SOMA SURA HIZI TATU KUFUNGUA RIZKI ZAKO BIASHARA NA KAZI ZOZOTE

Пікірлер: 29

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9fАй бұрын

    Shukran sana shekhe wetu ila vp majina ya Allah ndotumefikia mwisho

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Bado tunaendelea maalim

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501Ай бұрын

    Allah akubariki sana sheikh wetu kwa elimu yako madhubuti

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameen

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7wАй бұрын

    Asalaam aleykum wasoma mara moja ama mara saba saba yasin waqia na suratul mulk

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Soma mara Saba Kila sura

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501Ай бұрын

    siku gan nzur ya kusoma sura hizo

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ukianza jumatano ni Bora zaidi

  • @sufomussa4550
    @sufomussa4550Ай бұрын

    JazakuhAllah khaira Allah akusimamie kwa kila laheri. Tunasubiria vitabu in sha Allah...(Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿)

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Inshaa allah msijali vitabu vinakuja inshaa allah

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928Ай бұрын

    Mashallah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    👍

  • @abinandrimana7150
    @abinandrimana7150Ай бұрын

    shukrani mimi huwa nazisoma kila baada ya kusali salat fajri ila nilikuwa sisomi mara saba saba

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Basi jitahidi usome mara Saba inshaa allah

  • @abinandrimana7150

    @abinandrimana7150

    Ай бұрын

    @@TURIYU inshaa allah

  • @mekijitiomary8506
    @mekijitiomary8506Ай бұрын

    Shukrani kwa somo zuri,Mimi hua nasoma sana surat yaasin kila siku kwenye biashara yangu,hiyo surat Waqia na surat mulk Bado sijawahi kuisoma kwa kweli na labda hapo naona sijaona mafanikio

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Basi jitahidi usome zote Kwa pamoja naamini mambo yatakua vizuri maa shaa allah

  • @user-rv9vw7in2s
    @user-rv9vw7in2sАй бұрын

    Shukran jazakallaahu khair,,,nashukuru nitafufua biashara yangu inshaallah,,

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Inshaa allah

  • @FaidaRuamuka
    @FaidaRuamukaАй бұрын

    Allahuma Amina ❤

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameeen

  • @baturirashid1521
    @baturirashid1521Ай бұрын

    Nashukuru sana mwanangu Allah akuzidishie riziki na akujaalie upate watoto wema Allah akuzidishie masomo naomba namba yako shekhe

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameeen thumma ameen shukran sana Kwa Dua Yako mamaangu no yangu ni ±255713521944

  • @firstlady9848

    @firstlady9848

    Ай бұрын

    ​@@TURIYUshukraan Sheikh

  • @user-cb8gz6qn3o
    @user-cb8gz6qn3oАй бұрын

    Assalam ghalaykum warahmatullah. Wabarakatuh. Je ukiwa unafanya kazi za ndani unaweza kusoma

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Yes unaweza kusoma Hii ni kwakazi yoyote tu iliyo yahalali

  • @user-cb8gz6qn3o

    @user-cb8gz6qn3o

    Ай бұрын

    @@TURIYU aha shkran Allah akubariki

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama6795Ай бұрын

    Shehee mm naomba msaada kuhusu sura 3 za kufungua riziki mimi sijasoma hata kidogo korohani jee duwa hiyo siwezi soma kwa kiswahili? Kama inawezekana kwa msaada naomba kitabu cha tafsiri kwa kiswahili kinacho husu duwa mbalimbali niko tayari kulipia shehe

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    ONDOA shaka vitabu vinakuja sio mda mrefu inshaa allah

Келесі