Alhamdulillah Nashukuru Allah kwakuzaliwa Muislm, nipo kwenye dini ya haqak
@sidisaid4833
5 жыл бұрын
Dini ya haki mbele mwenyezi mungu ni uislam si ukresto na si dinii
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
Abdallah Kambangwa >laiti ungejua yale yaletanyo aman ungekuwa huru kama Mungu alimfukuza Luzifa na malaika wenzake wakawa pepo wabaya ninyi mnawaamini kuwa ni wazuri hongereni ndioaana mtume wenu hajui litakalo mpata kwenye kiyama hajui atajinjwa au atakarangwa je? wewe unae jisifia ndini ambayo haina matendo vip hukumu anaetoa ni Mungu peke yake wewe watoa wapi mamlaka ya kumlaani shetani na siyo tu shetan hata wanadamu wenzio unawaita makafiri je? wajijua wewe uko wapi na jee?kesho yako itakuaje? pia mnajisifia eti alie arabuni ni muhamadi kweli kusoma hamjui hata picha hamuon neno "arabuni " maana yake ni "mdhamini" na huyu mdhamini ni Roho mtakatifu ambae ninyi hamuwezi kumpokea maana haonekani
@meshakikigumbi4459
5 жыл бұрын
Abdallah Kambangwa mpumbavu ni mpumbavu tu.
@rashidkalimbo2451
5 жыл бұрын
MashaAllah..
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@sidisaid4833 we ndo fala kweli
@husseinmwenja43985 жыл бұрын
MASHALLAH ALLAH AFANYE WEPESI popote penye uzito kwenye kazi hii adhwiiim.....amiin
Subuhanallah mashaallah tabarak kweli kabisa shekh wangu u islamu ni dini ya haki
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Allah awabariki Ma Sheikh Wetu, Alhamdulillah.Wanaelewa Hawa ila Ushindani tuu.
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Alhamdulilah, mungu awaongeze watu katika njia ilo nyoka shukran sana mazinge
@daudimmary39654 жыл бұрын
Allah ilinde dini yako, hakuna wa kuivunja hali ya kuwa watakao taka ivunja ni wanadamu ulowaumba mwenyewe, yaarabu nashkuru kuniumba nikiwa ndani ya dini ya kiislam na unifishe ndani ya dini hii iliyo ya khaki.
@waridiwaridi71475 жыл бұрын
Masha allah Allah waongoze sana mana kazi mnayo ifanya si ndogo kuwaelimisha ao mpaka kuelewa si kazi ndogo
@fahadjuma51505 жыл бұрын
Jazakallahu Kheyr Sheikh Suleimani Mazinge
@mohamedfauz23695 жыл бұрын
Allah akuzidishiye sheikh Sulaymaniyah mazinge
@fatumasumish57525 жыл бұрын
MashaAllah Mungu awazidishie elimu yenu
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@bongo3006
5 жыл бұрын
Jinga ww
@alawibakari7852
5 жыл бұрын
Fatuma Sumish mungu hana mtoto wala mungu haja zaaa wala haja zaliwa wala hafa nani na chochote kile iweje leo hii wa maskofu mna waongopea watu wenu mna wambia yesu nimwana wa mungu
@munamuhammad2115 жыл бұрын
Ma Shaa Allah masheik wetu,Allah awalipe fil duniya wal akhera In Shaa Allah.Leo nimekua wakwanza kucommet na wapili kuview
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Aamin aamin
@awesuramadhan2326
4 жыл бұрын
@@mudkhamis3078 Assalama Allaykum
@awesuramadhan2326
4 жыл бұрын
Assalama Allaykum
@ibrahimiddi31343 жыл бұрын
Nashkur mungu kunijaalia kuw muislam maana mtihan upo kw wakiristo alaf n wakaid sn ila tuwaombee duwa ipo cku mungu atawajaalia wataslim
@mgazaathumani34464 жыл бұрын
Eeeh mola wetu ALLAH mtukufu muumba wa vitu vyote vilivyopo duniani tunavyovijua na tusivyovijua hakika viumbe wako si wakamilifu tunaomba utusameh madhambi yetu
@najmaalzaabi83855 жыл бұрын
alhamdulinllahi kuwa mm ni muslim kwakweli wenzetu mmepotea mnajiaibisha tu
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Hongera sna najma kwa kushkuru kwahilo, hakuna dini ya kweli ispokuwa ni uislam pekee
@danielmsafiri8635
4 жыл бұрын
Unajiabixha ww
@ismaeldaprince47974 жыл бұрын
Alhamdhulillah kwa kua ktka dini ya hakhi Allah atujaalie tufe tukiwa waislam
@frankmpembu25052 жыл бұрын
YESU NI MWANA WA MUNGU ABADANI. Makafiri ni nyinyi Waislamu, mmekuja kuwapinga Mungu wa kweli YEHOVA na Manabii wake watakatifu,,, Manabii WOOOTE WANASEMA MUNGU ANA MWANA
@missfa46505 жыл бұрын
mashallah sheikh wetuu miss u..Allah akbat
@billowali8808
5 жыл бұрын
Muhimpundu Assiya
@absameosman91134 жыл бұрын
Manshallah sheikh wangu Suleiman mazinge.... Am abig fan of you..... Hapo uliweza n kumwambia almayo ukwli
@mohammedzyenhassan14015 жыл бұрын
Allah akuzidishe Hekma sheikh Mazinge
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@sadockchaz5665
5 жыл бұрын
Mbowe
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Upuuzi mtupu
@hamidurumanywa50234 жыл бұрын
Allah awajalie mwisho mwema na mdumu ktk kaz yake aamina
@mahdiyusuf34312 жыл бұрын
Mansha Allah
@siwajibufarida34285 жыл бұрын
Mbona raha kuwa mwisilamu jamani kila kitu sawa
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
ni neema kubwa sana kuwa muislam
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
Siwajibu Farida .ndio ujue watu wanapotea kwa kukosa maarifa kila kitu wanashabikia hawaeleweki wako upande gani kwe shetani amewakalia kila kona ndio mana wakiwa wanaswali wana angalia kulia kushoto maana kuna majamaa yako pembeni yana waongoza
@josephosborne3818
5 жыл бұрын
Kuna Raha gani,,mbona wako waislamu tupu??wangemkaribisha na mchungaji Daniel Mwankemwa anayewaelimishaga
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Hapo hata aje mchungaji gani basi uislam utabaki kuwa ndodini yakweli tu
@machanomachano20474 жыл бұрын
Asante sh mange hawajielewi hao uyo yesu nimuungu Mara mwanawamuungu ukweliwao hawause
@mohammedzyenhassan14015 жыл бұрын
Muovu hukimbia Mezani pasipo fuata na mtu bali sisi Waislamu ni wajasiri kama Simba ..May Allah bless all Ummah of Muhammad(p.b.h)
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
hakika....Allahuma amin
@AishaAli-lk7gh
5 жыл бұрын
amin thuma amin
@fadhilihamidu6156
5 жыл бұрын
Kila lahle waslaamu mungu atujalie tuwe watu wa peponi
@shabanihusein8341
5 жыл бұрын
Jazaakumu Allahukhairi.
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Aaamin aamin
@amashamnemwa34845 жыл бұрын
Maashallah
@Ali-nl2du4 жыл бұрын
Wamejichanganya kisawa sawa ndugu zetu. Mimi huwa sijui wanamuomba mungu au yesu? Haina mantik naona. Mungu awaongoe.
@issakabwende50835 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba dini nyingine tofauti na uislam ni dini babaishi historia zake ukichimba ukweli ni maslahi ya watu uislamu raha bana ni universal na uko uniform kila pahala watu waswali wakitamka na kusoma aya zile zile historia yake ni Allah mwenyew uliza about kristo utapata ushahid wake maskini wamepotosha adi utume wa issa aleiykh salaam afu wanakaririshwa hawajitambui mpk papa kiongoz wao anawakana na kusujudu ila hawaelewi yan
@emanuelmsigala4033
5 жыл бұрын
Kumbuka Mungu hakuleta dini
@yusuphumohammed58335 жыл бұрын
shekh mazinge Kauli nzuri tumia, ishaalar kwa daawa yako
@mohdeddy1235 жыл бұрын
Hiiii jamani hawa wakristo ndo tuseme hawajuwi kama ni mungu mmoja au hawanaadabu wataadhibiwa kesho akhera wache tu
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
wadanganywa kanisani
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
Mohd Eddy > ukweli ni Kwamba Mungu ni Mmoja nae ni Roho asiyeonekana tatizo ninyi wanadamu mnapenda kushabikia Nino la Mungu kanakwamba mpo kwenye mechi ya zimba na yanga badala mwelimishane kwa upole na unyenyekevu ninyi waislamu mnajifanya mnajua sana na hakuna mnacho kijua kumkana Yesu ambae manabii walitabiri habari zake leo mnajifanya mnawaamini manabii na mitume wote hali walitabiri habari zake Yesu aliye fanyika dhambi kwa ajili ya Ulimwengu wote leo mnamwona zii kitu sijui kama tangia umezaliwa ulisha chinja mnyama yoyote kwa ajili ya dhambi zako kama inavyo agiza torati ya musa kama hujafanya hivyo unasubiri nn
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Muumin wa kweli wa mwenyezi Mungu lazima ale kitimoto kama huli wewe mdo haramu kumshinda hata nguruwe
@brigithadidas5128
4 жыл бұрын
Kama upo na ROHO MTAKATIFU unaweza elewa otherwise msijisumbue kuelewa utatu huu maana HAMTAKAA MUELEWE MPAKA SIKU YA HUKUMU MTAKAPOKUTANA NAYE AKATI HUKU MNAMKANA
@egetinginyemachoka27264 жыл бұрын
Asante sana Mazinge niko nanyinyi.
@yahayazedy97794 жыл бұрын
Manshaallah Allah awalipe kwakazi kubwa mnayo fanya
@Ali-nl2du4 жыл бұрын
Waislamu tumshukuru mungu katupa hidaya tumekuwa waislam. Tuwaombee wengine nao waione dini ya haki.
@mathiasmpundukwa54734 жыл бұрын
Dah YESU wetu ni mzur sana nawapenda waislamu kwa kua siku moja watamkiri YESU Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao na kubatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu sema Amen
@mathiasmpundukwa5473
4 жыл бұрын
Mungu wa mbingu na nchi ni mkuu sanaa
@leylasalim9380
2 жыл бұрын
Hamna muumin wa kweli akakiri ukafir
@hashimmhashim26635 жыл бұрын
ماشاء الله!
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
TabarakaLLAH
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hao kiboko yao ndacha
@nurudinamchome68525 жыл бұрын
Maashaallah Allah wajaze kheir wahadhir wetu Aaamin
@Amakurutv7642 жыл бұрын
Jazak'Allahu Khayran Ndugu yangu
@zamzamahmed57184 жыл бұрын
Hahahaha mashaallah sheikh mazinge nakupenda sana ndugu yangu
@kimsi682
Жыл бұрын
Ushawahi fanya kazi kwa Mall of America?
@munezeroamida21025 жыл бұрын
ManshaAllah😍
@hashimmhashim26635 жыл бұрын
جزاكم الله خير
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
amin
@mohammedzyenhassan14015 жыл бұрын
Uislamu Neema
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Naam
@Hoodoayaan20004 жыл бұрын
Mashalaah
@cosmasmasawe98755 жыл бұрын
Upotoehaji huuu waislamu
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Wakristo hamuoni aibu wachungaji wanashindwa kutetea Imani yenu
@brightonwashira54205 жыл бұрын
Uslaam raha
@wondersmotivation55435 жыл бұрын
As salaam aleykum,,,,Allah awape ufafanuzi kwa kila watakalo,,,washushiye ujasiri kwa lolote watendalo,,,In shaa Allah,,,
@mnyamwezionlinetv3998
5 жыл бұрын
Waalaykum salaam Aamiin
@frankjohn85705 жыл бұрын
hawa jamaa wapotoshaji wanatumia ujanja kama nyoka,waanabadilisha maneno kiujanjaujanja wanasoma sawa wanaeleza tofauti kidoga kama nyoka wa edeni alivyomdanganya Adam ,lkn tatizo ni kutokumjua MUNGU muumbaji kwamba anaweza yote hakuna jambo gumu LA kumshinda MUNGU, bora kumjua Mungu wa Lugha zote kuliko kuamini mungu wa lugha moja
@PastorZakariaTzTV4 жыл бұрын
Hamna mkristo hapo ni kamchezo kama ni mkristo hajafundishwa vizuri sisi hatukaagi kwenye mashindano ya dini.
@eliyahaule6801
3 жыл бұрын
Usiludie usemiwako nilazima kushindania injili
@mucomwizaruqaiyah40645 жыл бұрын
Mazinge wew kipoko 👌👌
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Maashaallah
@nsabimanahussein60545 жыл бұрын
kuwa mwisilamu nilahasana namushukulu mungu kuona mm nimwisilamu asantii mungu
@ukhtysakinaa76645 жыл бұрын
Masha Allah, hongereni masheikh kwa kazi nzuri mnayoifanya , Allah awajaalie mwisho mwema yaa Rabbi
@neelamrassul4224
5 жыл бұрын
Allah hakujalie mwisho mwema ustadhi mazinge
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
ukhty sakina
@ukhtysakinaa7664
5 жыл бұрын
@@mapendomrosso2270 uso haya n wewe mpotevu unojipotosha
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
ukhty sakina @ asante kwa kujiona unajua kumbe unaungua na jua tatizo elimu ya dunia ni tofauti na elimu itokayo kwa Mungu .yiyi hata jina la Mungu hamlijui mmebaki uitia cheo tu ukubalini wokovu utokanao na injili acheni kungangania dini tena mnasema eti uislamu ndiyo dini sijui hata kama mnajua maana ya uislam kama mngejua mgekua vielelezo vya kuwahubiria watu injili ya wokovu aliyoiitia Mungu ili watu muache mambo ya dunia mumfwate yeye aliyewaumba na kuacha kujisifia kansu na vibarakashee ambavyo nje mnaonekana wasafi lakini moyoni ni wachafu wenye kumtukana Mungu na weye majivuno iweni wapole kama huwa na wanyenyekevu kama lilivyo jina la wislamu mmejaa matuzi weye kuhukumu kana kwamba ninyi hamjawahi kukosea kiongozi wenu hajawahi kurudi akawaambia kwamba mpo sahii sisi tunao mwamini Mungu kwa njia ya imani katika jina la Bwana Yesu tunauhakia na ujaziri wa kujivunia jina la Bwana maana yeye ndiye yule jana leo na hata milele alisema na adamu kwa neno alisema na Musa kwa neno na manabii wote mwisho akajidhihirisha kwa mwili aliouumba ndani ya tumbo la bikira mariamu ili kwa huo mwili ufanyike sadaka ya kulipa madeni ya watu wote katika dunia wale watakaoiamini injili na kuliamini jina la Bwana kisha kajitoa nafzi yake ili Damu yake iwe dhabihu safi mbele za Mungu / ukweli kimwili alikua mwanadamu asilimia mia ila Roho alikua Mungu na dio maana alisema sisemi mimi bali Baba ndie anasema ndani yangu tatizo watu masikio magumu na mioyo ni migumu laiti mngejua kusoma mngeelewa lakin kusoma hamjui mpaka msomewe na wasio na uelewa tangu lini kipofu akamwongoza kipofu mwenzake ? mmebaki kubishana na kuongea hata mzicho kielewa mnashangilia sijui huwa mnaitwa mzikitini mnaambiwa kesho tutakuwa na mkutano mjitokeze kutushangilia kana kwamba mpo kwenye mechi ya simba na nyanga badilikeni na mwombeni mungu awafungue macho na masikio na mioyo yenu maana Nabii isaya anasema watu hawa wamefungwa macho yao yanatazama hayaoni masikio yanasikia hawaelewi na mioyo ni migumu hawaamini .
@ukhtysakinaa7664
5 жыл бұрын
@@mapendomrosso2270 yani cna mda wa kusuma hii comment yako na cna mda wa kubishana nawe so fata dini yako niache kwenye dini yangu tusibabaishaneee
@paixpong74264 жыл бұрын
Pastor mazinge Umetoa neno lenye Moto ndani yake. Pia wokovu ni neema kwahio usipate tabu watakao sikia watakombolewa
@mgunduzimedia3645 жыл бұрын
Ivi maana ya mabishano haya ni nini maana awa ni watu wa dini alafu nashangaa wanabishania dini Hamjui dini sio kwajili ya kukosoa nikufundisha na kuelimisha
@nooordubem28025 жыл бұрын
Ali Murtad ni mlevi maana analotamka haieleweki,kweli njaa ndio inawapeleka kanisani
@mpondamedia24165 жыл бұрын
Jazaakumu llahu khayra
@failunajuma4507
5 жыл бұрын
Imamu Online Tv uislam rakhaa sanaa
@shifaazawadi44384 жыл бұрын
Takbri !!!!!!
@libentchristopher94485 жыл бұрын
Ahaaaaaaa,,,mazinge
@hildababyabdullah56275 жыл бұрын
Mashaallahu
@shishshikoh49794 жыл бұрын
Kila mtu ni kiumbe Cha Mungu lakini wanaosikia neno na kutii amri za Mungu ndio wana wake.....na Yesu ni mwana wa Mungu...
@fatumarashid80015 жыл бұрын
MUNGU AWASAMEHE KWA KUPOTEZA WATU WA MUNGU MAZIGE NA WEZAKO ASIRA YA MUNGU HITAWAKA JUU YENU NDIPO MTAKAPO JUWA KWELI YA MUNGU ....
@abubakarmpole40005 жыл бұрын
Hhhhhhhh absolutely true, wanaenda tu kwa sabbu ya pesa.
@mohamedwario83682 жыл бұрын
Masha Allah
@idrissajumakona58715 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@swalehabdulkarim42653 жыл бұрын
Yeyote aliyesikia almayo akisema sheikh masenge gonga like hapa
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
Chezea kubanwa nn 😂😂😂😂😂chaajab kitab nichao lkn wanafundishwa
@mchricharderickmtoni4385 жыл бұрын
mazinge na hao wafuasi wake wote moto unawangojea nyinyi....
@bwegelanyakhaido3088
5 жыл бұрын
Richard Erick kwann unasema ivyo
@oliviakemuto1412
5 жыл бұрын
Hawa waislamu wanajisifu kwamba wao ndo wamjua Mungu kwani nani kawambia,sisi wote tuasubiri Mungu mwenyewe atuhukumu
@mchricharderickmtoni438
5 жыл бұрын
Kwasababu anapotosha watu.....
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Ww utaingia motoni kufata wazungu wako kuabudu binadam hata cc wailam tunaujua yesu ni na bii hata kat guruani yupo na mmungu ni huyohuyo mmoja ukiwa ukiwa hufatilizii utaona hawajui dini kumbe ww umepoteaaaa maskini mazinge kashtukaa kaona ataingizwa motoni mmungu kampenda ww endelea kuabudu mipicha ya yesu wa kizungu mcheza filamu
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
@@oliviakemuto1412 mmungu ni mmoja angekua mwingine tusinge ona ktk quruani yesu aliandikwa na mama yake ila wazungu ndio walibadili dini ya yesu kua sio wana isrzel walimpiga wakasulubu paulo akasema yesu mungu yy yesu hajasema yy mungu aliomba msada bada ya kusulubiwa na katahiriwa hv mungu anatahiriwa huo ni kukufuru
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Jadhaakallahu kher
@minanichris43034 жыл бұрын
Mubishabe amamuache nyote wawili siwaamini najuwa .Mungu ana dini
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Ingekua mmungu hana dini asonge teremsha mitume na kukataza mabaya tungekua sawa na wanyama
@abdiosmail46532 жыл бұрын
MashaAllah
@bigmapesa14495 жыл бұрын
Kwanza kuzaliwa mwislamu raha mangine yanafata mashallah
@nemesmwacha14245 жыл бұрын
Waislama wote jehanam,a.k.a moton
@khalefhamad7243
5 жыл бұрын
Usimuhukumu mtu kwa kufuata mataminio ya nafsi yako Kama kwenda motoni Munastahiki nyinyi kwenda motoni kwa sababu mumeikana dini ya haki ( Uislamu )
@mbidadaud12564 жыл бұрын
Waislam Leo mnamkubali Paulo neno arabuni halijatumika kama nchi ina maana ya rehani,amana hiyo aya igeuze kwa kiingereza sehemu arabuni utaona imeandikwa Guarantee
@hafidhkolela32635 жыл бұрын
tatizo munatumia ubabe tambueni mungu no mumoja hakuna lolote
@muddykhamisi94644 жыл бұрын
Wachafu kama bongo zinu wakristo
@mashakamalimi73634 жыл бұрын
Hivi mnafikiri Bible inafsiriwa kwa namna hiyo 🙄🙄🙄 Mungu anawaona na UJINGA wenu..
@HusseinMaarufu-zf1kc
10 ай бұрын
Fasili ww basi
@aliroro9344
4 ай бұрын
Wewe kwnza iyoo Bibiliaa alipewa Mtume ganii ndio tujue nkitabu cha Mungu 😁
@richadamsmovementstv97234 жыл бұрын
Mashaallah
@myself41284 жыл бұрын
Unawaona waislamu wanamcheka.Muhubiri sababu mapepo yamewatawala.masikini wanangojea jehamanamu tuuinasikitishaaaa
@najmaalzaabi83855 жыл бұрын
takbiiiiiiiiiiil
@jahbless4063
5 жыл бұрын
Najma Alzaabi Allah akbar
@fadhilajumamswali2032
4 жыл бұрын
Najma Alzaabi allahuaqbar
@amourjamal72924 жыл бұрын
Waislaamu Amna chochote kabsa Nimeamini.!
@fidamohammed52755 жыл бұрын
Mashaallaah
@samanthaali8735 жыл бұрын
Allahu Akbr
@mgazaathumani34464 жыл бұрын
Maana watu wanapotosha watu kuwa Kuna dini nyngn Zaid ya uislam..... tunaomba utusameh mola wetu ALLAH mtukufu
@fatumamroki27163 жыл бұрын
Allah akuhifazin inshaAllah
@Hoodoayaan20004 жыл бұрын
Alaahu akbar
@martinmkoba3615 жыл бұрын
Waisilamu mmebaki kushangiliwa tu,ukisikiliza mada waisilamu mnashindwa kazi kutukana
@zangemhoha96294 жыл бұрын
Huna lolote acheni kuigiza
@tawhidislam44184 жыл бұрын
sheikh wewe kweli una wa aibisha wa chungaji wa kanisa ebu wape haki zao wa ongoze Allahu Akbar Mungu Mkubwa
@iddiseleman3963 жыл бұрын
Kweli njaa zinawapeleka makafr
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Yan Hawa makafiri hawajielewi ndy maan wanajiongelea tu
@abrahamwafula25865 жыл бұрын
ni dhambi sana
@salmaalkyumi22704 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam
@hatibumohamedi57315 жыл бұрын
الله اكبر
@martinouma81634 жыл бұрын
inasikitisha xna kuona mkristo anamwacha yesu aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele na kwenda kusilimu , mimi nina swali moja na ambayo imewashinda waisilamu wote kujibu, the question is just simple if Allah is the god that people must worship, please give provide me with a verse from Quran that says Allah is the true God and eternal life?? I can change my faith and become a Muslim at any time
@dereverommy17324 жыл бұрын
Hongeren allwa atawalipa
@swalehkiuga1674 жыл бұрын
Jamani mvona wakristo wanavichwa vigumu ivi
@dottomarko62134 жыл бұрын
Asa unahisi kuwa tunamwomba mungu kwaajili ya pesa pole we baba ila biblia inatuambia tusishindane na walio waovu ko wew unajilisha upepo mwenyewe au nyie wote mnataka sadaka za hao walio kusanyika hap kwa ushabiki tu
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Makanisa ndio mnadanganywa kila kukicha wanajita manabii na mkwaya ili wachukue pesa zenu wenzenu wanakua matajiri ww unamfata yesu ysu wala hayuko na ww yesu ni muislam hajaingia kanisani wala hasali kama nyiyi nyiyi mmewafata wazungu wamewakea kuabudu mipicha za wazungu wenzenu wanafatilia dinii wanaelewa ww unajifanya unajua dini hebu nsmbie ww muizrael yesu yuko na mayahudi na mitume wale woote ni wako na udugu haya ww je na mitume wako nchi za uarabunii
@saidahmed968811 ай бұрын
muhadhara mzuri
@gabrielpott33254 жыл бұрын
Yan nyny niwapumbavu saana unaacha kutangaza imani zakweli mnabishana2 upuuz mambo yadini hayana maana yoyote acheni ushindani wakidini wapuuz mhubilin MUNGU alie hi nasyo majengo yamakanisa nimisikiti pmbavu nyny
Пікірлер: 586
Sheikh Suleiman mazenge we love you our sheikh
Wanadamu wengine wamepotea et mungu anamtoto pole sana mungu akuongoze INSHAALLAH
Mashallah Allah akuzidishie kwa kazi unayoifanya
Nilijikuta nasema rahaaaa kwanguvu pare alipouluza laha sio lahaaa wallah najivunia kua mwisilam
Alhamdulillah Nashukuru Allah kwakuzaliwa Muislm, nipo kwenye dini ya haqak
@sidisaid4833
5 жыл бұрын
Dini ya haki mbele mwenyezi mungu ni uislam si ukresto na si dinii
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
Abdallah Kambangwa >laiti ungejua yale yaletanyo aman ungekuwa huru kama Mungu alimfukuza Luzifa na malaika wenzake wakawa pepo wabaya ninyi mnawaamini kuwa ni wazuri hongereni ndioaana mtume wenu hajui litakalo mpata kwenye kiyama hajui atajinjwa au atakarangwa je? wewe unae jisifia ndini ambayo haina matendo vip hukumu anaetoa ni Mungu peke yake wewe watoa wapi mamlaka ya kumlaani shetani na siyo tu shetan hata wanadamu wenzio unawaita makafiri je? wajijua wewe uko wapi na jee?kesho yako itakuaje? pia mnajisifia eti alie arabuni ni muhamadi kweli kusoma hamjui hata picha hamuon neno "arabuni " maana yake ni "mdhamini" na huyu mdhamini ni Roho mtakatifu ambae ninyi hamuwezi kumpokea maana haonekani
@meshakikigumbi4459
5 жыл бұрын
Abdallah Kambangwa mpumbavu ni mpumbavu tu.
@rashidkalimbo2451
5 жыл бұрын
MashaAllah..
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@sidisaid4833 we ndo fala kweli
MASHALLAH ALLAH AFANYE WEPESI popote penye uzito kwenye kazi hii adhwiiim.....amiin
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin thenks Alhabib
@iddyamiriiddyamiri4889
5 жыл бұрын
hussein mwenja muvi
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Pumbav zenu nyie makafir waislam msiekula kitimoto
@leonardmahona4069
4 жыл бұрын
W
Subuhanallah mashaallah tabarak kweli kabisa shekh wangu u islamu ni dini ya haki
Maa Shaa Allah, Allah awabariki Ma Sheikh Wetu, Alhamdulillah.Wanaelewa Hawa ila Ushindani tuu.
Alhamdulilah, mungu awaongeze watu katika njia ilo nyoka shukran sana mazinge
Allah ilinde dini yako, hakuna wa kuivunja hali ya kuwa watakao taka ivunja ni wanadamu ulowaumba mwenyewe, yaarabu nashkuru kuniumba nikiwa ndani ya dini ya kiislam na unifishe ndani ya dini hii iliyo ya khaki.
Masha allah Allah waongoze sana mana kazi mnayo ifanya si ndogo kuwaelimisha ao mpaka kuelewa si kazi ndogo
Jazakallahu Kheyr Sheikh Suleimani Mazinge
Allah akuzidishiye sheikh Sulaymaniyah mazinge
MashaAllah Mungu awazidishie elimu yenu
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@bongo3006
5 жыл бұрын
Jinga ww
@alawibakari7852
5 жыл бұрын
Fatuma Sumish mungu hana mtoto wala mungu haja zaaa wala haja zaliwa wala hafa nani na chochote kile iweje leo hii wa maskofu mna waongopea watu wenu mna wambia yesu nimwana wa mungu
Ma Shaa Allah masheik wetu,Allah awalipe fil duniya wal akhera In Shaa Allah.Leo nimekua wakwanza kucommet na wapili kuview
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Aamin aamin
@awesuramadhan2326
4 жыл бұрын
@@mudkhamis3078 Assalama Allaykum
@awesuramadhan2326
4 жыл бұрын
Assalama Allaykum
Nashkur mungu kunijaalia kuw muislam maana mtihan upo kw wakiristo alaf n wakaid sn ila tuwaombee duwa ipo cku mungu atawajaalia wataslim
Eeeh mola wetu ALLAH mtukufu muumba wa vitu vyote vilivyopo duniani tunavyovijua na tusivyovijua hakika viumbe wako si wakamilifu tunaomba utusameh madhambi yetu
alhamdulinllahi kuwa mm ni muslim kwakweli wenzetu mmepotea mnajiaibisha tu
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Hongera sna najma kwa kushkuru kwahilo, hakuna dini ya kweli ispokuwa ni uislam pekee
@danielmsafiri8635
4 жыл бұрын
Unajiabixha ww
Alhamdhulillah kwa kua ktka dini ya hakhi Allah atujaalie tufe tukiwa waislam
YESU NI MWANA WA MUNGU ABADANI. Makafiri ni nyinyi Waislamu, mmekuja kuwapinga Mungu wa kweli YEHOVA na Manabii wake watakatifu,,, Manabii WOOOTE WANASEMA MUNGU ANA MWANA
mashallah sheikh wetuu miss u..Allah akbat
@billowali8808
5 жыл бұрын
Muhimpundu Assiya
Manshallah sheikh wangu Suleiman mazinge.... Am abig fan of you..... Hapo uliweza n kumwambia almayo ukwli
Allah akuzidishe Hekma sheikh Mazinge
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@sadockchaz5665
5 жыл бұрын
Mbowe
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Upuuzi mtupu
Allah awajalie mwisho mwema na mdumu ktk kaz yake aamina
Mansha Allah
Mbona raha kuwa mwisilamu jamani kila kitu sawa
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
ni neema kubwa sana kuwa muislam
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
Siwajibu Farida .ndio ujue watu wanapotea kwa kukosa maarifa kila kitu wanashabikia hawaeleweki wako upande gani kwe shetani amewakalia kila kona ndio mana wakiwa wanaswali wana angalia kulia kushoto maana kuna majamaa yako pembeni yana waongoza
@josephosborne3818
5 жыл бұрын
Kuna Raha gani,,mbona wako waislamu tupu??wangemkaribisha na mchungaji Daniel Mwankemwa anayewaelimishaga
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Hapo hata aje mchungaji gani basi uislam utabaki kuwa ndodini yakweli tu
Asante sh mange hawajielewi hao uyo yesu nimuungu Mara mwanawamuungu ukweliwao hawause
Muovu hukimbia Mezani pasipo fuata na mtu bali sisi Waislamu ni wajasiri kama Simba ..May Allah bless all Ummah of Muhammad(p.b.h)
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
hakika....Allahuma amin
@AishaAli-lk7gh
5 жыл бұрын
amin thuma amin
@fadhilihamidu6156
5 жыл бұрын
Kila lahle waslaamu mungu atujalie tuwe watu wa peponi
@shabanihusein8341
5 жыл бұрын
Jazaakumu Allahukhairi.
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Aaamin aamin
Maashallah
Wamejichanganya kisawa sawa ndugu zetu. Mimi huwa sijui wanamuomba mungu au yesu? Haina mantik naona. Mungu awaongoe.
Ukweli ni kwamba dini nyingine tofauti na uislam ni dini babaishi historia zake ukichimba ukweli ni maslahi ya watu uislamu raha bana ni universal na uko uniform kila pahala watu waswali wakitamka na kusoma aya zile zile historia yake ni Allah mwenyew uliza about kristo utapata ushahid wake maskini wamepotosha adi utume wa issa aleiykh salaam afu wanakaririshwa hawajitambui mpk papa kiongoz wao anawakana na kusujudu ila hawaelewi yan
@emanuelmsigala4033
5 жыл бұрын
Kumbuka Mungu hakuleta dini
shekh mazinge Kauli nzuri tumia, ishaalar kwa daawa yako
Hiiii jamani hawa wakristo ndo tuseme hawajuwi kama ni mungu mmoja au hawanaadabu wataadhibiwa kesho akhera wache tu
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
wadanganywa kanisani
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
Mohd Eddy > ukweli ni Kwamba Mungu ni Mmoja nae ni Roho asiyeonekana tatizo ninyi wanadamu mnapenda kushabikia Nino la Mungu kanakwamba mpo kwenye mechi ya zimba na yanga badala mwelimishane kwa upole na unyenyekevu ninyi waislamu mnajifanya mnajua sana na hakuna mnacho kijua kumkana Yesu ambae manabii walitabiri habari zake leo mnajifanya mnawaamini manabii na mitume wote hali walitabiri habari zake Yesu aliye fanyika dhambi kwa ajili ya Ulimwengu wote leo mnamwona zii kitu sijui kama tangia umezaliwa ulisha chinja mnyama yoyote kwa ajili ya dhambi zako kama inavyo agiza torati ya musa kama hujafanya hivyo unasubiri nn
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Muumin wa kweli wa mwenyezi Mungu lazima ale kitimoto kama huli wewe mdo haramu kumshinda hata nguruwe
@brigithadidas5128
4 жыл бұрын
Kama upo na ROHO MTAKATIFU unaweza elewa otherwise msijisumbue kuelewa utatu huu maana HAMTAKAA MUELEWE MPAKA SIKU YA HUKUMU MTAKAPOKUTANA NAYE AKATI HUKU MNAMKANA
Asante sana Mazinge niko nanyinyi.
Manshaallah Allah awalipe kwakazi kubwa mnayo fanya
Waislamu tumshukuru mungu katupa hidaya tumekuwa waislam. Tuwaombee wengine nao waione dini ya haki.
Dah YESU wetu ni mzur sana nawapenda waislamu kwa kua siku moja watamkiri YESU Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao na kubatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu sema Amen
@mathiasmpundukwa5473
4 жыл бұрын
Mungu wa mbingu na nchi ni mkuu sanaa
@leylasalim9380
2 жыл бұрын
Hamna muumin wa kweli akakiri ukafir
ماشاء الله!
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
TabarakaLLAH
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hao kiboko yao ndacha
Maashaallah Allah wajaze kheir wahadhir wetu Aaamin
Jazak'Allahu Khayran Ndugu yangu
Hahahaha mashaallah sheikh mazinge nakupenda sana ndugu yangu
@kimsi682
Жыл бұрын
Ushawahi fanya kazi kwa Mall of America?
ManshaAllah😍
جزاكم الله خير
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
amin
Uislamu Neema
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Naam
Mashalaah
Upotoehaji huuu waislamu
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Wakristo hamuoni aibu wachungaji wanashindwa kutetea Imani yenu
Uslaam raha
As salaam aleykum,,,,Allah awape ufafanuzi kwa kila watakalo,,,washushiye ujasiri kwa lolote watendalo,,,In shaa Allah,,,
@mnyamwezionlinetv3998
5 жыл бұрын
Waalaykum salaam Aamiin
hawa jamaa wapotoshaji wanatumia ujanja kama nyoka,waanabadilisha maneno kiujanjaujanja wanasoma sawa wanaeleza tofauti kidoga kama nyoka wa edeni alivyomdanganya Adam ,lkn tatizo ni kutokumjua MUNGU muumbaji kwamba anaweza yote hakuna jambo gumu LA kumshinda MUNGU, bora kumjua Mungu wa Lugha zote kuliko kuamini mungu wa lugha moja
Hamna mkristo hapo ni kamchezo kama ni mkristo hajafundishwa vizuri sisi hatukaagi kwenye mashindano ya dini.
@eliyahaule6801
3 жыл бұрын
Usiludie usemiwako nilazima kushindania injili
Mazinge wew kipoko 👌👌
Maashaallah
kuwa mwisilamu nilahasana namushukulu mungu kuona mm nimwisilamu asantii mungu
Masha Allah, hongereni masheikh kwa kazi nzuri mnayoifanya , Allah awajaalie mwisho mwema yaa Rabbi
@neelamrassul4224
5 жыл бұрын
Allah hakujalie mwisho mwema ustadhi mazinge
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
ukhty sakina
@ukhtysakinaa7664
5 жыл бұрын
@@mapendomrosso2270 uso haya n wewe mpotevu unojipotosha
@mapendomrosso2270
5 жыл бұрын
ukhty sakina @ asante kwa kujiona unajua kumbe unaungua na jua tatizo elimu ya dunia ni tofauti na elimu itokayo kwa Mungu .yiyi hata jina la Mungu hamlijui mmebaki uitia cheo tu ukubalini wokovu utokanao na injili acheni kungangania dini tena mnasema eti uislamu ndiyo dini sijui hata kama mnajua maana ya uislam kama mngejua mgekua vielelezo vya kuwahubiria watu injili ya wokovu aliyoiitia Mungu ili watu muache mambo ya dunia mumfwate yeye aliyewaumba na kuacha kujisifia kansu na vibarakashee ambavyo nje mnaonekana wasafi lakini moyoni ni wachafu wenye kumtukana Mungu na weye majivuno iweni wapole kama huwa na wanyenyekevu kama lilivyo jina la wislamu mmejaa matuzi weye kuhukumu kana kwamba ninyi hamjawahi kukosea kiongozi wenu hajawahi kurudi akawaambia kwamba mpo sahii sisi tunao mwamini Mungu kwa njia ya imani katika jina la Bwana Yesu tunauhakia na ujaziri wa kujivunia jina la Bwana maana yeye ndiye yule jana leo na hata milele alisema na adamu kwa neno alisema na Musa kwa neno na manabii wote mwisho akajidhihirisha kwa mwili aliouumba ndani ya tumbo la bikira mariamu ili kwa huo mwili ufanyike sadaka ya kulipa madeni ya watu wote katika dunia wale watakaoiamini injili na kuliamini jina la Bwana kisha kajitoa nafzi yake ili Damu yake iwe dhabihu safi mbele za Mungu / ukweli kimwili alikua mwanadamu asilimia mia ila Roho alikua Mungu na dio maana alisema sisemi mimi bali Baba ndie anasema ndani yangu tatizo watu masikio magumu na mioyo ni migumu laiti mngejua kusoma mngeelewa lakin kusoma hamjui mpaka msomewe na wasio na uelewa tangu lini kipofu akamwongoza kipofu mwenzake ? mmebaki kubishana na kuongea hata mzicho kielewa mnashangilia sijui huwa mnaitwa mzikitini mnaambiwa kesho tutakuwa na mkutano mjitokeze kutushangilia kana kwamba mpo kwenye mechi ya simba na nyanga badilikeni na mwombeni mungu awafungue macho na masikio na mioyo yenu maana Nabii isaya anasema watu hawa wamefungwa macho yao yanatazama hayaoni masikio yanasikia hawaelewi na mioyo ni migumu hawaamini .
@ukhtysakinaa7664
5 жыл бұрын
@@mapendomrosso2270 yani cna mda wa kusuma hii comment yako na cna mda wa kubishana nawe so fata dini yako niache kwenye dini yangu tusibabaishaneee
Pastor mazinge Umetoa neno lenye Moto ndani yake. Pia wokovu ni neema kwahio usipate tabu watakao sikia watakombolewa
Ivi maana ya mabishano haya ni nini maana awa ni watu wa dini alafu nashangaa wanabishania dini Hamjui dini sio kwajili ya kukosoa nikufundisha na kuelimisha
Ali Murtad ni mlevi maana analotamka haieleweki,kweli njaa ndio inawapeleka kanisani
Jazaakumu llahu khayra
@failunajuma4507
5 жыл бұрын
Imamu Online Tv uislam rakhaa sanaa
Takbri !!!!!!
Ahaaaaaaa,,,mazinge
Mashaallahu
Kila mtu ni kiumbe Cha Mungu lakini wanaosikia neno na kutii amri za Mungu ndio wana wake.....na Yesu ni mwana wa Mungu...
MUNGU AWASAMEHE KWA KUPOTEZA WATU WA MUNGU MAZIGE NA WEZAKO ASIRA YA MUNGU HITAWAKA JUU YENU NDIPO MTAKAPO JUWA KWELI YA MUNGU ....
Hhhhhhhh absolutely true, wanaenda tu kwa sabbu ya pesa.
Masha Allah
ماشاءاللہ
Yeyote aliyesikia almayo akisema sheikh masenge gonga like hapa
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
Chezea kubanwa nn 😂😂😂😂😂chaajab kitab nichao lkn wanafundishwa
mazinge na hao wafuasi wake wote moto unawangojea nyinyi....
@bwegelanyakhaido3088
5 жыл бұрын
Richard Erick kwann unasema ivyo
@oliviakemuto1412
5 жыл бұрын
Hawa waislamu wanajisifu kwamba wao ndo wamjua Mungu kwani nani kawambia,sisi wote tuasubiri Mungu mwenyewe atuhukumu
@mchricharderickmtoni438
5 жыл бұрын
Kwasababu anapotosha watu.....
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Ww utaingia motoni kufata wazungu wako kuabudu binadam hata cc wailam tunaujua yesu ni na bii hata kat guruani yupo na mmungu ni huyohuyo mmoja ukiwa ukiwa hufatilizii utaona hawajui dini kumbe ww umepoteaaaa maskini mazinge kashtukaa kaona ataingizwa motoni mmungu kampenda ww endelea kuabudu mipicha ya yesu wa kizungu mcheza filamu
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
@@oliviakemuto1412 mmungu ni mmoja angekua mwingine tusinge ona ktk quruani yesu aliandikwa na mama yake ila wazungu ndio walibadili dini ya yesu kua sio wana isrzel walimpiga wakasulubu paulo akasema yesu mungu yy yesu hajasema yy mungu aliomba msada bada ya kusulubiwa na katahiriwa hv mungu anatahiriwa huo ni kukufuru
Jadhaakallahu kher
Mubishabe amamuache nyote wawili siwaamini najuwa .Mungu ana dini
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Ingekua mmungu hana dini asonge teremsha mitume na kukataza mabaya tungekua sawa na wanyama
MashaAllah
Kwanza kuzaliwa mwislamu raha mangine yanafata mashallah
Waislama wote jehanam,a.k.a moton
@khalefhamad7243
5 жыл бұрын
Usimuhukumu mtu kwa kufuata mataminio ya nafsi yako Kama kwenda motoni Munastahiki nyinyi kwenda motoni kwa sababu mumeikana dini ya haki ( Uislamu )
Waislam Leo mnamkubali Paulo neno arabuni halijatumika kama nchi ina maana ya rehani,amana hiyo aya igeuze kwa kiingereza sehemu arabuni utaona imeandikwa Guarantee
tatizo munatumia ubabe tambueni mungu no mumoja hakuna lolote
Wachafu kama bongo zinu wakristo
Hivi mnafikiri Bible inafsiriwa kwa namna hiyo 🙄🙄🙄 Mungu anawaona na UJINGA wenu..
@HusseinMaarufu-zf1kc
10 ай бұрын
Fasili ww basi
@aliroro9344
4 ай бұрын
Wewe kwnza iyoo Bibiliaa alipewa Mtume ganii ndio tujue nkitabu cha Mungu 😁
Mashaallah
Unawaona waislamu wanamcheka.Muhubiri sababu mapepo yamewatawala.masikini wanangojea jehamanamu tuuinasikitishaaaa
takbiiiiiiiiiiil
@jahbless4063
5 жыл бұрын
Najma Alzaabi Allah akbar
@fadhilajumamswali2032
4 жыл бұрын
Najma Alzaabi allahuaqbar
Waislaamu Amna chochote kabsa Nimeamini.!
Mashaallaah
Allahu Akbr
Maana watu wanapotosha watu kuwa Kuna dini nyngn Zaid ya uislam..... tunaomba utusameh mola wetu ALLAH mtukufu
Allah akuhifazin inshaAllah
Alaahu akbar
Waisilamu mmebaki kushangiliwa tu,ukisikiliza mada waisilamu mnashindwa kazi kutukana
Huna lolote acheni kuigiza
sheikh wewe kweli una wa aibisha wa chungaji wa kanisa ebu wape haki zao wa ongoze Allahu Akbar Mungu Mkubwa
Kweli njaa zinawapeleka makafr
Yan Hawa makafiri hawajielewi ndy maan wanajiongelea tu
ni dhambi sana
Salallahu Alaihi Wasalam
الله اكبر
inasikitisha xna kuona mkristo anamwacha yesu aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele na kwenda kusilimu , mimi nina swali moja na ambayo imewashinda waisilamu wote kujibu, the question is just simple if Allah is the god that people must worship, please give provide me with a verse from Quran that says Allah is the true God and eternal life?? I can change my faith and become a Muslim at any time
Hongeren allwa atawalipa
Jamani mvona wakristo wanavichwa vigumu ivi
Asa unahisi kuwa tunamwomba mungu kwaajili ya pesa pole we baba ila biblia inatuambia tusishindane na walio waovu ko wew unajilisha upepo mwenyewe au nyie wote mnataka sadaka za hao walio kusanyika hap kwa ushabiki tu
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Makanisa ndio mnadanganywa kila kukicha wanajita manabii na mkwaya ili wachukue pesa zenu wenzenu wanakua matajiri ww unamfata yesu ysu wala hayuko na ww yesu ni muislam hajaingia kanisani wala hasali kama nyiyi nyiyi mmewafata wazungu wamewakea kuabudu mipicha za wazungu wenzenu wanafatilia dinii wanaelewa ww unajifanya unajua dini hebu nsmbie ww muizrael yesu yuko na mayahudi na mitume wale woote ni wako na udugu haya ww je na mitume wako nchi za uarabunii
muhadhara mzuri
Yan nyny niwapumbavu saana unaacha kutangaza imani zakweli mnabishana2 upuuz mambo yadini hayana maana yoyote acheni ushindani wakidini wapuuz mhubilin MUNGU alie hi nasyo majengo yamakanisa nimisikiti pmbavu nyny