Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akijibu swali kuhusu picha iliyomuonyesha akiagana na mwanamke wa kizungu na kuzua maswali kuhusu mke wake #Clouds360
Жүктеу.....
Пікірлер: 11
@saidymatejoe2212 Жыл бұрын
Yaaan watanzania. Wanacho jua mpenz tu so hoj za msingii
@msabahaali758 Жыл бұрын
siasa za maji taka kabisa watu wamekosa hoja
@afroplay94 Жыл бұрын
Siasa za majitaka
@Views-mf8ir Жыл бұрын
Mkali wa hizi kazi ... Vijana wa maji hawawezi kumuelewa Tls
@benny4345 Жыл бұрын
I like Lissu’s response in this stupid question! It is high time wana habari wetu wajifunze kujikita kwenye vitu vya maana na si udaku! Nonsense
@hosealomayani2648 Жыл бұрын
Uko sawasawa
@kigomampyatv9209 Жыл бұрын
KWA HIYO MKE MZUNGU NI WA CHUMBANI.. OOOK
@azizamvungi1871 Жыл бұрын
Kwenda huko.huna lolote hakuna anayekutaka!unataka madaraka hata huyawezi
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Wewe ndiyo mwenye siasa za maji taka zako huna lolote mavi matupu mtaishia na katiba mpya hiyo mpaka 2025 mtaendelea kuliongelea wapinzani wenzenu wako wapi mjione nyie zaidi kuliko wenzenu
@sarahkeivaly3351
Жыл бұрын
ww mwenye lolote uje mbona hujawahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa?!!
@andrewkissavah8272
10 ай бұрын
Ivi wewe magreti polepole,ivi akili yako ni nzima kweli kwa matusi haya mimi nathani kuna somthing somewhere ambacho hakiko vizuri kwenye. Ubongo wako hebu jaribu kujicheki na kabula ya ku comments chochote jaribu kuji uliza aU kutafakari nini una comments ,kwa ninavyo kufahamu na kuona kuna mahali haupo vizuri ndugu yangu naona kama kunajambo limekupata hebu jiheshimu maana kwa comment hizi ni aibu tupu
Пікірлер: 11
Yaaan watanzania. Wanacho jua mpenz tu so hoj za msingii
siasa za maji taka kabisa watu wamekosa hoja
Siasa za majitaka
Mkali wa hizi kazi ... Vijana wa maji hawawezi kumuelewa Tls
I like Lissu’s response in this stupid question! It is high time wana habari wetu wajifunze kujikita kwenye vitu vya maana na si udaku! Nonsense
Uko sawasawa
KWA HIYO MKE MZUNGU NI WA CHUMBANI.. OOOK
Kwenda huko.huna lolote hakuna anayekutaka!unataka madaraka hata huyawezi
Wewe ndiyo mwenye siasa za maji taka zako huna lolote mavi matupu mtaishia na katiba mpya hiyo mpaka 2025 mtaendelea kuliongelea wapinzani wenzenu wako wapi mjione nyie zaidi kuliko wenzenu
@sarahkeivaly3351
Жыл бұрын
ww mwenye lolote uje mbona hujawahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa?!!
@andrewkissavah8272
10 ай бұрын
Ivi wewe magreti polepole,ivi akili yako ni nzima kweli kwa matusi haya mimi nathani kuna somthing somewhere ambacho hakiko vizuri kwenye. Ubongo wako hebu jaribu kujicheki na kabula ya ku comments chochote jaribu kuji uliza aU kutafakari nini una comments ,kwa ninavyo kufahamu na kuona kuna mahali haupo vizuri ndugu yangu naona kama kunajambo limekupata hebu jiheshimu maana kwa comment hizi ni aibu tupu