SOMO: JENGA BRAND/JINA, MUNGU HUINUA BRAND - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 82

  • @tlotwe.01.
    @tlotwe.01. Жыл бұрын

    Kwa Mafundisho Yako...... lnahitaji Mtu mwenye Uvuvio Wa Roho Mt. Kweli Kweli Ili akuelekeze! Viwango Vya Ufahamu Wa Mafundisho Yako Viko Juu. Yesu Atusaidie Haswa.

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles57919 ай бұрын

    Soma biblia upate maarifa ,Mungu wa mbinguni atusaidie sana 👏👏👏👏👏

  • @glaury9938
    @glaury9938 Жыл бұрын

    Nakupenda sana baba yani mpaka siwezi sema hata yesu wangu akufunike kwa damu yake

  • @richardIyanga
    @richardIyanga Жыл бұрын

    Najivunia Baba yangu Mwenye Nguvu sana. Nazidi kujifunza kwako Baba yangu🙏🙏🙏👏

  • @ebenezermachange1073
    @ebenezermachange1073 Жыл бұрын

    Amen.Mungu anisaidie niweze kujenga jina langu Kwa ubora,usahihi na ukamili

  • @dainessukosi
    @dainessukosi Жыл бұрын

    Ubarikiwe baba amina 🙏

  • @hatangimbabazisenzoga3245
    @hatangimbabazisenzoga3245 Жыл бұрын

    Geodavie Mungu aendelee kukubariki na miye siku moja nitakuja kukutembelea maana wewe haubaguwi

  • @isaacgerrard4475
    @isaacgerrard4475 Жыл бұрын

    Somo la baraka Sana shukrani Baba unadumu kutufungua fahamu zetu

  • @nellykibukila5677
    @nellykibukila56773 ай бұрын

    Ubarikiwe baba nabii mkuu

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    Nabii Mkuu Dr Geordavie Nakushika !

  • @margaretkamau9575
    @margaretkamau9575 Жыл бұрын

    I went to this church once from Mombasa Kenya and for sure I am not the old me since visiting the church and I love the brethren of this church so much though I do. Not know them cause of how they received me.. again listening to prophet is medicine to me...

  • @luhizomkombozi5763
    @luhizomkombozi5763 Жыл бұрын

    Asante sanaa baba NABII MKUU GEOIRDAVIE!!! Nabarikiwa sana kukuona Pamoja na mafundisho Yako mazuri!! Asante MUNGU awe nawe!

  • @frankmhenga7271
    @frankmhenga7271 Жыл бұрын

    Mzee we no mtumishi wa kweli sana kanisa linaitaji watumishi kama we unapenda sana ustawi wa kanisa ntafuta sana mamba zko father of chutch

  • @josephdaniel799
    @josephdaniel79926 күн бұрын

    Amina sana mtumishi

  • @dainessukosi
    @dainessukosi Жыл бұрын

    Ninabarikiwa baba na mfundisho yako

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Жыл бұрын

    Daddy unatupenda sana zaidi ya sana, Mimi binafsi nakushukuru🙏 nikiamini aliyetengeneza BRAND yake ya GEORDAVIE amepokea utukufu

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Жыл бұрын

    Amen muda wakazi nzuri 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hekima

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    NABII MKUU DR GEORDAVIE!

  • @dainessukosi
    @dainessukosi Жыл бұрын

    Amina baba uendelee kutuombe na kututwmkia maana kweli maisha ni magumu ilatunazidi kumuamini mungu kwa kuwa anaweza🙏

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Amina baba

  • @agnesalex4761
    @agnesalex47617 ай бұрын

    Ukweli umenisaidia nilikuwa nafunga duka umenibariki baba asante

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Sawa kabisaNabii Wambea wanaokuja kwahamo

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Жыл бұрын

    Nimepokea kwa jina la yesu

  • @barikingowo1052
    @barikingowo1052 Жыл бұрын

    Napokea NABII Ameen

  • @angela-kd2iz
    @angela-kd2iz Жыл бұрын

    Mafundisho yako ni dawa ya kweli mungu akupe umri mrefu zaidi Dady

  • @evalinekassam5187
    @evalinekassam51874 ай бұрын

    Sema docter geodavi

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba5288 Жыл бұрын

    Àsante Daddy Kwa mafundisho yenye afya ya akili 🌻

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Жыл бұрын

    Linda testimony ya bwana yesu christo tu, ukweli mtupu baba yangu.

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    Sikumoja, Utaona Jina Langu!

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Жыл бұрын

    NABII MKUU GEORDAVIE Alie Sahihi Sana. My Father Senior Prophet

  • @bonifacedeljaykay1221
    @bonifacedeljaykay1221 Жыл бұрын

    Hallelujah. Mafundisho mazuri sana.

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    Amen!

  • @maryhaule6448
    @maryhaule6448 Жыл бұрын

    Duuu a good and blessed nabii

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Keeling kabisa

  • @elneusdominick7603
    @elneusdominick7603 Жыл бұрын

    Hallelujah

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Kweli Nabii

  • @EmmanuelSanare-bc7si
    @EmmanuelSanare-bc7si Жыл бұрын

    Amen

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Always you to mind you are business

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Kabisa Nabii nakubali🙏🙏

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles57919 ай бұрын

    Imani thabiti ,hata sisi tuliamini sana mtfe Mpka mwisho😂😂😂

  • @jamesdastan5393
    @jamesdastan53936 ай бұрын

    Ameni

  • @Kamkono
    @Kamkono Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa nabii wa Mungu, it is too much. Wakristo wengi hawafanyi kazi kwa uaminifu ila ibada zao ni ndefu na nyingi. Jumapili ibada asubuhi mpaka mchana, tena saa kumi mpaka kumi na mbili. Jumatatu kwaya na idara, jumanne idara,jumatano ibada, Alhamisi idara,Ijumaa ibada na maombi,jumamosi kuabudu idara na kwaya.

  • @evalinekassam5187
    @evalinekassam51874 ай бұрын

    Sema baba nabii mkuu sana 30:54

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Is true

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    True

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    Sikuashe Apana...

  • @johnandason8372
    @johnandason8372 Жыл бұрын

    Ameen ww ni Baba wa kiroho

  • @dainessukosi
    @dainessukosi Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Ameen

  • @AbubakarMtiro
    @AbubakarMtiro Жыл бұрын

    Mjibu mpumbavu sw n upumbavu wk , mungu ndie hakimu mkuu , majibu yatapatikana , that is business true , we have to know that, he lie society,

  • @stephenkikoti9223

    @stephenkikoti9223

    Жыл бұрын

    Wanamtafuta Mungu wa kweli . Mungu ni muhimu sana.fundisho hili potofu kabisa.Mtu hawezi kwenda kusali kama ibada Haina tija. Hili Sio fundisho la kimungu Bali la kipepo

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Nikweli baba

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    Usiniache!

  • @sabinalaulian-yg1ud
    @sabinalaulian-yg1ud Жыл бұрын

    Hakika baba mungu akubariki Sana natamani kuja arusha ila nauli sina

  • @glaury9938

    @glaury9938

    Жыл бұрын

    Nauli ya arusha shi ngapi niambie nione niandikie na namber ya simu

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Жыл бұрын

    Niombee Nione Ukuili...

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Mimi niwajodevi

  • @obadiajumamkaria2568
    @obadiajumamkaria2568 Жыл бұрын

    Sawa mtu wa MUNGU

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Жыл бұрын

    Mimi mtoto wa Nabii Mkuu GeorDavie Balozi wa Amani. Nasapoti mafundisho imala Kabisa.

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Жыл бұрын

    Umeongea Jambo langu ambalosimuda nitalitoakweyewimbo

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Tunashukuru babayetu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Tunashukuru baba

  • @hadjamussa1626

    @hadjamussa1626

    Жыл бұрын

    Ishi milele Baba

  • @JustinSanga-zk8gh
    @JustinSanga-zk8gh10 ай бұрын

    Boba jodev nashkru Kwa maombi Yako nipo sumbawanga karibu

  • @ElizabethNdimbwa
    @ElizabethNdimbwa11 ай бұрын

    Nimecheka, uliposema mlio wa Tecno watu wanashuka, kweli nao ni brand yao.

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Жыл бұрын

    Tunza utakatifu tu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Naupokea utukufu wako Nabii GeoeDavie🙏🙏🙏🙏🙏

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Hawakupati kabisa

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Huyu ndiyo nabii wakweli hakuna mwinqine duniani

  • @hebrew1214

    @hebrew1214

    Жыл бұрын

    Hakuna mwingine duniani? Mmh.....!!

  • @BenjaminHenry

    @BenjaminHenry

    Жыл бұрын

    Yupo Nabii mmoja tu ambae ikiwezekana watu wote wamsikilize yeye tu. Huyu ni Nabii Elia ambae tuliahidiwa kuwa atakuja duniani tena kabla Bwana Yesu Kristo hajaja duniani kwa mara ya pili. Yeye amekuja kuturejeshea tena ile injili ya kimitume ambayo ilivurugwa baada ya mitume kuondoka duniani. Watu wakajiundia mathehebu, wakapotosha ubatizo sahihi wa maji mengi ktk Jina la Bwana Yesu Kristo wakaweka wa maji ya kunyunyiza na kubatiza kwa vyeo vya baba mwana na Roho mtakatifu balada ya Jina. Pia wakawaweka wanawake kuhubiri na kua mashemasi wakati Mtume Paulo aliambiawa na Bwana ayakataze hayo. Tena mwanamke haruhusiwi kukata nyele zake ktk maandiko laki wao wanawaruhusu kufanya hivyo. Tena mwanamke hapaswi kuvaa suruali lakini ninyi mnawaachilia wavae. Isitoshe mwanamke haruhusiwi kujipamba kwa vipodozi lakini ninyi mnawaruhusu. Hiyo ndio injili ya kimitume ambae Nabii Elia ametuletea tena. Jamani Elia Nabii amekuja kwa awamu ya nne amkeni mumuamini kabla hamja chelewa sana. Anaitwa William Marrion Branham ingia ktk mtandao usome habari hii njema. Yeye anatimiza Ufunuo 10: 7 yeye ni malaika wa 7 kama tunavyojua kwamba mjumbe ni malaika. Malaki 4:5 pia ndio yeye haswaa. Mbarikiwe na Bwana Yesu Kristo

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    Tulia eti ndo na bii wa kweli acha uchawa uo

  • @abelianraphili5150

    @abelianraphili5150

    Жыл бұрын

    Mmmmh

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Kweli hawanahela watamani kukurarua lakini hawakutaki ngo

  • @hamadiadamu-yq7ho
    @hamadiadamu-yq7ho Жыл бұрын

    Nahitaji namba za nabii mkuu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Litahishi milele yote

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Жыл бұрын

    Haya mafundisho yana uvuvio wa kipepo. Adui mkubwa wa ufalme wa Mungu aliyejivika ngozi ya kondoo. Tunajua kupunguza muda wa ibada itakuwa moja ya mipango ya mpinga kristo yaani one world order.

  • @cliffdenis144
    @cliffdenis144 Жыл бұрын

    Naogopa kinachoendelea makanisani

  • @antonykomba6631
    @antonykomba6631 Жыл бұрын

    Huu ni upotoshaji wa hali ya juu sana

  • @richardIyanga

    @richardIyanga

    Жыл бұрын

    Wapi ameposha

  • @hadjamussa1626

    @hadjamussa1626

    Жыл бұрын

    Acha swaga cc tuna Imani naye kaa pembeni

Келесі