SIMBA WACHARUKA GHAFLA WAIFANYIA UMAFIA AZAM FC YAONDOKA NA FEISAL KIMYA KIMYA/ZAKA ACHARUKA NA HAYA

• SIMBA WACHARUKA GHAFLA...

Пікірлер: 21

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone80146 күн бұрын

    Wewe mjinga Dola 5m unazijua. Kwa mpira gani wa Fei. Simzarau Fei ni mchezaji mzuri sana lakini dola 5m ni nyingi sana.

  • @user-ir5qy8qd4w
    @user-ir5qy8qd4w6 күн бұрын

    Nikweli ameuzwa

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala65696 күн бұрын

    Ni kweli sababu kwenye kipengele Cha mkataba wa Feisal akiuzwa Tz Yanga anachukua bilioni 1 je Azam atachukua shilingi ngapi

  • @jally1865
    @jally18656 күн бұрын

    5m USD? That’s a lot.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75436 күн бұрын

    Wewe ndy umevurugwa cy hao unaowasema wamevurugwa.

  • @drallan6879
    @drallan68796 күн бұрын

    Zaka kwani kuna nini cha ziada Kwa fei?

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba6 күн бұрын

    Huyo ni chizi kweli

  • @EvjibusonKashunju
    @EvjibusonKashunju4 күн бұрын

    Kwani alisemaj

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75436 күн бұрын

    KIPPER MO ANAWEZA KUMNUNUA. NYIE MNAWATOA WACHEZAJI WAENDE TIMU ZA NJE MATOKEO YAKE WANAENDA KUWEKWA BENCHI HADI KUSHUKA VIWANGO

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh6 күн бұрын

    Sabiti sio Simba ambao wamevurugwa wanaotangaza ni waandishi.sio Simba rekebisha kauliyako

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp5 күн бұрын

    Kiukweli yanga humuogop fei kuanzia juu adi mashabik ndio maana chuki yao haiishi

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu7 күн бұрын

    kama wa DUBE ulivunjwa itashindikana kwa FEI? Nyiembona mlivunjiwa kwa UBWABWA!

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga88906 күн бұрын

    Manara alishawahi kuongea km wewe kuhusu fei huyohuyo

  • @KasalamaAlly
    @KasalamaAlly5 күн бұрын

    Zaka mbona una mchecheto

  • @EvjibusonKashunju
    @EvjibusonKashunju4 күн бұрын

    Acha simba tulale naye musimu huu

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu7 күн бұрын

    Nyie muwekeni sokoni ndo muone.

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev7 күн бұрын

    Acha ujinga ww mo ashindwe kununua fei ujinga mtupu ..unaulizwa thaman ya mkataba sh..ngap? Unasema kubwa taja value fala ww wasemaji wa ovyo sana

  • @teddysanga1840
    @teddysanga18403 күн бұрын

    kama huna ml 5 ujuwe ww ni tariji taperii huna hela unaomba msaada fei simba hawaweziii kumpata hawana pesa walijua azam ni lipuli simba wasenge tu...

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75437 күн бұрын

    MO ETI HUWEZI KUMNUNUA FEI TOTO?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75437 күн бұрын

    Zakazakazi unadharau timu za Tanzania kwani Mo hawezi kumnunua?acha dharau zako.

  • @KasalamaAlly
    @KasalamaAlly5 күн бұрын

    Zaka mbona una mchecheto

Келесі