SPIKA DKT. TULIA ATOA TAMKO ZITO SAKATA LA USHOGA, AIPA MAAGIZO SERIKALI"LIMESHAELEWEKA"

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 193

  • @ramadhanisaidi6955
    @ramadhanisaidi6955 Жыл бұрын

    Serikali yetu mko vizuri sana ila kwahili la ushoga wanainchi hatulikubali kabsa japo nyinyi mnalichukulia mzaha sana , japo sijasoma ila mnashangaza sana eti mpaka mjue tatizo nikubwa kiasi gani ndoo mtunge sheria ,kwakati munatunga sheria mtu akiiba afungwe miaka kazaa mlipitia wizi uko kiasi gani au mnatudanganya sisi ili muendelee kufanyanya yenu ,tunga sheria ipite anaefikiria kufanya aache aogope nasio kusema mpaka mkatasimini tatizo kubwa kiasi gani ,kumbukeni watanzania ipo siku watachukia afu mtajua sio wapole hivo mnavyo fikiria ,

  • @sospatrongallaba3252

    @sospatrongallaba3252

    Жыл бұрын

    ICAP, SHEDEFA, ( mza). Japaigo Shinyanga na Mza

  • @johnycavishe5207

    @johnycavishe5207

    Жыл бұрын

    Serkal inazinguwa alaf kwanza tz inapenda misaada Sana ndo Mana rais wetu yupo kmyaa ad sasa Kwan ukuskia wakubwa fanyen waachen watoto hapo unawaza nn tayar rais kashakbal mbn ushoga tz

  • @jamesjkatimbo5549

    @jamesjkatimbo5549

    Жыл бұрын

    Awa wamekula eka za wazungu waende wenyewe wakazilipe au wapeleke watoto wao wakaliwe nyuma

  • @gasperedward
    @gasperedward Жыл бұрын

    R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu ungekuwepo upumbavu huu usingekuwepo katika hii Nchi

  • @onelovetz7935

    @onelovetz7935

    Жыл бұрын

    Wewe ni mzalendo msema kweli JPM asingekubali ujinga

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    Жыл бұрын

    we chizi kwani wakati wa Magu hawakuwepo mashoga? Mashoga wauwawe

  • @nahashuaka4979

    @nahashuaka4979

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @shamaidal6407

    @shamaidal6407

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @gasperedward

    @gasperedward

    Жыл бұрын

    @@mohamedturanardan8871 tumia akili we zwazwa msimamo wa kiongozi mkuu upo wapi hakuwa akiruhusu mambo ya kishenzi kama haya uelewe tabolalasa.

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 Жыл бұрын

    Utafiti ? Wa nn ,,,sema lini Sheria ije,,huu utafiti hadi lini au ndio kuwanyamazisha wasiendelee kuongea kwa kusubiri utafiti duh

  • @ransonlema3916
    @ransonlema3916 Жыл бұрын

    Ngoja Mungu atakaposhusha ghadhabu ya ukame, matetemeko, mafuriko na vimbunga, njaa ndo mtajua Mungu ni wa kuogopwa kuliko wazungu, tumtegemee Mungu peke yake, tuvune rasilimali zetu kwa ustadi, tufannye kazi kwa bidii, tukataei mikataba yenyee laana hizi, tumhofu Mungu

  • @abdallahmbeten
    @abdallahmbeten Жыл бұрын

    Tulia Uko vizuri sana nashukuru kwa jibu lako nimelidhika ❤❤❤❤❤ sina swali naomba Mungu akujarie kwa kila jambo,,,, inshallah

  • @maase2023
    @maase2023 Жыл бұрын

    Kwanza huyo joti afungiwe kabisa maana yy anatoa mfano wa vitendo vya wazi kuharibu jamii

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Жыл бұрын

    Sipika maelezo mengi toa tamko

  • @sarahkimu1351

    @sarahkimu1351

    Жыл бұрын

    Eee mungu kwann uliruhusu magufuli afeee

  • @salimkaka1050
    @salimkaka1050 Жыл бұрын

    Kwel tanznia hatuna viongoz imara 😢 yaani mnasubie tatizo likue kwa asilimia 80 ndio mjue kuw limekua au kubwa au 😢😢 kwa ilivyo kwa vile hili suala ni tishio kwa jamii zetu linahitaj kauli moja tu hata kma liwe linaanza sasa , nyiny mmejadil sku zote hizo alaf mmeshindwa kuja na jibu la kuelewek kwel dah inasikitisha san hii 😢😢😢

  • @chrisbertludovick8908
    @chrisbertludovick8908 Жыл бұрын

    Hapa amna kitu kikubwa ni sheria kali nyinyi wa bunge akuna kitu mlicho jadili lolote inahitajika sheria iwe kali mpaka dunia ishtuke mkisema speka kasema amna lolote hapo usanii tuu sheria tunazijua bhana

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil9442 Жыл бұрын

    Jamani hichi kitu si cha kujadili ni kuchukuwa hatuwa madhubuti tu

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Жыл бұрын

    Mna mungunya maneno sema kauri mojatu kama uganda apa nihapanatu basi

  • @haidaringugi2734
    @haidaringugi2734Ай бұрын

    Allah atulinde dhidi ya janga hili la ushoga na adhabu yake

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Жыл бұрын

    Ukimsikilza huyu mdada unaona kabisa hamna kitu🙄😏😏

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 Жыл бұрын

    Unafanyaje utafiti angali mnafanya kazi kwa maneno bila vitendo,

  • @starfourbed8341

    @starfourbed8341

    Жыл бұрын

    Ujinga hauwez ondoaujingamwingine. tunajisahausana ktk kuchaguaviongoz.madharayake ndiohaya

  • @ransonlema3916
    @ransonlema3916 Жыл бұрын

    Tunapenda kuheshimiwa na kuheshimiana sana, je Tunamheshimu Mungu ktk janga hili la ndoa za jinsia moja? Mbona dawa ni NO, basi!!!

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Жыл бұрын

    Unataka ijulikane ukubwa wake ili iweje,semenitu kuwa hili Jambo halina maana,kwenu,lakini niwaambie ukweli wabunge nyinyi mnaotumia Kodi zetu msipo kazana kulisema Jambo Hilo Mungu wa mbingu nanchi atalisema Yeye halafu tuta ona mtakimbilia wapi.

  • @evelyneabdul2785

    @evelyneabdul2785

    Жыл бұрын

    tutafanywa kama bazil

  • @geofreykashililika9704

    @geofreykashililika9704

    Жыл бұрын

    Ht spka anamung'unya tu maneno hamna lolote hamna lolote

  • @geofreykashililika9704

    @geofreykashililika9704

    Жыл бұрын

    Ko spika unataka upate mda gan had liwe kubwa et hujui Kama hili Ni janga..kmbk linaweza ht kukugusa mwenyewe ww una ndg na jamaa ujue

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 Жыл бұрын

    kwahiyo kama watu wanafirana kwa asilimia ndogo waachwe ? du nchi hii tunapigwa pesa kilakukicha na watu wafirwe ?

  • @Hasnspop

    @Hasnspop

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 tumepigwa aiseee kufirana wanaona poa tu

  • @mataypanga5262

    @mataypanga5262

    Жыл бұрын

    Wanafiriana wapi. Kama ni kwa maficho wako wengi na ni haki yao kama wameelewana na ni watu wazima. Kama wanafiriana hadharani,wanapelekwa jela

  • @user-wp5pu1zs8i

    @user-wp5pu1zs8i

    2 ай бұрын

    😂 nakweli waachwe mtu kama kataka mwenyewe

  • @hilalymaamar6644
    @hilalymaamar6644 Жыл бұрын

    Sisi sahv viongozi hakuna ni hiyo laana tuu hakuna kiongozi mwanamke kiongozi mwanamke mwanamme kakaa nyumbani anakuna ndevu subhanallah ni msiba mkubwa inna lillah wainna ilayhi raajiuun

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын

    Naomba pitisheni sheria hii. Kwenye mtaa kijiji kitongoji akijulikana ni shoga au msagaji. Wananchi waue wachome moto. Polisi waje wachukue mzoga ndio itakua komesha. Hata bibilia inasema mtu atakae muingilia mwanamume mwenzake mwanamke mwenzake. Kinyume cha maumbile anatakiwa auwawe sio aperekwe mahakamani

  • @paskaligwangway2597
    @paskaligwangway2597 Жыл бұрын

    Inapendeza sana nchi yetu kukutaa uchafu wa ushoga na kusagana , mungu atulinde sote.

  • @HermanSasuri-tu6we
    @HermanSasuri-tu6we Жыл бұрын

    Hapo mheshimiwa spika sijakuelewa, yaani watoto unaowasemea hapo ndo haohao wanaofundishwa mashuleni, kwa hiyo wakati mwingine tungeni sheria za kuweza kulisaidia taifa letu kwa masrahi ya Leo na baadae ,maana tunataka kuishi kwenye nchi ambayo kila kitu kinafanyika hovyo kwa sababu sheria bado hazina nguvu.

  • @nellychamba1507

    @nellychamba1507

    Жыл бұрын

    Sipika sikia, kuhusu hathali ni kubwa, ukubwa unatokana na kurejea kwa aibu na watu kupuuza Sheria, Jambo la msingi Sheria itungwe kwa haraka au kuboresha Sheria kwa haraka, tunasubiri msimamo wa sherikali Kisha Mambo yatakaa sawa, hatupendi ushoga Tanzania.

  • @edchrisbeatz8976

    @edchrisbeatz8976

    Жыл бұрын

    nelly chamba..hapo sheria itatungwa baada ya miezi 3..yani kwanza wachumguze pili itoke bajeti afu ndo itungwe ..asee tanzagiza..huu ushetani utaendele kuwepo na utakuwa zaidi kwa sababu hii nchi inaviongoz.. wendawazmu

  • @lightnessmushi8137

    @lightnessmushi8137

    Жыл бұрын

    Ina maana mpaka serikali ichungunguze tatizo ni kubwa kiasi ani km sio kubwa!

  • @lightnessmushi8137

    @lightnessmushi8137

    Жыл бұрын

    Km sio kubwa waendelee mpaka litakapokuwa kubwa?!!!sasa watoto zimewatia shule kwa sababu ya kufundishwa hayo mambo ,bado sio kubwa!!! Ushahidi wa mwakyembena wengine bado sio kubwa,nimungupeke yake aingiliejambohili.hasira ya Mungu haijawahi kuiwakia Tanzania lakini kwa hili itawaka,na hiihasira itahusu hata sisi wote tusiokuwemo,Mungu ni mtakatifu,hawezi kulivumilia hili jambo,angetuacha km hatujui lakini tunafanya tukijua ni kosa,hasira yake itakomesha viungo vyote vitakuwa majivu,zitakosa vyote ni boratukajirekebisha tujaribu atatusamehe,maana yuko tayari kusamehe km tutatubu kwa moyo wa dhati,huo ni ushauri wangu kwa watanzania.

  • @AdamKaponda
    @AdamKapondaАй бұрын

    Hatahili unalilionea aibu Kuta Mka?ogopeni laana Toka Kwa mungu,kemeeni dhambi achana na siasa

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza7733 Жыл бұрын

    Napata wasiwasi Hawa viongozi pia watakuwa wanakanyagana sio bure, helmets za ushoga ni kubwa sana miongoni mwao 😎😎

  • @eizerbitz6715
    @eizerbitz6715 Жыл бұрын

    Tumesahaulishwa mabiloni ya CAG. Hii nchi ni hatari watu wameseti agenda tumesahau kufatilia PESA

  • @salmaalkarousi8764

    @salmaalkarousi8764

    Жыл бұрын

    Bora tufe njaa kuliko kuuachia ushoga uenee Tanzania

  • @amibeamibe7261
    @amibeamibe7261 Жыл бұрын

    SIJAPENDA KAULI YA NENO " KIASI GANI" NDO MAANA HATA KTK MAOFISI UFISADI UNAONGEZEKA KISA AMEONEKANA MMOJA NDANI YA WATUMISHI 500. BILA KUJUA KWAMBA NI HATARI KWA TAIFA.

  • @asteriashios1852

    @asteriashios1852

    Жыл бұрын

    Duh hamna kitu hapo Kwa kauli Yako spika hapana inaonekana mlisaini waziwazi kabisa yaani hamna nguvu ya kulikataa kwanini iwe kiasi?

  • @BalkisMakame-kg4nr
    @BalkisMakame-kg4nr Жыл бұрын

    kumbukeni mumebeba dhamna na uta kwenda kulixwa jipnge n mjbu ya kwenda kujibu

  • @neemapeter4572
    @neemapeter4572 Жыл бұрын

    😂😂😂😂sheria zitaletwa.....

  • @frankmayaya367
    @frankmayaya367 Жыл бұрын

    Natamani kuckia mchango kutoka Kwa Tundu lissu kuhusu mada ya USHOGA!

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Жыл бұрын

    Labda likifikia 50% ndo sheria itungwe? Makonda Makonda yuko wapi? Tuliona anavunja haki za binadamu..Sasa yaliyowajuta Dodoma na gomora yamekaribia hats jwetu.

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 Жыл бұрын

    Uyu nae anavimelea vya kuunga mkono ushoga yn ww kama kiongozi ungetakiwa kuwa mkali xx ww unakuwa km huelewi kinacho endelea tz

  • @shukurumgimba4884
    @shukurumgimba4884 Жыл бұрын

    Ndugu sio kila kitu kinataka kufuata protocol, vitu vingine in dharura na inabidi kutatuliwa kidharura hivyohivyo,

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 Жыл бұрын

    Inamaana km litakua ndogo utariacja liendelee?? Mbona mama sijakuelewa nahisi hijawai kuumwa uchingu na hauna vijana wadg

  • @seifomar1477
    @seifomar1477 Жыл бұрын

    UNGE TOWA TAMKO KAMA WW KUWA UNALITAKA AU HULITAKI MAANA HIVYO UNAJIBU KISOMI KUWA WW HUNA KAULI NALO

  • @user-ex3cj8yp4p
    @user-ex3cj8yp4p5 ай бұрын

    jamn kuna mtu anishi ungereza ananitaka kimapez je selekali munaniangaliaje

  • @sibomanasamary7486
    @sibomanasamary7486 Жыл бұрын

    muda mwingine tuwe naakili makumu wa raisi wamalekani alifata nini tz mbona hakwenda uganda au rwanda tuweni na akili

  • @aleckmwakibete8952
    @aleckmwakibete8952 Жыл бұрын

    kweli Tanzania tumeingiliwa viongozi hatuna 😢😢😢

  • @davidcurtis175

    @davidcurtis175

    Жыл бұрын

    Alisema lakini matanikumbuka na mtanikumbuka kwa mema yangu zaidi.

  • @geofreykashililika9704

    @geofreykashililika9704

    Жыл бұрын

    Wote wameoza..Mungu atusaidie

  • @adildewji
    @adildewji Жыл бұрын

    I hope this is done ASAP.

  • @user-lj7ke5zy7e
    @user-lj7ke5zy7e Жыл бұрын

    Safi mwamba Mbunge Mh Noa

  • @allyikuta7572
    @allyikuta7572 Жыл бұрын

    Hakuna budi bunge Kutoa msimamo wake kuhusu mashogo, wasagaji mabasha

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wetu.i think hata na malaika wanapiga makofi juu ya swala hili kule mbinguni ,wakiona wanadamu wakijaribu kupinga hila za shetani kutaka kuwalag'ai wanadamu juu ya swala hili.

  • @edchrisbeatz8976

    @edchrisbeatz8976

    Жыл бұрын

    but kwa serikari hii ..aseee hatutoboi.

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Жыл бұрын

    Mungu atuepushe na mambo hayo

  • @ThomasMsemwa-ob9im
    @ThomasMsemwa-ob9im Жыл бұрын

    usiongee habar za hoja ya bajet wakat sisi tunataka ilo swala lichukuliwe hatua fasta si mfanye kam mlivyofanya panya rodi tuu ukiona shoga kamata piga shaba wataishaa tuu iyo tume tumee yenyew kama wapo umoumo wadau mwanaume angekuepo magu mngeelewaa tuu

  • @HawaHemed-xb4io
    @HawaHemed-xb4io Жыл бұрын

    Wabunge kumbukeni na MABASHA NAO HATARI NDIO WAHARIBIFU WASAKWE MBONA HAMULITAJI KUNDI HILO LA WAFANYAJI WA WENZAOOO

  • @neemakwanama3370
    @neemakwanama3370 Жыл бұрын

    EE YESU WETU NJOO UTUTETE TUMEISHA BABA

  • @abubakarymwagange
    @abubakarymwagange Жыл бұрын

    Tutapamban Hadi ushoga usitawale jaman

  • @abbas.h.saydy.3991
    @abbas.h.saydy.3991 Жыл бұрын

    Hakika hapo Mheshimiwa Spika umesema jambo muhimu katika utekelezaji, hakika umechukua hatua kali labda upande wa serikali yetu wawe kinyume na maagizo ulio wapa!!

  • @yustahyera4288
    @yustahyera4288 Жыл бұрын

    Serikali fanyeni kazi swala la ushoga linaathiri sana watoto na vijana wetyu

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 Жыл бұрын

    Ninyi ni watunga Sheria so mwogopeni Mungu okoeni Taifa kwa kutunga Sheria zinazoeleweka

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Жыл бұрын

    JAMBO GANI MBONA UNAZINGUKA ZUNGUKA HATUTAKI USHOGA

  • @ShabaniChande-kn9yl
    @ShabaniChande-kn9yl Жыл бұрын

    Acheni kuuma meno nyie ni wazazi pia tumieni fursa mlizopea na Mungu vizuri

  • @farajimazengo7332
    @farajimazengo7332 Жыл бұрын

    Hakika tatizo laushoga nikubwa halina kukaa chini mutunge sheria sisi tutawaona mnafanya kazi tulizo watuma kama mnatusikiliza vizuri wananchi tuio watuma

  • @habibarashdi2250
    @habibarashdi2250 Жыл бұрын

    Tunataka tuone Sheria ichukue mkondo wake,ili mtutoe hofu sababu tunajua kunaviongozi huko juu ndo wanasimamia ushoga nando walawiti wakubwa

  • @blesshani8380
    @blesshani8380 Жыл бұрын

    What!!!? Nonsense answer ever

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Жыл бұрын

    Tunajuwa bunge la rangi moja mshakula manoti ndio maana mnapata kigugumiz kuweka sheria kali za kuuangamiza ushoga imeshindkana

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni Жыл бұрын

    Kàbla Bunge halijamalizika(Pakuanzia wamuone Mheshimiwa Mwakyembe,wapite mashuleni tangu shule za chekechea mpaka vyuo vya juu,mabaa,nightclubs wafungue forum ya Maombi kwenye mitandao nk nk

  • @gisdenga7740
    @gisdenga7740 Жыл бұрын

    😂😂😂 Raisi amesema wafanye wakubwa tu

  • @user-ch7uf6wq5d
    @user-ch7uf6wq5d Жыл бұрын

    Mbona kama mnakwepa kwepa

  • @MuddyGuy-gy9eb
    @MuddyGuy-gy9eb Жыл бұрын

    Akumbukwe Magufuli kamanda

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Жыл бұрын

    America imetoka million 66 tz na Ghana ili kulinda ushoga juzi ndio maana hawawezi kupitisha sheria ya kuzuia ushoga sasa. Rejesheni pesa iyoo acheni tamaa

  • @yohanasafari2526
    @yohanasafari2526 Жыл бұрын

    Sheria Kali iwekwe na bunge ipitishe haraka sana

  • @FabiaHassaan-wh3lp
    @FabiaHassaan-wh3lp Жыл бұрын

    Uko sahihi mana Muna mambo mengi ya kuwasimamia kuliko kupoteza mda mwingi kujadili jambo Moja

  • @maryjeremiah4867

    @maryjeremiah4867

    Жыл бұрын

    Rest in peace JPM l remember you

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Жыл бұрын

    Tatizo kukopakopa mikopo yenye mashaliti ya ushogashoga halafu munasema mtajifikilia wangeanzia kwake aliyekopa yeye asilete laana hapa Tz

  • @zainabusadi6469
    @zainabusadi6469 Жыл бұрын

    Yaani tanzania hatuna viongozi kabisa!😢mungu tusamie

  • @saumjengi8184
    @saumjengi8184 Жыл бұрын

    Namkumbuka Magufuli sna alikuwa hakwepeshi maamuzi

  • @JamesSteven-vd7vw
    @JamesSteven-vd7vw Жыл бұрын

    asee viongozi wetu hatuwaelewi ata kidogo suala la ushoga na usagaji ni makosa ya jinai hayatakiwi kufumbiwa macho linatakiwa kujibiwa hapo hapo na muda huo huo.. toeni kauli moja yakutetea watanzania kuondokana na ukiritimba wa akili maana tunarudishwa nyuma sana hatujui, yani tunategemea misaahada how about misahada kila siku ni muda wakujiweka wazi tujitegemee kivyetu vyetu bahati nzuri rasili mali tunazo zakutosha,tunaonekana wadhaifu sababu ya vitu vya kipuuzi kama hivi aisee raisi atoe kauli yenye nguvu kuteketeza mambo ya kipuuzi kama haya tusitawaliwe na kila kitu bhn

  • @DINNAELIAS-on6fb

    @DINNAELIAS-on6fb

    Жыл бұрын

    That perfect

  • @salmaalkarousi8764
    @salmaalkarousi8764 Жыл бұрын

    Huyu spika hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi,, yaan dah mtihani

  • @ramadhanmakwinya2280
    @ramadhanmakwinya2280 Жыл бұрын

    Kauli ni ya mzee wetu Magufuli hakuna ushoga apa wepeleke kwao ukouko Nchi yetu hatutaki mambo ayo yakifiraun

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Жыл бұрын

    Wnaopiga makofi ninawasiwasi nao, Maana hapo naona kama spika anaupooza moto waliouwasha wabunge

  • @sarahmgalama3503
    @sarahmgalama3503 Жыл бұрын

    Kwann mnalinyamazia hili?

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Жыл бұрын

    Hamfai kuongoza nchi hii hata dakika moja

  • @Nusubeipromo-pj2yn
    @Nusubeipromo-pj2yn Жыл бұрын

    Uganda wamekuwa mfano, nasi tusione aibu kuwa kama wao maana ushoga sio mpka msubili kumkamata mtu anaeingiliwa, kamateni mtu kwa dalili zake nasio kusubili mshuhudie,,

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Жыл бұрын

    sijaelewa yani mpaka jambo liwe kubwa ndipo litungiwe sheria uo ni utani kabisa.

  • @hilalymaamar6644
    @hilalymaamar6644 Жыл бұрын

    Naona mnatubabaisha tuu sisi tunaumiya ni maasi makubwa na tuna watoto wetu kila sku mnajivunga au nanyi mnayajuwa haya

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Жыл бұрын

    Mjue ukubwa wake ili iweje acheni kutafuna bigijii semeni tu jambo Hilo hatutaki watu wakijihusisha ni kunyongwa tu

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 Жыл бұрын

    Hatuna spika

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 Жыл бұрын

    IMEBAKIA TU MUKTADHA MUKTADHA......BILA YA KUWEKA SHERIA KALI PASI NA KUZINGATIA UKUBWA AU UDOGO WA JAMBO HUSIKA KIUENEVU,,,,,,,,,KEMEA JAMBO HARAKA KWA UAMUZI WA KUWEKA SHERIA PAPO HAPO..

  • @stamaelkept7606
    @stamaelkept7606 Жыл бұрын

    Natamani mutangaze kama alivyofanya makonda wakat wake kuwa watajwe wasagaji na hao wanaume wanaoliwa nahisi Kama itasaidia kiasi flan kwakua watu hao wanafahamika na wanaishi kwenye jamii zinazotuzunguuka

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Жыл бұрын

    Jambo gani tumeelewana dada sema mashoga hatutaki

  • @ELIPHAZAMON-ex9zc
    @ELIPHAZAMON-ex9zc Жыл бұрын

    Maneno mengi suluhu zero maguful alikuwa anapasua hata wanyama huo mchezo hawakosei nyie maneno mengi pont hamna ni pumba tupu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын

    Kwann wabunge wanateseka kuhusu ushoga wakati rais yupo? Tunaomba bunge limshinikize Rais atoe tamko kupinga ukimwi?

  • @farihanyngalalangalala8433
    @farihanyngalalangalala8433 Жыл бұрын

    Apo viongozi hakuna yani kutoa tamko moja inashindika

  • @adammwakalonge3573
    @adammwakalonge3573 Жыл бұрын

    Kwani serikali ni Nani? Bunge sio serikali? Alafu huo mjadala mnamjadilia nani badala ya kutenda? Hivi kweli mnataka kutuigizia kwamba hamkuwa mnajua kuwa kuna ushoga Tanzania? Swala hili likikomeshwa mniite mbwa ntakuwa nimekaa pelee. Utashangaa anaibuliwa majaliwa kaokoa ndege kufunika hili la ushoga baada ya siku mbili tushasahau

  • @benarddickson1326
    @benarddickson132613 күн бұрын

    MUNGU ANAKUONA, UTAFITI WA NINI NI JAMBO LINALOKEMEWA HATA NA MUNGU !! WABUNGE MTAJIBU KWA MUNGU

  • @suleimanbakar7249
    @suleimanbakar7249 Жыл бұрын

    Naiomba iyo tume ya katiba na sheria itapokaa na kujadili marekebisho kuhusu USHOGA basi naiomba tume hiyo iweke mkazo juu ya MABASHA. Endapo kutawekwa sheria yoyote ile basi kwa MABASHA iwe ×2 dhidi ya MASHOGA

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Жыл бұрын

    😢

  • @ShabanHamza-qg3wj
    @ShabanHamza-qg3wj Жыл бұрын

    Sipika wa binge usipo piga Vita ushoga na usagaji sijui utatwambia nini

  • @paulinamoshi8141
    @paulinamoshi8141 Жыл бұрын

    Why linaendelea?

  • @tinkybellah6634
    @tinkybellah6634 Жыл бұрын

    Weee spika acha siasa Hata mshipa waaibu huna Huiongopi dhambi basi muogope Mungu wako

  • @prosperkisama655
    @prosperkisama655 Жыл бұрын

    KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE MTAULIZWA TUU KWA KADIRI YA MAMLAKA MLIZOPEWA. MTU ASIPO FANYA WAJIBU WAKE KTK HILI NI HERI ASINGALIZALIWA. SINGIZIA TUU UTAFITI CHEZA NA MAISHA YA WATU KAMA ULIVYO ZOEA ILA HAPO MNAMGUSA MUNGU MOJA KWA MOJA KUPIMA HASIRA YAKE PIGENI SANA MAKOFI....

  • @user-ex3cj8yp4p
    @user-ex3cj8yp4p5 ай бұрын

    hatutaki ushoga

  • @saidbakar7137
    @saidbakar7137 Жыл бұрын

    Tukiacha hiii hali iyendelee bc pia unyanyasaji wa kijinsia utazidi

  • @OmaryBarua-te7jg
    @OmaryBarua-te7jg Жыл бұрын

    TUSHIRIKIANE KUWAONDOA VIONGOZI WANAOBARIKI USHOGA AFRIKA

  • @fatmamlama-le6oz
    @fatmamlama-le6oz Жыл бұрын

    Mm Apo naona viongoz ndo utumbo kwann mnapenda sana kuiga vitu kutoka marekani???swal mbona magufuli alivyokuwa hai hatukuwahi kusikia et wazuri wa marekan anakuja Tz???? Mnatakiwe muwe Na iman jamon mnaendeshwa hovyo tu Na apa Tz kuna mtu ndo anajifanya anamamlaka sana tena ndo mtu m.baya kbsa kakaa pembeni Na miwani yake

  • @abediboki8214
    @abediboki8214 Жыл бұрын

    Tlulia naomba utoe maamuuzi yalio sahihi mtaleta gharakakama Enzi LUTU

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Жыл бұрын

    Siyo ukubwa bali kataeni ushoga au muukubali mwisho toeni kauli moja

  • @AbubakarYusuph-wk7tp
    @AbubakarYusuph-wk7tp Жыл бұрын

    Asnth tulia

  • @florakaria3793
    @florakaria3793 Жыл бұрын

    Anzeni na wabunge tafadhali

  • @jimmy-qk4sj
    @jimmy-qk4sj Жыл бұрын

    Dr Tulia tume ya ninii sheria ni moja ukithibitika ni kifo tu

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 Жыл бұрын

    Utafiti wa mwakyemba utatuongaza kuona ukubwa wa jambo au udogowake

  • @josephmfune9897
    @josephmfune9897 Жыл бұрын

    Na mchere kwetu jaribu sh 5000

Келесі