SOKO LA KISASA LAFUNGULIWA ZANZIBAR
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 66
🤔Ushabiki tuweke kando Mheshimiwa Mwinyi ana mtazamo mzuri kwa Zanzibar. Waliopita kabla yake wote ilikuwa porojo tu. Hongera kwa hatua nyingine mpya, nzuri na ya kihistoria 🤝
@mbingwaali7791
Жыл бұрын
Kwaiyo marais walopita wote porojo ,wwe mzalendo wa nni? , walopita tulisifu kama huyu ,naatakayekuja tutasifu zaidi yake huyu .
@amourmtungo623
Жыл бұрын
@@mbingwaali7791 Uzuri wa kitu na jambo usikie halafu ukione. Kabla ya Mheshimiwa Mwinyi waliopita ulisikia nini na ulikiona kipi?
@khadijachacha3156
Жыл бұрын
Ata ufanye vizur vp lazima utalaumiwa na utaonekana m baya
@mwalimumuhidini1544
Жыл бұрын
@@amourmtungo623 kubwa lao kupata mji mpya wa fumba je hujaona? nyumba za mbweni bara bara za mji mzima kuwaka taa zilizokoma miaka mingi Sana kuwaka viwanja vya kufurahishia watoto Pemba na unguja kipindi Cha sheni tulifurahia maisha kwani hata huduma zilikua rahisi Michele tulinunua kwa sh.1000kg nyie vipi tulikua tushaanza kusahau hata Bei ya mabuku skuli mpaka Sasa hivi hakuna Kama sheni
@maryamalli9090
Жыл бұрын
@@mbingwaali7791 kweli kaka yangu
Mwinyi upo juu...Badilisha mazingira zanzibar ilikua inanuka ...piga msasa ..ushabiki tuweke mbali wakisiasa ila hatia inapigwa kubadilisha zanzibar hongera mwinyi hongera Al fatah ...Allah awape nguvu zaid in shaa Allah
Baraza la mauwaji Mtangazaji usitumie neno mapinduzi unahalalisha mauwaji yalofanywa n yanayoendelea kufanywa Allah awahukum wauwaji n washirika wote insha Allah
Nakukubali mkuu sikama wale walio pita, porojo nyingi , Mungu atuongoze
AL-FATAH MUNAJUA KUCHUKUA MATUKIO KWA KWELI, NIMEKUBALI KWA KWELI.
Masha Allah. Hongera Rais wetu Allah akuzidishie afya na uzima. Amin. Lkn kodi kubwa na sisi ni wanyonge. Punguzeni kodi plzzz
Sijawahi kuikubali ccm ila bwana mwinyi allah akulinde na akuweke uzidi kuifanya Zanzibar mpya siasa naushabiki pembeni bwana mwinyi anafanya anachokiahidi hili ndo tunalolitaka raisi awe nauthubutu wakusema nakutenda Asante bwana mwinyi.
Mashaallah mungu.akusimamie rais wetu mpendwa piga kazi baba huna mwenza baba piga mitano ukimaliza unapiga tena mitamo wewe umalumule wazanzibar
Darajani souk nife jina hilo naongeza mashallah mungu atujaalie kila kheri amina
Ila kodi zenu ni kubwa mno mnyonge hakodi asilan rekebisheni kodi zenu kama kweli mnawapenda wananchi
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
Kweli kodi kubwa sana. Kwa sisi wanyonge
Wallah uongo mtupu,mi nilivokua naona Zanzibar mitandaoni nilidhani Zanzibar ipo juu lkn hamna lolote zaidi ya kuwafilisi wananchi kimawazo na kiuchumi,soko la kwerekwe limevunjwa hakuna linaloendelea hadi sasa,wamepelekwa jumbi ukienda wanatia huruma hawana hata sehemu ya kukaa,hivi Sasa wanataka kuvunja soko la shimoni wkt masoko mengine yamevunjwa wala hayajengwi
Mashaallah, mm mchango wng Kwa Rais Mwinyi kua baada ya yote mzr anayotufanyia bas afikirie Kwa undani zaid ujengwaji wa VIWANDA nchini, kwan pia vitatupa msukumo wa upatikanaji wa ajira kwa wazawa.
Allah atusaidie kila lenye Kheri
Alhamdulillah
Mh Rais Hussein Ali Mwinyi hivi na huku Pemba mnakuangalia kwelii maana mmakuacha nyuma kama watoto yatima wassio baba wala mama mnaijenga Unguja pekee bandari ya kueleweka hakunaa mabarabara mabovu manatujengea visoko vidogo halafu ushuru mkubwa hebu tuangalieni kwa jicho la huruma na Sisi Wapemba hukuu msitubague Mungu yupo anawaona
Mashallah tupo na ww Rais wetu 💓
Mashaallah tabarakaallah alhamdulilah
Sema skuli mtangazaji au sio mzenji ww mana skuli zote zimeandikwa skuli ww vp unasema shule khalafu mtangazaji basi jirekebishe hupendezi kusema hivo
@bindawood978
Жыл бұрын
Naila Moh'd
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
hayo maneno yote sio ya asili yetu, yote tumeyakopa kutoka ktk lugha za kigeni na sasa tunayatumiya kwenye Kiswahili, skuli ni neno la kiingereza yani "school" na shule ni neno la kijerumani yani "Schule", maneno haya yote tumeyaazima kutoka kwa wajerumani na waingereza pindi walipotutawala zama za ukoloni.
Salaamun 'alaykum wa RahmatuLlaahi wa Barakaatuh. Je Msikiti upo bado au kuengezwa mwengine ? Maduka 400 yatamilikiwa in shaa Allaah ukijumlisha wanunuzi kwahivo watu watakuwa wengi na sehemu ya ibada inabidi itanuke pia.
Jambo linalonikereketa Zanzibar ni moja tu ubovu wa barabara za mji wa Zanzibar mbovu zifanyiwe marekebisho bwana mashimo matupu
maashallah
Hapo darajani yalitakiwa angalau kuwepo na madaraja mawili ya kuvuka juu moja sawa na soko na lapili hapa maeneo ya duka lavioo mkabala stand ya shamba qma panapouzwa Madagaa
Mashallah
Jaa kali wananchi wanalilia njaa tibuni donda lanjaa kwanza majengo nifashen2 hio maisha yamekua magumu mtu anashindwa kumiliki mlo wa siku mchele bei kilo 4000 watu wanalia njaa nyny tunafungua majengo njaa kali kuna watu hawamiliki hata kula ya siku mtaulizwa mbele ya allha
@nailamohd7693
Жыл бұрын
Haya majengo kishayafungua sasa atuondoshee hio njaa mtangazaji na yy kachoka hapo njaa kali 😅 anajikaza tuu
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
@@nailamohd7693 🤣🤣🤣
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@nailamohd7693 😁
Ama kweli binaadam hatuna wema hata tufanyiwe nn tutasema tu vibaya
🔥🔥
Kwa ss wanyonge hiyo ni fahari ya macho tu punguzeni Bei za vyakula ndio muhimu hali imekua ngumu
@froma3732
Жыл бұрын
Kwa nini na wewe usitafute shamba ukalima ili tupate vyakula rahisi
@tiijuma795
Жыл бұрын
Froma. Ata ww km una uwezo wa kumpa shamba kampe akalime apate kula. Siku zote mweny shibe hamjui mweny njaa.😀
@froma3732
Жыл бұрын
Tatizo hapa usimpangie mtu bei hujuwi kapitiwa na nini mpaka ikafika Sokoni
Huko Pemba wamechimba mitaro siku nyingi lkn maji hayafiki,mabati mengi hakuna linaloendelea,huku niliko sitoki kwa maneno yenu ya kisiasa mana munavopamba mambo hadi tunatamani kuja lkn tukija tunatamani kurudi hapo hapo
Lahaula,funguweni mukijenga lakini harage kilo sh elf nne tutafika?
Hivyo vivuko vya miguu ndio muhimu
Ila zarau na uvivu na uchafu muache uchafu mana ndio jadi yenu kutunza kitu hamuwezi hasa hao wafanya biashara na wapita njia
Nilizani ghorofa
Muhehemiwa Ombi langu ni usafi usafi usafi Muheshimiwa nakuomba uwe mkali kwa usafi,usiruhusu wafanya biashara wakaweka biashara zao nje ya maduka yaani kuweka vimeja na kufanya biashara usiruhusu muheshimiwa hao ndio watakao anza kuuchafua mji ....
Wazeee samahanini bwana munatakiwa muwez kutofautisha kati ya kuboresha na
Hongereni lakini mmechelewa hamuwezi shindana na daresalam kibiashara mfumo umeshawaathiri
@azizamuharam3941
Жыл бұрын
Hakuna ajuae alafu wala kesho ya mtu Yote Allah atatufanyia wepesi iyo dar si sasa tu soko lote likikua zenji kwa Allah hakuna kubwa hatukati tamaa
@mzeejumbe900
Жыл бұрын
wewe unapaswa kuelewa, kinadharia ile dar es ni zanzibar kinachotenganisha hapo ni bahari tu,mwenye macho haambiwi tazama,tafuta watu walio watu wakuweke kitako wakufahamishe
Lengo letu ni kuiona zanzibar inapaa kiuchumi
Muda Ni Mdgo Mambo Ni Mengi Hii Ndio Tafsir Ya Neema Tupu, Yajayo Yanafurahisha
Yangekuwa ya gorofa moja yangependeza
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
wangejenga hivyo kulingana na mazingira yetu watu wasingepanda ghorofani kununua bidhaa yangekuwa ziii kama masoko mapya yaliyojengwa bara
@salumali500
Жыл бұрын
Nihifadhi ya mji mkongwe hiyo
@mzeejumbe900
Жыл бұрын
Ahsante bi raisa kwa ufafanuzi wa majibu yako, usichoke kutuelimisha, inapendeza hiyo.
@AbdillahSOthman
Жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 juu kungekuwa makaaz ya watu.
Na sio munasema ya kisasa au hamujatembea nyie
Wale kina sheni mashvu na Amani chai jaba hawana mana hata kidogo wajinga wakubwa wale
Alhamdulillah