SIJAWAHI KUSEMA NAUNGA MKONO USHOGA NAJUA YALIKOTOKEA NI SIASA ZA MAJI TAKA "TUNDU LISU

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 11

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 Жыл бұрын

    Amebadili gia angani

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Жыл бұрын

    Mmmh nikama niaje hivi kwenye majibu!!

  • @victorkalolo9517

    @victorkalolo9517

    Жыл бұрын

    Hahahaha nikama niaje ivi

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 Жыл бұрын

    Huyu jamaa tundulisu majibu yake anajibu kwa wasiwasi hasa kwenye swala hilo la ushoga sema kwa sauti ya kiume huungu mkono maswala ya ushoga hatuitaji Tanzania hayo maswla ya ushoga

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Жыл бұрын

    Kama unashadikia ushoga hufai kabisa kuwa Rais wetu utatuharibia watoto

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Akikataa na huko walikomfadhili itakuwaje?

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Жыл бұрын

    Hao wazungu wanaowakimbilia huko mapesa wanayopewa huko ndio yanayowaponza Kwa hiyo hawezi kukataa suala la ushoga Kwa nguvu kubwa Kwa maana wale jamaa (manguluwe) kule watakeleka.

  • @Worldunite
    @Worldunite Жыл бұрын

    Kuoa mzungu sio tatizo lkn tukumbuke kuwa Mh. Lissu alipewa hifadhi na wabelgiji, hivyo km kaongea hayo basi huenda amashinikizwa kutamka hayo na hao waliompa hifadhi

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Жыл бұрын

    Mmh

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 Жыл бұрын

    Kuna alie kuja kukuomba ungaaa

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 Жыл бұрын

    Sasa ukiona wamezama madume matupu hapo kuna mwenza ???

Келесі