MUFT AMTUNZA MADOLA QARY ANKO IDD KTK KONGAMANO LA QURAN NA HADITHI UKUMBI WA MW/ NYERERE DAR 2024
Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Пікірлер: 84
Mashallah mashallah mashallah
ماشاء الله تبارك الله فيك.
Mashallah ❤
Utatokwa na udhu shaban ww ivi mtume alisom iv na maswahab je?? Ila pesa ban fanyeni mtakavyo pia hao kun jalala makafir hapo wanafanyaje Allah awalaan hao .mashia
Maasha Allah
Mashallah kakahujawahi kufeli ❤
Mashallah best shekhe Quran
MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUKUHIFADHI
Mashaalah tabaraqallah mjomba idy
Allah akujaalie kila la kheri
Masha Allah
Maashaallah Maashaallah mtume katuachia Quran na kizaz chake Maashaallah
Ma Sha Allah
ماشا ءالله تبارك الله
Maa shaa allah
Subhaanallah maashallah
ما شاء الله
Mashallah
Mashaallh❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah
mashallahu
Allahu akbar mashallah
Ma shaa Allah.....ila msiwaalike tena hao mashia ni maadui wa maswahaba na ni maadui zetu pia
@khalidhassan9845
2 ай бұрын
Njaaa mbaya ndugu yangu
@abiabi9353
2 ай бұрын
Haha mawahabi hamna ishu mmechanganyikiwa wala hamjui mfatacho.Yani maswahaba waliuwana na kutukunana ndiyo waliokuwa wanapendana? Yani nyinyi hata sijui mnasoma elimu gani
@abiabi9353
2 ай бұрын
@@khalidhassan9845Hivi kuna watu wana njaa zaidi ya mawahabi? Mawahabi wanatunga hadithi na kanuni k8nyume na Quran ili kuunga mkono mdhalimu wa mabwana zao
Tusiishabikie qur'aan kama tunavoushabikia mpira jaman makelele ya nini na ikiwa tumeamrishwa na allah tabaaraka wa taala pindi inaposomwa tunyamae ili tupate mazingatio kwanin tunakua hivi jaman twautafuta moto kwa nguvu?
Wallahi njaaa mbaya sana Allah atuepushe na njaaa ndugu zangu waislam,
@abiabi9353
2 ай бұрын
Haha mawahabi hamna ishu zaidi ya chuki tu.
@KaitaKatema
2 ай бұрын
wakaimbe bongo flava
@abiabi9353
2 ай бұрын
@@KaitaKatema Hata mimi naunga mkono mawahabi wakaimbe bongo Flava maana hawana wajuacho
Mashia masufi ndio wahuni wa uislamu hivi leo
Takbiriiiii
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hao mashia wa nini sasa?
Wahuni watupu
Nilazima kuka namashia
Duuuuuh sifa izoooo
Ulitaka washirikiane n ww ,,alafu ww unatoa hukum au wajua je kuwa wwe upo sahii n unayoyaamin kuwa n kweli tumuuachie Allah maana yye ndo mwenye kumjua mbora kwake
Mwarab wa kondoa huyu mashaallah
Naona mashia wamejazana hapo
@abdulkhaliqmuhammed456
2 ай бұрын
Umekosekana wewe tu
@abiabi9353
2 ай бұрын
Ukiangalia vita vya Gaza utajua mashia ndiyo wanaofata Quran na sunna kikweli.Huwezi kuwa mtu wa sunna alafu ukawa moga kama kuku aliye nyeshewa na mvua
Kwan mashia wamefanyaje
Kama wslikosea huko nyuma badass tuwafanyeje
Hiyo ni hatua ya kwanza hatua ya pili uifanyie KAZI sasa
Huyu ni mtanzania ama??
@aishaaisharagp9381
2 ай бұрын
Ndio huyonimtanzania Allah amuhifadhi
Nyie mnaopinga mashia na ni krk qaumu ya wanafiki, mmelaaniwa hamtaki umoja, uislam ni shahada tu.
@malkiahsalimu2652
2 ай бұрын
Hivi walani watu wote jamani....tahadhari na onyo la mtume swalallahu alaiy wasalam...wajua kwann wanawake wengi wanaenda motoni?? Mulize sheikh wako akupe jbu kulingana na Hadith ya mtume swalallahu alaiy wasalam
@saidsalum523
2 ай бұрын
Kwa iyo ukileta shahada hakuna tatizo kuwatukana masahaba au sio?
@shmohd11
2 ай бұрын
Nani Kwa kwambia Uislamu ni Shahada Tu? Maimamu ABUU Hanifa (ambaye Mashia walifukua kaburi lake na kuzika mbwa), Shaafi, Ahmad, Malik hawakujua hilo? Mnajiita Mashafi lakini hamuujui Ushafii
@saidsalum523
2 ай бұрын
@@shmohd11 mtihani mkubwa sana tulionao,,watu wanajiweka pamoja na mashia labda hawajui ukweli kuhusu ushia na ndio maana wanawatetea
@user-kf6wy8gs1s
2 ай бұрын
Mnacheka cheka tu hapo pumbavu nyie kwani mnaona mko ngomani hapo? mijitu inashida hii sijapata kuona
Tatizo mnashirikiana namashia sjapenda hicho kitu
@abuubakarimussa2301
2 ай бұрын
Wependa Quran tu
@abdulkhaliqmuhammed456
2 ай бұрын
Sema ulichopenda kwanza kisha ndo mengine yafuate kuwa na inswaaf
@user-kp8mx2rn6t
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@Shabalala99275
2 ай бұрын
Kwaio mashia wakitoa swadaqa sie tusitoe au
@salumkatula4824
2 ай бұрын
Sasa wewe unawafuata mashia
Maburuk
Tofauti ya shia na sunni ni fitna tu ila wote wanatamka shahada 1 na wanaswali kufunga zakkatlmal na kuhiji vp wewe uwabague
@saidsalum523
2 ай бұрын
Ndugu yangu soma utajua UBAYA wa mashia
Kwakweli ww niwakiduniya
@abdulkhaliqmuhammed456
2 ай бұрын
Tunakuona wewe uko akhera
Mashallah
Mashaallah
Manshaalllah