Sports Star HD

Sports Star HD

Karibu sana na tunafurahia upendo wako kwetu kwa kukubali kuwa mwanafamilia mwenzetu katika kujuzana habari mbalimbali za kimichezo. Tunaendelea kukupasha habari za uhakika za michezo na burudani, Endelea kuwa nasi
Subscribe, share, like and comment
Wasiliana nasi kwa
WhatsApp 0628425611
Welcome and we enjoy your love for us by agreeing to be our family member in sharing various sports news with each other. We continue to provide you with reliable sports and entertainment news, stay with us
Subscribe, share, like and comment
Contact us at
WhatsApp 0628425611
Bienvenue et nous apprécions votre amour pour nous en acceptant d'être un membre de notre famille en partageant diverses actualités sportives entre nous. Nous continuons à vous fournir des informations fiables sur les sports et les divertissements, restez avec nous
Abonnez-vous, partagez, aimez et commentez
Contactez-nous à
WhatsApp 0628425611

Пікірлер

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga234421 сағат бұрын

    Daah! Huyu Mpanzu hata asipokuja Simba ameshajipatia sifa kubwa kupitia Simba.. Afikirie ni jinsi gani atakavyo wafanyia wachambuzi mbalimbali wa TZ kwa jinsi walivyompandisha sifa😮😮

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo22 сағат бұрын

    Tunatama kuchangia pesa kununua mkataba wa Mpanzu viongozi tushirikisheni

  • @DeokariPaulo
    @DeokariPauloКүн бұрын

    Mbn mnapenda kutukanwa

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4hКүн бұрын

    Kuma nyie

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831Күн бұрын

    Mamako katumwa Nigeria🇳🇬 kwenda kulikamilisha au tuishi kwenye DNA ya upumbavu ya Wabongo?

  • @AkramIbrahim-c8w
    @AkramIbrahim-c8wКүн бұрын

    Ahmed Wacha Uwongo

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8wКүн бұрын

    Wacha tusubiri kuhusu ubingwa usiwe mganga wa kienyeji

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014Күн бұрын

    Kama tutambakiza Onana badala ya Mpanzu nitashangaa na itaonesha kuwa hatuko serious. Ukweli tofauti ya Simba na Yanga ni kuwa Yanga wakimuhitaji mchezaji watapambana mpaka wampate iwe mvua iwe jua.Simba wakiona vipi utawasikia tumsubiri hadi mkataba wake uishe. Ili mkataba wake uishe Mpanzu atashiriki kwenye Confederation Cup hivyo hata Simba wakimsajili hatacheza kwa sababu mchezaji haruhusiwi kuchezea timu mbili katika season moja.

  • @kawelesiakisanga6670
    @kawelesiakisanga6670Күн бұрын

    Jamani mbona Tena KMC wanamtaka Awesu eti viongozi hawajafanya mazungumzo yoyote na uongozi wa Simba

  • @kawelesiakisanga6670
    @kawelesiakisanga6670Күн бұрын

    Vipi kuhusu Elie Mpanzi ameshapokelewa kambini

  • @kawelesiakisanga6670
    @kawelesiakisanga6670Күн бұрын

    Asanteni sana wachezaji wa Simba kazeni Uzi undeni ukuta ngumu wa Yeriko asipite mtu

  • @drallan6879
    @drallan6879Күн бұрын

    boko is finished julio

  • @morrisabdon7881
    @morrisabdon7881Күн бұрын

    Kwa usajili huu Simba ubingwa BADO sana, wameshindwa kupata wachezaji wenye uwezo Wa kuwatoa hapo kama: Mpanzu, Fei, na Idumba. Ukweli wategemee , nafasi hiyo hiyo ya tatu. Players like Onana is never serious why calling him back. Kujaza ordinary players who won't deliver is simply putting a club in unnecessary financial jeopardy. Pls pay more to get 3 best players instead of paying kidogo to get 8 players.

  • @AljuhaniAllyy-dg4ld
    @AljuhaniAllyy-dg4ldКүн бұрын

    Simba kila mwaka lazima wamtamani mchezaji na kumuhitaji lakini lazima washindwe tu imetokea kwa manzoki na mashabiki wakamtamani sana leo imetoka ya manzoki leo kwa mpanzu nayo cjui itachukua miaka mingapi, mpanzu tumsubiri kwenye kikao kama manzoki alivokawa mgeni rasmi akaondoka

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s2 күн бұрын

    safi sana mnyama 😊😮

  • @NgassaKhalfa-t4m
    @NgassaKhalfa-t4m2 күн бұрын

    Simba nguvu1 mwaka huu team zijiandae kuumia wamekanyaga

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi45992 күн бұрын

    Mie natamani sana wapambanishwe na Bwana Kamwe katika tuone vipi. Semaji letu ni katika maphilosophis wa aina ya Mahatma Ghandi

  • @PROPHETPCANTENA
    @PROPHETPCANTENA2 күн бұрын

    Tuachane na hayo ...Vipi tumeshindwa kuvunja mkataba na Mpanzu, tushirikisheni,maana UNAPOANDAA SIRAHAZAKO PIMA NA ZAMWENZIO..

  • @alexmasinde2471
    @alexmasinde24712 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 unyama sana 💪💪💪💪💪

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani80262 күн бұрын

    Sio kwaroho hiyo brother. Mbaya usimlipe ubaya

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko80002 күн бұрын

    Semaji caf na Ali kamwe wote wametoka Azam midia kwaiyo wanafamiana utani wao ni kutoka Azam

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko80002 күн бұрын

    Wachezji wetu wako Safi bilashaka tutafurai

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z2 күн бұрын

    Mung ibariki simba

  • @kassimkingu5512
    @kassimkingu55122 күн бұрын

    Wapuuzi nyie tafuteni taarifa zenu sio kurudia za wasafi media

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky69732 күн бұрын

    Na waamini wachezaji wetu, naomba Mungu azidi kuwalinda na mabaya na hatari zote❤❤❤❤ tarehe 8 kila lkher Ubaya Ubwela

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone80142 күн бұрын

    Simba mbona mnakuwa hivi. Acheni uhuni. Mimi siamini timu kama KMC inaweza kumkatalia Awesu Awesu asiende Simba kama Simba ingefuata taratibu. Naamini fadha ambayo KMC wangehitaji kama fidia ya kuvunja mkataba toka Simba yasingekuwa makubwa sana. Fuateni taratibu. Mimi namkubali Awesu Awesu kuja Simba tumelamba dume lakini tufuate taratibu.

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t2 күн бұрын

    Simba nguvu moja,,,raha tupu tukiwa na semaji letu💪🤣

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u2 күн бұрын

    Semaji letu hata wandishi wanafrahi sana kumhoji Ahmerd ally anamvuto semaji letu anatupa raha

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t2 күн бұрын

    Kbaaaaa😂😂😂😂😂

  • @maryamnofli2109
    @maryamnofli21092 күн бұрын

    ❤❤❤😂😂😂😂,🦁🦁🦁💪💪💪🔥🔥🔥🔥

  • @EzekielBussa-ke2xy
    @EzekielBussa-ke2xy2 күн бұрын

    Ubaya ubwela 🔥 itikieni ubwela chane 👹👹

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75433 күн бұрын

    SEMAJI LA CAF NA ALI KAMWE WANAJUANA WAO VIJANA. UTANI WAO C WAKUINGILIA. MAANA ALI KAMWE ALISEMA ANAFURAHI AKIONA SIMBA WANAGOMBANA. NA MWENZAKE ANASEMA HIVYO HIVYO. CY WAKUWAINGILIA HAWA

  • @seikhan5115
    @seikhan51153 күн бұрын

    semaji km semaji hotuba yako km MWL.NYERERE ukiipta bila kusikiliza bando halinogi likiisha UBAYA UBWELA😂😂😂😂😂

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n2 күн бұрын

    😂😂😂😂❤

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t2 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @TatuGalumbine
    @TatuGalumbine2 күн бұрын

    ❤❤❤❤tunahitaji wachezaji jamani wapambe wenu tunaumia

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75433 күн бұрын

    AWESOAWESO NI BORA SANA

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila3 күн бұрын

    Nyie wachambuzi mbona mzingua mpanzu Alisha jiunga na simba ninyi mmekaa tuu uongoo

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege6903 күн бұрын

    Hivi jamani tuwaulize Simba Awesu ana uwezo wa mpira kiwango cha kuwazidi wachezaji wengine nchi hii Hadi kusajiliwa na Simba. Au ndo ma deal Kwa viongozi wa Simba ambao wengine inasemekana ni ndugu na wanatoka sehemu moja

  • @Paplick9
    @Paplick93 күн бұрын

    Mfatilie man utakuja kumwelewa

  • @Laurentjoseph2001
    @Laurentjoseph20013 күн бұрын

    Wewe fanya yenu, kwenye timu yenu, mbona mnatifuatilia hivyo 🐸🐸🐸🐸

  • @Laurentjoseph2001
    @Laurentjoseph20013 күн бұрын

    Nyie fanyeni yenu, mbona mnatufatila timu yetu vyura nyie

  • @Immamaikonyaganilwa-qk4ml
    @Immamaikonyaganilwa-qk4ml3 күн бұрын

    Nakubal semaj❤❤❤❤❤

  • @Edo-b8u
    @Edo-b8u3 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-963 күн бұрын

    😂😂😂😂 semaji ni mmoja tyu semaji la caf ❤❤❤

  • @user-qu6ye5bk8y
    @user-qu6ye5bk8y4 күн бұрын

    Jamaniaendetu

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan39694 күн бұрын

    Muacheni aende zake buana ametusababishia goli 5 dhid ya yanga

  • @AntonyAlex-wz8ds
    @AntonyAlex-wz8ds4 күн бұрын

    Unyama mwingi sasa

  • @coolsinare8824
    @coolsinare88244 күн бұрын

    onana mchezaji mzuri lakini show nyingi..soft kidogo

  • @coolsinare8824
    @coolsinare88244 күн бұрын

    onana wa nini jaman???mbona simba haiko serious?????

  • @iddyiddy7358
    @iddyiddy73584 күн бұрын

    Garasa Hilo sasa c Bora angebaki konde boy hajitumi huyo yaan tunapanga kubadilika halafu tunarudi kulekule

  • @YusufOmar-tk8yf
    @YusufOmar-tk8yf4 күн бұрын

    Unataunwa sana

  • @sangoduma
    @sangoduma4 күн бұрын

    Kongole kwa viongozi kama onana yupo

  • @ALIJABU-r6k
    @ALIJABU-r6k4 күн бұрын

    Ni kweli onana Yuko misri

  • @AhadiMoses
    @AhadiMoses4 күн бұрын

    Yes,,,, apounyama mwingiii,,sana Onana hanabayaa,,huyoni mashine ya kazii💪💪

  • @pascalkiango512
    @pascalkiango5124 күн бұрын

    Bora angebaki Miqisone ila huyu bishoo dah

  • @laurentkamata550
    @laurentkamata5504 күн бұрын

    Onana mzuri mnoo

  • @Amahujohn
    @Amahujohn5 күн бұрын

    Bwana Mdogo nakuelewa sana,,Hansi

  • @thomasdesta939
    @thomasdesta9395 күн бұрын

    Uzuri wa simba viongozi wanajifunza kutokana na makosa na wana hamu ya kufurahisha wapenzi wa simba nguvu moja