Hays sasa watu mnaanza shobo milad ukitaka mafanikio acha kuiga bifu za kimama yani show imelipuka davido mwenyewe kafunikwa mondi ni fire gonga like mamaee
@eliasayasini14666 жыл бұрын
😂 😂 simbaa kamfunika davido walio liona hilo Like twende sawa
@jamesmoses56256 жыл бұрын
kama unamini diamond ni star wa kimataifa gonga like
@karabwepaschal8767
6 жыл бұрын
James Moses Diamond moto
@ayoubbusanya82906 жыл бұрын
"Nmekuja kwa heshima ya rafiki yangu davido"that means Davido alimuomba simba kuja kumsapoti....Hakika Diamond ni maji usipoyanywa utayafulia na usipoyafulia utayaoga...... Noma sana baada ya Mond kuingia hali ya hewa ikachafuka
@shareefaali6129
6 жыл бұрын
Ayoub Busanya haswaaàaa👌
@billzjuma76846 жыл бұрын
Milad ulikuwa unakosa pesa za viewers coz ya interest ya clouds pole sana hii ni biashara yako binafs au mmeshare na cloud
@hadassperez4946 жыл бұрын
Work hard until they can't avoid you 💯💯. If Diamond doesn't inspire you, l don't know 😎😎
@danielelwin17786 жыл бұрын
mawingu fm kwahuyo kibakuli mnapoteza mda weni maana habebeki mambo yapo wcb
@yohanamsafii34046 жыл бұрын
Mtamkubali tu diamond wapuuzi nyie mlifikili naye ni jaydee mukimbania atayumba huyu ndio simba ni km maji na bado
@jonasamos5556 жыл бұрын
"Tunajiandaa na wasafi festival,nimekuja kwa heshima ya mshikaji wangu au sio" Huu mwaka Mbona tutanyooka sasa Tangazo lake kwenye uwanja wangu hizi dharau
@lastseen68156 жыл бұрын
Sasa kati ya SIMBA na RUGE nani boya? tanzania yote na east Africa washajua RUGE ndio anauwa vipaji vya wasanii msenge sana. +254 niko hapa kwaajili ya diamond na mkifanya mchezo atawapoteza nyinyi
@mkaliwenuoriginaltv76556 жыл бұрын
Diamond ur the number one bro
@karabwepaschal8767
6 жыл бұрын
MKALIWENU ORIGINAL TV platnumz n moto wa kuotea mbaliiiii
@wilibrodislayo83346 жыл бұрын
yani simba kawafunika wenyeshoooyao kweli simbaaaaaaaaa nihatari
@shabanmondi92996 жыл бұрын
milardayo nilikuwa napenda kufuatilia habari zako lakini kuingilia ugomvi Wa diamond na ruge nikakudharau mpaka Leo hata uposti nini sikuelewi kabisa mnafosi kumbemba kiba MTU mwenyewe habebeki halafu kumshusha diamond hamuwezi mliwawezea hao hao akina jide nasugu sio kwa diamond mmfeli mmeanza shobo wenyewe
@roseirungo1950
6 жыл бұрын
Shaban Mondi umesema kitu ya maana sana kwangu pia huu millard ayo Nilimfuatilianga sana vipindi vyake lakini vile alimbwaga daimond nikauchukia unafki wake ...Sabbu hufai kumchukia mwenzako kwa ajili ya wengine ....
@fredykisongo7081
6 жыл бұрын
Shaban Mondi ujinga huo CIO lazima umwelewe Millard ukimchukia wengine wanamkubali
@africandreamchaser8676
6 жыл бұрын
Hiii dunia kweli kuna watu timamu zao zilishastaafu sasa ww ugomvi wao unakupa faida gani? Hata ukitukana hakuna kinachobadilika hapo na usikalili kila unachikiona vingine ni lazima vitokee ili maisha yaende
@ashamlosi1899
6 жыл бұрын
Sasa anaingilia kivipi? Elimu Elimu
@kifarusongeaolg97266 жыл бұрын
mtangazaji: daimondi unazungumziaje media zinazoacha kupiga nyimbo zako? #daimondi : unajua nikuambie kitu mimi nikama maji usiponioga utaninywa utanifulia au utanichambia kwaiyo wao waendelee kubania lakini wajue biashala yamzki sasa IPO #wcb usipoiyongelea #wcb utaongelea nini mtangazaji: 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
kifaru songeaolg 😂😂😂 iyo kweli
@64aaa6 жыл бұрын
Safi sana na usipo yaoga lazma utayanywa. Chama la Wana✌💞
@yusufamiri8883
6 жыл бұрын
Abdiilah Awaf k
@fbr51136 жыл бұрын
Hata namba moja iko chini yako, huna namba Dai, umeibeba Dunia. Hilo linyota si la ulimwengu huu. Millard nimekupenda kwa kuiona hela ilipo umepotezea upuuzi wa bifu. Usawa huu usipounga urafiki na WCB utakula wapi? Tulishakusahau dogo Millard sasa tumerudi kwaajili ya Chibu Deee.
@fredymsahe4051
6 жыл бұрын
Millard wewe Leo ubishi umeisha achane mambo yenu ya kisenge mlidhani kumpotezea mondi mnamuua kumbe mnajiua nyie wenyewe sasa angalia shangwe hapo kama maji mengi kwa mondi mnambeba MTU ambaye abebeki
@fbr5113
6 жыл бұрын
Na Millard ukirudia tunakuhama jumla hatupendagi watu wenye roho mbaya TZ ni moja tunataka roho nzuri kama ya Mondi kunyanyuana kimaisha. Mfyuuuuu ulikuwa unaboa na habari zisizo na kichwa wala miguu. hizi ndio habari sasa tunael;ewana
@fbr5113
6 жыл бұрын
Huu mchezo asirudie kuucheza maana anadharaulika. Wapuuzi tu ndio wanachezaga michezo michafu isiyo na faida. Unaanzaje kumkaushia mtu ana folowers kibao na ukichanganya na za mademi wake na za wasanii wake hivi wanategemea wataweza kupambana na Mondi? Ana nyimbo nzuri na ana vyombo pia vya habari sasa fyuuuuuuu maana walikuwa wanajidai na midia zao kawakomesha kafungua yake sabb alijua kitambo
@kessymontana4297
6 жыл бұрын
Potezea Wazushi shuhudia mwenyewe kwel me mmoja wapo
@saeidmrombo134
6 жыл бұрын
Me mwenyewe nilimpotezea
@ahmedsalum89476 жыл бұрын
🔥 🔥 WCB for life 👌
@mikasatv15976 жыл бұрын
HAHAHA ILA MILLARD WEW NI MSENGE UACHE KUFATA MIKUMBO USHAKUA UTWAMBIE KAMA AYO TV INAMILIKIWA NA LUGE UWEKE LUGE TV SIO UNAKUZA JINA KUMBE HUNA MAMLAKA NALO
@iconlyx27246 жыл бұрын
Millard ulimiss kumpost diamond bhs tu😂😂😂 yan kama Mungu vile jana kakuona😂😂😂😂
@anordngela
6 жыл бұрын
Felix Francis ahahaha hahaha 😂 😂 😂 😂 😂 pumbafu sana wewe umenichekesha kinomaaaaaa😀😀😀😀
@hojawamuombelazmondnyonga9751
6 жыл бұрын
Noma San
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Felix Francis 😂😂😂😂😂
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Anord Ng'ela Me too kwakweli nimecheka
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Felix Francis 😂😂😂
@zachariamishai72586 жыл бұрын
Kwa media zinazombania Simbaaa,, Tutaelewana tu😂😂
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Zacharia Mishai 😂😂😂
@mwisukulu1
6 жыл бұрын
Zacharia Mishai ha ha ha safari hii tutaelewana tu
@peterfabian8860
6 жыл бұрын
zacharia mishai 😂😂😂😂😂😂
@boniphaceexsavery82716 жыл бұрын
Hahahahaha kam unakubalian na mim kuw ayo tv wameinua mikon kwa mond like down
@alquinmadoro80646 жыл бұрын
Hahahahah wanao tengeneza bifu na diamondplatnumz kiukweli nothing they are doing ,namkubali sana chibuuu
Safi sana bro. wagombanao ndio wapatanao. masnitch wata troll sana but ni kawaida ktk maisha kugombana na kuelewana.
@brendaduncan81216 жыл бұрын
Hate will never prevail, Good job Millard
@lyciampongo23106 жыл бұрын
trop de love pour ma stard Davido
@princewolf92326 жыл бұрын
Poleni sana kashaondoka hapo kamlenga davido diamond anajipendekeza kwenye media kiujanja kwa wasanii wakubwa hamna lolote kajipendekeza tu
@godrickmalinga37626 жыл бұрын
Du we proud on yu DIAMOND PLTMZ
@benimagaya79666 жыл бұрын
Kazi Nzuri Davido VS Diamond Platinum 🔥🔥
@VAVE_MEDIA6 жыл бұрын
Show ya Kizazi Sanaa Big up Davido na Diamond
@asallymbwego59066 жыл бұрын
Ndiyo level zetu hizi WCB 4 rever and 4 always.
@mjukuumtindo80576 жыл бұрын
performance nzuri..!!
@shamsaabdalah70386 жыл бұрын
Nzuri sana daaa kama unamkubali diamond gonga like hapa dii
@vincentauxerbius75546 жыл бұрын
Kama unamkubali. siimbaaaa tia like hapaaa
@kingkiwango14356 жыл бұрын
Hatimae yametimia yale maneno ya wahenga kwamba asiyekubal kushindwa c mshindan... Now on kwa clouds and ayo tv.. It's a long journey for sure!!
@SwahiliPrideBongoMovie20186 жыл бұрын
nimeipenda sana hii video Davido na diamond kwakweli nimefurahi sana, i wish if they do various artist like what they did in All i do is WIN WIN of T-pain, any way for those who love bongo movie, kwa wale waliopenda bongo movies, karibu sana kwenye channel yangu ya BONGO MOVIE asantehh
@abuyizedon6 жыл бұрын
Madaraka ni kama mchanga. Jinsi unavyoyakumbatia kiganjani ndivyo yanavyokuponyoka MMESHAUMIA TAYARI TEAM CLOUDS
@nizoplatinumztz80256 жыл бұрын
Ayo uwe unafanya ivo ivo kwa show za simba
@novatpedro59416 жыл бұрын
millad ayo mungu atakuongezea zaidi bhana asifuate kapuni inataka nini fata kilicho kwenye imani: yako simba kwenye buga ya tanzani nice one
@ccmtunatekeleza28986 жыл бұрын
Unstoppable simbaaa,mondi,chibu dangote,onfire
@lovenaagervaa87496 жыл бұрын
Chibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 chibu Dee chibu Deeeee❤
@richardmichael77086 жыл бұрын
Aisee kama umefurahia Millard kupost story za diamond like tu-enjoy wote
@mimiissueboy90966 жыл бұрын
watu mlikuwa mnashindwa kuelewa mnamulaumu millard bure tu hii bifu ni ya diamond na clouds media kwaiyo yeye kama mfanyakazi wa clouds alikuwa aruhusiw kupoct habar yoyote inayohusiana na diamond,sa nyie mlitaka apost ili afukuzwe kazi au,ila wao binafsi awana bifu.acha like yako hapa kama unakubaliana na mimi
@samcleophace8652
6 жыл бұрын
Mimi Issueboy contract zingine bana yani Mtu unamilikiwa Kama products
@mimiissueboy9096
6 жыл бұрын
kwel kabsa kk
@songorojaphari5401
6 жыл бұрын
Duh!!! Nembo ya taifa ni mond
@gisbertruseruka8977
6 жыл бұрын
Mimi Issueboy ,sio kweli ,Millard ayo sio muajiliwa wa clouds ,kanunua kipind clouds ndomana anakiita kwa jina lake kwamba Ayo Tv ,so anapost anachojsikia na pesa zote za matangazo n.k zinaingia mfukon mwake ,so yy sio muajiliwa wa clouds n mmiliki wa kipind clouds kama ww ambavyo unaweza lipia kipind ukifanya yako ,clouds kuna vipind vya clouds kama clouds na vipind vipind binafs chini ya watu ,alianza kama mwajiliwa sahv n mmiliki wa Tv ndani ya Tv clouds, so wakiznguana anaweza kwenda azam TV akachukua kipind na kikaenda kwa jna lake LA Ayo Tv , sema alitaka kujiingiza kwenye bifu lisilomhusu kwa kujikweza kwa ruge
@mimiissueboy9096
6 жыл бұрын
mmmmh cna uhakika na maneno yako kwaiyo unasema millard cyo mwajiliwa wa clouds si kwel kk
@wilsonwizzo24836 жыл бұрын
hapo tupo sawa Millardayo
@cypherkongwe19106 жыл бұрын
Hii channel nilishaachaga kutazama sbb ya unazi wa kijinga Hapo sasa tutaelewana
@lwiticomwalukumba4148
6 жыл бұрын
Cypher Kongwe mm niliwa unsubscribe labda saiz ntaanglia kuwarudisha tena
@chezarinaromanus1557
6 жыл бұрын
Cypher Kongwe yan upo Kama mm
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Cypher Kongwe kama mm vile
@saumuhassan13656 жыл бұрын
*Clouds fm* ckuizi mnampost Diamond, chezea Baba Dylan nyinyi.
@kijanamatata7135
6 жыл бұрын
Saumu Hassan duuh hivi wewe Dada unapata mda wa kufanya kazi kweli?? muda wote upo KZread tu.
@thelifestyle6077
6 жыл бұрын
saum vipi hatumwoni sky a sns kwa hewa
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
King o Tv hata mimi nakosa raha cjajua nini tatizo, hata jana nimeingia instagram yake nimeuliza hili swali, ila hakujibu, cjui yuko likizo au wamepata msiba kama Mimi.
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Kijana Matata tena mimi nafanya kazi kama punda, nimeamka saa kumi na mbili kasoro asubuh sassivi nimemaliza kazi naingia kuoga nisali ninyooshe nguo, nafanya kazi sana, we acha tu.
@kijanamatata7135
6 жыл бұрын
Saumu Hassan mmh mbona muda wote upo KZread tu??
@kaombwekhadija6 жыл бұрын
Wewe ndo Icon yetu Chibu Dangote chibu Deeeeeeee
@Eddie255026 жыл бұрын
Huyo ni maji msipomnywa mtamchambaaaaaa.. #teamKibamiaaaa nawaona... WCB for maisha
@peterngassalah64546 жыл бұрын
Diamond alivyo mtu mbaya kachomekea na tangazo umo #Tukutane_Wasafi_Festival asa mtamwambia nn maboya nyinyi uyo ndo #Diamond Maji bhana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@judithmapunda51376 жыл бұрын
safi sana d,sasa ckui watakulipaa
@mussajoseph77466 жыл бұрын
Nimesikia kama#Davido kasema new music coming soon akimaanisha kuna wimbo yeye na #Chibu unakuja au nimasikio yangu wakubwa naombeni aliyesikia vizur aniambie 😀😀
@ritchiexanti95876 жыл бұрын
Millard... I hate these ads mwanzoni.... KZreadrs weng wanaweka lakini short and clear... Ads ndef and unclear zanaboa
@frankemson
6 жыл бұрын
Richy Xanty HD. 😅😅😅 Kila siku anatuambia Kazi yake ni habari utazani hatujui
@kinjeathuman23506 жыл бұрын
Diamond platnumz ni 🔥🔥🔥
@BarakaWaya6 жыл бұрын
Mond ni biggest brand in Tz
@snippermaricka63586 жыл бұрын
Mmesha maliza beef zenu sio
@mathiasrichard6696
6 жыл бұрын
Snipper Maricka huyo Nimaji usipo yaoga utayanywa
@shebdoukhalifa6 жыл бұрын
The Entertainment #Diamondplatunmz
@asimwesarah78836 жыл бұрын
How is ur girl friend choima I love her
@kolinsimahanga98456 жыл бұрын
can't wait 4wasafi festival,,, inatangaziwa uwanja wa adui
@kelvinmanyota93536 жыл бұрын
some time una akili bro
@Therealestro_3 ай бұрын
2024
@larickmtui28526 жыл бұрын
Simba nikama maji milard na clouds msipo yanywa mtapigia dek
@kessymontana42976 жыл бұрын
We jamaa umejpunguzia mapenz kwa fan wko like me,knachotakiw usimchukie mchezaj bali uchukie mchezo wnyw uyu hata wapasua vchwa sana
@msabahamsabah91286 жыл бұрын
Diamond platnumz 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@zainabualtz14556 жыл бұрын
Kama una soma comment kama mm gonga like 👇
@rockyvlogs22146 жыл бұрын
🔥🔥
@jkissjuma94256 жыл бұрын
Hapo sawa sasa nilikuhama sasa naludi nikuzalau sana mird
@kazimilymaguta4806 жыл бұрын
safi
@frankmgendi89856 жыл бұрын
nilitoa subscribe yangu kwa milad coz ya kumchukia mchiz ngote but nou nasubscribe tenaa brother millad ulituvunja moyo mafans wakoo but all of that big up to you mambo ni🔥🔥🔥
@athumanimashango3204
6 жыл бұрын
😂😂kumbe tuko wengi
@juliusonesmomfumya87096 жыл бұрын
Ayo nakupa bigup kwa kuzika vibifu vya kijinga kumpoct mond
@flyhigher5393
6 жыл бұрын
Julius Onesmo Mfumya hapo alikuwa hana jinc tu kwajili ya davido kapost ila hatampost diamond huyo... Hapo kaona acpo post itaonekana kambania davido so kapost kinafiki tu...
@juliusonesmomfumya8709
6 жыл бұрын
Abdul Gingo 😀😀😀😀 bongo bahati mbaya, wenzetu ngozi nyeupe mtoto akionesha kipaji anasapotiwa, ila bongo bwana duh watu wanawaza kudidimiza tu 😁😁😁😁😁😁
@purryselestine40006 жыл бұрын
Kweli ww unasapoti kaz sio ujinga 😂😂😂😂😂😂💪💪safi san
@Jorvinstudiofilms6 жыл бұрын
Nice
@stephanoeemson53806 жыл бұрын
Safiii Sana mtu Wang wa nguvuuuuu
@glover25536 жыл бұрын
Simbaaaaa 🔥🔥🔥🙌🙌👌💯
@sirangoclassic95556 жыл бұрын
Umepatia millard Safi sana
@sophiajumah48086 жыл бұрын
Good sana
@khassnmoto68706 жыл бұрын
Atakae kukataa mond ni roho ya mamba2
@mashmashmkeyenge92106 жыл бұрын
Acheni kuharibu nyimbo my number one mnapiga sebene la nini
@shamsahussen10596 жыл бұрын
😍😍😍👍❤️😘
@sumaiyaabdalla79306 жыл бұрын
nicee
@amosmsafi35286 жыл бұрын
Kawanyooooooooooooosha
@chicharitoronaldo59506 жыл бұрын
Clouds ni Zilipendwa WASAFI TV NDIO HABARI YA MJINII...kama hutaki jambaa🔥🔥🔥
@seyf87956 жыл бұрын
Honestly hyo beat la live ni mbayaaaaaa 😨😨!!!
@frezixsabk80786 жыл бұрын
siku moja view 60k utajua upepo upo kwa nan... kaz kwako kujumlisha au kutoa
@charlsngosha91286 жыл бұрын
bonge LA shavu mpaka dovido kafurahi safi sana d mnyama.
Пікірлер: 336
Hays sasa watu mnaanza shobo milad ukitaka mafanikio acha kuiga bifu za kimama yani show imelipuka davido mwenyewe kafunikwa mondi ni fire gonga like mamaee
😂 😂 simbaa kamfunika davido walio liona hilo Like twende sawa
kama unamini diamond ni star wa kimataifa gonga like
@karabwepaschal8767
6 жыл бұрын
James Moses Diamond moto
"Nmekuja kwa heshima ya rafiki yangu davido"that means Davido alimuomba simba kuja kumsapoti....Hakika Diamond ni maji usipoyanywa utayafulia na usipoyafulia utayaoga...... Noma sana baada ya Mond kuingia hali ya hewa ikachafuka
@shareefaali6129
6 жыл бұрын
Ayoub Busanya haswaaàaa👌
Milad ulikuwa unakosa pesa za viewers coz ya interest ya clouds pole sana hii ni biashara yako binafs au mmeshare na cloud
Work hard until they can't avoid you 💯💯. If Diamond doesn't inspire you, l don't know 😎😎
mawingu fm kwahuyo kibakuli mnapoteza mda weni maana habebeki mambo yapo wcb
Mtamkubali tu diamond wapuuzi nyie mlifikili naye ni jaydee mukimbania atayumba huyu ndio simba ni km maji na bado
"Tunajiandaa na wasafi festival,nimekuja kwa heshima ya mshikaji wangu au sio" Huu mwaka Mbona tutanyooka sasa Tangazo lake kwenye uwanja wangu hizi dharau
Sasa kati ya SIMBA na RUGE nani boya? tanzania yote na east Africa washajua RUGE ndio anauwa vipaji vya wasanii msenge sana. +254 niko hapa kwaajili ya diamond na mkifanya mchezo atawapoteza nyinyi
Diamond ur the number one bro
@karabwepaschal8767
6 жыл бұрын
MKALIWENU ORIGINAL TV platnumz n moto wa kuotea mbaliiiii
yani simba kawafunika wenyeshoooyao kweli simbaaaaaaaaa nihatari
milardayo nilikuwa napenda kufuatilia habari zako lakini kuingilia ugomvi Wa diamond na ruge nikakudharau mpaka Leo hata uposti nini sikuelewi kabisa mnafosi kumbemba kiba MTU mwenyewe habebeki halafu kumshusha diamond hamuwezi mliwawezea hao hao akina jide nasugu sio kwa diamond mmfeli mmeanza shobo wenyewe
@roseirungo1950
6 жыл бұрын
Shaban Mondi umesema kitu ya maana sana kwangu pia huu millard ayo Nilimfuatilianga sana vipindi vyake lakini vile alimbwaga daimond nikauchukia unafki wake ...Sabbu hufai kumchukia mwenzako kwa ajili ya wengine ....
@fredykisongo7081
6 жыл бұрын
Shaban Mondi ujinga huo CIO lazima umwelewe Millard ukimchukia wengine wanamkubali
@africandreamchaser8676
6 жыл бұрын
Hiii dunia kweli kuna watu timamu zao zilishastaafu sasa ww ugomvi wao unakupa faida gani? Hata ukitukana hakuna kinachobadilika hapo na usikalili kila unachikiona vingine ni lazima vitokee ili maisha yaende
@ashamlosi1899
6 жыл бұрын
Sasa anaingilia kivipi? Elimu Elimu
mtangazaji: daimondi unazungumziaje media zinazoacha kupiga nyimbo zako? #daimondi : unajua nikuambie kitu mimi nikama maji usiponioga utaninywa utanifulia au utanichambia kwaiyo wao waendelee kubania lakini wajue biashala yamzki sasa IPO #wcb usipoiyongelea #wcb utaongelea nini mtangazaji: 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
kifaru songeaolg 😂😂😂 iyo kweli
Safi sana na usipo yaoga lazma utayanywa. Chama la Wana✌💞
@yusufamiri8883
6 жыл бұрын
Abdiilah Awaf k
Hata namba moja iko chini yako, huna namba Dai, umeibeba Dunia. Hilo linyota si la ulimwengu huu. Millard nimekupenda kwa kuiona hela ilipo umepotezea upuuzi wa bifu. Usawa huu usipounga urafiki na WCB utakula wapi? Tulishakusahau dogo Millard sasa tumerudi kwaajili ya Chibu Deee.
@fredymsahe4051
6 жыл бұрын
Millard wewe Leo ubishi umeisha achane mambo yenu ya kisenge mlidhani kumpotezea mondi mnamuua kumbe mnajiua nyie wenyewe sasa angalia shangwe hapo kama maji mengi kwa mondi mnambeba MTU ambaye abebeki
@fbr5113
6 жыл бұрын
Na Millard ukirudia tunakuhama jumla hatupendagi watu wenye roho mbaya TZ ni moja tunataka roho nzuri kama ya Mondi kunyanyuana kimaisha. Mfyuuuuu ulikuwa unaboa na habari zisizo na kichwa wala miguu. hizi ndio habari sasa tunael;ewana
@fbr5113
6 жыл бұрын
Huu mchezo asirudie kuucheza maana anadharaulika. Wapuuzi tu ndio wanachezaga michezo michafu isiyo na faida. Unaanzaje kumkaushia mtu ana folowers kibao na ukichanganya na za mademi wake na za wasanii wake hivi wanategemea wataweza kupambana na Mondi? Ana nyimbo nzuri na ana vyombo pia vya habari sasa fyuuuuuuu maana walikuwa wanajidai na midia zao kawakomesha kafungua yake sabb alijua kitambo
@kessymontana4297
6 жыл бұрын
Potezea Wazushi shuhudia mwenyewe kwel me mmoja wapo
@saeidmrombo134
6 жыл бұрын
Me mwenyewe nilimpotezea
🔥 🔥 WCB for life 👌
HAHAHA ILA MILLARD WEW NI MSENGE UACHE KUFATA MIKUMBO USHAKUA UTWAMBIE KAMA AYO TV INAMILIKIWA NA LUGE UWEKE LUGE TV SIO UNAKUZA JINA KUMBE HUNA MAMLAKA NALO
Millard ulimiss kumpost diamond bhs tu😂😂😂 yan kama Mungu vile jana kakuona😂😂😂😂
@anordngela
6 жыл бұрын
Felix Francis ahahaha hahaha 😂 😂 😂 😂 😂 pumbafu sana wewe umenichekesha kinomaaaaaa😀😀😀😀
@hojawamuombelazmondnyonga9751
6 жыл бұрын
Noma San
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Felix Francis 😂😂😂😂😂
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Anord Ng'ela Me too kwakweli nimecheka
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Felix Francis 😂😂😂
Kwa media zinazombania Simbaaa,, Tutaelewana tu😂😂
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Zacharia Mishai 😂😂😂
@mwisukulu1
6 жыл бұрын
Zacharia Mishai ha ha ha safari hii tutaelewana tu
@peterfabian8860
6 жыл бұрын
zacharia mishai 😂😂😂😂😂😂
Hahahahaha kam unakubalian na mim kuw ayo tv wameinua mikon kwa mond like down
Hahahahah wanao tengeneza bifu na diamondplatnumz kiukweli nothing they are doing ,namkubali sana chibuuu
Millard Ayo t.v. Asante 😘😘😘😍😍 achana nao haooo team #diamond naona matusi kibao piga kazi💪💪💪💪
Hahahahahahhahahhahhahaahaahahahhahaahhahahahahhahahahhahahahah, "MWISHO WA UBAYA ni AIBU "PMOJA SANA.
@lovenaagervaa8749
6 жыл бұрын
Saidi Amiri umeona eeeeeeeeeeee
live performance ndo mziki sio CD Asante sana Davido japo mziki wenu hauingii kwa mziki wa kwetu DRCongo
Hizi raha mwenzenu hadi nachanganyikiwa jinsi watu wanvyokunwa na Mondi
kwa diamond mtasanda diamond ashakuambieni ye ni kama maji
yaaa tz one mond hana mpinzani
Chibuu chibuuu kwa saut ya davido haaa haa
Hahaha finally u made it brooo acha kupelekw brooo usiingizwe tu ka kamba ya bikin
Ila jamani hivi bongo kunia vyuma au uongo maana si kwa nyomi hilo sabb ya WCB. WCB mnatukomeshaje hadi rahaa
naona baazi ya wasanii walioperform walivonuna hapoooooo
@lovenaagervaa8749
6 жыл бұрын
Nyimbo za Kikatoliki watajijuuuuuuu😂
Nice work ,diamond katisha sana
@petermwambungu1191
6 жыл бұрын
Wcb noma
Welcome to Uganda davido we love you
Simba toka mbuga yatandale mvumo warad wanataka tuwe saresare
@phillipajmpanduji9553
6 жыл бұрын
Hendry Olotuz 🤣🤣🤣🤣 Umenichekesha jmn
@hendryolotuz863
6 жыл бұрын
Mambo ukopow
xhow Kali, namkubali Sana #diamond
SASAJE!!ENDELEA HIVIHIV #MILLADAYO UTAFANIKIWA SIYOKUBANIA BANIA
Safi sana bro. wagombanao ndio wapatanao. masnitch wata troll sana but ni kawaida ktk maisha kugombana na kuelewana.
Hate will never prevail, Good job Millard
trop de love pour ma stard Davido
Poleni sana kashaondoka hapo kamlenga davido diamond anajipendekeza kwenye media kiujanja kwa wasanii wakubwa hamna lolote kajipendekeza tu
Du we proud on yu DIAMOND PLTMZ
Kazi Nzuri Davido VS Diamond Platinum 🔥🔥
Show ya Kizazi Sanaa Big up Davido na Diamond
Ndiyo level zetu hizi WCB 4 rever and 4 always.
performance nzuri..!!
Nzuri sana daaa kama unamkubali diamond gonga like hapa dii
Kama unamkubali. siimbaaaa tia like hapaaa
Hatimae yametimia yale maneno ya wahenga kwamba asiyekubal kushindwa c mshindan... Now on kwa clouds and ayo tv.. It's a long journey for sure!!
nimeipenda sana hii video Davido na diamond kwakweli nimefurahi sana, i wish if they do various artist like what they did in All i do is WIN WIN of T-pain, any way for those who love bongo movie, kwa wale waliopenda bongo movies, karibu sana kwenye channel yangu ya BONGO MOVIE asantehh
Madaraka ni kama mchanga. Jinsi unavyoyakumbatia kiganjani ndivyo yanavyokuponyoka MMESHAUMIA TAYARI TEAM CLOUDS
Ayo uwe unafanya ivo ivo kwa show za simba
millad ayo mungu atakuongezea zaidi bhana asifuate kapuni inataka nini fata kilicho kwenye imani: yako simba kwenye buga ya tanzani nice one
Unstoppable simbaaa,mondi,chibu dangote,onfire
Chibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 chibu Dee chibu Deeeee❤
Aisee kama umefurahia Millard kupost story za diamond like tu-enjoy wote
watu mlikuwa mnashindwa kuelewa mnamulaumu millard bure tu hii bifu ni ya diamond na clouds media kwaiyo yeye kama mfanyakazi wa clouds alikuwa aruhusiw kupoct habar yoyote inayohusiana na diamond,sa nyie mlitaka apost ili afukuzwe kazi au,ila wao binafsi awana bifu.acha like yako hapa kama unakubaliana na mimi
@samcleophace8652
6 жыл бұрын
Mimi Issueboy contract zingine bana yani Mtu unamilikiwa Kama products
@mimiissueboy9096
6 жыл бұрын
kwel kabsa kk
@songorojaphari5401
6 жыл бұрын
Duh!!! Nembo ya taifa ni mond
@gisbertruseruka8977
6 жыл бұрын
Mimi Issueboy ,sio kweli ,Millard ayo sio muajiliwa wa clouds ,kanunua kipind clouds ndomana anakiita kwa jina lake kwamba Ayo Tv ,so anapost anachojsikia na pesa zote za matangazo n.k zinaingia mfukon mwake ,so yy sio muajiliwa wa clouds n mmiliki wa kipind clouds kama ww ambavyo unaweza lipia kipind ukifanya yako ,clouds kuna vipind vya clouds kama clouds na vipind vipind binafs chini ya watu ,alianza kama mwajiliwa sahv n mmiliki wa Tv ndani ya Tv clouds, so wakiznguana anaweza kwenda azam TV akachukua kipind na kikaenda kwa jna lake LA Ayo Tv , sema alitaka kujiingiza kwenye bifu lisilomhusu kwa kujikweza kwa ruge
@mimiissueboy9096
6 жыл бұрын
mmmmh cna uhakika na maneno yako kwaiyo unasema millard cyo mwajiliwa wa clouds si kwel kk
hapo tupo sawa Millardayo
Hii channel nilishaachaga kutazama sbb ya unazi wa kijinga Hapo sasa tutaelewana
@lwiticomwalukumba4148
6 жыл бұрын
Cypher Kongwe mm niliwa unsubscribe labda saiz ntaanglia kuwarudisha tena
@chezarinaromanus1557
6 жыл бұрын
Cypher Kongwe yan upo Kama mm
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Cypher Kongwe kama mm vile
*Clouds fm* ckuizi mnampost Diamond, chezea Baba Dylan nyinyi.
@kijanamatata7135
6 жыл бұрын
Saumu Hassan duuh hivi wewe Dada unapata mda wa kufanya kazi kweli?? muda wote upo KZread tu.
@thelifestyle6077
6 жыл бұрын
saum vipi hatumwoni sky a sns kwa hewa
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
King o Tv hata mimi nakosa raha cjajua nini tatizo, hata jana nimeingia instagram yake nimeuliza hili swali, ila hakujibu, cjui yuko likizo au wamepata msiba kama Mimi.
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Kijana Matata tena mimi nafanya kazi kama punda, nimeamka saa kumi na mbili kasoro asubuh sassivi nimemaliza kazi naingia kuoga nisali ninyooshe nguo, nafanya kazi sana, we acha tu.
@kijanamatata7135
6 жыл бұрын
Saumu Hassan mmh mbona muda wote upo KZread tu??
Wewe ndo Icon yetu Chibu Dangote chibu Deeeeeeee
Huyo ni maji msipomnywa mtamchambaaaaaa.. #teamKibamiaaaa nawaona... WCB for maisha
Diamond alivyo mtu mbaya kachomekea na tangazo umo #Tukutane_Wasafi_Festival asa mtamwambia nn maboya nyinyi uyo ndo #Diamond Maji bhana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
safi sana d,sasa ckui watakulipaa
Nimesikia kama#Davido kasema new music coming soon akimaanisha kuna wimbo yeye na #Chibu unakuja au nimasikio yangu wakubwa naombeni aliyesikia vizur aniambie 😀😀
Millard... I hate these ads mwanzoni.... KZreadrs weng wanaweka lakini short and clear... Ads ndef and unclear zanaboa
@frankemson
6 жыл бұрын
Richy Xanty HD. 😅😅😅 Kila siku anatuambia Kazi yake ni habari utazani hatujui
Diamond platnumz ni 🔥🔥🔥
Mond ni biggest brand in Tz
Mmesha maliza beef zenu sio
@mathiasrichard6696
6 жыл бұрын
Snipper Maricka huyo Nimaji usipo yaoga utayanywa
The Entertainment #Diamondplatunmz
How is ur girl friend choima I love her
can't wait 4wasafi festival,,, inatangaziwa uwanja wa adui
some time una akili bro
2024
Simba nikama maji milard na clouds msipo yanywa mtapigia dek
We jamaa umejpunguzia mapenz kwa fan wko like me,knachotakiw usimchukie mchezaj bali uchukie mchezo wnyw uyu hata wapasua vchwa sana
Diamond platnumz 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama una soma comment kama mm gonga like 👇
🔥🔥
Hapo sawa sasa nilikuhama sasa naludi nikuzalau sana mird
safi
nilitoa subscribe yangu kwa milad coz ya kumchukia mchiz ngote but nou nasubscribe tenaa brother millad ulituvunja moyo mafans wakoo but all of that big up to you mambo ni🔥🔥🔥
@athumanimashango3204
6 жыл бұрын
😂😂kumbe tuko wengi
Ayo nakupa bigup kwa kuzika vibifu vya kijinga kumpoct mond
@flyhigher5393
6 жыл бұрын
Julius Onesmo Mfumya hapo alikuwa hana jinc tu kwajili ya davido kapost ila hatampost diamond huyo... Hapo kaona acpo post itaonekana kambania davido so kapost kinafiki tu...
@juliusonesmomfumya8709
6 жыл бұрын
Abdul Gingo 😀😀😀😀 bongo bahati mbaya, wenzetu ngozi nyeupe mtoto akionesha kipaji anasapotiwa, ila bongo bwana duh watu wanawaza kudidimiza tu 😁😁😁😁😁😁
Kweli ww unasapoti kaz sio ujinga 😂😂😂😂😂😂💪💪safi san
Nice
Safiii Sana mtu Wang wa nguvuuuuu
Simbaaaaa 🔥🔥🔥🙌🙌👌💯
Umepatia millard Safi sana
Good sana
Atakae kukataa mond ni roho ya mamba2
Acheni kuharibu nyimbo my number one mnapiga sebene la nini
😍😍😍👍❤️😘
nicee
Kawanyooooooooooooosha
Clouds ni Zilipendwa WASAFI TV NDIO HABARI YA MJINII...kama hutaki jambaa🔥🔥🔥
Honestly hyo beat la live ni mbayaaaaaa 😨😨!!!
siku moja view 60k utajua upepo upo kwa nan... kaz kwako kujumlisha au kutoa
bonge LA shavu mpaka dovido kafurahi safi sana d mnyama.
Simbaaaaaaaa nakupenda mpk kufa
Mpige na nyimbo zao sasa,, maisha yaendelee,😕