SHEKH AACHISHWA KAZI YA UASKARI POLISI NA MUNGU | ATEMBEA KWENDA MAKKA KWA MIGUU KWA MIEZI SABA

NI SHEKH ROCKET AU KUSWALI MNALEKE CHOTARA WA KIMAKUWA

Пікірлер: 131

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Жыл бұрын

    ماشاء الله Yani Leo ndio nimejua ukweli ukweli hasa wa sheikh huyu, Allah ampe afya njema

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy67703 жыл бұрын

    Twakupenda sheikh wetu sheikh Rocket Mwenyeezi Mngu akuhifadhi.

  • @bintybaba3486
    @bintybaba34863 жыл бұрын

    1928-2021 ma shaa Allah Allah akuzidishie umri wenye kheri na furaha from kenya

  • @hemedabdalla4171
    @hemedabdalla4171 Жыл бұрын

    Msiweke sauti zenyevinanda wekeni nashid kwa sauti ya chini,ambayo inawezesha maelezo kuisikia vizuri.

  • @sheikhswedtwaibu7118
    @sheikhswedtwaibu71183 жыл бұрын

    MashaAllah! Katika Hija hizo 51 mimi nimesafiri nae mara 11 (nikiwa Kiongozi wake)

  • @an-nuurtv

    @an-nuurtv

    3 жыл бұрын

    MASHA ALLAH

  • @mwanajeshimkuuu7643

    @mwanajeshimkuuu7643

    3 жыл бұрын

    Anapatikn wapiii huyo

  • @an-nuurtv

    @an-nuurtv

    3 жыл бұрын

    @@mwanajeshimkuuu7643 DSM

  • @an-nuurtv

    @an-nuurtv

    3 жыл бұрын

    @@mwanajeshimkuuu7643 anapatikana DSM

  • @al-islammuongozo5635

    @al-islammuongozo5635

    2 жыл бұрын

    Tusaidie namba za shekh rocket au alienae karibu

  • @isamony58
    @isamony58 Жыл бұрын

    nimtu mzuri sana kuswali mnaleke tuko jirani tu vijiji vyetu

  • @ShazriMussa
    @ShazriMussa3 ай бұрын

    Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @subiraboi9397
    @subiraboi93973 жыл бұрын

    Masha Allah tabaraka rahman wana kwetu wanamuita rocket

  • @aaliamasachi9510
    @aaliamasachi95103 жыл бұрын

    Assalam alaykum warhmatullah wabarakatuh toeni miziki tumsikie sheikh mwenyewe miziki zakera jamaa

  • @selemanmohamed4958

    @selemanmohamed4958

    2 жыл бұрын

    Sana,sasa sijui kwa nini ameiharibu hii video kwa kuweka muziki

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    2 жыл бұрын

    Asante hatukusikia

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika58492 жыл бұрын

    MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR

  • @janimohammed143
    @janimohammed14311 күн бұрын

    Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana

  • @just_this_way
    @just_this_way3 жыл бұрын

    Huyo mzee nimepata stori zake sana na athari zake nzuti zimetapakaa sehemu nyingi hapa mtwara.

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263Ай бұрын

    Kuna ukweli gan

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83095 ай бұрын

    Wacheni kutia ngoma

  • @bellbell9294
    @bellbell92943 жыл бұрын

    Shukraan Sana sheikh

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89883 жыл бұрын

    Hio miziki inamaana gan

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe3 жыл бұрын

    Mashaallah Mashaallah

  • @just_this_way
    @just_this_way3 жыл бұрын

    Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.

  • @aminamsuri8762
    @aminamsuri8762 Жыл бұрын

    Mashaalaa mungu amsimamie

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim41483 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty93942 жыл бұрын

    Maa shaa Allah tabarakallah

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89883 жыл бұрын

    Maa shaa allah

  • @consolatasamson9455
    @consolatasamson9455 Жыл бұрын

    Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma18792 жыл бұрын

    Maa Shaa Allwah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын

    babuuu au shekhee?????😂😂😂😂 babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya

  • @alikadiriamswaha
    @alikadiriamswaha Жыл бұрын

    Mashaaala

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83095 ай бұрын

    Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?

  • @ustadhinuhu4251
    @ustadhinuhu42513 жыл бұрын

    Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake

  • @an-nuurtv
    @an-nuurtv3 жыл бұрын

    UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR

  • @rajabumbendenga5480

    @rajabumbendenga5480

    3 жыл бұрын

    Elezea wewe ulivyoelewa thahbul_kissa

  • @salumally8316
    @salumally8316 Жыл бұрын

    Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89883 жыл бұрын

    Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83093 жыл бұрын

    . Musituekeee ngoma.

  • @abdallahmwakasege5405
    @abdallahmwakasege54052 жыл бұрын

    Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore

  • @kheiramour2973
    @kheiramour29737 ай бұрын

    Ondoeni mziki mtu anapozngumza

  • @MakaiKasala
    @MakaiKasala2 жыл бұрын

    Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.

  • @munamuna781
    @munamuna7812 жыл бұрын

    Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi

  • @islamjarwan1476
    @islamjarwan14762 жыл бұрын

    sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha

  • @abdarahamanselemani6764
    @abdarahamanselemani67642 жыл бұрын

    Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu

  • @radisafaa6676
    @radisafaa66762 жыл бұрын

    Mziki ondoa

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh6692 жыл бұрын

    Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa

  • @hilaljaffery4011
    @hilaljaffery40112 жыл бұрын

    Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist91032 жыл бұрын

    Miziki hiyo jaman unafanya nini

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed34672 жыл бұрын

    sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno

  • @saidsalim4524
    @saidsalim45242 жыл бұрын

    Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini

  • @nasrabdallah3873
    @nasrabdallah38733 жыл бұрын

    Sasa mpaka mupige ngoma?

  • @nasrabdallah3873

    @nasrabdallah3873

    3 жыл бұрын

    Sipendi kusikikiza ngoma aina yoyote

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Жыл бұрын

    Toba mrongo huyo mzee

  • @TeamKRX
    @TeamKRX2 жыл бұрын

    Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын

    MA SHAA ALLAH

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi97292 жыл бұрын

    Mziki wa nini

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Жыл бұрын

    Upumbavu wako Wacha urongo wajuwa makarama nini

  • @mikidadially9773
    @mikidadially97732 жыл бұрын

    Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki

  • @mwanajeshimkuuu7643
    @mwanajeshimkuuu76433 жыл бұрын

    Anakaaa wapi huyoo shekh

  • @an-nuurtv

    @an-nuurtv

    3 жыл бұрын

    anapatika DSM au Mtwara

  • @tareqmarzowk1190
    @tareqmarzowk1190 Жыл бұрын

    Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni

  • @rastafare878

    @rastafare878

    Жыл бұрын

    Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?

  • @tareqmarzowk1190

    @tareqmarzowk1190

    Жыл бұрын

    @@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil

  • @ismailmsangule1380

    @ismailmsangule1380

    Жыл бұрын

    Asiyejua maana haambiwi maana

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    Жыл бұрын

    @@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,

  • @jakuabdull34

    @jakuabdull34

    8 ай бұрын

    ​@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu

  • @isamony58
    @isamony58 Жыл бұрын

    yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee

  • @khaijakadija2082

    @khaijakadija2082

    Жыл бұрын

    Kumbee😂

  • @khaijakadija2082

    @khaijakadija2082

    Жыл бұрын

    Subhna Allah

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Жыл бұрын

    Huyu ni hizbiya mpumbavu tu

  • @jakuabdull34

    @jakuabdull34

    8 ай бұрын

    Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua

  • @mohamedsalim972
    @mohamedsalim9722 жыл бұрын

    Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini

  • @mikealeck6447

    @mikealeck6447

    2 жыл бұрын

    Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.

  • @ikabako2454

    @ikabako2454

    2 жыл бұрын

    Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?

  • @jakuabdull34

    @jakuabdull34

    8 ай бұрын

    Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89883 жыл бұрын

    Mkirikod watu wachen miziki

  • @msemamsemakweli9228

    @msemamsemakweli9228

    2 жыл бұрын

    Mashallah tuswali naleke

  • @njonjolomahfudh3238
    @njonjolomahfudh32382 жыл бұрын

    masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu

  • @abdikadirabdullahiaulabdia267
    @abdikadirabdullahiaulabdia2672 жыл бұрын

    Ni mshirikina mkubwa

  • @mansurali109

    @mansurali109

    2 жыл бұрын

    Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu

  • @tareqmarzowk1190

    @tareqmarzowk1190

    Жыл бұрын

    @@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89883 жыл бұрын

    Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty93942 жыл бұрын

    Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh

  • @mansurali109

    @mansurali109

    2 жыл бұрын

    Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu

  • @mansurali109

    @mansurali109

    2 жыл бұрын

    Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu

  • @zuhurambonde1982

    @zuhurambonde1982

    2 жыл бұрын

    Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.

  • @ismailmsangule1380

    @ismailmsangule1380

    Жыл бұрын

    Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s

  • @aliomar1986

    @aliomar1986

    Жыл бұрын

    Usibishe

  • @abdikadirabdullahiaulabdia267
    @abdikadirabdullahiaulabdia2672 жыл бұрын

    Uwongo ni mchawi Hana lolote

  • @stanslausmteme8455

    @stanslausmteme8455

    Жыл бұрын

    Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?

  • @ismailmsangule1380

    @ismailmsangule1380

    Жыл бұрын

    Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania

  • @husnaally7964

    @husnaally7964

    Жыл бұрын

    Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga54803 жыл бұрын

    Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi

  • @ahmedmuhamed4379

    @ahmedmuhamed4379

    3 жыл бұрын

    Kasome Acha ubishi

  • @rajabumbendenga5480

    @rajabumbendenga5480

    3 жыл бұрын

    @@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri

  • @kheirameir6284

    @kheirameir6284

    3 жыл бұрын

    Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.

  • @sudaissoud3670

    @sudaissoud3670

    3 жыл бұрын

    Unaongea nae ktk swala

  • @rajabumbendenga5480

    @rajabumbendenga5480

    3 жыл бұрын

    @@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Жыл бұрын

    Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe

  • @nasrisaidi7175
    @nasrisaidi71752 жыл бұрын

    HUYO NI MCHAWI

  • @ramadhaniomary9241

    @ramadhaniomary9241

    Жыл бұрын

    Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w