥️MAGU🔥
@Zainab-sq1tc
4 жыл бұрын
😂😂😂😂Mariam huy jamaa hatarii zaid ya covid
R.I.P Magufuli