SHUHUDIA QURAN TAJWEED IKISOMWA NA MSOMAJI KIPOFU TOKEA MDOGO ALIYEHIFADHI QURAN YOTE. BAURA KONDOA.
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@mwanahamisimwinyi1040 Жыл бұрын
inasikitika kipofi anasoma quran lakini mwenye kuona ana mmchezea Allah tumuogopeni mwenyezi mungu ya rabbi
@hamisimkima117 Жыл бұрын
Allah Akupe Mwisho mwema Sheikh wetu
@allymgombela6927 Жыл бұрын
Allah amzidishie elimu Zaidi ya hapo
@salumhamad1421
Жыл бұрын
Amiin
@osamashakeeb7194 Жыл бұрын
Allahuakbar 😢mimi na wewe wenye neema ya kuona tuitumie vizuri neema hii tutaenda kuulizwa tuliitumia vp🤔 ndugu yetu huyu ni kipofu lakini ameifadhi qur'an masha Allah ❤❤❤❤❤❤
@fadhiliosuta17197 ай бұрын
Mashallah Allah akuzidishie
@maryammtumwa82788 ай бұрын
Subhana Allah mjaalie macho akhera ya Rrabbi
@salumumchaga9717 Жыл бұрын
Mashaallah wallah machozi yamenika tujifunze tuliejaaliwa neema ya uzima
Mashaa Allah.wengi tuliyo na macha ya kuona hatuoni QUR,AN.Macho ya kisasa ni ya Kuchati
@salmaismael4071 Жыл бұрын
Mashaaaaallah allah ampe afya njema amiiin
@AmourSuleymanАй бұрын
Mashallah
@salmasalim586 Жыл бұрын
Mashaaallah
@ndumamedia46275 ай бұрын
Allah Akbar ❤️
@abdulshakur8425 Жыл бұрын
Mashallaah
@SamiaHassanRamadhan-wl4bs10 ай бұрын
Mashallha kaka angu
@hamdaniamli7436 Жыл бұрын
Tweybu tweybu Allahuakbar Allahuakbar maanshaallah Allah akuhifadhi inshaallah
@jumaathumaninnalillahwaina1972
Жыл бұрын
Mashaallah allah akulipe kher
@minahchidi4792 Жыл бұрын
MASHAALLH ABDALLAH NDEE MPK NIMETOWA MACHOZI YA FURAHA
@iliasaitasu8782 Жыл бұрын
Mashaallah ustadh
@athumanikhamisi3377 Жыл бұрын
Maashaallah
@halifajuma545 Жыл бұрын
Mashalha
@ulipoulipotupo7564 Жыл бұрын
😔😔mashaallah allah akupe mwish mwema ostaz😔
@sheikhnurdini84 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@jamalkishangu Жыл бұрын
Huyo sio kipofu, kipofu katika dini ni yule aliyepofua moyo. Bora upofue macho ya kichwani kuliko kupofua macho ya moyoni.
@salumumchaga9717 Жыл бұрын
Nakumbusha tunavipaji kila kona ya kondoa, chemba, haw waomaji wetu wakubwa wasione aibu kutangaza rehema hii na kuomba misaada kwa waislam wenzetu ili kubust vipaji hivi
@jumajuma8456 Жыл бұрын
Mm na ww tunaona ndio vipofu hyu anaona
@abbasmosi4481 Жыл бұрын
Mimi na wewe ikiwa hatuna chochote ktk quran ndio vipofu sio huyu!
Пікірлер: 31
inasikitika kipofi anasoma quran lakini mwenye kuona ana mmchezea Allah tumuogopeni mwenyezi mungu ya rabbi
Allah Akupe Mwisho mwema Sheikh wetu
Allah amzidishie elimu Zaidi ya hapo
@salumhamad1421
Жыл бұрын
Amiin
Allahuakbar 😢mimi na wewe wenye neema ya kuona tuitumie vizuri neema hii tutaenda kuulizwa tuliitumia vp🤔 ndugu yetu huyu ni kipofu lakini ameifadhi qur'an masha Allah ❤❤❤❤❤❤
Mashallah Allah akuzidishie
Subhana Allah mjaalie macho akhera ya Rrabbi
Mashaallah wallah machozi yamenika tujifunze tuliejaaliwa neema ya uzima
Wallah imenitoa machozi kipof anahifadhi maneno mazito yaalla
Mashaa Allah.wengi tuliyo na macha ya kuona hatuoni QUR,AN.Macho ya kisasa ni ya Kuchati
Mashaaaaallah allah ampe afya njema amiiin
Mashallah
Mashaaallah
Allah Akbar ❤️
Mashallaah
Mashallha kaka angu
Tweybu tweybu Allahuakbar Allahuakbar maanshaallah Allah akuhifadhi inshaallah
@jumaathumaninnalillahwaina1972
Жыл бұрын
Mashaallah allah akulipe kher
MASHAALLH ABDALLAH NDEE MPK NIMETOWA MACHOZI YA FURAHA
Mashaallah ustadh
Maashaallah
Mashalha
😔😔mashaallah allah akupe mwish mwema ostaz😔
😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyo sio kipofu, kipofu katika dini ni yule aliyepofua moyo. Bora upofue macho ya kichwani kuliko kupofua macho ya moyoni.
Nakumbusha tunavipaji kila kona ya kondoa, chemba, haw waomaji wetu wakubwa wasione aibu kutangaza rehema hii na kuomba misaada kwa waislam wenzetu ili kubust vipaji hivi
Mm na ww tunaona ndio vipofu hyu anaona
Mimi na wewe ikiwa hatuna chochote ktk quran ndio vipofu sio huyu!
Mashallah
Mashallah
@hoseinjuma4249
Жыл бұрын
Mashaallah