Sunna ya kumuuwa mjusi Sheikh Abul khatwaab Abdallah humeid(Allah amhifadhi)

Пікірлер: 103

  • @SaidAlly-mj5iy
    @SaidAlly-mj5iyАй бұрын

    Shekhe Alla akuifazi

  • @nuria7223
    @nuria722326 күн бұрын

    Jazakalahu kheir sheikh

  • @ilyasmuhsin3285
    @ilyasmuhsin3285 Жыл бұрын

    Jazakallah khayr allah atuwekee wanawazuoni wetu inshaallah wanamchango mkubwa sana kwetu haswaa kwa kipindi hichi cha teknolojia

  • @affaanothmaan6287
    @affaanothmaan6287 Жыл бұрын

    Baraka Allah fiiykum,,,

  • @saiditara7235
    @saiditara7235 Жыл бұрын

    Tunakupenda Sana sheikh wetu, hata wakichukia wazushi na washirikina lkn sisi tunamuomba Allah akuhifadhi.

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    Жыл бұрын

    Naam...Allah amhifadhi na amlinde amiin

  • @SAM_163

    @SAM_163

    Жыл бұрын

    😂 😂

  • @sunnimmongo3702
    @sunnimmongo3702 Жыл бұрын

    Vyema sheikh wetu allah akujalie uendlee ktuelmisha

  • @ekishaschool163
    @ekishaschool163 Жыл бұрын

    Baaraka llaahu fiyka wajazaaka llaahu khayraa yaa shaykhu ...

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    Жыл бұрын

    Amiin waiyyaka

  • @abdillahsaid710
    @abdillahsaid7102 ай бұрын

    Kila la kheri sheikh wetu

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    2 ай бұрын

    Amiin

  • @aminachoga9266
    @aminachoga9266 Жыл бұрын

    Shukran,shekh

  • @fazalassalafy939
    @fazalassalafy939 Жыл бұрын

    بارك الله فيك

  • @bernardsmaelsuleiman8869
    @bernardsmaelsuleiman8869 Жыл бұрын

    Barkallahu fiika ya sheikhekhana asate sana , mungu akulinde

  • @hassanalbasq3160
    @hassanalbasq3160 Жыл бұрын

    Allah akuhifdhe sheikh NA akulinde

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    Жыл бұрын

    Amiin..akhy mkarimu

  • @nurudinisalim290
    @nurudinisalim290 Жыл бұрын

    nimefurah kwa darsa nzur ila mwenyew pia una kibri muombe m mungu akuondoshee

  • @salehabri6957

    @salehabri6957

    Жыл бұрын

    Hana kibri wewe muongo jahil

  • @nurudinisalim290

    @nurudinisalim290

    Жыл бұрын

    sawa mkewe jaahili

  • @salehabri6957

    @salehabri6957

    Жыл бұрын

    @@nurudinisalim290 okay mtoto wa nje ya ndoa wee jahili msenge wee vose Maluku fidyadepota

  • @nurudinisalim290

    @nurudinisalim290

    Жыл бұрын

    @@salehabri6957 sawa mtoto wa haramu

  • @asmajuma4960
    @asmajuma4960 Жыл бұрын

    Nailikua nawaogopa kweli kuwauwa awa wadudu nikajua unapata dhanbi kumbe ndounajijengea swawabu" shuklani sana ostadhi wetu Allah azidi kukuweka akufanyie uwepesi kwa kila lenye uzito mbeleyako🙏

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @SAM_163

    @SAM_163

    Жыл бұрын

    SHULE SHULE SHULE INAHITAJIKA... ACHENI KUUWA WADUDU WAWATU MNATUHARIBIA ECOSYSTEMS AMBAZO MUNGU AMEZIWEKA KWA STORY ZENU ZAKUTUNGA

  • @PaulinaSemindu-ob3de

    @PaulinaSemindu-ob3de

    10 ай бұрын

    Shida wanakaa ndan mm siwapend Sana " na mmeambiwa wanasum alafu mnaosema dhambi kumuua"

  • @mussajidd9132
    @mussajidd9132 Жыл бұрын

    Alaaa

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Mijusi ndio antena za wachawi, utumwa na wachawi kurekodi taarifa zote za nyumbani kisha uzituma kwa wachawi. Wafukuze kwa dua, au mafuta. Kama ni mjusi wa kichawi lazima apotee

  • @salhaisrael8265
    @salhaisrael8265 Жыл бұрын

    Nawa bonda Sana wajusi haswa hawa magong'ole .ila shekhe uckashifu madhhab tueleze yalio sawa natueleze yasiosawa na wanaofanya wanajijua usitaje madhehebu utafanya wanaotaka kuingia ktk dini yetu tuna kasoro.allah atufanye tuwe wamoja mpaka peponi inshallah.

  • @fathimamct232

    @fathimamct232

    Жыл бұрын

    Hao mijusi ndio tulivyokuwa tukiwaita ni kweli sio yy Shekhe katunga hapana hao tunawaita hivyo mijusi kafir na Ukafir sio upande huo unaoufikiria ww mtu anaweza akawa muislam na akawa na mambo ya ki kafir Halafu binaadam hatisihi kuitana hivyo na ndio mana shekhe wetu ametumia kwa mijusi hivyo ndivyo iitwavyo mijusi kafir

  • @salhaisrael8265

    @salhaisrael8265

    Жыл бұрын

    @@fathimamct232 aujanielewa nimeongelea Mambo 2 madhhab namijusi kafiri (gong'ole)nandio maana kaweka hadi picha.unataka kusema shkhe kfnanisha na masufi?tusizidishe Mambo kwauwelewa wetu Allah atuongoze inshallah.🙏

  • @amanamaa2661
    @amanamaa2661 Жыл бұрын

    .

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Жыл бұрын

    Minilimpaga maji😀😀

  • @mdalamgir-gu9hu

    @mdalamgir-gu9hu

    Жыл бұрын

    Aisha.aisha.akili zako wazijua ww.kha..

  • @mdalamgir-gu9hu

    @mdalamgir-gu9hu

    Жыл бұрын

    Nimecheka nanguvu sana

  • @salehabri6957

    @salehabri6957

    Жыл бұрын

    Fanya istighfari kwa Allah

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    Жыл бұрын

    @@salehabri6957 ALLAH atanisamehe maana sikujua alafu mimi nili mkuta mjusi yuko nje ya ukuta haoni sura imepondeka nilimkuta kaganda kama siku mbili basi mimi nilichukua maji nikayateremsha kwenye ukuta kidogo kidogo basi akawa anaramba ramba yani sijui

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    Жыл бұрын

    @@salehabri6957 ndo mniombee duwa mungu anisamehe

  • @amirinestory
    @amirinestory Жыл бұрын

    Mjusi aliepuliza Moto wa Ibrahim uwake so mmoja,kwa Nini wengine tuwachukie,kila mmoja abebe zambi zake...

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    Жыл бұрын

    Hakki inapokujilia..si vizur kufanya inaad..tekelezwa na hupaswi kuhoji kwa sababu hujui ni IPI hekma ya Allah kwa waja wake

  • @amirinestory

    @amirinestory

    Жыл бұрын

    @@muslimmassoud2673 Ni vyema kujua zaid na kujua zaid Ni kwa njia ya kuuliza,nadhani Allah aliimba kila kiumbe kwa kusudi lake...na mjusi anakusudi la kuishi kwa hiyo Allah anajua zaid...Ila kosa lako la kuzini Ni kupondwa mawe Hadi kifo,Ila kosa Hilo sio kila mtu akionekana apondwe Hadi kifo...kila mtu Ana nafasi yake ya kufanya na kulipwa kwa anachofanya...kwa hiyo mjusi apulize wa kipind Cha Ibrahim Tena mmoja,Ina maana wengine walikuwepo na hawakupuliza,kupitia huyo ndio toka kizazi Cha Ibrahim Hadi let tuue tu mijusi kwa ajili ya kupuliza Moto,utadhani wote walipuliza sio haki kabisaa...labda kuwe na sababu nyingine ya kuwaua Ila sio hiyo

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    Жыл бұрын

    @@amirinestory akhy ilieolezwa ni hadithi ya Mtume(swallaAllahu alaihi wasallam)..tena ni hadithi sahihi..Allah amejaalia hivyo sunnah yake katika ulimwengu...mathalan tuchukulie ile hadithi ya raauul alaihi swalatu wassalam alopoamrisha wanyama watano wauwawe..ikiwemo panya..so hili ni agizo kutoka kwa Allah na hatuna budi kulifuata...Allah akuongoze na akuhifadhi ndug yangu..

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Жыл бұрын

    Kuua viumbe wa Mungu ni koss kubwa sana. Viongozi wa dini tutetee uhainwa viumbe na sio kuleta hadithi za kusadikika. Kila kiumbe kimeumbwa kwa umuhimu wake

  • @swaumuyusuph6869

    @swaumuyusuph6869

    Жыл бұрын

    Wewe unayo ilim ya kubishana na aliye umbaa wee tulia pembeni sio kila uonalo unaliact. Nauyo sheikh apo sio kama ago maneno ameyatoa kichwani mwake.nawewe soma ufaham sio wajisemeatu kwani vipo viumbe wengine wameumbwa likini vinadhuru ivo vinatakiwa tuviuee

  • @salehabri6957

    @salehabri6957

    Жыл бұрын

    Silimu,ingia ktk uislamu ufunzwe hujui kitu

  • @abdulkabila787

    @abdulkabila787

    Жыл бұрын

    Kwan ww kunguni umuui au sio kiumbe

  • @bernardjohn8788

    @bernardjohn8788

    Жыл бұрын

    Eti mjusi unapuliza moto🙆‍♀️🙆‍♀️ hizi hadithi za abunuasi ndio tunadanganyana leo karne hii kila mtu anaakili. Hayo waliwadanganya nayo wale machifu wa jinga wa zamani. Haya jamii ambazo hazina imani hiyo na haziui viumbe hao wapole wasio na hatia basi wangekuwa wamekufa wote. Niambie basi tangu umekuwa ukaona mtu kafa au kaenda hospitali na kuambiwa kapulizwa na mjusi. Naamini sio kwamba kila mwenye kipara au anayevaa miwani kajaza material ya maana kichwani. Unaweza kusoma miaka hata 20 unajiza upotofu kama huu kichwani

  • @bernardjohn8788

    @bernardjohn8788

    Жыл бұрын

    @@salehabri6957 Ndio nije nifundishwe kuwa mjusi anapuliza moto?😀😀

  • @swiddiqabubakar7500
    @swiddiqabubakar7500 Жыл бұрын

    Wala haijakuwa kibri Ibrahim kusema hayo maneno ila wewe shekhe ndo umeelewa makosa,Ibrahim kumjibu jibril maneno hayo hakumaanisha ana kbri kwanzaah,sababu SI maneno ya mashekhe kutunga ,vitabu vingi vimeeleza kuwa Ibrahim alijibu lakini alivyomaanisha Ibrahim ni kuwa ALLAH ndie atosha kunisaidia kwa Hali hii ,hakusema simuombi ALLAH chochote ,huku ni uzushi wako wa lugha shekhe ,acha kuingilia wenzako ,huezi beba ilmu yote ya dunia ,Kisha chako kizurii ila tu umeharibu kwa kutaja wenzako vibaya ,(الامور بخواتمها

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    Жыл бұрын

    Kitabu kikisema ndio lipo? Lazima kuwe na dalili katika Quran au sunna, sababu hakuna anaejua khabari za Ibrahim ila kupitia Quran na Sunna! Haya toa dalili ikiwa yapo.

  • @shawegally1367
    @shawegally1367 Жыл бұрын

    😁😁🤣🤣eti kidude kiovu 😄😄

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Жыл бұрын

    umizimu kidogo, dini kidogo giza mtupu. nendeni mkatafute kwenye yutube hii hii, masomo ya PROFESA WATER VEITH- MUINGILiANO KATI YA ISLAM NA UKATOLIKI, dini hizi ni za kimizimu

  • @vitalcool9266

    @vitalcool9266

    Жыл бұрын

    Kamwambie babako na mamake hayo maneno..

  • @masumbukomaganga438

    @masumbukomaganga438

    Жыл бұрын

    @@vitalcool9266 ni vizuri kwamba angalau coment yangu imeonekana na watu na baadhi wamejibu kama wewe ulivyofanya, sasa nakusisitiza fatilia hilo som la profesor water veith-muingiliano kati ya uislam na ukatoliki, nimemaliza usisieme kuwa hukuambiwa, maana mmezoea kutukana kila kitu kwenye mtandao

  • @vitalcool9266

    @vitalcool9266

    Жыл бұрын

    Huyo profesa wako kazaliwa juzijuzi TU hapa,na ni myahudi kama mayahudi wengine,wapo wengi hao na sio huyo majimaji pekee...lengo na makusudio na kuuvuruga na kuwavuruga waisilamu hasa wasiojielewa, SABABU UISILAMU ni ukweli na Haki kutoka kwa muumba wa Dunia na vilivyomo....hiyo kujifanya kuuchanganya na ukatoliki ni mbinu kama mbinu nyengine za kuwazubaisha watu ili ionekane haushambuliwi UISILAMU pekee,ila malengo yenu na Yao tulishayajua kitambo, SABABU mwenye UISILAMU wake(ALLAH)alishayabainisha kitambo tu,kabla ya huyo maji wako hajui kama ataletwa Duniani...

  • @vitalcool9266

    @vitalcool9266

    Жыл бұрын

    Mnaambiwa ukweli eti,mmezoea kutukana!...unatafuta kiki!..

  • @basharahamtzhalisi6871

    @basharahamtzhalisi6871

    Жыл бұрын

    Masumbuko Maganga, we kweli mbwa wa kipagani,... Yaani mimi niache kumsoma na kumsikiliza ALLAH S.W, Mtume S.A.W, na WAALIMU(ULAMAA) wetu, eti nikamsome mchambia rungu mwenzio tena shetani kama wewe profesa water veith, nyoooo bora nife ktk dini yangu kuliko huo ufala wenu.

  • @swiddiqabubakar7500
    @swiddiqabubakar7500 Жыл бұрын

    Nikiongezea kukujuza zaidi shekhe hata mtume muhaamad alipokuwa akipigwa mji wa twaif jibril alimjia hivyo hivyo nakumuukiza mtume nikusaidie ?mtume alimwambia hapana ,hivyo hivyo mtume alivyomjibu jibril ndivyo Ibrahim alimjibu jibril kuwa mungu mwenyewe ajua nnachhitaji zaidi, hakusema simuombi mungu hapo untudanganya shekhe ,twashkuru sku hizi watu wansoma ingekuwa ni wakati wa zmani tungkukubali mia FIL mia lakini rekebisha ulimi wako shekhe

  • @jumaalfane5225

    @jumaalfane5225

    Жыл бұрын

    Huyu shekhe anamatatizo elimu ndogo hii ndio tatizo kubwa pia Allah kamnyima hikma

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    Жыл бұрын

    @@jumaalfane5225 kiboko wa makhurafi ndio maana mnamsrma vibaya... kibokooo huyo

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    Жыл бұрын

    Toa dalili sio maneno tu kaka, visa vya kirongo mnavyo vingiiiiiiiii, hapo shkh twasikia aya nyingi sana alhamdulillah, haya wewe una dalili???? Niliuwacha usufi sababu ya upuzi huu wa uongo, mashekhe wa kisufi WAONGO SANAAA...

  • @zizuzidu9803

    @zizuzidu9803

    Жыл бұрын

    Sahih Muslim 2240. Sunan Ibn Majah 3231. Kwa Anaeamini hadithi za Mtume ushahidi huo: Shekh amesema kweli kuhusu kuua hawa mijusi ya nyumbani.. tuache kulopoka na kuanza kupinga tu bila kujiridhisha kwa kitafuta ushahidi...

  • @fazalassalafy939

    @fazalassalafy939

    Жыл бұрын

    Baba wajua wasema nni wwe nyewenyewe kiswahili pia kuandika wakosea hizbi mkubwa wwe

  • @Better_Planet
    @Better_Planet Жыл бұрын

    Nadhani ipo sababu nyengine iliyosababisha Mtume aseme hivyo iwapo hadithi ni sahihi kweli. Kumuua kiumbe kwa sababu ya kosa la watangulizi wake ni kama...

  • @zizuzidu9803

    @zizuzidu9803

    Жыл бұрын

    Anasumu kali sana

  • @zizuzidu9803

    @zizuzidu9803

    Жыл бұрын

    Ndo maana anauliwa pia

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Жыл бұрын

    Huyu sheikh elimu anayo ila hekma Hana ,, Huwez ukawatoa akili masheikh wenzako hadharan huko ni kukosa hekma ,

  • @sunnimmongo3702

    @sunnimmongo3702

    Жыл бұрын

    Km shehe naan tafadhali wataje mashehe sio makhulafi

  • @shaibhasan9233

    @shaibhasan9233

    Жыл бұрын

    Masheikh wengi wa kisunni huwapa vijana wao misimamo ktk majamb fulan lakin sio elimu ,, hawapewi elimu hupewa msimamo,,

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Жыл бұрын

    Yani mawahabi bwana.walipo ona darsa zao za maulidi na bidaa zimebuma wameona watuletee visa vya mijusi

  • @zizuzidu9803

    @zizuzidu9803

    Жыл бұрын

    Shida zenu umezoeshwa visa vya uongo, mkiletewa hadith sahih mnazipinga kama mayahudi

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    @@zizuzidu9803 Hicho chenyewe nikisa cha uongo.

  • @rahmamasudi9322

    @rahmamasudi9322

    6 ай бұрын

    Sheikh Muqbil asema "ukimskia mtu asema wale mawahabi basi tambua mtu huyo ni mmoja kati ya watu wawili ima MUOVU au MJINGA . "

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    6 ай бұрын

    @@rahmamasudi9322 Angalia jahili wakiwahabi mwengine sijui yupo dunia gani.sisi tunazungumza facts yeye anazungumza vigano hadith za pawkwa pakawa. Kwanza ujue tu ujahili wa mawahabi upo wazi sana wala huhitaji tochi.hivi kuna mtu mwenye akili akaamini kuwa mungu ana viungo au mungu yupo mahali maalum.huwo ni ujinga uliowazi nakukosa uwezo wakutafakari mambo kwa kina

  • @alphageorge5563
    @alphageorge5563 Жыл бұрын

    Andiko lipi linasema Ibrahim alitupwa ndani ya moto. Leteni vifungu vya andiko sio kupambana na mijusi.

  • @seifsalim5817

    @seifsalim5817

    Жыл бұрын

    Kasome utaelewa

  • @alphageorge5563

    @alphageorge5563

    Жыл бұрын

    @@seifsalim5817 kitabu gani na aya gani

  • @SAM_163

    @SAM_163

    Жыл бұрын

    @@seifsalim5817 upo kifungoni Ndugu Mfuate YESU TU. Nafsi yako yenyewe inapata ukakasi kwa hayo masomo yenu ya kusadikika 😂

  • @alphageorge5563
    @alphageorge5563 Жыл бұрын

    Uislamu una ugomvi na kila kiumbe

  • @SAM_163

    @SAM_163

    Жыл бұрын

    Hii dini kuielewa na kuifuata inabidi Usitumie hata common sense tulizopewa Na MUNGU . Yaani wewe KUBALI KUMEZESHWA NA KUKARIRISHWA KILA KITU 😂

  • @ramadhanmussa673

    @ramadhanmussa673

    Жыл бұрын

    Assalamuaikm Allah mtukufu ameamrisha kupitia hadithi kuwa baadhi ya viumbe wauliwe iwapo waleta dhara mfano mnge. Kwa hiyo baadhi mnaokomenti msiseme jambo nlikua hanna elimu nalo ni dhambi kubwA na mtakwenda kuulizwa

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    7 ай бұрын

    Shetani 😈 ndio ana ugomvi na kila kiumbe, muulize Yesu kwa Yuda.

  • @abdallahkabuto8392
    @abdallahkabuto8392 Жыл бұрын

    Kuita watu makhurafi ni hadithi sahihi,pia

Келесі