Sheikh Kipozeo apongeza uamuzi wa Mufti, agusia sakata la Dk Mwaka "Alifanya makosa ya makusudi"

Siku mbili baada ya Baraza la Ulamaa la Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kutengua uteuzi wa Alhad Mussa Salum kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Hilali Makarani maarufu Kipoozeo amesema alichokifanya Mufti anastahili kupongezwa.
Taarifa ya kung'olewa kwa Alhad zilitangazwa juzi na Katibu wa Baraza hilo, Hassan Chizenga akieleza kuwa uwamuzi huo umefanyika baada ya kikao cha Baraza la Ulamaa kilichofanyika kwa siku mbili chini ya Mwenyekiti Mufti Abubakar Zubeir.
Hata hivyo Baraza hilo limteua Sheikh Walid Alhad Omar kukaimu nafasi ya Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Februari 4, 2023, Sheikh Kipoozeo amesema alichokifanya Mufti kumuweka pembeni Sheikh wa Mkoa anastahili kupongezwa kwani Alhad alikuwa na makosa mengi.

Пікірлер: 173

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Жыл бұрын

    Nampenda sana kipoozea mungu akulinde

  • @fatumakasimu6349
    @fatumakasimu6349 Жыл бұрын

    Mungu amsimamie Mufti kumsimamisha mkwewe maamuzi magumu na ndio inavyotakiwa

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Жыл бұрын

    Muombee dua tu sio kumsema hovyo mwenzako

  • @thabitbatenga1775
    @thabitbatenga1775 Жыл бұрын

    Alhad hana tena sifa ya uongozi

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 Жыл бұрын

    Ustadh kma wajua haki lazima itekelezwe mbona waipinga haki hii ilotolewa kwa talaka kupeanwa sababu waambiwa mke ukimuacha miezi mitatu tu ndoa hamna huyo doctor kamuacha mwaka nakitu ushahidi upo mlitaka azini huyo mtoto wakike mbona hiyo hamuongelei .?????

  • @issabakarissa9377
    @issabakarissa9377 Жыл бұрын

    Fanyenyi mambo kwakutafuta radhi ya Allah ikiwa shekh mussa kakosea mstirini huyo nimwislam

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Kabisa,,,

  • @hindulugome9760

    @hindulugome9760

    Жыл бұрын

    Shida ni yeye hakustiri wenzie aisee

  • @jitukorofi9517

    @jitukorofi9517

    Жыл бұрын

    Asitiriwe na kafanya mambo kwenye vyombo vya habari

  • @ramadhanimussahramadhani4868
    @ramadhanimussahramadhani4868 Жыл бұрын

    Binafsi toka ateuliwe sijawahi kumuelewa nazani cheokikubwa kuliko umri kwanza hana heshima

  • @ramadhanimussahramadhani4868
    @ramadhanimussahramadhani4868 Жыл бұрын

    Chizenga anamzaakabisa alhadi alhadi anazarau sana

  • @suleabdullah2247

    @suleabdullah2247

    Жыл бұрын

    Alhad Musa alijijengea kibri majivuno nakauli za kebehi bilakujali anasema nanani,kifupi alijisahau acha endejifunza kwamba kuna Mungu juu ya vyoote

  • @salimuahmedi6948
    @salimuahmedi6948 Жыл бұрын

    ki ukweli sheikh alikua kama mfalme kumbukeni kuna wkt alikua na bifu na sheikh muhamedi idiy

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw Жыл бұрын

    Waambie nakina mwaipopo wasome dini wasikurupuke huu no uislaam sio ukristo wakae wasome kwanza

  • @saidisalumu103
    @saidisalumu103 Жыл бұрын

    Safi

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 Жыл бұрын

    Duh kumbe alhadi alikuwa na maadui wengi Bila yeye kujuwa mashekhe acheni unafiki hata wewe kipoze🤔 sikutegemea

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Ayo Makosa Kwanini Amkuyasema Uko Nyuma Zisitilini Ndimi Zenu Kwasababu Ukiona Msikitini Kuna Hazana Ya Kuita Waumini Na Waumini Wanajua Muda Wa Ibada Ujue Binadamu Sio Mungu Ukiona Kanisa Liko Na Kengele Na Waumini Wanajua Siku Na Muda Ujue Binadamu C Mungu Alipokosea Nawe Kuna Ulipokosea Kama Ni Ndoa Toeni Ufafanuzi Kuhusu Ile Ndoa Kwanini Iwe Sehemu Ya Yeye Kutoka Kwani Akuna Maonyo

  • @neemakaluwa536

    @neemakaluwa536

    Жыл бұрын

    Wanafiki sana hawa, vigeu geu kama vinyonga, bendera fata upepo, watu kama hawafai hata kuitwa mashehe

  • @idrissaomba8803

    @idrissaomba8803

    Жыл бұрын

    sababu hawakua wanaulizwa, kwa sasa kila sheikh anaulizwa maoni yake na sio kwamba makosa alkua hayaonekani

  • @joezeno8

    @joezeno8

    Жыл бұрын

    @@idrissaomba8803 mbona hawakusema Masheikh Wanafki hawa

  • @abuuayoubayoub9260

    @abuuayoubayoub9260

    Жыл бұрын

    @@idrissaomba8803 Daraja ya unafiki ni mbaya sana kaka usiwaite watu hivyo

  • @yusufmohamed8874

    @yusufmohamed8874

    Жыл бұрын

    Alikuwa na nguvu sana ange wapoteza kusiko julikana.

  • @kosovonaiiem782
    @kosovonaiiem782 Жыл бұрын

    Hatumtaki arudi sio mtu mzuri

  • @thabitbatenga1775
    @thabitbatenga1775 Жыл бұрын

    Nafasi zote za uongozi angeziachia ili kuweka hali ya hewa kuwa safi.kidini

  • @hiarijuma2684
    @hiarijuma2684 Жыл бұрын

    Inamaana iko KULINDANA katika DHAMANA za dini

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Жыл бұрын

    Mashehe wengi ni wanafik tu njaa tu inawasumbuwa

  • @fatmaamin3848
    @fatmaamin3848 Жыл бұрын

    Masheikh twaelekea wapi

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Жыл бұрын

    Amna jipya wenu ni unafiki

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 Жыл бұрын

    Huyu kipozeo kawa mnafiki sana siku hizi bakwata wote hawafai na mufti wao wote maslahi mbele

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Жыл бұрын

    Shehe nakupendaga bule

  • @jitukorofi9517

    @jitukorofi9517

    Жыл бұрын

    Bure sio bule

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    alhad Ana kiburi

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    Жыл бұрын

    Tena saaanaa!!!

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    Жыл бұрын

    @@twahambowe440 mtihani kweli kiongozi wa dini kama yeye kujipeleka live Kwenye mambo ya Dunia Eti. magu 5 tena , inahusu nini? kawa mwana siasa

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    Жыл бұрын

    Aende kwa Mashia Sasa

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    Жыл бұрын

    @@machintangachibwena5922 hahaha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Unasema ukweli. Waumini wa kweli TUKO wengi na mawazo mbali mbali .Dini ni kitu mhimu sana katika maisha yetu. IMANI. KA M A IKITOWEKA NI BALAA. AHSANTE KWA KUMUWEKA PEMBENI.MTU KUVUNJA NDOA NA KUMUACHA MAMA ANAHANGAIKA BILA MPANGO NI BALAA. JE WATOTO WATAISHIJE MBELENI.VUNJA VUNJA NDOA BILA MPANGILIO KWA MAMA NA WATOTO NI BALAA

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l4 ай бұрын

    NYIE MASHEHE WA SEREKALINI NDOMNAYOO IYUMBISHA DINI UKWELI MNAUFICHA

  • @jumasalim6130
    @jumasalim6130 Жыл бұрын

    Sheikh Kipozeo Mwenyezi .Mungu Akuzidishie Hekima na Maarifa katika Taaluma yako..MaaShaa A. LLAH

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Жыл бұрын

    Bado mnakulana. Baraza halina madili ya kisilamu. Bwakwata iliundwa nanani. Chimbuko la bakwata nigumu.

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    Maadili hamna kabisa huyo mufti ndio dhaifu

  • @issabakarissa9377
    @issabakarissa9377 Жыл бұрын

    Unaharibu maalim

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Kabisa!!

  • @muhammadalibhaz1390

    @muhammadalibhaz1390

    Жыл бұрын

    wewe sheikh wakati makosa yanafanyika ulikuwa wapi? unaanza kulaumu Leo wakati alhad kishavuliwa cheo ? mbwa wakati anapokuwa na meno hungata lakini wakati akiwa kibogoyo hangati wewe ulikuwa wapi wakati jamaa aliposema "wewe ni zaidi ya yesu /mungu ulikaa kimya isipokuwa sheikh Muhammad idd ndio pekee alikaripia Sasa ndio unaanza kuropoka

  • @tubeminamiwa
    @tubeminamiwa Жыл бұрын

    huyu hakusema kwa kuwa aliheshimu nafasi ya sheikh wa mkoa na mamlaka yake ya uteuzi

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Жыл бұрын

    HII YOTE NI KUFUNIKA SAKATA LA MSHIA. MFUTI AONGEE KUHUSU MASHIA UMA UJUWE TUELEKEE WAPI. MASHIA MFUTI ONGEA NA UMAA TUNAKUSUBIRI MFUTI.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Жыл бұрын

    Mimi binafsi sijaona kosa Lake, amefuata katiba.

  • @fazeelshomary2704

    @fazeelshomary2704

    Жыл бұрын

    Kumwita kiongozi wa serikali ni zaidi ya Mtume na Nabii Issa na kuwa pia ni zaidi ya Mungu kwako ni sawa au sio?

  • @jumannemussa8281

    @jumannemussa8281

    Жыл бұрын

    Katiba ya nn? Au din inaongozwa na katiba kaka said

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@jumannemussa8281 Kwahiyo BAKWATA haina katiba?

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@fazeelshomary2704 katika clip ile watu wanayakuza Tu Mambo kwasababu zao binafsi, sheikh Alhad alifafanua vizuri Tu nini alimaanisha, na ni sahihi Kwa kweli!!

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    Katiba gani hapo ? na dini ya kiislamu watakiwa ufate quran na hadithi za mitume . km ni sheria za kuachisha Allah hakuacha kitu ni mufti / kadhi anaachisha na sio sheikh wa mkoa .

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Жыл бұрын

    Huyu ndiye aliyesema "KIMFAACHO MTU CHAAKEEE🙄🙄🙄

  • @islandinsuranceagency8008
    @islandinsuranceagency8008 Жыл бұрын

    Unafki mbaya sana nliwahi kuona clip Hawa jamaa wakimsema dokta wakati ana ugomvi na shekh Leo wanasema anamakosa

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Masheikh wengi ni wanaafiq

  • @yussuphsaleh2165
    @yussuphsaleh2165 Жыл бұрын

    Namkumbuka kwa mada ile ya aleluya pale aliposena ni sawa kutamka lailaha ila lla ,,,akapata upinzani mkali kwa waislamu wote na akaingia mitini baada ya kushindwa kielimu na sheikh Muhammad bachu ,,hakuweza kutetea hoja yake

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Жыл бұрын

    mh ! pepo ngumu sana walahi

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Kabisa,,,!!

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Mlikuwa wapi kuyasema hayo kabla? Unaafiq mbaya sana,,,,,,,mnafeli sana masheikh wetu!! Namheshimu sana kipoozeo lakini katika haya ninayoyaona wacha nisitafune maneno

  • @abdulabdulathumani5992

    @abdulabdulathumani5992

    Жыл бұрын

    Unafiki gani mtu kamuombea na dua ulitaka aseme mda gani kwenye kusema tu sio kila mda unatakiwa useme

  • @aminmohammed4249

    @aminmohammed4249

    Жыл бұрын

    Ni maoni tu anatoa mzee wangu…kila mtu akiwa anasema unafukiri mji utakuaje kaka

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@abdulabdulathumani5992 kama alikuwa anaona Alhad alikuwa anakosea, kwanini hakuyasema hayo mwanzo , aje aseme Leo hii? ,,,,

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@abdulabdulathumani5992 dini si ndio inafundisha ukiona Jambo Baya ulikataze/uliseme?

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@abdulabdulathumani5992 tatizo kubwa la waislam ni unaafiq,,,kubali, usikubali!!

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Жыл бұрын

    Jitahidi kaka, Walid kakaimishwa tu unaweza kuukwaa Ushekh wa Mkoa

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Kukaimishwa ni utaratibu badae huidhunishwa hata huyo alhad alikaimishwa then badae akaidhinishwa

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    Жыл бұрын

    Namuomba ALLAH, shekh WALID asikaimu tu,bali awe shekh wa mkoa wa Dar es salaam kamili,tuseme aamiin "maana ni shekh anaejitambua. Allah amuhifadhi Mufti Abubakar bin Zuberi amuongezee jicho la uoni shekh Walid awe ndo shekh wa mkoa wa Dar es salaam. Aamiin allaahumma Aamiin.

  • @jamalsalum8726

    @jamalsalum8726

    Жыл бұрын

    @@fahadfaraj6474 unaweza kukaimishwa au kuteuliwa mwingine

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    @@jamalsalum8726 kwa historia ya bakwata haijapata tokea labda hii iwe ya mwanzo

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Жыл бұрын

    kaka unakwama wapi

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo84083 ай бұрын

    alafu ilo swala la mtume sijui kukata watu halipo. embu ona haya kumchafua bwana mkubwa kama huyo. mtume wetu alikua laini na msamehevu sio katili .

  • @abdallahmwasiho1521
    @abdallahmwasiho1521 Жыл бұрын

    Kwenye Dini Kwa Shekh hakuna kustahimili anaikosea dini mpk na waislamu ilikuwa ni dharau sana

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Жыл бұрын

    Alikuwa akikosea zaidi kwa sababu wewe ni miongoni mwa chawa wake mliyempoteza,kila siku mkimtetea ktk makosa leo ndio unasema.Hii ni alama ya unafik

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Umeongea ukweli

  • @neemakaluwa536
    @neemakaluwa536 Жыл бұрын

    Loo mpaka mashehe wanaoneana wivu na chuki

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Жыл бұрын

    Allah atustiri tu hakuna mkamilifu

  • @neemakaluwa536

    @neemakaluwa536

    Жыл бұрын

    @@jaffjeff6912 kabisa wallah

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Жыл бұрын

    sheikh Alhadi alimwambia Makonda kayakoroga sasa na yeye pia kayakoroga, tunapaswa kuchunga kauli zetu.

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 Жыл бұрын

    Shehe wa mkoa hakuwa na majibu ya busara kwa waumini wake

  • @umbaliche
    @umbaliche Жыл бұрын

    Pamoja na mambo yote Kipozeo kwa mawazo yangu hakupaswa kulizungumzia hili. Mufti ameshafanya maamuzi ilitosha kukaa kimya badala ya kuanza kumdhalikisha mtu kwenye makosa aliyofanya.

  • @zuhurayusuph4826
    @zuhurayusuph4826 Жыл бұрын

    Unafki huo

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Жыл бұрын

    Hii dini Kila mtu ni msemaji? Yaani Kila mtu anaitisha press conference. Kwenye ukatoliki hakuna kitu Cha namna hiyo.

  • @seiflugendo7141

    @seiflugendo7141

    Жыл бұрын

    Wewe ni mpuuzi aliotoa tamko ni mtu mmoja wengine ni wachangiaji fahamu maana ya mzungumzaji na msemaji acha kukurupuka sisi hatufati ukatoliki tunafata muongozo wa dini yetu na sisi sio wakatoliki.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    NDO UKWELI,,SHEIKH ALHAD ALIKUWA HAKUBALIKI HATA NA MASHEKHE WENZAKE,,WATU WALIHOFIA KWAKUWA ALIKUWA MADARAKANI,,SASA TUTASKIA MENGI TU TOKA KWA MASHEIKH

  • @ndeedahahmad
    @ndeedahahmad Жыл бұрын

    nyinyi ndo mnaharibu dini manuguu

  • @Queensagarika887

    @Queensagarika887

    Жыл бұрын

    Ushawahi ona wapi mtu anahofu ya mungu anaenda kufanya intevw anachamba 🤓 fuatilia sana

  • @rajabvuaimussa7049
    @rajabvuaimussa7049 Жыл бұрын

    Kwaio Alhad amefanya kosa la kutengua ndoa ya watu sasa Jee talaka iliyo tolewa na sheikh Alhad ime sihihi au ?

  • @magufulitanzanian9941
    @magufulitanzanian9941 Жыл бұрын

    Mufti Yuko SAHIHI...! ALHAD MUSA Kwa Imani yangu ALIKUWA SAHIHI kwani aliniamini MKATALIWA MGANGA alileta DHARAU Kwa Sheikh Musa kama Mkuu ama RAIS wa Waislamu wote wa Dar es Salaam. Alhad MUSA Wala USIJUTE Mkuu. Allah Aufariji Moyo wako Mujaahid..!

  • @ibunmurshid3885
    @ibunmurshid3885 Жыл бұрын

    Baraza la ulamaa kuna Sharifu majini??! Yule si muhuni tu

  • @petermunanka3827

    @petermunanka3827

    Жыл бұрын

    Shaliff majini ni mganga kilinge chake Kiko mabibolelini niliwahi kumpeleka mtoto wandugu yangu kuombewa Dua niliyoyakuta ckuombewa Dua asilimia90ya watejawake ni akina mama malipo ni shilingi50000 elfu hamsini Kuna chumba mgonjwa anaingizwa kufukizwa nyungu lipo lijisufulia kubwa linatokota mgonjwa ukimuingiza anakaa katika kiti like sufulia limezungukwa na viti mgonjwa anapewa kiti anakaa Kisha anafunikwa shuka anaatamia ulemoshi makali Sana. mgonjwa anatokajasho jingisana baada ya hapo anaambiwa aje siku nyingine

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo84083 ай бұрын

    we kipozoe mnafki sana mbwa wwe. si ulijifanya kutoa pua yako kumkingia kifua uyo mchafu mwenzio. washenzi wakubwa mnanukaa puuuuuh

  • @estermamadee8021
    @estermamadee8021 Жыл бұрын

    Mzeee wa mizigo minene

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l4 ай бұрын

    MNAKOSEA NYOTE MPAKA MUFTI PYAA ANAKOSEA MNALETEWA TARIFA YA KUONEKANA MWEZI HAMUTANGAZI NYOTE WANAFI NYIE MMEZIBITIWA SANA NA SEREKALI

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣l

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Kumbe Al Had kaoa Bint wa muft?

  • @ulimwenguharuna2050

    @ulimwenguharuna2050

    Жыл бұрын

    Ndio kaka

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Жыл бұрын

    Ww nae muhun tuu mpenda kiki kama huyo al hadi.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Жыл бұрын

    Kwani Katiba ya Bakwata inasemaje kuhusu ndoa. Ndoa imevunjwa kwa kufuata katiba.. Dr. Mwaka aliwaita Mashekh wahuni tu. Amechukuliwa hatua gani?

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Yaani katika hili BAKWATA wamejidhalilisha,,,

  • @abubakariyahaya99

    @abubakariyahaya99

    Жыл бұрын

    Km ulikuwa unafatilia mwenendo wa sheikh Alhad na majibu alosema juz utajua kuw alistahil kutolewa

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@abubakariyahaya99 kwahiyo Yule aliyewaita viongozi wa dini wahuni amefanya Sawa?

  • @fathiyaali6171

    @fathiyaali6171

    Жыл бұрын

    Mwenye pesa siku zote yupo juu ya sheria,hafanywi chochote.

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 Lakini Dr Mwaka kuwaita wahunni simlaumu . Hawa masheikh wa Bakwata wanajali matumbo yao tu . mwezi unaendema wakiambiwa wanakataa kutangaza si uhuni ni nini ?

  • @abdallahkiduya3718
    @abdallahkiduya3718 Жыл бұрын

    Kipoozeo ukiongea tu WATU wanacheka

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Жыл бұрын

    Dah hawa masheikh kwa kweli wengi wao wa mchongo.ukiangalia wengi hawapendani

  • @abu-hasheem6422
    @abu-hasheem6422 Жыл бұрын

    Mh....masheik wetu kwa unafik dah....

  • @khelefomary4486

    @khelefomary4486

    Жыл бұрын

    Acha kuonea ivyo

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Unafiki upi nani alikua hajui alhad anakosea

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Uko sahihi!!

  • @khelefomary4486

    @khelefomary4486

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 sio wote lazima mulijuwe ilo

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@khelefomary4486 karibu wote Tu,,,

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Жыл бұрын

    Mashehe bendera, ww si ndiye uliyekuwa mmoja wa chawa wake

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Yaani we Acha Tu, juzi Tu alikuwa anamtetea, Leo anamponda,,,,

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 😅😅😅😅 Masheikh wa Tanganyika muna vituko .

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@kiri5807 nafikiri wewe ni katika wale wanaafiq,,,,,

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Жыл бұрын

    Wanafki ni wengi nilikushakutana na mbwa wanafki huo ni wivuu

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Жыл бұрын

    Mmemtoa alihadi ili mfunike ishu ya mashia. Acheni hizo. Mnacheza na midia kutuchanganya. Tunataka mseme mashia msifunike kupitia alihadi sheikh wa mkoa. Kazi ubwabwa wa mshia. Na ww nimropokaji.

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Жыл бұрын

    Baraza ni dhaifu kwa kweli yule mganga kaita mashekhe wahuni hakuonywa lolote. Ila alhadi kusimamishwa mmefurahia dah inahuzunisha

  • @maryamtanzania9743

    @maryamtanzania9743

    Жыл бұрын

    Muwe mnasikiliza kwa makini dokta mwaka huwa mnamzushia sana huwa sielewi mnasikilizaga au ni vichwa vya habari hata kipindi kile mlimzushia kusema amesema mashehe na mapadri ni wazinifu kumbe alisema kuna baadhi yamashehe ni wazinzi elewa kuna baadhi kwa hiyo kama wewe ni shehe huna uzinzi ujue kuna baadhi yao hata hapa kwa wahuni hujamsikiliza vizuri na kuhusu ndoa ya mwaka alhadi alikosea achilia mbali alikuwa na makosa sana tena ya waziwazi akienda makanisani ikiwa wana misa je inafaa kuwa kiongozi wa kiislam kwa hilo mimi sio bakwata ila nimefurah alhadi kutimuliwa wallah kwenye koment niliuliza kabla hajatimuliwa kusema yarabi huyu utamtoa lini ktk uongozi hakika wewe ni shahidi anapindisha dini hazijapita siku 3 akatimuliwa namchukia kwa ajili ya allah

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    @@maryamtanzania9743 inamaana masikio yako yana afya, kuliko yawatu wote walosikia. Haki iongelewi japo uchungu.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Kabisa!

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    Жыл бұрын

    Alhad kasimamishwa kwakuwa ndiye aliesababisha baraza na mashekh kutukanwa.

  • @adelinibrahim9283
    @adelinibrahim9283 Жыл бұрын

    Hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 Жыл бұрын

    HIV kipozeo havut bang au sigara??

  • @yahyagonga

    @yahyagonga

    Жыл бұрын

    Duh umewaza nn ndg

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Жыл бұрын

    huyo shekhe kipozi ana tuchangaya mimi mtoto wa mdogo wangu kaomba talaka bakuwata kapewa mbona hayakutokea haya shkhe kipozeo tunawasiwasi na kudi fulani mashkhe wapewa mpunga na Dr waka pesa mbaya kutolewa talaka bakuwata nimaraya kwaza uwislam tanzania una aza kuzwa kwa pesa muhammad swalalau alei wasalam keshawahi kumtumuwa abubakar au omar au athumani au aliy

  • @hashimswaibu9827

    @hashimswaibu9827

    Жыл бұрын

    Kwani dadayako kapewa talaka na alhadi Musa na presi ju full macamera ama kadhi ndio alie mpatalaka dadayako

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Жыл бұрын

    Na wewe uache sasa mawaidha yako ya kihuni hasa ya kuzungumzia mizigo,wewe ni mtu mzimaa na ulamaa wa kuheshimika

  • @amerwelder7786

    @amerwelder7786

    Жыл бұрын

    Hawez kuwa ulamaa uyo

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@amerwelder7786 Acha chuki binafsi,,,

  • @yasiniselemani2412

    @yasiniselemani2412

    Жыл бұрын

    Mizigo ni shida

  • @muniraabdallah552

    @muniraabdallah552

    Жыл бұрын

    Acheni unafik

  • @bakarizaharani142
    @bakarizaharani142 Жыл бұрын

    Sio sawa kipozeo ongea na mwenyewe usimuanike mitandao

  • @babrashabanu7073
    @babrashabanu7073 Жыл бұрын

    Sasa hapo nimeelewa kumbe shehe wa mkoa alipinga kauli ya muft

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 Жыл бұрын

    Mm naskitika wakati wahaki waislam hatufatilii usawa Wa haqi maneno ya Allah hayapingiki kwa hii hali hakuna vile wawili hawa watakua sawa hapo masheikh mumebeba mzigo sababu ndoa haipo sawa kma mwasema talaka haikupita mjue mtayabeba nyinyi msichukulie rahisi mkae mfikirie

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Жыл бұрын

    Nafasi yake kwani yeye ndo alizaliwa nayo hebu mtupishe huko hatumtaki huyo Alhad wenu hatumtaki mpuuzi huyo

Келесі