Sana,sasa sijui kwa nini ameiharibu hii video kwa kuweka muziki
@alialamoudi9729
2 жыл бұрын
Asante hatukusikia
@fatumatandika58492 жыл бұрын
MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR
@janimohammed14311 күн бұрын
Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana
@just_this_way3 жыл бұрын
Huyo mzee nimepata stori zake sana na athari zake nzuti zimetapakaa sehemu nyingi hapa mtwara.
@saynabmohammed6263Ай бұрын
Kuna ukweli gan
@mohamedhamedseifelsawafi83095 ай бұрын
Wacheni kutia ngoma
@bellbell92943 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh
@adilhabib89883 жыл бұрын
Hio miziki inamaana gan
@nabiljumbe3 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@just_this_way3 жыл бұрын
Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.
@aminamsuri8762 Жыл бұрын
Mashaalaa mungu amsimamie
@aminaibrahim41483 жыл бұрын
Mashaallah
@albertdoherty93942 жыл бұрын
Maa shaa Allah tabarakallah
@adilhabib89883 жыл бұрын
Maa shaa allah
@consolatasamson9455 Жыл бұрын
Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke
@abdul-rahmanfakijuma18792 жыл бұрын
Maa Shaa Allwah
@Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅
@Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын
babuuu au shekhee?????😂😂😂😂 babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya
@alikadiriamswaha Жыл бұрын
Mashaaala
@mohamedhamedseifelsawafi83095 ай бұрын
Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?
@ustadhinuhu42513 жыл бұрын
Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake
@an-nuurtv3 жыл бұрын
UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
Elezea wewe ulivyoelewa thahbul_kissa
@salumally8316 Жыл бұрын
Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu
@adilhabib89883 жыл бұрын
Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib
@mohamedhamedseifelsawafi83093 жыл бұрын
. Musituekeee ngoma.
@abdallahmwakasege54052 жыл бұрын
Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore
@kheiramour29737 ай бұрын
Ondoeni mziki mtu anapozngumza
@MakaiKasala2 жыл бұрын
Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.
@munamuna7812 жыл бұрын
Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi
@islamjarwan14762 жыл бұрын
sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha
@abdarahamanselemani67642 жыл бұрын
Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu
@radisafaa66762 жыл бұрын
Mziki ondoa
@safiasaleh6692 жыл бұрын
Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa
@hilaljaffery40112 жыл бұрын
Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha
@jumaevarist91032 жыл бұрын
Miziki hiyo jaman unafanya nini
@jesmirmohamed34672 жыл бұрын
sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno
@saidsalim45242 жыл бұрын
Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini
@nasrabdallah38733 жыл бұрын
Sasa mpaka mupige ngoma?
@nasrabdallah3873
3 жыл бұрын
Sipendi kusikikiza ngoma aina yoyote
@user-ql2om7qj3v Жыл бұрын
Toba mrongo huyo mzee
@TeamKRX2 жыл бұрын
Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
MA SHAA ALLAH
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mziki wa nini
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Upumbavu wako Wacha urongo wajuwa makarama nini
@mikidadially97732 жыл бұрын
Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki
@mwanajeshimkuuu76433 жыл бұрын
Anakaaa wapi huyoo shekh
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
anapatika DSM au Mtwara
@tareqmarzowk1190 Жыл бұрын
Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni
@rastafare878
Жыл бұрын
Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?
@tareqmarzowk1190
Жыл бұрын
@@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
@walidmgonja3644
Жыл бұрын
@@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,
@jakuabdull34
8 ай бұрын
@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu
@isamony58 Жыл бұрын
yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Kumbee😂
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Subhna Allah
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Huyu ni hizbiya mpumbavu tu
@jakuabdull34
8 ай бұрын
Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua
@mohamedsalim9722 жыл бұрын
Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini
@mikealeck6447
2 жыл бұрын
Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.
@ikabako2454
2 жыл бұрын
Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?
@jakuabdull34
8 ай бұрын
Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli
@adilhabib89883 жыл бұрын
Mkirikod watu wachen miziki
@msemamsemakweli9228
2 жыл бұрын
Mashallah tuswali naleke
@njonjolomahfudh32382 жыл бұрын
masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu
@abdikadirabdullahiaulabdia2672 жыл бұрын
Ni mshirikina mkubwa
@mansurali109
2 жыл бұрын
Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu
@tareqmarzowk1190
Жыл бұрын
@@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana
@adilhabib89883 жыл бұрын
Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo
@albertdoherty93942 жыл бұрын
Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh
@mansurali109
2 жыл бұрын
Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu
@mansurali109
2 жыл бұрын
Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu
@zuhurambonde1982
2 жыл бұрын
Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s
@aliomar1986
Жыл бұрын
Usibishe
@abdikadirabdullahiaulabdia2672 жыл бұрын
Uwongo ni mchawi Hana lolote
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania
@husnaally7964
Жыл бұрын
Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?
@rajabumbendenga54803 жыл бұрын
Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi
@ahmedmuhamed4379
3 жыл бұрын
Kasome Acha ubishi
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
@@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri
@kheirameir6284
3 жыл бұрын
Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Unaongea nae ktk swala
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
@@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe
@nasrisaidi71752 жыл бұрын
HUYO NI MCHAWI
@ramadhaniomary9241
Жыл бұрын
Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w
Пікірлер: 131
ماشاء الله Yani Leo ndio nimejua ukweli ukweli hasa wa sheikh huyu, Allah ampe afya njema
Twakupenda sheikh wetu sheikh Rocket Mwenyeezi Mngu akuhifadhi.
1928-2021 ma shaa Allah Allah akuzidishie umri wenye kheri na furaha from kenya
Msiweke sauti zenyevinanda wekeni nashid kwa sauti ya chini,ambayo inawezesha maelezo kuisikia vizuri.
MashaAllah! Katika Hija hizo 51 mimi nimesafiri nae mara 11 (nikiwa Kiongozi wake)
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@mwanajeshimkuuu7643
3 жыл бұрын
Anapatikn wapiii huyo
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
@@mwanajeshimkuuu7643 DSM
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
@@mwanajeshimkuuu7643 anapatikana DSM
@al-islammuongozo5635
2 жыл бұрын
Tusaidie namba za shekh rocket au alienae karibu
nimtu mzuri sana kuswali mnaleke tuko jirani tu vijiji vyetu
Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Masha Allah tabaraka rahman wana kwetu wanamuita rocket
Assalam alaykum warhmatullah wabarakatuh toeni miziki tumsikie sheikh mwenyewe miziki zakera jamaa
@selemanmohamed4958
2 жыл бұрын
Sana,sasa sijui kwa nini ameiharibu hii video kwa kuweka muziki
@alialamoudi9729
2 жыл бұрын
Asante hatukusikia
MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR
Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana
Huyo mzee nimepata stori zake sana na athari zake nzuti zimetapakaa sehemu nyingi hapa mtwara.
Kuna ukweli gan
Wacheni kutia ngoma
Shukraan Sana sheikh
Hio miziki inamaana gan
Mashaallah Mashaallah
Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.
Mashaalaa mungu amsimamie
Mashaallah
Maa shaa Allah tabarakallah
Maa shaa allah
Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke
Maa Shaa Allwah
😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅
babuuu au shekhee?????😂😂😂😂 babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya
Mashaaala
Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)
Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?
Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake
UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
Elezea wewe ulivyoelewa thahbul_kissa
Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu
Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib
. Musituekeee ngoma.
Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore
Ondoeni mziki mtu anapozngumza
Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.
Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi
sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha
Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu
Mziki ondoa
Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa
Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha
Miziki hiyo jaman unafanya nini
sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno
Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini
Sasa mpaka mupige ngoma?
@nasrabdallah3873
3 жыл бұрын
Sipendi kusikikiza ngoma aina yoyote
Toba mrongo huyo mzee
Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri
MA SHAA ALLAH
Mziki wa nini
Upumbavu wako Wacha urongo wajuwa makarama nini
Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki
Anakaaa wapi huyoo shekh
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
anapatika DSM au Mtwara
Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni
@rastafare878
Жыл бұрын
Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?
@tareqmarzowk1190
Жыл бұрын
@@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
@walidmgonja3644
Жыл бұрын
@@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,
@jakuabdull34
8 ай бұрын
@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu
yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Kumbee😂
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Subhna Allah
Huyu ni hizbiya mpumbavu tu
@jakuabdull34
8 ай бұрын
Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua
Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini
@mikealeck6447
2 жыл бұрын
Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.
@ikabako2454
2 жыл бұрын
Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?
@jakuabdull34
8 ай бұрын
Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli
Mkirikod watu wachen miziki
@msemamsemakweli9228
2 жыл бұрын
Mashallah tuswali naleke
masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu
Ni mshirikina mkubwa
@mansurali109
2 жыл бұрын
Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu
@tareqmarzowk1190
Жыл бұрын
@@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana
Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo
Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh
@mansurali109
2 жыл бұрын
Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu
@mansurali109
2 жыл бұрын
Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu
@zuhurambonde1982
2 жыл бұрын
Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s
@aliomar1986
Жыл бұрын
Usibishe
Uwongo ni mchawi Hana lolote
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania
@husnaally7964
Жыл бұрын
Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?
Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi
@ahmedmuhamed4379
3 жыл бұрын
Kasome Acha ubishi
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
@@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri
@kheirameir6284
3 жыл бұрын
Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Unaongea nae ktk swala
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
@@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi
Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe
HUYO NI MCHAWI
@ramadhaniomary9241
Жыл бұрын
Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w