SIRI MUJARABU YA SURAH HIZI KATIKA KUJUZWA MAMBO NA MALAIKA NDOTONI | Mohamed Alidini
SIRI MUJARABU YA SURAH HIZI KATIKA KUJUZWA MAMBO NA MALAIKA NDOTONI | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
Katika video hii tunaelezea Siri ya Surah hizi katika kupewa khabari yam abo ambayo umeshindwa kupata ufafanuzi. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako yote.
Maelezo yake:
Surah: YASIN (36), ADH-DHUHA (93), AT-TEEN (95), AL-QADR (97) & AZ-ZILZALA (99)
Ayah: SURA NZIMA
-----------------------------------------------------------------------------------------
Utaratibu wake:
Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
Tawadha
Tia Niya sahihi
Swali Swala ya Haja
Elekea upande wa Qibla
Soma Dua ziloelezwa ndani ya video
Chukua mafuta mazuri na uyasomee sehemu ya Ayah ifuatayo mara 400:
1) اللَّهُمَّ إنِّي أَسْتَخِيرُكَ بِعِلْمِكَ، وَأَسْتَقْدِرُكَ بِقُدْرَتِكَ، وَأَسْأَلُكَ مِنْ فَضْلِكَ الْعَظِيمِ فَإِنَّكَ تَقْدِرُ وَلا أَقْدِرُ، وَتَعْلَمُ وَلا أَعْلَمُ، وَأَنْتَ عَلامُ الْغُيُوبِ. اللَّهُمَّ إنْ كُنْتَ تَعْلَمُ أَنَّ هَذَا الأَمْرَ (هنا تسمي حاجتك) خَيْرٌ لِي فِي دِينِي وَمَعَاشِي وَعَاقِبَةِ أَمْرِي فَاقْدُرْهُ لِي وَيَسِّرْهُ لِي ثُمَّ بَارِكْ لِي فِيهِ. اللَّهُمَّ وَإِنْ كُنْتَ تَعْلَمُ أَنَّ هَذَا الأَمْرَ (هنا تسمي حاجتك) شَرٌّ لِي فِي دِينِي وَمَعَاشِي وَعَاقِبَةِ أَمْرِي فَاصْرِفْهُ عَنِّي وَاصْرِفْنِي عَنْهُ وَاقْدُرْ لِي الْخَيْرَ حَيْثُ كَانَ ثُمَّ ارْضِنِي بِهِ.
2) «اللَّهُمَّ أَرِنِيْ فِيْ مَنَامِي الْـخَيْرَ فِيْ كَـذَا وَكَـذَا»
3) اللَّهُمَّ بِحَقِّ هَذِهِ السُّوْرَةِ إِنْ كَانَ هَذَا الْأَمْرُ خَيْرًا فَأَرِنِيْ بَيَاضًا أَوْخَضَرَةً وَإِنْ كَانَ شَرًّا فَأَرِنِيْ سَوَادًا أَوْ حُمْرَة.
Kisha ulale.
------------------------------------------------------------------------------------------
Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
**********************************************************************
Пікірлер: 133
Shukran sana Sheikh wet kipenz, umetupa elim kubwa. #Allah akulipe khayr na akujaalie umri mref wenye manufaa. #Tunakupenda kwa ajil ya Allah.
@mohamedalidini
Ай бұрын
Ameen ya Rabb. Sote Insha Allah. Afwan.
Assalaam Alaykum wa rahmatullahi wa barakatuhu Shukran sheikh wetu mpendwa Allah akuhifadhi na akuzidishie elmu pia na afya njema Baraka lahu fik
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Ameen ya Rabb. Sote Insha Allah. 🤲🙏
@aminaalidini1705
2 ай бұрын
Ameen ya Rabb 🤲
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@aminaalidini1705 Ya Rabbal 'Alameen.
Shukran! Binafsi hizo picha naona hazileti maana nzuri . Hivyo zisiwekwe au laa ziwekwe picha za uumbaji mwingine wa Allah Kama vile miti, mito milima n.k laakini hizi za wanaadam tena wanawake hapana zina shub'ha! Na zinaleta tafsir tofauti vichwan kwetu
@mohamedalidini
Ай бұрын
Kheiran Insha Allah. Barakallahu Feek 🤲🤲🤲🤲🤲
@mahfoudhmabrouk809
Ай бұрын
@@mohamedalidini Aamiyn! Wa iyyaaka!!
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@mahfoudhmabrouk809 Ameen! 🤲🤲🤲
Maashallaah Alhamdulillaah jazzakallaahu khayr
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Tabarakallah! Waiyyaak!
Barakallahu fiyk yaa Shaikh, Nina mchuguu alikuwa tu Sawa kima somo na pia kutoka shule kurudi nyumbani ila sasa wiki mbili akitoka shule huenda kungine kutembea tuu Ana 6 yrs na mtu akikuuliza unaenda wapi ati kwetu sijui MI naenda tu na hadi majina ya wazazi alikuwa anajua lakini anasema hajui sehemu wanakoishi alikuwa anajua sasa hajui haki kila siku kutafuta shaikh hadi maghrib au hata ijumaa alipatikana Ishaa 😭😢
@mohamedalidini
Ай бұрын
Assalamu Alaikum Warahmatullah wabarakatuh. Pole sana kwa tatizo hilo. Nahisi kuna jambo baya limepata huyo mtoto. Tumia Tiba hii kwa Uwezo wa Allah (SWT) atapona. Chukua maji ya mvua na uyasomee Ayah na Surah zifuatazo mara 70: Surah Al-Fatiha, Ayat Al-Kursy, Surah Al-Ikhlas, Surah Al-Falaq na Surah An-Naas. Kisha mpatie akunywe asubuhi mapema kabla hajala kitu kwa muda wa siku 3. Afwan.
Jazakallahul-khaira Jazakallahul-khaira Jazakallahul-khaira
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Ameeen! Ameen! Ameen! Sote Insha Allah. Barakallahu Feek 🤲🙏
Barakallahu fiik
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waiyyaak. Shukran sana! 🙏🙏🙏
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
@mohamedalidini
2 ай бұрын
WAIYYAAKUM. SHUKRAN.
Jazakka Allah kheri
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waiyyaak. Shukran Sana.
Shukran sheikh
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waiyyaak! 🙏🤲
جزاك الله خيرا
@mohamedalidini
2 ай бұрын
ولك مثلها. بارك الله فيك .
Aslm alkm ww.... Masha Allah!! Allah akulinde 🙏
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Sote ya Raab. Shukran.
Mashallah
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Tabarakallahu. Barakallahi Feek 🤲🙏
Allah akuhifadhi ili tuendelee kupata manufaa mengi. Jazaaqalah kheri.
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Barakallahu Feek!
Amini
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Ya Rabbal 'Alameen! Shukran.
asalam aly kum warah matullahi wabarajkatu naam shekhe kwanza natowa shukran nyingi kwa kuweza kutufaidish ktk kheri allah akulipe pepo ameen nami ninashida shekhe nimejaribu kila njia imeshindikana mwanangu anavut droge je? naweza kutumiya dua gani ili iwe ni sababu ya allah kumponya maradhi hayo naomba msaada biidhini alah
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Namuomba Allah (SWT) Amtoe mwanao katika janga hilo baya. Insha Allah nitakupa njia yakutatua tatizo hilo na kwa uwezo wa Allah (SWT) mtoto atakuwa sawa. Afwan.
@salimawishenga7588
Ай бұрын
Droge nini tafadhali
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@salimawishenga7588 Ni aina ya dawa ya kulevya.
Asalaam alaikum warahmatulah wabarakatu sheikh wangu. Mimi nakupenda kwa ajili ya Allah mapenzi makubwa mno.
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waalaikumussalam Warahamtullah Wabarakatuh. Nami kadhalika. Mola Akipenda tutakuwa pamoja Peponi. Ameen 🤲🤲🤲
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
Allahumma Amin
As,kum Allah akulipe kheri nyigi na usiwe mbahili ktk kutoa elimu,
@mohamedalidini
Ай бұрын
Waalaikumussalam warahmatullah wabarakatuh. Waiyyaak ya Rabb. Sote Insha Allah. Shukran.
💯🙏
@mohamedalidini
Ай бұрын
Afwan 🙏
shukran shekhe una fahamu sha vizuri
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Afwan. Allah (SWT) Atupe mazuri Duniani na Akhera. Ameen 🤲🙏
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Alhamdu Lillah. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen 🤲🙏🙏🙏🙏🙏
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
Allahumma amin
Assalam alaykum warahmatullah wabarakat
@mohamedalidini
Ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Natumai uhali njema.
ALLAH AKUBARIK
@mohamedalidini
2 ай бұрын
BARAKILLAHU FEEK. SHUKRAN SANA. 🤲🤲
my dear brothers & sisters stop saying mashaalallah ,shukran amd all that if yo comment so u make sheikh feel some sort of proud that is dhulma to ur brother while it is ur right to demand dalil,Even prophet Muhammad (Allah be please with him)once he says something Omar radhia Allah anhu used to ask him if it is his opinion or revelation. That is this deen is of no jokes
Wakuta vidio ni nzuri na ina mafundisho mazuri laakin watu wanaotengeneza au kutuma vidio hizi wanapachika picha za wadada tena wadada wenye sura nzuri. Tuangalie usiwe ni mpango wa wasiokuwa waislam kututoa ktk mstari bila wenyewe kujua
@mohamedalidini
Ай бұрын
Malengo ya kutumia picha ni kuufahamisha ujumbe vizuri. Sidhani kuna ambaye anashawishika na picha hizo. Ala kulli hali, kama hilo laleta tashwishi tutajaribu kutumia njia nyingine. Shukran Al-Habib 🙏
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
Kwan kuna sura mbay Allah SubhanaAllah anasem ktk Quran tukuf “Hakika tumemuumba mwanadam ktk ubo bora zaid yan zur
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@FayeezAlbahassaney Kheiran Insha Allah. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
@@mohamedalidini Allahumma Amin Yarabby pmj naw my lecturer
ustadh mm nataka unifundishe tiba nataka iwe mwanafunzi wako inshaAllah
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Insha Allah. Tutapanga mipango yake. Allah (SWT) Atuwaifiqie kheri zote. Ameen! 🤲
Manshallah shehe uko vizuri
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Tabarakallahu! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲🙏
Nakuombea afya na heri zote kwa Allah ili udumu nizidi kupata faida
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Ameen ya Rabb. Sote Insha Allah. Shukran 🤲🙏
@iddymassare5018
2 ай бұрын
@@mohamedalidini Hapo naomba nafahamu, ni kuwa nikifika aya yenye مبين nairudia aya nzima au ni neno مبين pekeake?
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@iddymassare5018 Warudia neno (مبين ) pekee. Shukran kwa swali lako.
@iddymassare5018
2 ай бұрын
@@mohamedalidini Afwan
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@iddymassare5018 Bittawfeeq!
Aa kumjua adui,au kujua shida iko wapi si mihimu sana;muhimu nikujua jinsi ya kubembeleza Allah akukidhie haja zako......Alafu haya maneno yana dalili :QUR'AN & HADITH,ikiwa hakuna basi ni upotovu
@mohamedalidini
2 күн бұрын
Jazakillahu Kheiran. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Asalam alaykum sheikh .hapa hapajaeleweka vizuri je kwenye ayat za mubin tunaikariri aya yoote iliyobeba mubin mara 102,au tunakariri neno mubin tu mara 102?
@habybty_Khaleed
2 ай бұрын
Waaleikum salaam warahmatullahi wabarakatu...unarudia neno Mubin pekee yake kwa idadi hiyo shukran
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@habybty_Khaleed Bila Shaka uko sawa kabisa. Shukran sana 😁
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@habyty_Khaleed amekufahamisha vizuri hapa chini. Natumai umeridhika. Shukran.
@mahfoudhmabrouk809
Ай бұрын
Mafundisho haya ya kukariri hilo neno mara hizo sijui 102 kafundisha nani? Kaelekeza Rasuulillah au swahaba zake au Nani???
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@mahfoudhmabrouk809 Ndio walotundisha ni Mtume na Maswahaba wake kwa ushahidi wa Hadith ya Abi Saeed Al-Khudry ilioko ndani ya Sahih Al-Bukhary kuhusu kumsomea bwana mmoja aliyeumwa na nyoka. Swahaba mmoja kati yao alimsomea Surah Al-Fasiha mara 7 kisha akapuliza palipoumwa na akapona kwa uwezo wa Allah (SWT). Walimjuza Mtume (SAW) kuhusu jambo hilo naye akalikubali. Ingawa Mtume hakuwafunza kufanya hivyo lakini wao walifanya kwa ijtihada yao. Mfano huu ndio asili ya mambo mazuri kama haya. Wanavyuoni wa kubwa baadaye wakaitumia Qur'an kwa njia tofauti kwa haja zao na wakiisoma kulingana na ijtihadi na fahamu zao. Hizi ni elimu za ndani. Na kuzifahamu yataka muda mrefu. Miye nachukua kwenye vitabu vilvyo andikwa na Wanavyuoni wakubwa ambao wengi wao wamefaidika. Shekhe wangu, Mahfoudh, chukua muda uyafanyie utafiti mambo haya kwenye vitabu. Na Insha Allah utazidi kufaidika na elimu hii. Barakallahu Feek 🙏🙏🙏
Mimi naomba dua yakuhifadh
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Katika Channel yangu ya KZread, kuna video nimeweka kuhusu kumfanya mtoto awe na fahamu na hifdhi kali. Naomba uiangalia na Insha Allah itakusaidia sana. Shukran sana 🙏
Ukitak sik yng uiharib bas mkalie koon lecturer wng sikuwach, sis tunaeliminka saaan half wanatokea wat weny kijicho na hasid, Allah aklnd na kil bay lecturer wet
@mohamedalidini
Ай бұрын
Barakallahu Feek ya Habiby. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
@@mohamedalidini Allahumma amin Yarabby pmj naw InshaaAllah lecturer wet
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@FayeezAlbahassaney Ameen Ya Rabbal 'Alameen.
Shekhe naomba unisaidie mume wangu kaoa mkemwengine lakini mim ananifanyi mumbo hayaeleweki ananidharau anakaripia kila wakati na wala hanastori na mimi na haya yote ananifanyia hivi siku ambazo akwenda kulala huko kwa mwenzangu akija huku ndio akuamoto nasidie shekhe wangu nifanye nini?
@AliNondo
Ай бұрын
Anakiburi cha hali yajuu naomba msaada
@mohamedalidini
29 күн бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Unaweza omba kupitia Jina Tukufu la Allah (SWT) na Insha Allah, mambo yako yatakuwa sawa. Tizama video yangu kuhusu Jina Tukufu la Allah (SWT) kenye channel yangu. Afwan. 🙏
@mohamedalidini
29 күн бұрын
@@AliNondo Allah (SWT) Atukidhie haja zetu zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Namba Yako naomba
@mohamedalidini
29 күн бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Namba yangu ni hii: +254 700047708.
Assalam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh. Vip hali yako na failia? Sheikh ni saidie kwa ajili ya Lailaha ilallah unitumie hio kwa njia ya soft copie Insha Allah
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Insha Allah. Barakallahu Feek! 🤲🙏🙏🙏🙏🙏
Sheikh barakallahu fikum swali langu hapa je yajuzu kulaliya Quruan yani uliposema kwamba kuandika surat zilizalaha na kuilaliya kweli yafaa hebu tu elimishe hapo
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran sana kwa swali lako. Bila shaka makusudio yako si kuidharau Qur'an bali waitumia kwa lengo jema. Nalo ni kwa ajili ya Allah (SWT) Akuonyeshe jambo lako usingizini. Na kiungo ambacho ndicho muhimu ni kichwa. Kama vile inaruhusiwa kuubeba Mas'hafu kichani. Allah (SWT) ni Mjuzi zaidi. Barakallahu Feek 🤲
@abughaneem9220
2 ай бұрын
Jazakallahu ghayira
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@abughaneem9220 Waiyyaak! 🤲🙏
Asalam Alykum sheikh! Wapatikana wapi
@mohamedalidini
Ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Niko Nairobi, Kenya. Nambari yangu ya simu ni +254 700047708. Afwan.
Malim tuandikie hizo dua
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Iko chini ya video (description). Click Show more... na utaziona. Afwan. 🤲🙏. Nazo ni Hizi: 1) اللَّهُمَّ إنِّي أَسْتَخِيرُكَ بِعِلْمِكَ، وَأَسْتَقْدِرُكَ بِقُدْرَتِكَ، وَأَسْأَلُكَ مِنْ فَضْلِكَ الْعَظِيمِ فَإِنَّكَ تَقْدِرُ وَلا أَقْدِرُ، وَتَعْلَمُ وَلا أَعْلَمُ، وَأَنْتَ عَلامُ الْغُيُوبِ. اللَّهُمَّ إنْ كُنْتَ تَعْلَمُ أَنَّ هَذَا الأَمْرَ (هنا تسمي حاجتك) خَيْرٌ لِي فِي دِينِي وَمَعَاشِي وَعَاقِبَةِ أَمْرِي فَاقْدُرْهُ لِي وَيَسِّرْهُ لِي ثُمَّ بَارِكْ لِي فِيهِ. اللَّهُمَّ وَإِنْ كُنْتَ تَعْلَمُ أَنَّ هَذَا الأَمْرَ (هنا تسمي حاجتك) شَرٌّ لِي فِي دِينِي وَمَعَاشِي وَعَاقِبَةِ أَمْرِي فَاصْرِفْهُ عَنِّي وَاصْرِفْنِي عَنْهُ وَاقْدُرْ لِي الْخَيْرَ حَيْثُ كَانَ ثُمَّ ارْضِنِي بِهِ. 2) «اللَّهُمَّ أَرِنِيْ فِيْ مَنَامِي الْـخَيْرَ فِيْ كَـذَا وَكَـذَا» 3) اللَّهُمَّ بِحَقِّ هَذِهِ السُّوْرَةِ إِنْ كَانَ هَذَا الْأَمْرُ خَيْرًا فَأَرِنِيْ بَيَاضًا أَوْخَضَرَةً وَإِنْ كَانَ شَرًّا فَأَرِنِيْ سَوَادًا أَوْ حُمْرَة.
Na ikiwa mtu akuhitaji kwa jambo atakupata je?
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Unaweza wasiliana nami kwa hii namba +254 700047708. Afwan.
@Ruqayyah-ft1gu
Ай бұрын
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh SHEKH kuilalia Qur-an sio vibaya?
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@Ruqayyah-ft1gu Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran sana kwa swali lako. Bila shaka makusudio yako si kuidharau Qur'an bali waitumia kwa lengo jema. Nalo ni kwa ajili ya Allah (SWT) Akuonyeshe jambo lako usingizini. Na kiungo ambacho ndicho muhimu ni kichwa. Kama vile inaruhusiwa kuubeba Mas'hafu kichani. Allah (SWT) ni Mjuzi zaidi. Barakallahu Feek.
Shekhe mimi nimeslim jana ila wenye Niko nawao hatuerewani runga Sasa nataka nijue kuswaary unaeza nifunza Kwa kiswahili
@mohamedalidini
Ай бұрын
Masha Allah. Karibu sana kwenye Dini Tukufu ya Uislamu. Miye sina shida kukufundisha ispokuwa ni muhimu kufahamu njia mwafaka ya kuelimishana. Nafikiri itakuwa njia nzuri nikikutafutia vitabu vya kujifunza Swala na nguzo nyingine za Uislamu. Wacha nikutafutie nikutumie nikipata, Insha allah. Afwan.
@RitalBani
Ай бұрын
@@mohamedalidini Shuklan Isha Allah nasubili hizo vitambu
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@RitalBani Insha Allah. Aswan.
Shekhe naomba msaada wako , kwa uwezo wa Allah naweza kuamka usiku kwa ajili ya ibada za usiku hâta mwezi mzima mfululizo nipe aamali au uradi ambao naweza kuufanya au kuusoma Kiasi kwamba Allah atanitatulia shida yangu kwa haraka Nina madeni mengi sana makubwa na uwezo wa kuyalipa Sina Hali yangu haifanani na madeni niliyonayo . Nifahamishe aamal niamke usiku nimuombe Allah aniwezeshe kwa muda mfupi nilipe madeni
@mohamedalidini
2 ай бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran kwa swali lako. Bila shaka kunao visomo kadhaa ambavyo kwa uwezo wa Allah (SWT) vinaweza kukusaidia kujinasua katika matatizo hayo. Kuna video ambayo nimeweka kwa channel yangu kuhusu mada hiyo. Lakini naweza kukufahamisha kwa haraka. Nayo ni: Soma 'Bismillahi Rrahmani Rahim' mara 12,000 (elfu kumi na mbili). Kila unapomaliza 1000 swali rakaa mbili za haja, kisha uendelee kusoma 'Bismillahi Rrahmani Rahim' mara 1000 kisha uamke uswali rakaa mbili za haja. Na kila ukimaliza kuswali rakaa mbili za haja, utaomba haja zako. Kwa idadi utakuwa umesoma 'Bismillahi Rrahmani Rahim' mara 12,000 na utakuwa umeswali rakaa 24. Hi Dua itakuchukuwa masaa 3 kumaliza. Lakini ni MUJARABU. Aliyeielezea faida hii ni Al-Imam Al-Ghazali (AR). Nishawapa faida hii watu fulani wakafanya na Allah (SWT) Akawatimizia malengo yao. Natumai hii dua itakusaidia sana. BARAKALLAHU FEEK.
@hamzaforogo
2 ай бұрын
Shukran
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@user-qk1ih2us7w Barakallahu Feekum. Bila shaka ni njia nyingine bora alotufundhisha Rasulullah (SAW).
@yusufabdalla5526
2 ай бұрын
Suratu طه twaha pia niyakukidhia madeni.niliwahi kumskia imam rahil ustadh mohammad albeidh. Dumisha kusoma سورة الأنبياء na hiyo سورة طه
@mohamedalidini
2 ай бұрын
@@yusufabdalla5526 Bila shaka, Alhabib! na hiyo Surat Twaha ukiisoma kabla ya adhana ya Swala ya Alfajir kwa niya ya kukidhi haja yoyote, ni Qabul na ni Mujarabu. Barakallahu Feek. 🤲🙏
Mimi mbona sioti shehe tatizo nn
@mohamedalidini
Ай бұрын
Je umeifanyia kazi moja kati ya njia hizo na ukafwata utaratibu wake? Kama la, basi fanya vizu na kama ndio nitakufahamisha tatizo liko wapi, Insha Allah Taala.
@HanifaOman-oo4pl
Ай бұрын
@@mohamedalidini mm. Huwa naswali hiyo swala.ya lkstihalla sanatu.na sioti.mwishonikauliza nikaambia siyolaazima kuota utaonatu Dalili ya jambo unaloliitaji haliwi ndiyoushajibiwa tayali
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@HanifaOman-oo4pl Bila shaka hiyo ni mojawapo ya njia za kufahamishwa. Na pia yategemea aina ya haja yako. Allah (SWT) ni Mjuzi zaidi. Afwan.
Hivi Nani huwa anaweka hizo background picture za wanawake ?? Huwa Wana malengo gani kuweka hizo picha za wanawake ?? Tuweni makini Sana na mambo haya wala tusiyachukulie kirahisi rahisi. Siku hizi kumezuka hii tabia ya kutumia picha za wanawake ktk video nyingi. Sijui wanamaanisha kuvutia watu kuzitizama hizo video au laa. Kikubwa ni kuwa waislam tuweni makini na mambo haya. Tusijekujikuta tushachelewa huko mbeleni
@mohamedalidini
Ай бұрын
Kheiran Insha Allah. Barakallahu Feek! 🤲🙏
Kwa mfano Tu, hapa kwenye hii vidio hiyo picha ya mdada inahisiana vipi na hiko anachokizungumzia huyo mzungumzaji??😳
@mohamedalidini
Ай бұрын
Je pia nauliza swali, je sura ya mzungumzaji nayo ni fitna? Kama washawishika na picha hizo unaweza funga macho ili usione. Je hapo unapoishi hakuna warembo na kama wapo unafitinika nao? Na kama ni ndio, je umechukua hatua gani kujikinga na fitna hizo?
@mahfoudhmabrouk809
Ай бұрын
Sijakusudia picha ya mzungumzaji/sheikh .Nimekusudia hizo picha nyingine hususan za wadada.
@mohamedalidini
Ай бұрын
@@mahfoudhmabrouk809 Kheiran Insha Allah. Barakallahu Feek 🤲🤲🤲🤲🤲
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
@@mahfoudhmabrouk809kaka hem muombe dua mwalim wet kwsbb sis tunafaidk saan manen yake ktk video nying saaan na anafny kaz kubwa bas wew usiangly kit kimj ila angalia faida kubwa anayotow sisi tunampenda kupita kias kwsbb tunafaidika pakubwa san Allah akp hikma na busar
Tukiachana na hiyo picha ya mwanamke katika hii video, Naomba nimuulize mzungumzaji, au yeyote anayefahamu je kuna mafundisho yoyote ya Rasuulillah juu ya mambo hayo? Yaani hizo rakaa ,visomo na kuandika hiyo suurah kisha kuilalia?? Nahofia isijekuwa ni Yale matumizi ya Qur an kinyume na ilivyokisudia. (Nimeuliza kutaka kujua maana sijapatapo kusikia mafundisho ya Rasuulillah juu ya mambo haya anayosema huyu mzungumzaji)!!
@mohamedalidini
Ай бұрын
Nadhani nimejibu swala hili. Naomba uangalie kwenye comments. Barakallahu Feek.
@FayeezAlbahassaney
Ай бұрын
Mim sikuwach huwez kujuwa hiv vit mpk usom kwsbb quran ni miujiz mikubwa hujawh kusky lkn hem kaaa nay quran ufny uchngz utajuw