Shuhudia mwanzo mwisho mwili wa Yusuf Manji ukizikwa Florida, Marekani
Mwili wa aliyewahi kuwa Mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, umezikwa usiku huu Orlando, Florida nchini Marekani baada ya kuswaliwa katika Msikiti Al Hayy.
Manji alifariki dunia akiwa hospitalini nchini Marekani, ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Dijital akiwa jijini Dar es Salaam.
Пікірлер: 529
Mmh mtihan uwo wallah 😢 mwenyezi mungu amsamehe madhambi yake
Allaah Amrehem Ampumzishe Fii'jannah, pamoja na Wa Islam wote, Amiin thumma Amiin
@ZayanaRiyami-jl3sd
4 күн бұрын
Amiin yarrab
@kitojomamdimu9253
4 күн бұрын
Hii sikweli
@HanifaOman-oo4pl
2 күн бұрын
Kwani nimuuslam yule kama muislam mbonakazikwa hivyo
Aendelee kumpumzika kwa Amani kweli pesa haina thamani mbele ya kifo, Pendaneni jamani na kumrudia Mungu maana sisi sote tuu wapitq njia tunapata wapi kiburi cha duniani
@maryamabdallah3140
4 күн бұрын
Well said @hawaelymaricca
@IssaKefa
4 күн бұрын
Rip
@IssaKefa
4 күн бұрын
Rip
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
@MursalLusinde
3 күн бұрын
Maisha ya mwanadamu ni kama maua tu yanachanua baada ya muda yananyauka😢 dunia ni kituo cha kupita tu na kuendelea na safar tusijisahau kwani kila pumzi moja unayopumua ndivyo umri wako wa kuishi unavopungua
Siku zote tuombe M Mungu atupe mwisho mwema
@MasouHusein
4 күн бұрын
Hakika ndio lakumuomba Allah
@hatibbaraka3956
3 күн бұрын
Kabisa
@calvinmaro6445
6 сағат бұрын
Dhambi zipi hizo
Sasa kama tajiri kazikwa hivi je masikini anazikwaje huko i love Tz🇹🇿
@user-ds7ho1my4u
4 күн бұрын
Huyu SI tajiri Huko Marekani, Tajiri wa Tanzania kwenye Nchi ya Watu Ambao, Wanawaona Wahindi ni Miungu Yao, Marekani watu Huwa hawaende Kula Pilau Kwenye Misiba, Kila Mtu ana Shughuli zake, Kumbuka Maiti ni Mzoga tu, kama Mizoga Mingine.
@NuruBomba
4 күн бұрын
Maskini unachomwa moto
@user-wl8qm2yj2c
4 күн бұрын
@@NuruBomba nasikia Wana sagwa au uzikwe kwa kusimama bajeti stidhi
@user-wl8qm2yj2c
4 күн бұрын
@@NuruBomba nasikia Wana sagwa au uzikwe kwa kusimama bajeti stidhi
@user-wl8qm2yj2c
4 күн бұрын
@@NuruBomba aridhi yao bajeti
Nasikitika kwamba kwa nini kazi kwa huko,huyu alikuwa ni mtz mwenzetu,huku angepewa mazishi ya hishma kubwa kwa kweli,ila basi,ardhi ni iyo iyo tu.pole manji na wanao.
@emmadora7848
4 күн бұрын
Mazishi ya heshima hayakupeleki mbinguni
@janifajani8875
4 күн бұрын
Nilicho gunduwa hawajataka wafiki wa serekali wangejaa kuoji mambo kibao ambayo niyakinafki
@zenasalum2231
4 күн бұрын
C kazi labda alkua na uraia wa hiyo nchi
@handenitakuru6696
4 күн бұрын
@@janifajani8875 hakika unacho kiongea nikweli
@user-fk1fd8on6e
4 күн бұрын
Baba yake pia arizikwa hapo pia hakuna chaajabu kikubwa duaty❤❤❤
Asiyekujua hakuthamini hii inaonyesha hilo hana watu wanaonjua huko ni familia tu si sawa na huku kwetu ingekuwa hatari maana watu wa mpira na wa ccm mahutuba kibao lakini wapi ila Cha muhimu amefika na Allah tunakuombea umpokee kwa amani😭😭😭
@masumbukomaganga438
2 күн бұрын
Amefika wapi 😂😂😂 Hizi dini hizi huwa mnajifunza nini haswa mtu akisha kufa amekufa kumb kumb yake imetoweka hajui kitu ana baki kaburini kusubiri ufufuo sasa wewe unasemaje amefika, amefika wapi
Innalillah wainnaillaih rajiun..Pumzika Kwa amani ndugu yetu Yusuf Manji.. Allah akujalie kauli thabiti Insha Allah
@kilimanjaro695
4 күн бұрын
Allahuma Ameen 🤲🏾
Matajiri ,namnaokesha kutafuta pesa bila utu ,muone pesa siololote ,ila tutengeneze mwisho mwema ,tuendako ,Allah atamlipa memayake naalipokesea amsameh ,Amiin
Hii ndo dunia inayotuhangaisha kutwaa kuchaa,tuishi tutakavyoishi tuwe matajiri tutakavyokuwa au tuwe masikini tutakavyokuwa lkn mwisho wetu ndo huu,kwann sasa tuchukiane😢,visasi vya nn?
@eddynaeem6708
Күн бұрын
kwani waislamu tunazikana vile ? naaona mashaka tu mwislamu akizikwa inatakiwa aelekezwe kibla lakini Yule naona kama kaelekezwa macho juu
@riyadhamasha2404
Күн бұрын
Mi mwenyew napata ukakasi sana kwenye hilo
May his soul rest in peace
Kwa nn kazikwa Marekani?
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Allah atupe mwisho mwema
Mwenyezi mungu ampunguzie madhambi yake
Uwe mwislamu,uwe mktisto,uwe mpagani,ainayeyote ya mazishi utakayoganyiwa.Bado hakimu wetu ni mmoja tu!Mungubpeke yake
@HarounRashidKuyawa
3 күн бұрын
Uislamu Una utaribu wa kuzikwa na c kuzikwa kama kuzikwa Tu na pia waislamu hakimu wao ni Allah na wakristo hakimu wao ni yesu tunaamini tofauti,Ndo maana waislamu tunaenda misikitini na wakristo kanisani Kila mtu na Mungu wake.
@user-eb9zd6ly7u
3 күн бұрын
NDUGU YANGU,CHANGAMOTO KUBWA KWENYE MAMBO YA IMANI NI ELIMI NDOGO,ANAETUKANA HAPA,HUENDA HATA "A" HAIJUI,NA AMEKUA KWENYE MAZINGIRA YA NAWA UENDE KANISANI/MSIKITINI,KIUFUPI NI KWAMBA,AMEMEZESHWA MANENO YA BIBLIA AU QURAN,BORA ANGEMEZA MWENYEWE,SASA KAMEZESHWA,MZEE!,KUMTAPISHA ALICHOMEZESHWA NI SHUGHULI KWELI KWELI."DUNIANI MNAYO DHIKI,ILA JIPENI MOYO,MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU",MWISHO WA KUNUKUU.
Yusuph alikua mtu mwemye roho nzuri sana
Rest in peace
TUJIFUNZE KITU HAPA. KIFO KINAAIBISHA MWILI. TUSIPAMBANE SANA NA MAISHA YANAYOISHA. Tuzikane aina zote za mwili, tuwekeze maisha yetu rohoni ambako maisha hayakomi. Mali si kitu tunaziacha, tumwachie mungu maisha yetu. TAZAMA VIDEO HII KWA MAKINI UTAELEWA .
@muhammadmuhammad5043
4 күн бұрын
Subhallah Huwo Ndio Ukweli Tuaache Kuipa Kipau Mbele Ndunia Kwa Anasa Mali Na yote Yatakayo Kuwa Hayatatufaa Kesho Akhera Tuaangalie Sana Kuhusu Hilo Allah Msameh Mjawako Wajawako Wote Waliotangulia Na Utajaalie Khusnilkhatima Njema Yarabiy..
@tukuyufm.
4 күн бұрын
@@muhammadmuhammad5043 ✔
@user-wl8qm2yj2c
4 күн бұрын
Enh pumzi Zina tuhadaa sana wanadamu alioko makaburini walikuwa mahodari kama sisi ukiwa na chembe ya Imani Kila siku katika maisha yako usisahau kuhusu kifo tumezaliwa dhalili na tuna Rudi dhalili wallah mwenyezi mungu mkubwa Allah akbar 😭
@tukuyufm.
4 күн бұрын
@@user-wl8qm2yj2c Allah Akbar mwenyezi mungu ni mkuu, tumche yeye tuinusuru ahela yetu tusinusuru vyeo, utajiri na anasa za dunia hii itakayokuja kukunjwa kunjwa kama karatasi na kutoweshwa. Kupitia kifo cha mmoja Mungu huachilia vipindi vya masomo tujifunze, tujirekebu na tujiadibu wapi nafsi na roho zetu zilipo? tuna hali zipi, je ni za dhambi au ni za mema
@rashidisaidi8535
4 күн бұрын
Ata tukiziacha kwani mbaya tukiwa nazo??
Kuna kuzikwa na kufukiwa inna lillahi wa inna ilayhi raji'un poleni kwa msiba familia ya manji na mashabiki wa timu ya yanga Kuondokewa na mwenyekiti wa zamani
Innalillahi wainnalillah rajiun
Rip 😭😭😭🙏
Hii nzuri sanaaa ndugu wachache wa karibu inatosha kabisaaa hata mimi napenda hiwe hivo
Umasikini kitu kibaya sana Tz tungefunga barabara nchi za watu familia tu inazika😭
@Mumewangu
14 сағат бұрын
Sio umasikini kule tofauti na huku kila MTU anashuhulika na yake. Tanzania tupo na imani
Mazishi ya kiislam hayana tajir wala masikini wote ni sawa vazi moja tu nguo nyeupe mungo wa pipi ardhi ndio tandiko mola atupe safari njema na kauli thabit.mola amsameheme makosa yake na mlaze mahali pema peponi amiin .innalilah wainnai laihirajiwn .sisi sote ni wa mola na kwake tutarejea .
RIP,,,,, hawa wenzetu watakua na uraia wanchi mbili,Marekani kama sio raia huzikwi huko
Mmh 😢😢😢😢
Watu Msijifanye Amjui Omba Mungu Mwenyewe Kabla Ya Kufa Usisubili Kuombewa Umewaeka Watu Wa Kukuombea Duniani Wako.Pia Wanyama Wakali C Bola Uyu Ameonekana Wapi Kazikwa Kila Mtu Ajiombee Akiwa Hai Kosa Lao Lipi Apo Kumzika Eshima Ya Binadamu Uzima2 Ukifa Eshima Yako Inaenda Unakoenda Kukaa Mpaka Kihama Ndio Funguo Yako Ya Moto Au Peponi
😢😢😢
🙏🙏🙏
Innaalillah wainnaailayh raajiuun 😭
Inalillah wainna ilaih rajiuun
amin mungu ampumzishe kwaaman
INNALILLAH WAINAILAH RAJIGHUNA 😢
Mbona kazikwa ivi subhanallah
@devisshirima6780
4 күн бұрын
Ndo keshazikwa sasa, imeisha hiyo
May God rest his soul in peace. remember in life you come empty handed you go empty so it is irrelevant how you are buried according to your richness of life on earth.. we came from the ground empty handed we go back to the ground empty handed and leave all our wealth on earth.. All wealth belongs to the creator .. Amen
Ulaya na marekani hawaziki kama sie uvae sanda tu huko lazima utiwe kwenye sanduku alafu kaburi moja kuna grofa 2 mpka 3 shimo ilo ilo mnazikwa watu 2 au 3 kwa mpangilio lkn au yy Tajiri kwa sabab anawez kuzikwa pekee yake alipie shimo miaka 50 au 100 pia inawezekan uwo ndy utaratibu wao ulaya na marekani yte na canada
@vicentmapunda3146
2 күн бұрын
Lkin waislam hawazik na jeneza!lkin sasa, kabur moja marehem wa tatu!.... ? Sasa hpo nje majin yakuwaje
😭😭😭😭😭😭😭nini iki Jamani kwanini hajamleta nyumbani Tanzania maeneo tunayo yakutosha Sana😭😭😭😭😭😭😭😭
Hapa ndio mwisho wa mwaadamu pesa Mali watoto Kaka hakitokifa Allah atujaliye khatima njema dunia mitihan
pumuzika kwa amani.
Asant mungu Kwa kuzaliwa tanzania unazikwa na katapila pesa zote izo mungu ailaze roh ya mareem maali pema peponi
@sosomacharles9920
3 күн бұрын
Yaan ww acha tu.
Nimependa mazishi yake. Mungu ampe kheri
Watanzania acheni USHAMBA, ukizikwa na mamilioni ya watu haufufuki. Wenye pesa ndefu hua hawa fungi ndoa za mamilioni ya watu wamejaa wanapenda mambo yawe kifamilia tu!! Kusikia na familia tu, ni sawa kabisa na jambo la busara sana!!
Kaziikwa marekani eeeh h
@NelsonMesha-wp9ks
4 күн бұрын
Mbona amezikwa kikristo Manji?
Mungu ninaiombea roho yake kwa mema yake umjalie apumzike kwa amani.
Inna Lillah wainna ilayhi raajiuni allah ampe kauli thabit
Allah amsameh makosa yake na atupe mwisho mwema
Angezikwa tz jmn!
Khiiiiibe 😢😢
Kengemwenyewe mbwakokowewe hujuikitu mazishi ktk dini ni ibada nakila ibada inataratibuzake acha kusemea mambo usiyo na elimu nayo
Ndugu yetu yake yameisha kazi tunayo tulio bakia timche mungu sana
Inawahusu nn mtu atajuana naMungu wake acha ujinga
R.I.P Manji
Innailah wainnalilahirajiun, huu nimsiba na mazishi yake ni mswiba. Waislam hatuziki hvyo, utajiri au Teknoloji????????? Ila ktk Imani yetu yakiislam hakuna hyo, kilakitu tunafuata maandiko nasuna zamtume Muhamadi s.w. bt hiii du!!!
Matusi ya nini sasa mnaswara?Pilipili usoila yakuwashia nini? Jikague,nafsi yako inakutosha. Tafuta namna uinusuru.
@loishiyesamwel1374
4 күн бұрын
Kwa Mungu hakuna cha Mnaswara, Ni maisha uliyoyaishi Duniani period. Baki hivyo 👋 hivyo.
Yusuf Manoj yupi???
Inna lillah wa Inna ilaih radjighun Allah yarahmhu wa askinuh fildjannat Amin..
INNALILAAH WAINAIRAH RAQIUN
Wangemleta hata tanzania wamuage kwa heshima kaajili vijana wengi katoa support kwa tanzania
@user-yj5on8cz3e
4 күн бұрын
Miislamu unamuagaje ndugu popote arrdhi mambo. Ya kusaafirisha musiba hayafai katika uislamu utakapo vutia watu wakuzike hapo hapo
@deogratiuskisinga5978
4 күн бұрын
Mbona mwinyi walimuaga@@user-yj5on8cz3e
Imeniuma sana wangemleta tanzania jamani
Huyu mbona alikuwa mtu mwenye pesa zake:kwanini hakurudishwa Tz way au mwenyewe alitamka azikwe huko? Mwenyezi Mungu muweke mahala pema peponi Amina 😭😭😭😭😭
@saumumgonja2665
2 күн бұрын
Ami nimeshangaa kweli kweli kwann azikwe huko jamaniiiii
Hii safi wakuda kule
Allah amrehem😢😢
Acheni ushamba kazikwa kislam tofauti kidogo
@user-mj5jk5mq7p
4 күн бұрын
Em tuambie ndo kazikwaje kiislam hivyo
@MinskBelarus-il2tl
4 күн бұрын
Hajazikwa kiislam mjomba,usijidanganye😢😢😢😢
@user-yj5on8cz3e
4 күн бұрын
Nchi yenyewe ya makafiri. utazikwaje kiislamu marekani uislamu wao wa kuigiza hamna maazishi ya namna hiyo
@devisshirima6780
4 күн бұрын
Mnabishana nini sasa !! Kama kaingia ardhini ndo keshazikwa, hizo sheria ni mbwembwe tuu za humu duniani cha msingi sote tunarudi udongoni, urudi kikafiri, sijui urudi kihindu, sote ni mavumbi !!
@Munyama675
3 күн бұрын
@@MinskBelarus-il2tlAmezikwa kiislam kabisa, Huku tunaweza Mwanandani kisha tuzibana na miti, lkn Marekani wanazibia na vipande vya zege. Kwenye mwanandani
Mmesoma historia yake hapo au Mnacomment bila kusoma
Wamemkosea heshima Sana Mara mia wangemsafirisha angezikwa kwa heshima zote Nina imani hata yeye asingependa kuzikwa huko.
Jamani mbona mnatoleana mapovu kiasi hivyo sisi ni waja wa Mungu na kwake tutarejea.
Dini haina nchi ya watu
Pumzika kwa amani,bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe amina😂manji wetu inauma.
@DoreenOmmy-gw3op
9 сағат бұрын
Sasa kama inauma kwann unacheka unafiki tu kuoga aah
Stephano wewe ni noma
Matendo yake mtu ndiyo yanayomkutanisha mtu na Mungu wake na si aina ya maziko. Wapo wanaoungua kwenye nyumba, magari au ndege. Haimanishi kwamba hawatauona ufalme wa Mungu.
Dah hayo nimawaidha tosha Sana tsijisahau manake mda wowote tnakfa
Sorry jmn napenda kujua kwani alikuwa ameshahama Tanzania anaishi Marekan? Na je ni muhindi au mwarabu?
@Niget-us1np
4 күн бұрын
Shia alien kimatibabu
@user-sj1rf8ij7f
4 күн бұрын
Tz wanakuja kutuibia tu, matajiri walio wengi wanaishi nchi za kitajiri
@aairraahseif5648
4 күн бұрын
@@user-sj1rf8ij7falikua ktk matibabu ya muda mrefu, tuache chuki maisha ni mafupi, yy nitajiri aliweza kupata matibabu nchi yeyote ile,kuhusu utajiri wake hakupata bure alitumia akili na jasho lake! Kama nirahisi kafanye nawewe tukuone
Mbona kazikwa kikiristo?
@NuhuMohammed-nu6ni
Күн бұрын
😢😢😢
Kumbukeni mwimbo wa Samba Mapangala:"Dunia tunapita eee,binadamu ni mchangaa eee. ......itakayobaki ni milima" Inna lillah wainailah raji-un.
Kumbe alikuwa Mkristo
Inna lillahi wainna ilaihi rajioun
Dahh mbona hajazikwa kiislamu
Mbona amezikwa kama mkristo jamani, , Inna lillah wa Inna ilaih laajuun, 😢
Muacheni apumzike kifo kifo tu agechomwa tamaduni ya kihindii
@AhmedAslam-ip8mu
2 күн бұрын
acha ushamba kuchoma sio tamaduni ya kihindi ni tamaduni ya kibaniani wasio kua waislam wahindi waislm huzika
Sasa mbona wamemuzika najeneza wakati mwisilamu
Kwali Dunia si kitu tajiri anazikwa na greda alaah ndio Kila kitu
@fadhilimohamed5069
4 күн бұрын
Tafuta pesa usafiri acha kukaa bongo huku ulaya hatunaga muda wa kushika koleo tunafukia na Gleda kurahisisha kazi
NA NDIO MAANA TIMU ZILIKUWA AZIFANYI VIZURI NA WAKO WENGI WANAJIFANYA WATANZANIA KUMBE C WATANZANIA
@AsmaAmeir-s3b
3 күн бұрын
Dah muombee Dua kwanza timu utaiyacha kama alivyoiyacha
Tumrudie yesu kristo
Hata angezikwa vip haimsaidii yey kwenda mbinguni km ni wa kuzimu ni wakuzimu kam ni wambinguni ni wambinguni tu .. kila la heli pesa siyo kila kitu tujitahid kuwa na mwisho mwema 😊
mbona jeneza tena hadi ndani ya kaburi?na anafukiwa bado akiwa ndani ya kaburi?au sijaelewa Dini vizuri.
Unaesema acheni udini we ni zombi aujui misingi ya imani ya kiislam ko tulia
Mbona siwaoni masheikh kwa wingi zaidi ya kuwaona member wa frimason tu
Si wangemsafirisha tu kwao tz
Mbon mazishi hayaelewek kabur fup😢😢
@emmadora7848
4 күн бұрын
Subiri ufe wewe ,wakuzike kwenye kaburi refu , stupid question
@guydonacklandgereta3805
4 күн бұрын
Unaonyesha uko Dunia ya miaka ya zamani sana uko nyuma kama miaka 300 hivi tembea tembea kidogo acha kukaa bongo peke yake
@sosomacharles9920
3 күн бұрын
😂😂😂😂huko hakuna waganga wa kwenda kutoa viungo vya binadamu.
Si muislamu uyu mbona kazikwa kwenye jeneza😮
YAANIII hapo ndiooo watuu weeengii kweli kweliii hapo unavyooonaaa
Yaani huko hadi mchanga wa kuzikia mnakuja nao
JAAH only under The would
Mbona sijaona ka mwana ndani Dunia wote ni mchanga
@masumbukomaganga438
2 күн бұрын
Mwandani ndyo nini na upagani wenu waislam mtu kasha kufa azikwe bas mambo mengine ya meanandani ni utamaduni wa kiarabu tu kama kwa wakristo kutumia jeneza
Huu ndio mwisho wa kila mwenye mwili baada ya pambano kali la maisha ya dunia hekaheka za kusaka mali majina na heshima mwisho unalazwa mavumbini kama alalavyo mnyama kimya hakuna longo longo wala hakuna ukanja nja amli ni moja kusubili mshahala kwa kazi zetu zote
@sosomacharles9920
3 күн бұрын
Ww acha tu
Kwani si muislamu huyu
Mbona kazikwa kikafiri😢
@RehemaJustine-co2kp
4 күн бұрын
😂😂😂
Mbona amezikwa tofauti na maziko ya waislamu
@msowamhokole7714
4 күн бұрын
Mabadiliko siku izi tekinolojia
@innocentchristopher7571
4 күн бұрын
Huko Sio buza ndg yngu n marekan akuna mamb ya kupig chepe
@iddihamisiharuna8261
4 күн бұрын
Hao ni mashia, hawafuati mafunzo sahihi ya uislamu
@ElizabethThomas-fj2sw
4 күн бұрын
Marekani huzika hivyo acheni ushamba
@msemasungura5651
4 күн бұрын
Kwani ajazikwa au halafu utaka wachimbe likaburi lireeeefu kama bongo mazingira ya Tz sio ya saudia wa USA
Mm uyu si muislam uyu ss mbona wmazima ivi kaa mungu wangu
@guydonacklandgereta3805
4 күн бұрын
Inaonyesha hujawatoka nje ya bongo pole sana iko siku utajua mazishi kama hayo ndiyo mpango mzima
@aairraahseif5648
4 күн бұрын
@@guydonacklandgereta3805yani ngumu kuwaelimisha hawaelewi niutaratibu wa pahala uliko, na kufuata utaratibu kwa nchi kama hizi nikawaida mbona
@MahmoudDouchi
3 күн бұрын
@@guydonacklandgereta3805captain waonesha una ulimbukeni fulani wa maisha ya nje ya nchi eneee????