Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
Ойын-сауық
Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 22
Mashaallah wallah shekhe nahisi kama utanipeleka peponi umeniweka karibu sana na Allah
Mimi nikisikiliza mawaiza najiisi mwepesi na mwenye fulaha nawapenda mashekh wetu wanafanya kazi kubwa ya Allah mungu awatie nguvu wazidi kutoa dawa
Shukran Sheik wetu tumedarasika
ALLAH akujalie Kila lakheri Shekhe letu
manshaallah shekh wetu allah akulipe yenye kheri hakika tunapata yenye kheri kupitia kwako
MaashaAllah Allah akulipe kila lakheri
Umenifundisha nyiradi kwa sasa naishi nazo lakin hapa nimepata mazingatio mengine Leo natafuta nguvu nije nifuate dawa na kisomo kisha niendelee na dhikri zangu nitakuwa nimejitibu dhikri za kila siku kwa ajili ya kujilinda na kujitakasa shukran
jazak llahu kher
Shukran jazaka Allah gheri shekhe
Assalam alykum wrhmatullah wbrktuh shekhe yule kijana unasema hajapona muite au umfate kwa ajili ya Allah umtibu kwa ihesani yako
Mashallah akupe kila la kher kwa kzazi chako hata mm pia kutokee mtoto wa elimu kama yako
Allah akujarie Kila lililokuwa la heri
As Salaam alaykum shukran Allah akuzidishie elimu
Inshas Allah
Mashaa Allah
Walykumusalamu warahmatullah wabarakatu
Dah!shekh unachoonge ni kweli kabisa.
Shukran sheikh
Mashaallah mashaallah tabarak Rahman
@lucymashauri2826
Жыл бұрын
Asante sana unaelimisha jamii
Shukrani
Sawa.. lakin tusisahao kwamba baada Mtume kurogwa kuna process fulani ilifanyika ambaye ustaz angetilia mkazo kidogo.. Cha kwanza, Mtume hakujua kama amerogwa, ni Jibril ambaye alikuja kumjulisha.. Pili, ili kumtunza Mtume ilibidi Jibril awambie waislami nini kilifanyika na wapi hayo mafungo za nywele ya Mtume kwenye ilitupwa Yani kisimani, iende itolewe, iletwe na alafu badae mafungo yenyewe na Mtume wasomewe hizo sura mbili.. Mwisho Jibril ndo alimfanyia ruqya kwa kumsomea hizo sura mbili falaq na nass.. Kwa kifupi, inabidi na sisi tusisahao process hiyo wakati tuna tibu watu ao tunatafuta matibabu.. Watu wengi wamerogwa lakin hawana habari.. wengine wanajua wamerogwa lakin hawajui mchakato wakufata ili watibiwe... Sura mbili falaq na nass nikinga kabla hujarogwa lakin mtu kisha rogwa sura hazisaidie vizur paka uchawi wenyewe ujulikane upo wap, na utolewe na usomewe pia.. kwani Jibril alimwambia Mtume atume waislamu waende kwanza watafute na watowe uchawi kwenye ulitupwa kisimani alafu badae ndo alimfanyia ruqya ya hizo sura..🙏🏿