SIJAWAHI KUSEMA NAUNGA MKONO USHOGA NAJUA YALIKOTOKEA NI SIASA ZA MAJI TAKA "TUNDU LISU
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 11
Amebadili gia angani
Mmmh nikama niaje hivi kwenye majibu!!
@victorkalolo9517
Жыл бұрын
Hahahaha nikama niaje ivi
Huyu jamaa tundulisu majibu yake anajibu kwa wasiwasi hasa kwenye swala hilo la ushoga sema kwa sauti ya kiume huungu mkono maswala ya ushoga hatuitaji Tanzania hayo maswla ya ushoga
Kama unashadikia ushoga hufai kabisa kuwa Rais wetu utatuharibia watoto
Akikataa na huko walikomfadhili itakuwaje?
Hao wazungu wanaowakimbilia huko mapesa wanayopewa huko ndio yanayowaponza Kwa hiyo hawezi kukataa suala la ushoga Kwa nguvu kubwa Kwa maana wale jamaa (manguluwe) kule watakeleka.
Kuoa mzungu sio tatizo lkn tukumbuke kuwa Mh. Lissu alipewa hifadhi na wabelgiji, hivyo km kaongea hayo basi huenda amashinikizwa kutamka hayo na hao waliompa hifadhi
Mmh
Kuna alie kuja kukuomba ungaaa
Sasa ukiona wamezama madume matupu hapo kuna mwenza ???