MUFT AMTUNZA MADOLA QARY ANKO IDD KTK KONGAMANO LA QURAN NA HADITHI UKUMBI WA MW/ NYERERE DAR 2024

Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Пікірлер: 84

  • @user-uk1fg6ki7o
    @user-uk1fg6ki7oАй бұрын

    Mashallah mashallah mashallah

  • @user-mr1sl6dd7g
    @user-mr1sl6dd7g2 ай бұрын

    ماشاء الله تبارك الله فيك.

  • @user-hf3gj2fx2k
    @user-hf3gj2fx2k2 ай бұрын

    Mashallah ❤

  • @AbdurahmanAbdallah-yl6um
    @AbdurahmanAbdallah-yl6um2 ай бұрын

    Utatokwa na udhu shaban ww ivi mtume alisom iv na maswahab je?? Ila pesa ban fanyeni mtakavyo pia hao kun jalala makafir hapo wanafanyaje Allah awalaan hao .mashia

  • @tabujuma9046
    @tabujuma904620 сағат бұрын

    Maasha Allah

  • @user-kp8mx2rn6t
    @user-kp8mx2rn6t2 ай бұрын

    Mashallah kakahujawahi kufeli ❤

  • @user-hb6sg1sh1z
    @user-hb6sg1sh1z2 ай бұрын

    Mashallah best shekhe Quran

  • @mokitaa8750
    @mokitaa87502 ай бұрын

    MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUKUHIFADHI

  • @user-ss2dx7qs9b
    @user-ss2dx7qs9b2 ай бұрын

    Mashaalah tabaraqallah mjomba idy

  • @AllyMustapha-kq8fs
    @AllyMustapha-kq8fs2 ай бұрын

    Allah akujaalie kila la kheri

  • @user-zv7dq5kw1w
    @user-zv7dq5kw1w2 ай бұрын

    Masha Allah

  • @rajabuchambuko581
    @rajabuchambuko5812 ай бұрын

    Maashaallah Maashaallah mtume katuachia Quran na kizaz chake Maashaallah

  • @mohamediddi5126
    @mohamediddi51262 ай бұрын

    Ma Sha Allah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 ай бұрын

    ماشا ءالله تبارك الله

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior51532 ай бұрын

    Maa shaa allah

  • @ManswabuShabani
    @ManswabuShabani2 ай бұрын

    Subhaanallah maashallah

  • @binsaid8618
    @binsaid86182 ай бұрын

    ما شاء الله

  • @ShamanhashimKhushtar
    @ShamanhashimKhushtar2 ай бұрын

    Mashallah

  • @swahibu1202
    @swahibu12022 ай бұрын

    Mashaallh❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bakwiringashe4371
    @bakwiringashe43712 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6t2 ай бұрын

    mashallahu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Allahu akbar mashallah

  • @hatibumsaki5446
    @hatibumsaki54462 ай бұрын

    Ma shaa Allah.....ila msiwaalike tena hao mashia ni maadui wa maswahaba na ni maadui zetu pia

  • @khalidhassan9845

    @khalidhassan9845

    2 ай бұрын

    Njaaa mbaya ndugu yangu

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Haha mawahabi hamna ishu mmechanganyikiwa wala hamjui mfatacho.Yani maswahaba waliuwana na kutukunana ndiyo waliokuwa wanapendana? Yani nyinyi hata sijui mnasoma elimu gani

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    ​@@khalidhassan9845Hivi kuna watu wana njaa zaidi ya mawahabi? Mawahabi wanatunga hadithi na kanuni k8nyume na Quran ili kuunga mkono mdhalimu wa mabwana zao

  • @user-jc6zt3mu4i
    @user-jc6zt3mu4i2 ай бұрын

    Tusiishabikie qur'aan kama tunavoushabikia mpira jaman makelele ya nini na ikiwa tumeamrishwa na allah tabaaraka wa taala pindi inaposomwa tunyamae ili tupate mazingatio kwanin tunakua hivi jaman twautafuta moto kwa nguvu?

  • @khalidhassan9845
    @khalidhassan98452 ай бұрын

    Wallahi njaaa mbaya sana Allah atuepushe na njaaa ndugu zangu waislam,

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Haha mawahabi hamna ishu zaidi ya chuki tu.

  • @KaitaKatema

    @KaitaKatema

    2 ай бұрын

    wakaimbe bongo flava

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    @@KaitaKatema Hata mimi naunga mkono mawahabi wakaimbe bongo Flava maana hawana wajuacho

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s2 ай бұрын

    Mashia masufi ndio wahuni wa uislamu hivi leo

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya98732 ай бұрын

    Takbiriiiii

  • @user-et6tb6pf3j
    @user-et6tb6pf3j2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani19692 ай бұрын

    Hao mashia wa nini sasa?

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s2 ай бұрын

    Wahuni watupu

  • @user-ox1md2jx9o
    @user-ox1md2jx9o2 ай бұрын

    Nilazima kuka namashia

  • @AbdurahmanAbdallah-yl6um
    @AbdurahmanAbdallah-yl6um2 ай бұрын

    Duuuuuh sifa izoooo

  • @MahafudhiKishama
    @MahafudhiKishama2 ай бұрын

    Ulitaka washirikiane n ww ,,alafu ww unatoa hukum au wajua je kuwa wwe upo sahii n unayoyaamin kuwa n kweli tumuuachie Allah maana yye ndo mwenye kumjua mbora kwake

  • @user-ri9kz2ej5j
    @user-ri9kz2ej5j2 ай бұрын

    Mwarab wa kondoa huyu mashaallah

  • @safarsafari68
    @safarsafari682 ай бұрын

    Naona mashia wamejazana hapo

  • @abdulkhaliqmuhammed456

    @abdulkhaliqmuhammed456

    2 ай бұрын

    Umekosekana wewe tu

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Ukiangalia vita vya Gaza utajua mashia ndiyo wanaofata Quran na sunna kikweli.Huwezi kuwa mtu wa sunna alafu ukawa moga kama kuku aliye nyeshewa na mvua

  • @RamadhaniSiraji-gr8ed
    @RamadhaniSiraji-gr8ed2 ай бұрын

    Kwan mashia wamefanyaje

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t2 ай бұрын

    Kama wslikosea huko nyuma badass tuwafanyeje

  • @OthmaniSelemani-tj3lv
    @OthmaniSelemani-tj3lv2 ай бұрын

    Hiyo ni hatua ya kwanza hatua ya pili uifanyie KAZI sasa

  • @wazirikipanga325
    @wazirikipanga3252 ай бұрын

    Huyu ni mtanzania ama??

  • @aishaaisharagp9381

    @aishaaisharagp9381

    2 ай бұрын

    Ndio huyonimtanzania Allah amuhifadhi

  • @khamissmohd
    @khamissmohd2 ай бұрын

    Nyie mnaopinga mashia na ni krk qaumu ya wanafiki, mmelaaniwa hamtaki umoja, uislam ni shahada tu.

  • @malkiahsalimu2652

    @malkiahsalimu2652

    2 ай бұрын

    Hivi walani watu wote jamani....tahadhari na onyo la mtume swalallahu alaiy wasalam...wajua kwann wanawake wengi wanaenda motoni?? Mulize sheikh wako akupe jbu kulingana na Hadith ya mtume swalallahu alaiy wasalam

  • @saidsalum523

    @saidsalum523

    2 ай бұрын

    Kwa iyo ukileta shahada hakuna tatizo kuwatukana masahaba au sio?

  • @shmohd11

    @shmohd11

    2 ай бұрын

    Nani Kwa kwambia Uislamu ni Shahada Tu? Maimamu ABUU Hanifa (ambaye Mashia walifukua kaburi lake na kuzika mbwa), Shaafi, Ahmad, Malik hawakujua hilo? Mnajiita Mashafi lakini hamuujui Ushafii

  • @saidsalum523

    @saidsalum523

    2 ай бұрын

    @@shmohd11 mtihani mkubwa sana tulionao,,watu wanajiweka pamoja na mashia labda hawajui ukweli kuhusu ushia na ndio maana wanawatetea

  • @user-kf6wy8gs1s

    @user-kf6wy8gs1s

    2 ай бұрын

    Mnacheka cheka tu hapo pumbavu nyie kwani mnaona mko ngomani hapo? mijitu inashida hii sijapata kuona

  • @BarakatiYahyaa
    @BarakatiYahyaa2 ай бұрын

    Tatizo mnashirikiana namashia sjapenda hicho kitu

  • @abuubakarimussa2301

    @abuubakarimussa2301

    2 ай бұрын

    Wependa Quran tu

  • @abdulkhaliqmuhammed456

    @abdulkhaliqmuhammed456

    2 ай бұрын

    Sema ulichopenda kwanza kisha ndo mengine yafuate kuwa na inswaaf

  • @user-kp8mx2rn6t

    @user-kp8mx2rn6t

    2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Shabalala99275

    @Shabalala99275

    2 ай бұрын

    Kwaio mashia wakitoa swadaqa sie tusitoe au

  • @salumkatula4824

    @salumkatula4824

    2 ай бұрын

    Sasa wewe unawafuata mashia

  • @user-ki4ou5nc8x
    @user-ki4ou5nc8x2 ай бұрын

    Maburuk

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1c2 ай бұрын

    Tofauti ya shia na sunni ni fitna tu ila wote wanatamka shahada 1 na wanaswali kufunga zakkatlmal na kuhiji vp wewe uwabague

  • @saidsalum523

    @saidsalum523

    2 ай бұрын

    Ndugu yangu soma utajua UBAYA wa mashia

  • @user-kp8mx2rn6t
    @user-kp8mx2rn6t2 ай бұрын

    Kwakweli ww niwakiduniya

  • @abdulkhaliqmuhammed456

    @abdulkhaliqmuhammed456

    2 ай бұрын

    Tunakuona wewe uko akhera

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Mashallah

  • @abdullahmkunga6863
    @abdullahmkunga68632 ай бұрын

    Mashaallah

  • @maulidimkumba3255
    @maulidimkumba32552 ай бұрын

    Manshaalllah