Sheikh Kipozeo apongeza uamuzi wa Mufti, agusia sakata la Dk Mwaka "Alifanya makosa ya makusudi"
Siku mbili baada ya Baraza la Ulamaa la Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kutengua uteuzi wa Alhad Mussa Salum kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Hilali Makarani maarufu Kipoozeo amesema alichokifanya Mufti anastahili kupongezwa.
Taarifa ya kung'olewa kwa Alhad zilitangazwa juzi na Katibu wa Baraza hilo, Hassan Chizenga akieleza kuwa uwamuzi huo umefanyika baada ya kikao cha Baraza la Ulamaa kilichofanyika kwa siku mbili chini ya Mwenyekiti Mufti Abubakar Zubeir.
Hata hivyo Baraza hilo limteua Sheikh Walid Alhad Omar kukaimu nafasi ya Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Februari 4, 2023, Sheikh Kipoozeo amesema alichokifanya Mufti kumuweka pembeni Sheikh wa Mkoa anastahili kupongezwa kwani Alhad alikuwa na makosa mengi.
Пікірлер: 173
Nampenda sana kipoozea mungu akulinde
Mungu amsimamie Mufti kumsimamisha mkwewe maamuzi magumu na ndio inavyotakiwa
Muombee dua tu sio kumsema hovyo mwenzako
Alhad hana tena sifa ya uongozi
Ustadh kma wajua haki lazima itekelezwe mbona waipinga haki hii ilotolewa kwa talaka kupeanwa sababu waambiwa mke ukimuacha miezi mitatu tu ndoa hamna huyo doctor kamuacha mwaka nakitu ushahidi upo mlitaka azini huyo mtoto wakike mbona hiyo hamuongelei .?????
Fanyenyi mambo kwakutafuta radhi ya Allah ikiwa shekh mussa kakosea mstirini huyo nimwislam
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Kabisa,,,
@hindulugome9760
Жыл бұрын
Shida ni yeye hakustiri wenzie aisee
@jitukorofi9517
Жыл бұрын
Asitiriwe na kafanya mambo kwenye vyombo vya habari
Binafsi toka ateuliwe sijawahi kumuelewa nazani cheokikubwa kuliko umri kwanza hana heshima
Chizenga anamzaakabisa alhadi alhadi anazarau sana
@suleabdullah2247
Жыл бұрын
Alhad Musa alijijengea kibri majivuno nakauli za kebehi bilakujali anasema nanani,kifupi alijisahau acha endejifunza kwamba kuna Mungu juu ya vyoote
ki ukweli sheikh alikua kama mfalme kumbukeni kuna wkt alikua na bifu na sheikh muhamedi idiy
Waambie nakina mwaipopo wasome dini wasikurupuke huu no uislaam sio ukristo wakae wasome kwanza
Safi
Duh kumbe alhadi alikuwa na maadui wengi Bila yeye kujuwa mashekhe acheni unafiki hata wewe kipoze🤔 sikutegemea
Ayo Makosa Kwanini Amkuyasema Uko Nyuma Zisitilini Ndimi Zenu Kwasababu Ukiona Msikitini Kuna Hazana Ya Kuita Waumini Na Waumini Wanajua Muda Wa Ibada Ujue Binadamu Sio Mungu Ukiona Kanisa Liko Na Kengele Na Waumini Wanajua Siku Na Muda Ujue Binadamu C Mungu Alipokosea Nawe Kuna Ulipokosea Kama Ni Ndoa Toeni Ufafanuzi Kuhusu Ile Ndoa Kwanini Iwe Sehemu Ya Yeye Kutoka Kwani Akuna Maonyo
@neemakaluwa536
Жыл бұрын
Wanafiki sana hawa, vigeu geu kama vinyonga, bendera fata upepo, watu kama hawafai hata kuitwa mashehe
@idrissaomba8803
Жыл бұрын
sababu hawakua wanaulizwa, kwa sasa kila sheikh anaulizwa maoni yake na sio kwamba makosa alkua hayaonekani
@joezeno8
Жыл бұрын
@@idrissaomba8803 mbona hawakusema Masheikh Wanafki hawa
@abuuayoubayoub9260
Жыл бұрын
@@idrissaomba8803 Daraja ya unafiki ni mbaya sana kaka usiwaite watu hivyo
@yusufmohamed8874
Жыл бұрын
Alikuwa na nguvu sana ange wapoteza kusiko julikana.
Hatumtaki arudi sio mtu mzuri
Nafasi zote za uongozi angeziachia ili kuweka hali ya hewa kuwa safi.kidini
Inamaana iko KULINDANA katika DHAMANA za dini
Mashehe wengi ni wanafik tu njaa tu inawasumbuwa
Masheikh twaelekea wapi
Amna jipya wenu ni unafiki
Huyu kipozeo kawa mnafiki sana siku hizi bakwata wote hawafai na mufti wao wote maslahi mbele
Shehe nakupendaga bule
@jitukorofi9517
Жыл бұрын
Bure sio bule
alhad Ana kiburi
@twahambowe440
Жыл бұрын
Tena saaanaa!!!
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@twahambowe440 mtihani kweli kiongozi wa dini kama yeye kujipeleka live Kwenye mambo ya Dunia Eti. magu 5 tena , inahusu nini? kawa mwana siasa
@machintangachibwena5922
Жыл бұрын
Aende kwa Mashia Sasa
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@machintangachibwena5922 hahaha
Unasema ukweli. Waumini wa kweli TUKO wengi na mawazo mbali mbali .Dini ni kitu mhimu sana katika maisha yetu. IMANI. KA M A IKITOWEKA NI BALAA. AHSANTE KWA KUMUWEKA PEMBENI.MTU KUVUNJA NDOA NA KUMUACHA MAMA ANAHANGAIKA BILA MPANGO NI BALAA. JE WATOTO WATAISHIJE MBELENI.VUNJA VUNJA NDOA BILA MPANGILIO KWA MAMA NA WATOTO NI BALAA
NYIE MASHEHE WA SEREKALINI NDOMNAYOO IYUMBISHA DINI UKWELI MNAUFICHA
Sheikh Kipozeo Mwenyezi .Mungu Akuzidishie Hekima na Maarifa katika Taaluma yako..MaaShaa A. LLAH
Bado mnakulana. Baraza halina madili ya kisilamu. Bwakwata iliundwa nanani. Chimbuko la bakwata nigumu.
@bakariomari8758
Жыл бұрын
Maadili hamna kabisa huyo mufti ndio dhaifu
Unaharibu maalim
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Kabisa!!
@muhammadalibhaz1390
Жыл бұрын
wewe sheikh wakati makosa yanafanyika ulikuwa wapi? unaanza kulaumu Leo wakati alhad kishavuliwa cheo ? mbwa wakati anapokuwa na meno hungata lakini wakati akiwa kibogoyo hangati wewe ulikuwa wapi wakati jamaa aliposema "wewe ni zaidi ya yesu /mungu ulikaa kimya isipokuwa sheikh Muhammad idd ndio pekee alikaripia Sasa ndio unaanza kuropoka
huyu hakusema kwa kuwa aliheshimu nafasi ya sheikh wa mkoa na mamlaka yake ya uteuzi
HII YOTE NI KUFUNIKA SAKATA LA MSHIA. MFUTI AONGEE KUHUSU MASHIA UMA UJUWE TUELEKEE WAPI. MASHIA MFUTI ONGEA NA UMAA TUNAKUSUBIRI MFUTI.
Mimi binafsi sijaona kosa Lake, amefuata katiba.
@fazeelshomary2704
Жыл бұрын
Kumwita kiongozi wa serikali ni zaidi ya Mtume na Nabii Issa na kuwa pia ni zaidi ya Mungu kwako ni sawa au sio?
@jumannemussa8281
Жыл бұрын
Katiba ya nn? Au din inaongozwa na katiba kaka said
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@jumannemussa8281 Kwahiyo BAKWATA haina katiba?
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@fazeelshomary2704 katika clip ile watu wanayakuza Tu Mambo kwasababu zao binafsi, sheikh Alhad alifafanua vizuri Tu nini alimaanisha, na ni sahihi Kwa kweli!!
@kiri5807
Жыл бұрын
Katiba gani hapo ? na dini ya kiislamu watakiwa ufate quran na hadithi za mitume . km ni sheria za kuachisha Allah hakuacha kitu ni mufti / kadhi anaachisha na sio sheikh wa mkoa .
Huyu ndiye aliyesema "KIMFAACHO MTU CHAAKEEE🙄🙄🙄
Unafki mbaya sana nliwahi kuona clip Hawa jamaa wakimsema dokta wakati ana ugomvi na shekh Leo wanasema anamakosa
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Masheikh wengi ni wanaafiq
Namkumbuka kwa mada ile ya aleluya pale aliposena ni sawa kutamka lailaha ila lla ,,,akapata upinzani mkali kwa waislamu wote na akaingia mitini baada ya kushindwa kielimu na sheikh Muhammad bachu ,,hakuweza kutetea hoja yake
mh ! pepo ngumu sana walahi
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Kabisa,,,!!
Mlikuwa wapi kuyasema hayo kabla? Unaafiq mbaya sana,,,,,,,mnafeli sana masheikh wetu!! Namheshimu sana kipoozeo lakini katika haya ninayoyaona wacha nisitafune maneno
@abdulabdulathumani5992
Жыл бұрын
Unafiki gani mtu kamuombea na dua ulitaka aseme mda gani kwenye kusema tu sio kila mda unatakiwa useme
@aminmohammed4249
Жыл бұрын
Ni maoni tu anatoa mzee wangu…kila mtu akiwa anasema unafukiri mji utakuaje kaka
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@abdulabdulathumani5992 kama alikuwa anaona Alhad alikuwa anakosea, kwanini hakuyasema hayo mwanzo , aje aseme Leo hii? ,,,,
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@abdulabdulathumani5992 dini si ndio inafundisha ukiona Jambo Baya ulikataze/uliseme?
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@abdulabdulathumani5992 tatizo kubwa la waislam ni unaafiq,,,kubali, usikubali!!
Jitahidi kaka, Walid kakaimishwa tu unaweza kuukwaa Ushekh wa Mkoa
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Kukaimishwa ni utaratibu badae huidhunishwa hata huyo alhad alikaimishwa then badae akaidhinishwa
@twahambowe440
Жыл бұрын
Namuomba ALLAH, shekh WALID asikaimu tu,bali awe shekh wa mkoa wa Dar es salaam kamili,tuseme aamiin "maana ni shekh anaejitambua. Allah amuhifadhi Mufti Abubakar bin Zuberi amuongezee jicho la uoni shekh Walid awe ndo shekh wa mkoa wa Dar es salaam. Aamiin allaahumma Aamiin.
@jamalsalum8726
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 unaweza kukaimishwa au kuteuliwa mwingine
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
@@jamalsalum8726 kwa historia ya bakwata haijapata tokea labda hii iwe ya mwanzo
kaka unakwama wapi
alafu ilo swala la mtume sijui kukata watu halipo. embu ona haya kumchafua bwana mkubwa kama huyo. mtume wetu alikua laini na msamehevu sio katili .
Kwenye Dini Kwa Shekh hakuna kustahimili anaikosea dini mpk na waislamu ilikuwa ni dharau sana
Alikuwa akikosea zaidi kwa sababu wewe ni miongoni mwa chawa wake mliyempoteza,kila siku mkimtetea ktk makosa leo ndio unasema.Hii ni alama ya unafik
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Umeongea ukweli
Loo mpaka mashehe wanaoneana wivu na chuki
@jaffjeff6912
Жыл бұрын
Allah atustiri tu hakuna mkamilifu
@neemakaluwa536
Жыл бұрын
@@jaffjeff6912 kabisa wallah
sheikh Alhadi alimwambia Makonda kayakoroga sasa na yeye pia kayakoroga, tunapaswa kuchunga kauli zetu.
Shehe wa mkoa hakuwa na majibu ya busara kwa waumini wake
Pamoja na mambo yote Kipozeo kwa mawazo yangu hakupaswa kulizungumzia hili. Mufti ameshafanya maamuzi ilitosha kukaa kimya badala ya kuanza kumdhalikisha mtu kwenye makosa aliyofanya.
Unafki huo
Hii dini Kila mtu ni msemaji? Yaani Kila mtu anaitisha press conference. Kwenye ukatoliki hakuna kitu Cha namna hiyo.
@seiflugendo7141
Жыл бұрын
Wewe ni mpuuzi aliotoa tamko ni mtu mmoja wengine ni wachangiaji fahamu maana ya mzungumzaji na msemaji acha kukurupuka sisi hatufati ukatoliki tunafata muongozo wa dini yetu na sisi sio wakatoliki.
NDO UKWELI,,SHEIKH ALHAD ALIKUWA HAKUBALIKI HATA NA MASHEKHE WENZAKE,,WATU WALIHOFIA KWAKUWA ALIKUWA MADARAKANI,,SASA TUTASKIA MENGI TU TOKA KWA MASHEIKH
nyinyi ndo mnaharibu dini manuguu
@Queensagarika887
Жыл бұрын
Ushawahi ona wapi mtu anahofu ya mungu anaenda kufanya intevw anachamba 🤓 fuatilia sana
Kwaio Alhad amefanya kosa la kutengua ndoa ya watu sasa Jee talaka iliyo tolewa na sheikh Alhad ime sihihi au ?
Mufti Yuko SAHIHI...! ALHAD MUSA Kwa Imani yangu ALIKUWA SAHIHI kwani aliniamini MKATALIWA MGANGA alileta DHARAU Kwa Sheikh Musa kama Mkuu ama RAIS wa Waislamu wote wa Dar es Salaam. Alhad MUSA Wala USIJUTE Mkuu. Allah Aufariji Moyo wako Mujaahid..!
Baraza la ulamaa kuna Sharifu majini??! Yule si muhuni tu
@petermunanka3827
Жыл бұрын
Shaliff majini ni mganga kilinge chake Kiko mabibolelini niliwahi kumpeleka mtoto wandugu yangu kuombewa Dua niliyoyakuta ckuombewa Dua asilimia90ya watejawake ni akina mama malipo ni shilingi50000 elfu hamsini Kuna chumba mgonjwa anaingizwa kufukizwa nyungu lipo lijisufulia kubwa linatokota mgonjwa ukimuingiza anakaa katika kiti like sufulia limezungukwa na viti mgonjwa anapewa kiti anakaa Kisha anafunikwa shuka anaatamia ulemoshi makali Sana. mgonjwa anatokajasho jingisana baada ya hapo anaambiwa aje siku nyingine
we kipozoe mnafki sana mbwa wwe. si ulijifanya kutoa pua yako kumkingia kifua uyo mchafu mwenzio. washenzi wakubwa mnanukaa puuuuuh
Mzeee wa mizigo minene
MNAKOSEA NYOTE MPAKA MUFTI PYAA ANAKOSEA MNALETEWA TARIFA YA KUONEKANA MWEZI HAMUTANGAZI NYOTE WANAFI NYIE MMEZIBITIWA SANA NA SEREKALI
🤣🤣🤣🤣🤣l
Kumbe Al Had kaoa Bint wa muft?
@ulimwenguharuna2050
Жыл бұрын
Ndio kaka
Ww nae muhun tuu mpenda kiki kama huyo al hadi.
Kwani Katiba ya Bakwata inasemaje kuhusu ndoa. Ndoa imevunjwa kwa kufuata katiba.. Dr. Mwaka aliwaita Mashekh wahuni tu. Amechukuliwa hatua gani?
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Yaani katika hili BAKWATA wamejidhalilisha,,,
@abubakariyahaya99
Жыл бұрын
Km ulikuwa unafatilia mwenendo wa sheikh Alhad na majibu alosema juz utajua kuw alistahil kutolewa
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@abubakariyahaya99 kwahiyo Yule aliyewaita viongozi wa dini wahuni amefanya Sawa?
@fathiyaali6171
Жыл бұрын
Mwenye pesa siku zote yupo juu ya sheria,hafanywi chochote.
@kiri5807
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Lakini Dr Mwaka kuwaita wahunni simlaumu . Hawa masheikh wa Bakwata wanajali matumbo yao tu . mwezi unaendema wakiambiwa wanakataa kutangaza si uhuni ni nini ?
Kipoozeo ukiongea tu WATU wanacheka
Dah hawa masheikh kwa kweli wengi wao wa mchongo.ukiangalia wengi hawapendani
Mh....masheik wetu kwa unafik dah....
@khelefomary4486
Жыл бұрын
Acha kuonea ivyo
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Unafiki upi nani alikua hajui alhad anakosea
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Uko sahihi!!
@khelefomary4486
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 sio wote lazima mulijuwe ilo
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@khelefomary4486 karibu wote Tu,,,
Mashehe bendera, ww si ndiye uliyekuwa mmoja wa chawa wake
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Yaani we Acha Tu, juzi Tu alikuwa anamtetea, Leo anamponda,,,,
@kiri5807
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 😅😅😅😅 Masheikh wa Tanganyika muna vituko .
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@kiri5807 nafikiri wewe ni katika wale wanaafiq,,,,,
Wanafki ni wengi nilikushakutana na mbwa wanafki huo ni wivuu
Mmemtoa alihadi ili mfunike ishu ya mashia. Acheni hizo. Mnacheza na midia kutuchanganya. Tunataka mseme mashia msifunike kupitia alihadi sheikh wa mkoa. Kazi ubwabwa wa mshia. Na ww nimropokaji.
Baraza ni dhaifu kwa kweli yule mganga kaita mashekhe wahuni hakuonywa lolote. Ila alhadi kusimamishwa mmefurahia dah inahuzunisha
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Muwe mnasikiliza kwa makini dokta mwaka huwa mnamzushia sana huwa sielewi mnasikilizaga au ni vichwa vya habari hata kipindi kile mlimzushia kusema amesema mashehe na mapadri ni wazinifu kumbe alisema kuna baadhi yamashehe ni wazinzi elewa kuna baadhi kwa hiyo kama wewe ni shehe huna uzinzi ujue kuna baadhi yao hata hapa kwa wahuni hujamsikiliza vizuri na kuhusu ndoa ya mwaka alhadi alikosea achilia mbali alikuwa na makosa sana tena ya waziwazi akienda makanisani ikiwa wana misa je inafaa kuwa kiongozi wa kiislam kwa hilo mimi sio bakwata ila nimefurah alhadi kutimuliwa wallah kwenye koment niliuliza kabla hajatimuliwa kusema yarabi huyu utamtoa lini ktk uongozi hakika wewe ni shahidi anapindisha dini hazijapita siku 3 akatimuliwa namchukia kwa ajili ya allah
@bakariomari8758
Жыл бұрын
@@maryamtanzania9743 inamaana masikio yako yana afya, kuliko yawatu wote walosikia. Haki iongelewi japo uchungu.
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Kabisa!
@twahambowe440
Жыл бұрын
Alhad kasimamishwa kwakuwa ndiye aliesababisha baraza na mashekh kutukanwa.
Hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa
HIV kipozeo havut bang au sigara??
@yahyagonga
Жыл бұрын
Duh umewaza nn ndg
huyo shekhe kipozi ana tuchangaya mimi mtoto wa mdogo wangu kaomba talaka bakuwata kapewa mbona hayakutokea haya shkhe kipozeo tunawasiwasi na kudi fulani mashkhe wapewa mpunga na Dr waka pesa mbaya kutolewa talaka bakuwata nimaraya kwaza uwislam tanzania una aza kuzwa kwa pesa muhammad swalalau alei wasalam keshawahi kumtumuwa abubakar au omar au athumani au aliy
@hashimswaibu9827
Жыл бұрын
Kwani dadayako kapewa talaka na alhadi Musa na presi ju full macamera ama kadhi ndio alie mpatalaka dadayako
Na wewe uache sasa mawaidha yako ya kihuni hasa ya kuzungumzia mizigo,wewe ni mtu mzimaa na ulamaa wa kuheshimika
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Hawez kuwa ulamaa uyo
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@amerwelder7786 Acha chuki binafsi,,,
@yasiniselemani2412
Жыл бұрын
Mizigo ni shida
@muniraabdallah552
Жыл бұрын
Acheni unafik
Sio sawa kipozeo ongea na mwenyewe usimuanike mitandao
Sasa hapo nimeelewa kumbe shehe wa mkoa alipinga kauli ya muft
Mm naskitika wakati wahaki waislam hatufatilii usawa Wa haqi maneno ya Allah hayapingiki kwa hii hali hakuna vile wawili hawa watakua sawa hapo masheikh mumebeba mzigo sababu ndoa haipo sawa kma mwasema talaka haikupita mjue mtayabeba nyinyi msichukulie rahisi mkae mfikirie
Nafasi yake kwani yeye ndo alizaliwa nayo hebu mtupishe huko hatumtaki huyo Alhad wenu hatumtaki mpuuzi huyo