Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal

Ойын-сауық

Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 22

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u4 ай бұрын

    Mashaallah wallah shekhe nahisi kama utanipeleka peponi umeniweka karibu sana na Allah

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m7 ай бұрын

    Mimi nikisikiliza mawaiza najiisi mwepesi na mwenye fulaha nawapenda mashekh wetu wanafanya kazi kubwa ya Allah mungu awatie nguvu wazidi kutoa dawa

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy4 ай бұрын

    Shukran Sheik wetu tumedarasika

  • @issachuwa6413
    @issachuwa6413 Жыл бұрын

    ALLAH akujalie Kila lakheri Shekhe letu

  • @taybahnasoro6049
    @taybahnasoro6049 Жыл бұрын

    manshaallah shekh wetu allah akulipe yenye kheri hakika tunapata yenye kheri kupitia kwako

  • @hawayussuf9244
    @hawayussuf9244 Жыл бұрын

    MaashaAllah Allah akulipe kila lakheri

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    Umenifundisha nyiradi kwa sasa naishi nazo lakin hapa nimepata mazingatio mengine Leo natafuta nguvu nije nifuate dawa na kisomo kisha niendelee na dhikri zangu nitakuwa nimejitibu dhikri za kila siku kwa ajili ya kujilinda na kujitakasa shukran

  • @hamidamohammed9589
    @hamidamohammed958910 ай бұрын

    jazak llahu kher

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    Shukran jazaka Allah gheri shekhe

  • @reyreshey9443
    @reyreshey9443 Жыл бұрын

    Assalam alykum wrhmatullah wbrktuh shekhe yule kijana unasema hajapona muite au umfate kwa ajili ya Allah umtibu kwa ihesani yako

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Жыл бұрын

    Mashallah akupe kila la kher kwa kzazi chako hata mm pia kutokee mtoto wa elimu kama yako

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 Жыл бұрын

    Allah akujarie Kila lililokuwa la heri

  • @mozaalsinani5009
    @mozaalsinani5009 Жыл бұрын

    As Salaam alaykum shukran Allah akuzidishie elimu

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    Inshas Allah

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Жыл бұрын

    Walykumusalamu warahmatullah wabarakatu

  • @hidayabumbo8929
    @hidayabumbo8929 Жыл бұрын

    Dah!shekh unachoonge ni kweli kabisa.

  • @kadiffneyy8469
    @kadiffneyy8469 Жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 Жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah tabarak Rahman

  • @lucymashauri2826

    @lucymashauri2826

    Жыл бұрын

    Asante sana unaelimisha jamii

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Жыл бұрын

    Shukrani

  • @comicocommunauteislamiquee6241
    @comicocommunauteislamiquee6241 Жыл бұрын

    Sawa.. lakin tusisahao kwamba baada Mtume kurogwa kuna process fulani ilifanyika ambaye ustaz angetilia mkazo kidogo.. Cha kwanza, Mtume hakujua kama amerogwa, ni Jibril ambaye alikuja kumjulisha.. Pili, ili kumtunza Mtume ilibidi Jibril awambie waislami nini kilifanyika na wapi hayo mafungo za nywele ya Mtume kwenye ilitupwa Yani kisimani, iende itolewe, iletwe na alafu badae mafungo yenyewe na Mtume wasomewe hizo sura mbili.. Mwisho Jibril ndo alimfanyia ruqya kwa kumsomea hizo sura mbili falaq na nass.. Kwa kifupi, inabidi na sisi tusisahao process hiyo wakati tuna tibu watu ao tunatafuta matibabu.. Watu wengi wamerogwa lakin hawana habari.. wengine wanajua wamerogwa lakin hawajui mchakato wakufata ili watibiwe... Sura mbili falaq na nass nikinga kabla hujarogwa lakin mtu kisha rogwa sura hazisaidie vizur paka uchawi wenyewe ujulikane upo wap, na utolewe na usomewe pia.. kwani Jibril alimwambia Mtume atume waislamu waende kwanza watafute na watowe uchawi kwenye ulitupwa kisimani alafu badae ndo alimfanyia ruqya ya hizo sura..🙏🏿

Келесі