SOKO LA KISASA LAFUNGULIWA ZANZIBAR

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 66

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Жыл бұрын

    🤔Ushabiki tuweke kando Mheshimiwa Mwinyi ana mtazamo mzuri kwa Zanzibar. Waliopita kabla yake wote ilikuwa porojo tu. Hongera kwa hatua nyingine mpya, nzuri na ya kihistoria 🤝

  • @mbingwaali7791

    @mbingwaali7791

    Жыл бұрын

    Kwaiyo marais walopita wote porojo ,wwe mzalendo wa nni? , walopita tulisifu kama huyu ,naatakayekuja tutasifu zaidi yake huyu .

  • @amourmtungo623

    @amourmtungo623

    Жыл бұрын

    @@mbingwaali7791 Uzuri wa kitu na jambo usikie halafu ukione. Kabla ya Mheshimiwa Mwinyi waliopita ulisikia nini na ulikiona kipi?

  • @khadijachacha3156

    @khadijachacha3156

    Жыл бұрын

    Ata ufanye vizur vp lazima utalaumiwa na utaonekana m baya

  • @mwalimumuhidini1544

    @mwalimumuhidini1544

    Жыл бұрын

    @@amourmtungo623 kubwa lao kupata mji mpya wa fumba je hujaona? nyumba za mbweni bara bara za mji mzima kuwaka taa zilizokoma miaka mingi Sana kuwaka viwanja vya kufurahishia watoto Pemba na unguja kipindi Cha sheni tulifurahia maisha kwani hata huduma zilikua rahisi Michele tulinunua kwa sh.1000kg nyie vipi tulikua tushaanza kusahau hata Bei ya mabuku skuli mpaka Sasa hivi hakuna Kama sheni

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    Жыл бұрын

    ​@@mbingwaali7791 kweli kaka yangu

  • @babuantar8215
    @babuantar8215 Жыл бұрын

    Mwinyi upo juu...Badilisha mazingira zanzibar ilikua inanuka ...piga msasa ..ushabiki tuweke mbali wakisiasa ila hatia inapigwa kubadilisha zanzibar hongera mwinyi hongera Al fatah ...Allah awape nguvu zaid in shaa Allah

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Жыл бұрын

    Baraza la mauwaji Mtangazaji usitumie neno mapinduzi unahalalisha mauwaji yalofanywa n yanayoendelea kufanywa Allah awahukum wauwaji n washirika wote insha Allah

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231 Жыл бұрын

    Nakukubali mkuu sikama wale walio pita, porojo nyingi , Mungu atuongoze

  • @balahaunadir2769
    @balahaunadir2769 Жыл бұрын

    AL-FATAH MUNAJUA KUCHUKUA MATUKIO KWA KWELI, NIMEKUBALI KWA KWELI.

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Жыл бұрын

    Masha Allah. Hongera Rais wetu Allah akuzidishie afya na uzima. Amin. Lkn kodi kubwa na sisi ni wanyonge. Punguzeni kodi plzzz

  • @jumaomar-jh2yn
    @jumaomar-jh2yn Жыл бұрын

    Sijawahi kuikubali ccm ila bwana mwinyi allah akulinde na akuweke uzidi kuifanya Zanzibar mpya siasa naushabiki pembeni bwana mwinyi anafanya anachokiahidi hili ndo tunalolitaka raisi awe nauthubutu wakusema nakutenda Asante bwana mwinyi.

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib3684 Жыл бұрын

    Mashaallah mungu.akusimamie rais wetu mpendwa piga kazi baba huna mwenza baba piga mitano ukimaliza unapiga tena mitamo wewe umalumule wazanzibar

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Жыл бұрын

    Darajani souk nife jina hilo naongeza mashallah mungu atujaalie kila kheri amina

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Жыл бұрын

    Ila kodi zenu ni kubwa mno mnyonge hakodi asilan rekebisheni kodi zenu kama kweli mnawapenda wananchi

  • @yasminjuma9146

    @yasminjuma9146

    Жыл бұрын

    Kweli kodi kubwa sana. Kwa sisi wanyonge

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Жыл бұрын

    Wallah uongo mtupu,mi nilivokua naona Zanzibar mitandaoni nilidhani Zanzibar ipo juu lkn hamna lolote zaidi ya kuwafilisi wananchi kimawazo na kiuchumi,soko la kwerekwe limevunjwa hakuna linaloendelea hadi sasa,wamepelekwa jumbi ukienda wanatia huruma hawana hata sehemu ya kukaa,hivi Sasa wanataka kuvunja soko la shimoni wkt masoko mengine yamevunjwa wala hayajengwi

  • @mathalanally8367
    @mathalanally8367 Жыл бұрын

    Mashaallah, mm mchango wng Kwa Rais Mwinyi kua baada ya yote mzr anayotufanyia bas afikirie Kwa undani zaid ujengwaji wa VIWANDA nchini, kwan pia vitatupa msukumo wa upatikanaji wa ajira kwa wazawa.

  • @kassimtanzania5901
    @kassimtanzania5901 Жыл бұрын

    Allah atusaidie kila lenye Kheri

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 Жыл бұрын

    Mh Rais Hussein Ali Mwinyi hivi na huku Pemba mnakuangalia kwelii maana mmakuacha nyuma kama watoto yatima wassio baba wala mama mnaijenga Unguja pekee bandari ya kueleweka hakunaa mabarabara mabovu manatujengea visoko vidogo halafu ushuru mkubwa hebu tuangalieni kwa jicho la huruma na Sisi Wapemba hukuu msitubague Mungu yupo anawaona

  • @abubakarabdulmalik8805
    @abubakarabdulmalik8805 Жыл бұрын

    Mashallah tupo na ww Rais wetu 💓

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Жыл бұрын

    Mashaallah tabarakaallah alhamdulilah

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 Жыл бұрын

    Sema skuli mtangazaji au sio mzenji ww mana skuli zote zimeandikwa skuli ww vp unasema shule khalafu mtangazaji basi jirekebishe hupendezi kusema hivo

  • @bindawood978

    @bindawood978

    Жыл бұрын

    Naila Moh'd

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Жыл бұрын

    hayo maneno yote sio ya asili yetu, yote tumeyakopa kutoka ktk lugha za kigeni na sasa tunayatumiya kwenye Kiswahili, skuli ni neno la kiingereza yani "school" na shule ni neno la kijerumani yani "Schule", maneno haya yote tumeyaazima kutoka kwa wajerumani na waingereza pindi walipotutawala zama za ukoloni.

  • @ummumuhammad9552
    @ummumuhammad9552 Жыл бұрын

    Salaamun 'alaykum wa RahmatuLlaahi wa Barakaatuh. Je Msikiti upo bado au kuengezwa mwengine ? Maduka 400 yatamilikiwa in shaa Allaah ukijumlisha wanunuzi kwahivo watu watakuwa wengi na sehemu ya ibada inabidi itanuke pia.

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 Жыл бұрын

    Jambo linalonikereketa Zanzibar ni moja tu ubovu wa barabara za mji wa Zanzibar mbovu zifanyiwe marekebisho bwana mashimo matupu

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 Жыл бұрын

    maashallah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Жыл бұрын

    Hapo darajani yalitakiwa angalau kuwepo na madaraja mawili ya kuvuka juu moja sawa na soko na lapili hapa maeneo ya duka lavioo mkabala stand ya shamba qma panapouzwa Madagaa

  • @soudkhafa816
    @soudkhafa816 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @abdulfattaahnassir8266
    @abdulfattaahnassir8266 Жыл бұрын

    Jaa kali wananchi wanalilia njaa tibuni donda lanjaa kwanza majengo nifashen2 hio maisha yamekua magumu mtu anashindwa kumiliki mlo wa siku mchele bei kilo 4000 watu wanalia njaa nyny tunafungua majengo njaa kali kuna watu hawamiliki hata kula ya siku mtaulizwa mbele ya allha

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    Haya majengo kishayafungua sasa atuondoshee hio njaa mtangazaji na yy kachoka hapo njaa kali 😅 anajikaza tuu

  • @yasminjuma9146

    @yasminjuma9146

    Жыл бұрын

    @@nailamohd7693 🤣🤣🤣

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@nailamohd7693 😁

  • @aminaali1296
    @aminaali1296 Жыл бұрын

    Ama kweli binaadam hatuna wema hata tufanyiwe nn tutasema tu vibaya

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @faridaali6850
    @faridaali6850 Жыл бұрын

    Kwa ss wanyonge hiyo ni fahari ya macho tu punguzeni Bei za vyakula ndio muhimu hali imekua ngumu

  • @froma3732

    @froma3732

    Жыл бұрын

    Kwa nini na wewe usitafute shamba ukalima ili tupate vyakula rahisi

  • @tiijuma795

    @tiijuma795

    Жыл бұрын

    Froma. Ata ww km una uwezo wa kumpa shamba kampe akalime apate kula. Siku zote mweny shibe hamjui mweny njaa.😀

  • @froma3732

    @froma3732

    Жыл бұрын

    Tatizo hapa usimpangie mtu bei hujuwi kapitiwa na nini mpaka ikafika Sokoni

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Жыл бұрын

    Huko Pemba wamechimba mitaro siku nyingi lkn maji hayafiki,mabati mengi hakuna linaloendelea,huku niliko sitoki kwa maneno yenu ya kisiasa mana munavopamba mambo hadi tunatamani kuja lkn tukija tunatamani kurudi hapo hapo

  • @khamissalum3588
    @khamissalum3588 Жыл бұрын

    Lahaula,funguweni mukijenga lakini harage kilo sh elf nne tutafika?

  • @eastzuuzuu7050
    @eastzuuzuu7050 Жыл бұрын

    Hivyo vivuko vya miguu ndio muhimu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Жыл бұрын

    Ila zarau na uvivu na uchafu muache uchafu mana ndio jadi yenu kutunza kitu hamuwezi hasa hao wafanya biashara na wapita njia

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    Nilizani ghorofa

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Muhehemiwa Ombi langu ni usafi usafi usafi Muheshimiwa nakuomba uwe mkali kwa usafi,usiruhusu wafanya biashara wakaweka biashara zao nje ya maduka yaani kuweka vimeja na kufanya biashara usiruhusu muheshimiwa hao ndio watakao anza kuuchafua mji ....

  • @alhagatalhagat1091
    @alhagatalhagat1091 Жыл бұрын

    Wazeee samahanini bwana munatakiwa muwez kutofautisha kati ya kuboresha na

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 Жыл бұрын

    Hongereni lakini mmechelewa hamuwezi shindana na daresalam kibiashara mfumo umeshawaathiri

  • @azizamuharam3941

    @azizamuharam3941

    Жыл бұрын

    Hakuna ajuae alafu wala kesho ya mtu Yote Allah atatufanyia wepesi iyo dar si sasa tu soko lote likikua zenji kwa Allah hakuna kubwa hatukati tamaa

  • @mzeejumbe900

    @mzeejumbe900

    Жыл бұрын

    wewe unapaswa kuelewa, kinadharia ile dar es ni zanzibar kinachotenganisha hapo ni bahari tu,mwenye macho haambiwi tazama,tafuta watu walio watu wakuweke kitako wakufahamishe

  • @muhidinimohd1470
    @muhidinimohd1470 Жыл бұрын

    Lengo letu ni kuiona zanzibar inapaa kiuchumi

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Жыл бұрын

    Muda Ni Mdgo Mambo Ni Mengi Hii Ndio Tafsir Ya Neema Tupu, Yajayo Yanafurahisha

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Жыл бұрын

    Yangekuwa ya gorofa moja yangependeza

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Жыл бұрын

    wangejenga hivyo kulingana na mazingira yetu watu wasingepanda ghorofani kununua bidhaa yangekuwa ziii kama masoko mapya yaliyojengwa bara

  • @salumali500

    @salumali500

    Жыл бұрын

    Nihifadhi ya mji mkongwe hiyo

  • @mzeejumbe900

    @mzeejumbe900

    Жыл бұрын

    Ahsante bi raisa kwa ufafanuzi wa majibu yako, usichoke kutuelimisha, inapendeza hiyo.

  • @AbdillahSOthman

    @AbdillahSOthman

    Жыл бұрын

    @@rayisadesigns2646 juu kungekuwa makaaz ya watu.

  • @alhagatalhagat1091
    @alhagatalhagat1091 Жыл бұрын

    Na sio munasema ya kisasa au hamujatembea nyie

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Жыл бұрын

    Wale kina sheni mashvu na Amani chai jaba hawana mana hata kidogo wajinga wakubwa wale

  • @prettymasha2430
    @prettymasha2430 Жыл бұрын

    Alhamdulillah