Pole sana Mtumishi wa Mungu!Huwa nabarikiwa sana kwanyimbo zako!umeshinda!
@OSCARJaz-xh6nb3 күн бұрын
🎉🎉hawakuwezi tuko nyuma yako dada zaidi Mimi Oscar jazz.toka congo🎉🎉🎉
@lucymarawa864Ай бұрын
Mungu akutunze naakuvushe ili uwashangeze waulimwengu nauwe mfano duniani
@user-wu5xn9tm7p3 ай бұрын
Pole mama. Mungu ni mwema wakati wote. Shetani. Kapigwa na kafezeshwa tuzidi kumuomba mungu maana yeye ndie mtetezi wetu
@user-kk5uh7by3v3 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati mungu anaendelea kukupigania akuzidishie maisha marefu mama
@RafaelMollel2 ай бұрын
Mungu ako na Jambo na wew mama mungu akulinde na tunaamini utapona Kwa damu ya yesu ❤❤❤❤❤
@OzonMwangosi3 ай бұрын
Mungu ni mwema siku zote dada bahat pole sana dadangu mungu amekupigania upo Salam jina lake libarikiwe sana
@user-zr8ow8cp6b2 ай бұрын
Mungu aendelee kukupigania nakupenda ssana!
@esthersissamo112011 күн бұрын
Mungu akuponye ndugu yangu pole sana
@dnnikeza25639 күн бұрын
Pôle sana dada mungu azidi kukulinnda tunakupenda
@user-ti3fm4pe6w2 ай бұрын
Asante Mungu kwaku tucungiya muimbaji weyu mkubwa mu Afrique bahati Bukuku Mungu aendele kuku cunga kabisa sana
@AnnCharles-mq9xl
2 ай бұрын
😍😪✊🌟✊😘🙏🙏👌 🥳12:32 😘❤️❤️
@wakolisarah6835 жыл бұрын
Pole sana mama,shetani hana aibu ata.God loves you more...na bado utaishi in jesus name.
@emmyjohn39704 жыл бұрын
God is able..hutakufa Bali utaishi nawe utasimulia matendo makuu ya Mungu.NAKUPENDA
@estermalembwamalembwa19363 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu kwa hiyo ajali uliopata mungu atakusaidia hicho ni kipimo Cha Imani Yako tu usiwe nawasiwasi
@niyiesther65713 ай бұрын
Ameeen. Pole saana mama BAHATI BUKUKU
@salomeihilika497Ай бұрын
Pole sana mtumishi wa BWANA
@ElizabethNdunguru-cn4rm2 ай бұрын
Duuuh pole sana mungu akutue nguvu
@colethamwinyi7107 Жыл бұрын
Pole sana ! MUNGU mwema dada uko salama🙏
@laodikiajafarikisinda4 ай бұрын
Pole mamangu mungu atakusaidia utapona na utaishi miaka mingi shetani hana nafasi ktk jina la yesu
@bahatimbilinyi78712 ай бұрын
Mungu azidi kukuponya🙏🙏🙏
@marthalazaro97204 жыл бұрын
Mungu akuponye haraka dear urejee kwenye kiwango kingine.
@ELIZAMSOLOАй бұрын
Pole dadayetu MUNGU akupe maisha marefu tunakuhitaji saaaana wanaokunenea mabaya habari ziwafikie kuwa hauna mkataba na mauti kwasasa
@alhandroraj80094 жыл бұрын
Yesu kristo mwana wa Mungu jamani!!! pole mtumishi wa mungu jamani pole sana. Mungu akiwa nawe hakuna kushindwa. Utapona kwa wezo wa Mungu. Twakupenda sana twakuombea na utapona Amen
@madeleinebasabakye5708 Жыл бұрын
Pôle mama mupendwaaaaaa. MUNGU wetu akulinde
@rachelkihaka67205 жыл бұрын
Pole sana dada angu Mungu ni mwema sana hadi hapo ulipofika ni Kwa neema tu na yeye ndiye mlinzi wa maisha yako akupiganie na asikuache katika kipindi hichi kigumu kwako Amen
@ellymwakapyanila9274 Жыл бұрын
Mungu akuinue mtumishi, Mungu wetu ni mponyaji.
@user-dp9ym1pn7g3 ай бұрын
Dada hiliswala limenishituka sana pole sana mungu yupo atakupa afya jema km. Ni w2 mungu atakurali mti wamatund utapingwa mawe dada utapo naujumbe utaupepe Rushal wa mungu
@elizabethmukeba25283 ай бұрын
Mwanangu akupe hekima busara we ni shindi sugar wa yesu nakupenda sana mwanangu pia nashukuru Mungu kwa uzima unao leo kusikia ukiwa hai ubarikiwe naishi marekani Mungu awe nawe mwanangu
@jescamdanga45815 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwa wampendao atazid kukupigania! Mung akuponye mama ang.
@tedybernad3828
4 жыл бұрын
Pole dada bahat
@yessebaraka4010 Жыл бұрын
Pole sana dada acha mwenyezi Mungu akuonyesha kwa jina la yesu kristo ya Nazareth
@SliviaNamataka2 ай бұрын
Pale sana sukuru mugu wako kuzuia life Yako thank God sana .
@agathamusei18204 жыл бұрын
Pole sana dada,mungu azidi kukupigani,nimejifunza mengi kutokana na majaribu yako shukuru mungu unatumika na mungu ili wengi wajie Amen kenya
@happynesspaul-sk6mg3 ай бұрын
Pole Sana dada angu mungu akutie nguvu upone uludi kwenyealiyako ya kawaida mungu nimwema utapona 8:16
@susanmwalili59105 жыл бұрын
Mungu yuko upande wako pokea uponyaji kwa jina la yesu Bahati Bukuku.
@lovenessmwagama6201
4 жыл бұрын
mungu nimwema huonimtihani tuuuuuuuu hutakufa bali utaishi mpendwaaaaaaaaaa!!!!
@inviolataloice92005 жыл бұрын
God bless u bukuku ,we love u and u are protected with blood of God,from kenya
@melvinniceanyango29192 жыл бұрын
Nilisikia vibaya mno kusikia kua amefariki bahati nilichoka moyoni kua nimemloteza mwimbaji wagu mzuri nazipenda nyimbo zake ninapo zimba nasikia furaha mungu akuogeze siku baada ya siku
@sankaresiato40024 жыл бұрын
Pole mungu anakupenda sana ...zidi kumtumikia tunakupenda Dada
@user-jr1tr6fs3c6 ай бұрын
Pole sana dada yangu kipenzi, Yani kabisa Mungu ni Mungu kabisa Ku waokowa, ungali nakazi mingi yakumutumikiya.ila sifa zimurudi saana. Natamani hâta Siku moja nikupigiye muziki kwani mimi ni mwana mziki nikiwa mkongomani na Sasa naishi apa yuganda
@Donasian-ry9kh
4 ай бұрын
Pole sana mama mungu atakuponya amina
@lucychami50174 жыл бұрын
Pole mwaya dogo Bahati Bukuku. Mungu Mwenyezi unayemtumikia tangu utoto wako ATAKULINDA, KUKUKINGA NA KUBARIKI KAZI YA MIKONO YAKO. UPONE MAPEMA MWAYA.
@presseg.63625 жыл бұрын
Ulinzi wa mungu uu juu yako, mungu akutie nguvu
@marcelineKabambaАй бұрын
Bahati bukuku mungu akusaidiye sasa😢😢😢
@lydiaaruba66707 жыл бұрын
i like your confidence mama bukuku mtu mwenye jina lazima unenewe lolote ila pole kwa yote
@leahgilbat4185
4 жыл бұрын
Mungu akiwa upande wako ninan? Alive juu yako ubarki we mtumish wa mungu
@atuganilerafael5995 жыл бұрын
Pole dada bahati.tunaamini Mungu amekuponya mpaka ulipo fika hapo.
@christianoctk85424 жыл бұрын
Una sema eti watanzania wanakupenda, lakini na weza kusema kama kuna Wakongomani ambao wana kupenda sana zaidi than you can't imagine. My family wanted to know the truth about your death!!! We are happy that you're still alive😊 thanks God
@ngogajeannedarc9083
4 жыл бұрын
Mimi na mpenda zaidi yenu Mungu asante tena baba .from Burundi.
@MusafiriIssa3 ай бұрын
KWAKWELI mungu HAWEZI kubali huyu dada âge 'kupitiuya zi ametenda kwa hiyi duniya
@alphonceshayo73325 жыл бұрын
Mungu akuponye na awaponye wote kwa damu yake takatifu. Kuwa na moyo mkuu. Mnaoota vifo kwa watu muwe makini ila tujue kifo ni njia yetu sote mavumbini tumeumbwa na kwayo tutarudi. Na tamka afya njema nnyote. Amen
@dougdjum37379 жыл бұрын
dada maombi umeombewa dunia nzima sio kwa wa tanzania peke yao mimi ni mcongomani na mmefata magazeti zako usiku na mchana Mungu akujalie mema na maisha marefu na hekma nyingi tena mama asante
@elizabethmukeba25283 ай бұрын
Pole mwanangu Mungu akusaidie akupe nguvu na siku nyingi duniani
@NoelaImani-pw9uw2 ай бұрын
Pôle Sana dada letu bahati mungu wa mbinguni sio ndogo atakupognesha ndani ya umivuu na atakupognesha
@paulineitenyo11704 жыл бұрын
Dada pole.Waja mungu aitwe mungu.QR n blessings too
@simonmdune90664 жыл бұрын
Poleni saana mama bahati bukuku nakupenda saanaa akii.pia kiswahili chako kitamu zaidi aisee
@user-bh2bx3kk4u3 ай бұрын
Pole.mwanamke.mwenzangu
@evalinemjema-ry9dm Жыл бұрын
Umeimba vizuri sana , Mungu azidishe kipaji chako , ipa pole kwa ajali mbaya sana . Lakini Bwana Ni mwema
@lucynth11329 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa uzima. Twakupenda sana wakenya.
@johnkasuga32903 ай бұрын
Pole Sana Bahati Bukuku kwa ajali hiyo,Mungu atakuponya,,!!!
@pricillahmwangi61714 жыл бұрын
Nafurahia sana kuona kujua kwamba no uongo tu wanaosema kwamba umetuaga.Mungu akuponye na usimame tens na kutembea.You are significant to many.
@shebyzedony5020
4 жыл бұрын
pricillah mwangi r
@johnkariuki-ff6md Жыл бұрын
Pole sana dada mungu amekuponya amini mungu uko sawa kabisa?
@user-kp1xi8xi2e2 ай бұрын
Pole sana dada yangu bokuku chakwasa inatakiwa tumwogope sana mungu wa mbinguni
@HiHi-ns2fi8 жыл бұрын
shetani muongo.wasamehe wote naye mungu atawavuruga keep on
@soyosseoorganization20357 жыл бұрын
pole madam mimi shabiki wako mungu akulinde zaidi
@ezekieldeus6022 Жыл бұрын
Mungu, akuponye kwa kwa haraka,iliuendelee kumtumikia hapa Duniani. Kabura ulimwisho haujafika.
@joysimventures2242 Жыл бұрын
Wah pole sana, Glory be to God that he protected you Ingekua mbaya sana. Drivers Kimdly dont drink and drive
@abdojjjabdoll20744 жыл бұрын
Shetani ashidwe na majaribu zake,,,,MUNGU ni mwaminifu akupe uzima tele akuponye dada wetu BAHATI BUKUKU AMINA
@aminaamouri63262 жыл бұрын
Je bénis l'éternel pour sa protection divine envers sa servante Bahati bukuku c'est ne pas seulement que le tanzanien qui ont prié pour notre maman Bahati bukuku il y a aussi les congolais de la République Démocratique du Congo
@estererias9227 Жыл бұрын
Hakika Mungu nimwema mtumishi
@lightnesssanka19284 жыл бұрын
Nakupenda dada Mungu ukuongeze heri na miaka mingi
@noraharbogast58644 жыл бұрын
Pole Sana Dada angu Bahati Bukuku Mungu yupo na atawapa haki yao wanaozusha uvumi mbaya hivyo nawaambia hautakufa bali utaishi ili uyasimulie matendo makuu ya Bwana
@mektridapetro2613 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi mwamini mungu wambinguni alali asinzii atakuponya
@meddyakimana41049 жыл бұрын
Pole sana Bukuku wetu Mungu apewe sana sifa zake kwa kukulinda tunafulahi sana kusikia umuzima.
@samuelmisiani3722
4 жыл бұрын
Sorry mammy utapona hamini mungu atakuponya
@alicestraetemans58908 жыл бұрын
MUNGU yuko upande wako dada namuhomba MUNGU sana tena akuogezee miaka yakuuishi !!! uimbadji wako unasahidia watu duniani siyo tu wa TANZANIA tupo wengi tuna sahidiwa kupitia uhimbadji wako dada
@betekenya7456
5 жыл бұрын
Mungu.akopamoja.na.wewe
@franqlee7703
4 жыл бұрын
yot muachie mung sister wet twakupend sanaa
@graciemutindi56785 жыл бұрын
Pole mamiii .. twakupenda Sana humu Kenya
@gostrider41498 жыл бұрын
pole mama. shetani ana kazi zake but God has power let him protect u with his blood. nikisikia sauti from Jordan
@neemanaulati48014 жыл бұрын
Pole Saana kipendwa wetu. Mungu akujalie upone mapema
@mukamiism9 жыл бұрын
Bahati, am sorry to hear about your accident, but i praise Jesus that you are fine. I hope all is well now. Am waiting to hear more of your wonderful songs. God bless you and keep you safe
@AliAli-ez8nu5 жыл бұрын
Pole sana dadangu mungu uko pamoja na ww,i wish you quick recovery mum
@lucyshirima402
5 жыл бұрын
Pole Dada bahat jmn mungu ni mkubwa mungu asidi kukupingania ila wanahabar akili zao wanasijua wenyewe sijui kwann wanatoa tarifa za uwongo kwenye mtandao mkubwa km huu dah mungu you pamoja nawe my sister
@rizikisilau95012 ай бұрын
Mungu akuponye
@malayikamariejoseepatiente9134 жыл бұрын
Pole mama, ninakupenda Sana, ungali muzima kwa Jina la YESU nafulahi Sana.Be blessed mama
@lovenessmwagama6201
4 жыл бұрын
bahati dadaangu kumbuka wemawamungu umekuzunguka
@ezekieldeus6022 Жыл бұрын
Pole Sana mtumishi wa Mungu,kwaajali iliyowapata, lakini vipi maendeleo ya afya yako kwa Sasa?.
@yusteraureus88032 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu mpendwa wangu mungu akuponye
@wesowesoweso89359 жыл бұрын
Oh my God!!!! Mama mama yangu mama machozi yananitoka Mungu aliyeziumba mbingu na nchi anajuwa hadi kilindi cha moyo wa mtu akuinue mama akuweke juu juu juu zaidi so as we great testfy and great gradefy the groly of God through my mum bahati.amen.Mourine in saudia.
@peninahruth28704 жыл бұрын
Pole bahati bukuku uponyanji waharaka tunakuombea watching from saudii a kenyan citizen i lk ua music its really gave m caurage dunia haina huruma na mulindekai
@zaburonimeshacki5917 Жыл бұрын
Pole sana asante yesu kwa kukuokoa na roho ya mauti ameeen
@dennismuchira52992 жыл бұрын
Your wisdom is on another level
@fatmahbinti87978 жыл бұрын
pole sana kwa ajali shetna ana mamlaka katika maish yako twashukuru mungu uko mzima dada mungu bado yuakupend wacha tumsifu mungu
@richardotieno9873
7 жыл бұрын
Pole xn mtumixi wa Mungu
@florymulboy59572 жыл бұрын
My sister I love so much you will live in the name of jesus christ from DRC
@user-ii9qx9ii5p3 ай бұрын
Mungu wetu ni mungu wa neema pole mama yangu bahati kipenzi changu mungu amekupigania Kwa mengi ivyo yupo pamoja na wewe uchawi autakaa mikononi mwako wala mwilini mwako Mika 5:12
@dougdjum37379 жыл бұрын
asante kwa Mola wetu kwa jambo lolote limetutokeya dada Bahati ,toka Rdcongo
@magrethclement72434 жыл бұрын
Dada Bahati umepona na Yesu aendelee kukuganga kila mahali " Mimi nimeamua kutengeneza na Mungu wangu" uko vzr dada.
@ernestnjogholo14724 жыл бұрын
Pole dada.Haujamaliza kazi ya Mwenyezi Mungu, atakulinda,na atakupa maisha marefu .Tunakupenda sana.
@anneawino7948
4 жыл бұрын
Pole sana mama
@annamnanka1640
Жыл бұрын
Pole dada bahati mungu akuponye
@francisnyahage45767 жыл бұрын
Always God is with His people no matter wat the devil plan in your live it wil not succeed, Maisha yetu yako kiganjani mwake. pole sana Mtumishi, tell the righteous its well.
@olivajoseph4187
6 жыл бұрын
Pole mamy mungu mwema sifa nautukufu zimrudie yeye
@marianamohele804
5 жыл бұрын
Pole Dada bukuku Mungu hamwachi aliyeupande wake
@patiencengowa3492
Жыл бұрын
Pole sana bahati bukuku mungu akusaidie wimbaji wako uendelee
@sophiamanga26485 жыл бұрын
Pole Sana Mungu akutie nguvu kwa pito kama hilo
@lornahachieng43585 жыл бұрын
Mungu yu mwema pokea baraka na uponyaji Dada,pigana vita natumai ushapona kwa jina LA yesu.
@DayanaMallya3 ай бұрын
Mungu akupe kibali mbinguni akupe hekalu ukaendelea kumwa budi mbinguni wala usiache kumsifu hata mbinguni imba
@tinamuta80195 жыл бұрын
Pole sana na Mungu akutie nguvu na akuepushe na mabaya
@PriscaShilunga3 ай бұрын
Pole Sana dada Nina imani mungu atakutia nguvu
@givenmacha5144 жыл бұрын
Oooooh! Huwez kupendwa na wote!!! Mungu yuko upande Wako. Pole sana wangu ,penda sana ww!
@anglehope85345 жыл бұрын
Shetani Hana nafasi kwa maisha yako mama
@elizabethchepngeno23625 жыл бұрын
Pole mum...may God see you through. Quick recovery. May God protect you. We love you in Kenya
@ab3ab313
4 жыл бұрын
mung.aace.kuitwa.mung
@nirmaladavid88616 жыл бұрын
Pole sana mtumishi tunajua kawaida shetani hapendezewi kamwe kuona mwanadamu akiwa na furaha pole
@matridaezra68014 жыл бұрын
Pole Mamangu watapigana nawe lakini hawatakushinda Bwana yu pamoja na Wewe.
Пікірлер: 525
Pole sana Mtumishi wa Mungu!Huwa nabarikiwa sana kwanyimbo zako!umeshinda!
🎉🎉hawakuwezi tuko nyuma yako dada zaidi Mimi Oscar jazz.toka congo🎉🎉🎉
Mungu akutunze naakuvushe ili uwashangeze waulimwengu nauwe mfano duniani
Pole mama. Mungu ni mwema wakati wote. Shetani. Kapigwa na kafezeshwa tuzidi kumuomba mungu maana yeye ndie mtetezi wetu
Mungu ni mwema kila wakati mungu anaendelea kukupigania akuzidishie maisha marefu mama
Mungu ako na Jambo na wew mama mungu akulinde na tunaamini utapona Kwa damu ya yesu ❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema siku zote dada bahat pole sana dadangu mungu amekupigania upo Salam jina lake libarikiwe sana
Mungu aendelee kukupigania nakupenda ssana!
Mungu akuponye ndugu yangu pole sana
Pôle sana dada mungu azidi kukulinnda tunakupenda
Asante Mungu kwaku tucungiya muimbaji weyu mkubwa mu Afrique bahati Bukuku Mungu aendele kuku cunga kabisa sana
@AnnCharles-mq9xl
2 ай бұрын
😍😪✊🌟✊😘🙏🙏👌 🥳12:32 😘❤️❤️
Pole sana mama,shetani hana aibu ata.God loves you more...na bado utaishi in jesus name.
God is able..hutakufa Bali utaishi nawe utasimulia matendo makuu ya Mungu.NAKUPENDA
Pole sana mtumishi wa mungu kwa hiyo ajali uliopata mungu atakusaidia hicho ni kipimo Cha Imani Yako tu usiwe nawasiwasi
Ameeen. Pole saana mama BAHATI BUKUKU
Pole sana mtumishi wa BWANA
Duuuh pole sana mungu akutue nguvu
Pole sana ! MUNGU mwema dada uko salama🙏
Pole mamangu mungu atakusaidia utapona na utaishi miaka mingi shetani hana nafasi ktk jina la yesu
Mungu azidi kukuponya🙏🙏🙏
Mungu akuponye haraka dear urejee kwenye kiwango kingine.
Pole dadayetu MUNGU akupe maisha marefu tunakuhitaji saaaana wanaokunenea mabaya habari ziwafikie kuwa hauna mkataba na mauti kwasasa
Yesu kristo mwana wa Mungu jamani!!! pole mtumishi wa mungu jamani pole sana. Mungu akiwa nawe hakuna kushindwa. Utapona kwa wezo wa Mungu. Twakupenda sana twakuombea na utapona Amen
Pôle mama mupendwaaaaaa. MUNGU wetu akulinde
Pole sana dada angu Mungu ni mwema sana hadi hapo ulipofika ni Kwa neema tu na yeye ndiye mlinzi wa maisha yako akupiganie na asikuache katika kipindi hichi kigumu kwako Amen
Mungu akuinue mtumishi, Mungu wetu ni mponyaji.
Dada hiliswala limenishituka sana pole sana mungu yupo atakupa afya jema km. Ni w2 mungu atakurali mti wamatund utapingwa mawe dada utapo naujumbe utaupepe Rushal wa mungu
Mwanangu akupe hekima busara we ni shindi sugar wa yesu nakupenda sana mwanangu pia nashukuru Mungu kwa uzima unao leo kusikia ukiwa hai ubarikiwe naishi marekani Mungu awe nawe mwanangu
Mungu ni mwema kwa wampendao atazid kukupigania! Mung akuponye mama ang.
@tedybernad3828
4 жыл бұрын
Pole dada bahat
Pole sana dada acha mwenyezi Mungu akuonyesha kwa jina la yesu kristo ya Nazareth
Pale sana sukuru mugu wako kuzuia life Yako thank God sana .
Pole sana dada,mungu azidi kukupigani,nimejifunza mengi kutokana na majaribu yako shukuru mungu unatumika na mungu ili wengi wajie Amen kenya
Pole Sana dada angu mungu akutie nguvu upone uludi kwenyealiyako ya kawaida mungu nimwema utapona 8:16
Mungu yuko upande wako pokea uponyaji kwa jina la yesu Bahati Bukuku.
@lovenessmwagama6201
4 жыл бұрын
mungu nimwema huonimtihani tuuuuuuuu hutakufa bali utaishi mpendwaaaaaaaaaa!!!!
God bless u bukuku ,we love u and u are protected with blood of God,from kenya
Nilisikia vibaya mno kusikia kua amefariki bahati nilichoka moyoni kua nimemloteza mwimbaji wagu mzuri nazipenda nyimbo zake ninapo zimba nasikia furaha mungu akuogeze siku baada ya siku
Pole mungu anakupenda sana ...zidi kumtumikia tunakupenda Dada
Pole sana dada yangu kipenzi, Yani kabisa Mungu ni Mungu kabisa Ku waokowa, ungali nakazi mingi yakumutumikiya.ila sifa zimurudi saana. Natamani hâta Siku moja nikupigiye muziki kwani mimi ni mwana mziki nikiwa mkongomani na Sasa naishi apa yuganda
@Donasian-ry9kh
4 ай бұрын
Pole sana mama mungu atakuponya amina
Pole mwaya dogo Bahati Bukuku. Mungu Mwenyezi unayemtumikia tangu utoto wako ATAKULINDA, KUKUKINGA NA KUBARIKI KAZI YA MIKONO YAKO. UPONE MAPEMA MWAYA.
Ulinzi wa mungu uu juu yako, mungu akutie nguvu
Bahati bukuku mungu akusaidiye sasa😢😢😢
i like your confidence mama bukuku mtu mwenye jina lazima unenewe lolote ila pole kwa yote
@leahgilbat4185
4 жыл бұрын
Mungu akiwa upande wako ninan? Alive juu yako ubarki we mtumish wa mungu
Pole dada bahati.tunaamini Mungu amekuponya mpaka ulipo fika hapo.
Una sema eti watanzania wanakupenda, lakini na weza kusema kama kuna Wakongomani ambao wana kupenda sana zaidi than you can't imagine. My family wanted to know the truth about your death!!! We are happy that you're still alive😊 thanks God
@ngogajeannedarc9083
4 жыл бұрын
Mimi na mpenda zaidi yenu Mungu asante tena baba .from Burundi.
KWAKWELI mungu HAWEZI kubali huyu dada âge 'kupitiuya zi ametenda kwa hiyi duniya
Mungu akuponye na awaponye wote kwa damu yake takatifu. Kuwa na moyo mkuu. Mnaoota vifo kwa watu muwe makini ila tujue kifo ni njia yetu sote mavumbini tumeumbwa na kwayo tutarudi. Na tamka afya njema nnyote. Amen
dada maombi umeombewa dunia nzima sio kwa wa tanzania peke yao mimi ni mcongomani na mmefata magazeti zako usiku na mchana Mungu akujalie mema na maisha marefu na hekma nyingi tena mama asante
Pole mwanangu Mungu akusaidie akupe nguvu na siku nyingi duniani
Pôle Sana dada letu bahati mungu wa mbinguni sio ndogo atakupognesha ndani ya umivuu na atakupognesha
Dada pole.Waja mungu aitwe mungu.QR n blessings too
Poleni saana mama bahati bukuku nakupenda saanaa akii.pia kiswahili chako kitamu zaidi aisee
Pole.mwanamke.mwenzangu
Umeimba vizuri sana , Mungu azidishe kipaji chako , ipa pole kwa ajali mbaya sana . Lakini Bwana Ni mwema
Mungu azidi kukupa uzima. Twakupenda sana wakenya.
Pole Sana Bahati Bukuku kwa ajali hiyo,Mungu atakuponya,,!!!
Nafurahia sana kuona kujua kwamba no uongo tu wanaosema kwamba umetuaga.Mungu akuponye na usimame tens na kutembea.You are significant to many.
@shebyzedony5020
4 жыл бұрын
pricillah mwangi r
Pole sana dada mungu amekuponya amini mungu uko sawa kabisa?
Pole sana dada yangu bokuku chakwasa inatakiwa tumwogope sana mungu wa mbinguni
shetani muongo.wasamehe wote naye mungu atawavuruga keep on
pole madam mimi shabiki wako mungu akulinde zaidi
Mungu, akuponye kwa kwa haraka,iliuendelee kumtumikia hapa Duniani. Kabura ulimwisho haujafika.
Wah pole sana, Glory be to God that he protected you Ingekua mbaya sana. Drivers Kimdly dont drink and drive
Shetani ashidwe na majaribu zake,,,,MUNGU ni mwaminifu akupe uzima tele akuponye dada wetu BAHATI BUKUKU AMINA
Je bénis l'éternel pour sa protection divine envers sa servante Bahati bukuku c'est ne pas seulement que le tanzanien qui ont prié pour notre maman Bahati bukuku il y a aussi les congolais de la République Démocratique du Congo
Hakika Mungu nimwema mtumishi
Nakupenda dada Mungu ukuongeze heri na miaka mingi
Pole Sana Dada angu Bahati Bukuku Mungu yupo na atawapa haki yao wanaozusha uvumi mbaya hivyo nawaambia hautakufa bali utaishi ili uyasimulie matendo makuu ya Bwana
Pole sana mtumishi mwamini mungu wambinguni alali asinzii atakuponya
Pole sana Bukuku wetu Mungu apewe sana sifa zake kwa kukulinda tunafulahi sana kusikia umuzima.
@samuelmisiani3722
4 жыл бұрын
Sorry mammy utapona hamini mungu atakuponya
MUNGU yuko upande wako dada namuhomba MUNGU sana tena akuogezee miaka yakuuishi !!! uimbadji wako unasahidia watu duniani siyo tu wa TANZANIA tupo wengi tuna sahidiwa kupitia uhimbadji wako dada
@betekenya7456
5 жыл бұрын
Mungu.akopamoja.na.wewe
@franqlee7703
4 жыл бұрын
yot muachie mung sister wet twakupend sanaa
Pole mamiii .. twakupenda Sana humu Kenya
pole mama. shetani ana kazi zake but God has power let him protect u with his blood. nikisikia sauti from Jordan
Pole Saana kipendwa wetu. Mungu akujalie upone mapema
Bahati, am sorry to hear about your accident, but i praise Jesus that you are fine. I hope all is well now. Am waiting to hear more of your wonderful songs. God bless you and keep you safe
Pole sana dadangu mungu uko pamoja na ww,i wish you quick recovery mum
@lucyshirima402
5 жыл бұрын
Pole Dada bahat jmn mungu ni mkubwa mungu asidi kukupingania ila wanahabar akili zao wanasijua wenyewe sijui kwann wanatoa tarifa za uwongo kwenye mtandao mkubwa km huu dah mungu you pamoja nawe my sister
Mungu akuponye
Pole mama, ninakupenda Sana, ungali muzima kwa Jina la YESU nafulahi Sana.Be blessed mama
@lovenessmwagama6201
4 жыл бұрын
bahati dadaangu kumbuka wemawamungu umekuzunguka
Pole Sana mtumishi wa Mungu,kwaajali iliyowapata, lakini vipi maendeleo ya afya yako kwa Sasa?.
Pole sana mtumishi wa mungu mpendwa wangu mungu akuponye
Oh my God!!!! Mama mama yangu mama machozi yananitoka Mungu aliyeziumba mbingu na nchi anajuwa hadi kilindi cha moyo wa mtu akuinue mama akuweke juu juu juu zaidi so as we great testfy and great gradefy the groly of God through my mum bahati.amen.Mourine in saudia.
Pole bahati bukuku uponyanji waharaka tunakuombea watching from saudii a kenyan citizen i lk ua music its really gave m caurage dunia haina huruma na mulindekai
Pole sana asante yesu kwa kukuokoa na roho ya mauti ameeen
Your wisdom is on another level
pole sana kwa ajali shetna ana mamlaka katika maish yako twashukuru mungu uko mzima dada mungu bado yuakupend wacha tumsifu mungu
@richardotieno9873
7 жыл бұрын
Pole xn mtumixi wa Mungu
My sister I love so much you will live in the name of jesus christ from DRC
Mungu wetu ni mungu wa neema pole mama yangu bahati kipenzi changu mungu amekupigania Kwa mengi ivyo yupo pamoja na wewe uchawi autakaa mikononi mwako wala mwilini mwako Mika 5:12
asante kwa Mola wetu kwa jambo lolote limetutokeya dada Bahati ,toka Rdcongo
Dada Bahati umepona na Yesu aendelee kukuganga kila mahali " Mimi nimeamua kutengeneza na Mungu wangu" uko vzr dada.
Pole dada.Haujamaliza kazi ya Mwenyezi Mungu, atakulinda,na atakupa maisha marefu .Tunakupenda sana.
@anneawino7948
4 жыл бұрын
Pole sana mama
@annamnanka1640
Жыл бұрын
Pole dada bahati mungu akuponye
Always God is with His people no matter wat the devil plan in your live it wil not succeed, Maisha yetu yako kiganjani mwake. pole sana Mtumishi, tell the righteous its well.
@olivajoseph4187
6 жыл бұрын
Pole mamy mungu mwema sifa nautukufu zimrudie yeye
@marianamohele804
5 жыл бұрын
Pole Dada bukuku Mungu hamwachi aliyeupande wake
@patiencengowa3492
Жыл бұрын
Pole sana bahati bukuku mungu akusaidie wimbaji wako uendelee
Pole Sana Mungu akutie nguvu kwa pito kama hilo
Mungu yu mwema pokea baraka na uponyaji Dada,pigana vita natumai ushapona kwa jina LA yesu.
Mungu akupe kibali mbinguni akupe hekalu ukaendelea kumwa budi mbinguni wala usiache kumsifu hata mbinguni imba
Pole sana na Mungu akutie nguvu na akuepushe na mabaya
Pole Sana dada Nina imani mungu atakutia nguvu
Oooooh! Huwez kupendwa na wote!!! Mungu yuko upande Wako. Pole sana wangu ,penda sana ww!
Shetani Hana nafasi kwa maisha yako mama
Pole mum...may God see you through. Quick recovery. May God protect you. We love you in Kenya
@ab3ab313
4 жыл бұрын
mung.aace.kuitwa.mung
Pole sana mtumishi tunajua kawaida shetani hapendezewi kamwe kuona mwanadamu akiwa na furaha pole
Pole Mamangu watapigana nawe lakini hawatakushinda Bwana yu pamoja na Wewe.