SIMBA TV 25/10/2023 - Cheki ukubwa wa Simba kwenye African Football League
Спорт
Wiki hii Mnyama Simba ameiwakilisha nchi kwenye michuano ya African Football League akiwa mwenyeji wa mchezo maalum wa ufunguzi uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Katika sherehe za ufunguzi ukubwa wa Simba umewavuta vigogo wa soka la dunia akiwemo Rais wa FIFA Gianni Infantino, Rais wa CAF, Patrice Motsepe na aliyewahi kuwa Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger.
Mengi yamefanyika yakipambwa burudani tamu kutoka kwa Alikiba.
Baada ya hapo ikapigwa mechi kali iliyomalizika kwa sare ya 2-2, kisha Mnyama akasafiri hadi Cairo kwa mchezo wa marudiano uliomalizika kwa sare ya 1-1 na kutupwa nje ya mashindano kwa hasara ya goli la ugenini...
Simba TV imekukusanyia hayo yote..... Tazama
#SimbaTV ni kila Jumatano saa 4:00 usiku #AzamSports1HD
Пікірлер: 6
mungu ibariki chama langu simba kuna siku moja tuta leta kombe la caf hapa tanzania ❤❤❤❤❤
Mafanikio ya simba yanawatesa watanzania wasio na uzalendo ila Mungu yupo nasi
Simba babalao Africa
Nchi hii ni yaajabu sana,wanapenda kukisifia kitu hata kama hakina uwezo huo ili tu wamfurahishe mpenda 10:46 sifa kwenye football,ndg tutake tusitake 12:05 Simba ndio timu kubwa tz haijalishi kwa sasa Simba tunapitia wakati gani,hii haiondoi ukubwa wa timu yetu,wanasimba tutembee kifua mbele
Sasa wachambuzi wa wasafi fm mbona wanatubeza? Nskuwaona wachezaji wa arhra ary ni unga unga mwana ? Mimi naona simba tuna mahadui wengi wengine wanajifananisha kuwa wao ni mashabiki wa simba kumbe sio ni utoporo
Mbona uto cjawasikia uku