Karibu sana na tunafurahia upendo wako kwetu kwa kukubali kuwa mwanafamilia mwenzetu katika kujuzana habari mbalimbali za kimichezo. Tunaendelea kukupasha habari za uhakika za michezo na burudani, Endelea kuwa nasi
Subscribe, share, like and comment
Wasiliana nasi kwa
WhatsApp 0628425611
Welcome and we enjoy your love for us by agreeing to be our family member in sharing various sports news with each other. We continue to provide you with reliable sports and entertainment news, stay with us
Subscribe, share, like and comment
Contact us at
WhatsApp 0628425611
Bienvenue et nous apprécions votre amour pour nous en acceptant d'être un membre de notre famille en partageant diverses actualités sportives entre nous. Nous continuons à vous fournir des informations fiables sur les sports et les divertissements, restez avec nous
Abonnez-vous, partagez, aimez et commentez
Contactez-nous à
WhatsApp 0628425611
Пікірлер
Daah! Huyu Mpanzu hata asipokuja Simba ameshajipatia sifa kubwa kupitia Simba.. Afikirie ni jinsi gani atakavyo wafanyia wachambuzi mbalimbali wa TZ kwa jinsi walivyompandisha sifa😮😮
Tunatama kuchangia pesa kununua mkataba wa Mpanzu viongozi tushirikisheni
Mbn mnapenda kutukanwa
Kuma nyie
Mamako katumwa Nigeria🇳🇬 kwenda kulikamilisha au tuishi kwenye DNA ya upumbavu ya Wabongo?
Ahmed Wacha Uwongo
Wacha tusubiri kuhusu ubingwa usiwe mganga wa kienyeji
Kama tutambakiza Onana badala ya Mpanzu nitashangaa na itaonesha kuwa hatuko serious. Ukweli tofauti ya Simba na Yanga ni kuwa Yanga wakimuhitaji mchezaji watapambana mpaka wampate iwe mvua iwe jua.Simba wakiona vipi utawasikia tumsubiri hadi mkataba wake uishe. Ili mkataba wake uishe Mpanzu atashiriki kwenye Confederation Cup hivyo hata Simba wakimsajili hatacheza kwa sababu mchezaji haruhusiwi kuchezea timu mbili katika season moja.
Jamani mbona Tena KMC wanamtaka Awesu eti viongozi hawajafanya mazungumzo yoyote na uongozi wa Simba
Vipi kuhusu Elie Mpanzi ameshapokelewa kambini
Asanteni sana wachezaji wa Simba kazeni Uzi undeni ukuta ngumu wa Yeriko asipite mtu
boko is finished julio
Kwa usajili huu Simba ubingwa BADO sana, wameshindwa kupata wachezaji wenye uwezo Wa kuwatoa hapo kama: Mpanzu, Fei, na Idumba. Ukweli wategemee , nafasi hiyo hiyo ya tatu. Players like Onana is never serious why calling him back. Kujaza ordinary players who won't deliver is simply putting a club in unnecessary financial jeopardy. Pls pay more to get 3 best players instead of paying kidogo to get 8 players.
Simba kila mwaka lazima wamtamani mchezaji na kumuhitaji lakini lazima washindwe tu imetokea kwa manzoki na mashabiki wakamtamani sana leo imetoka ya manzoki leo kwa mpanzu nayo cjui itachukua miaka mingapi, mpanzu tumsubiri kwenye kikao kama manzoki alivokawa mgeni rasmi akaondoka
safi sana mnyama 😊😮
Simba nguvu1 mwaka huu team zijiandae kuumia wamekanyaga
Mie natamani sana wapambanishwe na Bwana Kamwe katika tuone vipi. Semaji letu ni katika maphilosophis wa aina ya Mahatma Ghandi
Tuachane na hayo ...Vipi tumeshindwa kuvunja mkataba na Mpanzu, tushirikisheni,maana UNAPOANDAA SIRAHAZAKO PIMA NA ZAMWENZIO..
😂😂😂😂😂 unyama sana 💪💪💪💪💪
Sio kwaroho hiyo brother. Mbaya usimlipe ubaya
Semaji caf na Ali kamwe wote wametoka Azam midia kwaiyo wanafamiana utani wao ni kutoka Azam
Wachezji wetu wako Safi bilashaka tutafurai
Mung ibariki simba
Wapuuzi nyie tafuteni taarifa zenu sio kurudia za wasafi media
Na waamini wachezaji wetu, naomba Mungu azidi kuwalinda na mabaya na hatari zote❤❤❤❤ tarehe 8 kila lkher Ubaya Ubwela
Simba mbona mnakuwa hivi. Acheni uhuni. Mimi siamini timu kama KMC inaweza kumkatalia Awesu Awesu asiende Simba kama Simba ingefuata taratibu. Naamini fadha ambayo KMC wangehitaji kama fidia ya kuvunja mkataba toka Simba yasingekuwa makubwa sana. Fuateni taratibu. Mimi namkubali Awesu Awesu kuja Simba tumelamba dume lakini tufuate taratibu.
Simba nguvu moja,,,raha tupu tukiwa na semaji letu💪🤣
Semaji letu hata wandishi wanafrahi sana kumhoji Ahmerd ally anamvuto semaji letu anatupa raha
Kbaaaaa😂😂😂😂😂
❤❤❤😂😂😂😂,🦁🦁🦁💪💪💪🔥🔥🔥🔥
Ubaya ubwela 🔥 itikieni ubwela chane 👹👹
SEMAJI LA CAF NA ALI KAMWE WANAJUANA WAO VIJANA. UTANI WAO C WAKUINGILIA. MAANA ALI KAMWE ALISEMA ANAFURAHI AKIONA SIMBA WANAGOMBANA. NA MWENZAKE ANASEMA HIVYO HIVYO. CY WAKUWAINGILIA HAWA
semaji km semaji hotuba yako km MWL.NYERERE ukiipta bila kusikiliza bando halinogi likiisha UBAYA UBWELA😂😂😂😂😂
😂😂😂😂❤
😂😂😂😂
❤❤❤❤tunahitaji wachezaji jamani wapambe wenu tunaumia
AWESOAWESO NI BORA SANA
Nyie wachambuzi mbona mzingua mpanzu Alisha jiunga na simba ninyi mmekaa tuu uongoo
Hivi jamani tuwaulize Simba Awesu ana uwezo wa mpira kiwango cha kuwazidi wachezaji wengine nchi hii Hadi kusajiliwa na Simba. Au ndo ma deal Kwa viongozi wa Simba ambao wengine inasemekana ni ndugu na wanatoka sehemu moja
Mfatilie man utakuja kumwelewa
Wewe fanya yenu, kwenye timu yenu, mbona mnatifuatilia hivyo 🐸🐸🐸🐸
Nyie fanyeni yenu, mbona mnatufatila timu yetu vyura nyie
Nakubal semaj❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 semaji ni mmoja tyu semaji la caf ❤❤❤
Jamaniaendetu
Muacheni aende zake buana ametusababishia goli 5 dhid ya yanga
Unyama mwingi sasa
onana mchezaji mzuri lakini show nyingi..soft kidogo
onana wa nini jaman???mbona simba haiko serious?????
Garasa Hilo sasa c Bora angebaki konde boy hajitumi huyo yaan tunapanga kubadilika halafu tunarudi kulekule
Unataunwa sana
Kongole kwa viongozi kama onana yupo
Ni kweli onana Yuko misri
Yes,,,, apounyama mwingiii,,sana Onana hanabayaa,,huyoni mashine ya kazii💪💪
Bora angebaki Miqisone ila huyu bishoo dah
Onana mzuri mnoo
Bwana Mdogo nakuelewa sana,,Hansi
Uzuri wa simba viongozi wanajifunza kutokana na makosa na wana hamu ya kufurahisha wapenzi wa simba nguvu moja