SOMO: JENGA BRAND/JINA, MUNGU HUINUA BRAND - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 82
Kwa Mafundisho Yako...... lnahitaji Mtu mwenye Uvuvio Wa Roho Mt. Kweli Kweli Ili akuelekeze! Viwango Vya Ufahamu Wa Mafundisho Yako Viko Juu. Yesu Atusaidie Haswa.
Soma biblia upate maarifa ,Mungu wa mbinguni atusaidie sana 👏👏👏👏👏
Nakupenda sana baba yani mpaka siwezi sema hata yesu wangu akufunike kwa damu yake
Najivunia Baba yangu Mwenye Nguvu sana. Nazidi kujifunza kwako Baba yangu🙏🙏🙏👏
Amen.Mungu anisaidie niweze kujenga jina langu Kwa ubora,usahihi na ukamili
Ubarikiwe baba amina 🙏
Geodavie Mungu aendelee kukubariki na miye siku moja nitakuja kukutembelea maana wewe haubaguwi
Somo la baraka Sana shukrani Baba unadumu kutufungua fahamu zetu
Ubarikiwe baba nabii mkuu
Nabii Mkuu Dr Geordavie Nakushika !
I went to this church once from Mombasa Kenya and for sure I am not the old me since visiting the church and I love the brethren of this church so much though I do. Not know them cause of how they received me.. again listening to prophet is medicine to me...
Asante sanaa baba NABII MKUU GEOIRDAVIE!!! Nabarikiwa sana kukuona Pamoja na mafundisho Yako mazuri!! Asante MUNGU awe nawe!
Mzee we no mtumishi wa kweli sana kanisa linaitaji watumishi kama we unapenda sana ustawi wa kanisa ntafuta sana mamba zko father of chutch
Amina sana mtumishi
Ninabarikiwa baba na mfundisho yako
Daddy unatupenda sana zaidi ya sana, Mimi binafsi nakushukuru🙏 nikiamini aliyetengeneza BRAND yake ya GEORDAVIE amepokea utukufu
Amen muda wakazi nzuri 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hekima
NABII MKUU DR GEORDAVIE!
Amina baba uendelee kutuombe na kututwmkia maana kweli maisha ni magumu ilatunazidi kumuamini mungu kwa kuwa anaweza🙏
Amina baba
Ukweli umenisaidia nilikuwa nafunga duka umenibariki baba asante
Sawa kabisaNabii Wambea wanaokuja kwahamo
Nimepokea kwa jina la yesu
Napokea NABII Ameen
Mafundisho yako ni dawa ya kweli mungu akupe umri mrefu zaidi Dady
Sema docter geodavi
Àsante Daddy Kwa mafundisho yenye afya ya akili 🌻
Linda testimony ya bwana yesu christo tu, ukweli mtupu baba yangu.
Sikumoja, Utaona Jina Langu!
NABII MKUU GEORDAVIE Alie Sahihi Sana. My Father Senior Prophet
Hallelujah. Mafundisho mazuri sana.
Safi sana
Amen!
Duuu a good and blessed nabii
Keeling kabisa
Hallelujah
Kweli Nabii
Amen
Always you to mind you are business
Kabisa Nabii nakubali🙏🙏
Imani thabiti ,hata sisi tuliamini sana mtfe Mpka mwisho😂😂😂
Ameni
Ni kweli kabisa nabii wa Mungu, it is too much. Wakristo wengi hawafanyi kazi kwa uaminifu ila ibada zao ni ndefu na nyingi. Jumapili ibada asubuhi mpaka mchana, tena saa kumi mpaka kumi na mbili. Jumatatu kwaya na idara, jumanne idara,jumatano ibada, Alhamisi idara,Ijumaa ibada na maombi,jumamosi kuabudu idara na kwaya.
Sema baba nabii mkuu sana 30:54
Is true
True
Sikuashe Apana...
Ameen ww ni Baba wa kiroho
🙏🙏
Ameen
Mjibu mpumbavu sw n upumbavu wk , mungu ndie hakimu mkuu , majibu yatapatikana , that is business true , we have to know that, he lie society,
@stephenkikoti9223
Жыл бұрын
Wanamtafuta Mungu wa kweli . Mungu ni muhimu sana.fundisho hili potofu kabisa.Mtu hawezi kwenda kusali kama ibada Haina tija. Hili Sio fundisho la kimungu Bali la kipepo
Nikweli baba
Usiniache!
Hakika baba mungu akubariki Sana natamani kuja arusha ila nauli sina
@glaury9938
Жыл бұрын
Nauli ya arusha shi ngapi niambie nione niandikie na namber ya simu
Niombee Nione Ukuili...
Mimi niwajodevi
Sawa mtu wa MUNGU
Mimi mtoto wa Nabii Mkuu GeorDavie Balozi wa Amani. Nasapoti mafundisho imala Kabisa.
Umeongea Jambo langu ambalosimuda nitalitoakweyewimbo
Tunashukuru babayetu
Tunashukuru baba
@hadjamussa1626
Жыл бұрын
Ishi milele Baba
Boba jodev nashkru Kwa maombi Yako nipo sumbawanga karibu
Nimecheka, uliposema mlio wa Tecno watu wanashuka, kweli nao ni brand yao.
Tunza utakatifu tu
Naupokea utukufu wako Nabii GeoeDavie🙏🙏🙏🙏🙏
Hawakupati kabisa
Huyu ndiyo nabii wakweli hakuna mwinqine duniani
@hebrew1214
Жыл бұрын
Hakuna mwingine duniani? Mmh.....!!
@BenjaminHenry
Жыл бұрын
Yupo Nabii mmoja tu ambae ikiwezekana watu wote wamsikilize yeye tu. Huyu ni Nabii Elia ambae tuliahidiwa kuwa atakuja duniani tena kabla Bwana Yesu Kristo hajaja duniani kwa mara ya pili. Yeye amekuja kuturejeshea tena ile injili ya kimitume ambayo ilivurugwa baada ya mitume kuondoka duniani. Watu wakajiundia mathehebu, wakapotosha ubatizo sahihi wa maji mengi ktk Jina la Bwana Yesu Kristo wakaweka wa maji ya kunyunyiza na kubatiza kwa vyeo vya baba mwana na Roho mtakatifu balada ya Jina. Pia wakawaweka wanawake kuhubiri na kua mashemasi wakati Mtume Paulo aliambiawa na Bwana ayakataze hayo. Tena mwanamke haruhusiwi kukata nyele zake ktk maandiko laki wao wanawaruhusu kufanya hivyo. Tena mwanamke hapaswi kuvaa suruali lakini ninyi mnawaachilia wavae. Isitoshe mwanamke haruhusiwi kujipamba kwa vipodozi lakini ninyi mnawaruhusu. Hiyo ndio injili ya kimitume ambae Nabii Elia ametuletea tena. Jamani Elia Nabii amekuja kwa awamu ya nne amkeni mumuamini kabla hamja chelewa sana. Anaitwa William Marrion Branham ingia ktk mtandao usome habari hii njema. Yeye anatimiza Ufunuo 10: 7 yeye ni malaika wa 7 kama tunavyojua kwamba mjumbe ni malaika. Malaki 4:5 pia ndio yeye haswaa. Mbarikiwe na Bwana Yesu Kristo
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Tulia eti ndo na bii wa kweli acha uchawa uo
@abelianraphili5150
Жыл бұрын
Mmmmh
Kweli hawanahela watamani kukurarua lakini hawakutaki ngo
Nahitaji namba za nabii mkuu
Litahishi milele yote
Haya mafundisho yana uvuvio wa kipepo. Adui mkubwa wa ufalme wa Mungu aliyejivika ngozi ya kondoo. Tunajua kupunguza muda wa ibada itakuwa moja ya mipango ya mpinga kristo yaani one world order.
Naogopa kinachoendelea makanisani
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu sana
@richardIyanga
Жыл бұрын
Wapi ameposha
@hadjamussa1626
Жыл бұрын
Acha swaga cc tuna Imani naye kaa pembeni